< Isaya 14 >

1 Yahwe atakuwa na huruma juu ya Yakobo; atamchagua tena Israeli na kumrudisha tena kwenye nchi yake. Wageni wataungana nao na wataambatana wenyewe na nyumba ya Yakobo.
For he will have compassion on Yahweh Jacob and he will choose again Israel and he will give rest them on own land their and he will join himself the sojourner to them and they will attach themselves to [the] house of Jacob.
2 Mataifa yataletwa katika maeneo yao wenyewe. Ndipo nyumba ya Israeli itawachukwa katika nchi ya Yahwe kwa watumishi wa kiume na wakike. Watachukuwa wafungwa wale waliokamatwa, na watawaongoza wale waliokuwa wanawanyanyasa.
And they will take them peoples and they will bring them to place their and they will receive as an inheritance them [the] house of Israel on [the] land of Yahweh to [male] servants and to female servants and they will be taking captive captors their and they will rule over oppressors their.
3 Siku hiyo Yahwe atatoa pumziko kutoka kwenye mateso na maumivu, na kutoka kwenye kazi ngumu ambayo waliitajika kuzifanya,
And it will be on [the] day gives rest Yahweh to you from pain your and from turmoil your and from the labor hard which it was labored by you.
4 mtaimba hii kauli wimbo juu ya mfalme wa Babeli, ''Ni kwa jinsi gani wayanyasaji wamefika mwisho, kiburi cha hasira kimekwisha!
And you will lift up the saying this on [the] king of Babylon and you will say how! he has ceased [the] oppressor it has ceased raging.
5 Yahwe amevunja wafanyakazi waovu, fimbo ya hao viongozi,
He has broken Yahweh [the] staff of wicked [people] [the] scepter of rulers.
6 inayowapeleka watu kwenye laana na mapigo yasiyopimika, wanoongoza taifa kwa hasira,
[which] struck Peoples in wrath a blow not ceasing [which] ruled in anger nations persecution [which] not anyone restrained.
7 yote iko katika punziko na utulivu; wmeanza kusherekea kwa kiimba.
It is at rest it is at peace all the earth people have broken forth a shout of joy.
8 Hata mti wa mseprasi inafuhaia pamoja mierezi ya Lebanoni; inasema, Tangu ulipoweka chini, hakuna mkata kuni aliyekuja kutungusha sisi,
Also [the] fir trees they have rejoiced to you [the] cedars of Lebanon from then you lay down not he comes up the [wood] cutter on us.
9 Kuzimu haina hamu kwa ajili yako unaye enda pale. Watafufuka waliokufa kwa ajili yako, wafalme wote wa dunia, wafanje watoke katika viti vyao vya enzi, wafalme wote wa mataifa. (Sheol h7585)
Sheol beneath it is excited to you to meet coming you it has roused to you shades all [the] leaders of [the] earth it has made rise from thrones their all [the] kings of [the] nations. (Sheol h7585)
10 Watazungumza na kukuambia wewe, 'umekuwa dhaifu kama sisi.
All of them they will answer and they may say to you also you you have been made weak like us to us you have become like.
11 Kiburi chako kimeshushwa kuzimu na sauti kifaa cha kamba yako. Buu wameongezeka chini yako na vijidudu vinakufunika wewe.' (Sheol h7585)
It has been brought down Sheol pride your [the] sound of lyres your under you it is spread as a bed maggot[s] and coverings your [are] worm[s]. (Sheol h7585)
12 Kwa jinsi gani ulivyoanguka kutoka mbinguni, nyota ya siku, jua la asubuhi! ni kwa jinsi gani mlivyoshushwa chini, umeyashinda mataifa!
How! you have fallen from heaven O shining one son of dawn you have been cut down to the ground O defeater over [the] nations.
13 Unasema katika moyo wako, ' Nitapaa kutoka juu mbinguni, nitanyanyua enzi yangu juu ya nyota za Mungu, na nitakaa kwenye mlima wa kukusanyikia, kwa mbali kufika kaskazini.
And you you said in heart your the heavens I will ascend from above [the] stars of El I will raise throne my so I may sit on [the] mountain of appointed meeting in [the] remotest parts of Zaphon.
14 Nitapaa juu umbali wa mawingu; Nitalifanya mimi mwenyewe kama Mungu aliye juu zaidi.'
I will ascend above [the] high places of [the] cloud[s] I will make myself like [the] Most High.
15 Lakini kwa sasa umeshushwa chini kuzimu, kwenye kina cha shimo. (Sheol h7585)
Nevertheless to Sheol you have been brought down to [the] remotest parts of [the] pit. (Sheol h7585)
16 Wale wanaokuona watakuangalia wewe, watakuangalia sana. Watasema, Je ni huyu mtu aliyefanya dunia itetemeke, nani aliyetingisha falme,
[those who] see You to you they will stare to you they will consider carefully ¿ [is] this the man [who] made tremble the earth [who] made shake kingdoms.
17 ni nani aliyefanya dunia kama jangwa, ni nani aliyeharibu miji yake, na hataki kuwachia wafungwa waende nyumbani?'
[who] made [the] world Like wilderness and cities its he tore down prisoners his not he opened home towards.
18 Wafalme wote wamataifa, wote kwa pamoja wamelala chini kwa heshima, kila mtu kwa kaburi lake.
All [the] kings of [the] nations all of them they have lain down in splendor each one in own house his.
19 Lakini umetupwa nje ya kaburi lako kama tawi lilivyotupwa mbali. Maiti imekufunika kama vazi, na wale wanaochomwa kwa upanga, nani wale washukao mpaka misingi ya shimo.
And you you have been thrown out from tomb your like a branch abhorred [the] clothing of [those who] were slain [who were] pierced of [the] sword [who] go down to [the] stones of [the] pit like a corpse trodden down.
20 Hautaunganishwa pamoja katika mazishi, kwa sababu umeiharibu nchi yako na kuuwa watu wako. Watoto wa watenda maovu hawatatajwa tena.''
Not you will be united with them in burial for land your you have ruined people your you have slain not it will be named for ever [the] offspring of evil-doers.
21 Anda machinjio kwa ajili ya watoto wake, kwa sababu ya uovu wa mababu zao, hivyo basi hawatanyanyuka juu na na kuimiliki aridhi ya nchi iliyojaa miji ya dunia yote.''
Prepare for sons his a place of slaughter in [the] iniquity of ancestors their not they will arise and they will take possession of [the] earth and they will fill [the] surface of [the] world cities.
22 Nitapanda juu yao''- hili ni tamko la Yahwe wa majeshi. Nitang'oa jina katika Babeli, uzao, na ukoo''- hili ndilo tamko la Yahwe.
And I will rise up on them [the] utterance of Yahweh of hosts and I will cut off to Babylon name and remnant and posterity and progeny [the] utterance of Yahweh.
23 Tena nitaifanya nchi hiyo kuwa makao ya bundi, dimbwi la maji, nanitawafagia kwa mfagio wa uharibifu''- hili ni tamko la Yahwe wa majeshi.
And I will make it a possession of hedgehog[s] and reed-pools of water and I will sweep away it with a broom of destruction [the] utterance of Yahweh of hosts.
24 Yahwe wa majeshi ameapa, ''Hakika, kama nilivyodhamiria, itakuwa kama ilivyo; na kama nilivyo kusudia itakuwa:
He has sworn Yahweh of hosts saying if not just as I have intended so it has happened and just as I have planned it it will stand.
25 Nitawavunja Waasiria kwa mikono yangu, na kukanyaga milima kwa miguu yangu mwenyewe. Hivyo nira yake itanyanyuliwa juu yao na mzigo juu ya mabega yao.''
To break Assyria in land my and on mountains my I will tread down it and it will be removed from on them yoke its and burden its from on shoulder its it will be removed.
26 Huu ni mpango uliokusudiwa katika nchi yote, na huu ndio mkono ulionyanyuliwa juu ya mataifa.
This [is] the plan which is planned on all the earth and this [is] the hand which is stretched out over all the nations.
27 Kwa maana Yahwe wa majeshi amepanga hivi; ni nani atakayemzia yeye? Mkono wake umenyanyuliwa juu, ni nani atakajemrudisha nyuma?
For Yahweh of hosts he has planned and who? will he frustrate [it] and [is] hand his the [one] stretched out and who? will he turn back it.
28 Katika miaka ambayo mfalme Ahazi alipokufa, hili ndio tamko lilokuja:
In [the] year of [the] death of the king Ahaz it came the oracle this.
29 Msishangilie, enyi wafilisti wote, kwamba fimbo ya kukupigia wewe imevunjika. Maana katika njia ya nyoka atatoka fira, na watoto wake watakuwa moto nyoka wanaopaa.
May not you rejoice O Philistia all of you that it has been broken [the] rod of [the] [one who] struck you for from [the] root of a snake it will go forth a viper and fruit its [will be] a serpent flying.
30 Na mtoto wa kwanza wa maskini watachunga kondoo wao kwenye malisho yangu, na wahitaji watalala chini salama. Nitaiuwa mizizi yenu kwa njaa ambayo atawauwa wakazi wenu wote.
And they will graze [the] firstborn of poor [people] and needy [people] to security they will lie down and I will put to death by famine root your and remnant your it will kill.
31 Omboleza, ewe lang, lia, ewe mji; ninyi nyote mtayeyukia mbali, Ufilisti. Maana kutoka kaskazini limetoka wingu la moshi, na hakuna hata mmoja atakaye odoka kwenye nafasi yake.
Wail O gate cry out O city melt away O Philistia all of you for from [the] north smoke [is] coming and there not [is] an isolated [one] among ranks its.
32 Ni kivipi mtu mmoja atamjibu mjumbe wa taifa? Kwamba Yahwe ameipata Sayuni, na ndani yake walionewa watatafuta kimbilio.
And what? will anyone answer [the] messengers of a nation that Yahweh he has founded Zion and in it they will take refuge [the] afflicted [people] of people his.

< Isaya 14 >