< Hosea 8 >

1 “Weka tarumbeta katika midomo yako! Tai anakuja juu ya nyumba ya Bwana kwa sababu watu wamevunja agano langu na waliasi dhidi ya sheria yangu.
Nastavi šofar k svojim ustom. Prišel bo kakor orel zoper Gospodovo hišo, zato ker so prekršili mojo zavezo in se prekršili zoper mojo postavo.
2 Wananililia,'Mungu wangu, sisi katika Israeli tunakujua.'
Izrael bo klical k meni: ›Moj Bog, mi te poznamo.‹
3 Lakini Israeli amekataa mema, na adui atamfuata.
Izrael je zavrgel stvar, ki je dobra; sovražnik ga bo zasledoval.
4 Wameweka wafalme, lakini sio kwa shauri langu. Wamewafanya wakuu, lakini sikuwa na habari. Kwa fedha zao na dhahabu wamejifanyia sanamu wenyewe, ili wakatiliwe mbali.”
Nastavljali so si kralje, toda ne po meni. Nameščali so si prince, jaz pa tega nisem vedel. Iz svojega srebra in svojega zlata so si delali malike, da bi bili lahko iztrebljeni.
5 “Ndama yako imekataliwa, Samaria. Hasira yangu inawaka juu ya watu hawa. Kwa muda gani watakuwa na hatia?
Tvoje tele, oh Samarija, te je zavrglo. Moja jeza se je vnela zoper njih. Kako dolgo bo, preden se bodo dokopali do nedolžnosti?
6 Kwa maana sanamu hii ilitoka Israeli; fundi aliifanya; si Mungu! Ndama ya Samaria itavunjwa vipande vipande.
Kajti tudi to je bilo iz Izraela; delavec ga je naredil, zato to ni Bog, temveč bo tele iz Samarije zlomljeno na koščke.
7 Kwa maana watu hupanda upepo na kuvuna kimbunga. Mbegu zilizosimama hazina vichwa; haitoi unga. Ikiwa itakomaa, wageni watakula.
Kajti sejali so veter, želi bodo pa vihar. Ta nima stebla, brst ne obrodi moke. Če bo tako, da obrodi, ga bodo pogoltnili tujci.
8 Israeli imemezwa; sasa wanalala kati ya mataifa kama kitu kisicho na maana.
Izrael je požrt; sedaj bodo med pogani kakor posoda, v kateri ni zadovoljstva.
9 Kwa maana walikwenda Ashuru kama punda wa mwitu pekee. Efraimu ameajiri wapenzi kwa ajili yake mwenyewe.
Kajti šli so gor v Asirijo, osamljen divji osel sam zase. Efrájim si je najel ljubimce.
10 Hata ingawa wameajiri wapenzi kati ya mataifa, sasa nitawakusanya pamoja. Wao wataanza kupotea kwa sababu ya unyanyasaji wa mfalme wa wakuu.
Da, čeprav so najemali med narodi, jih bom sedaj zbral in bodo malce žalovali zaradi bremena kralja princev.
11 Kwa maana Efraimu imeongeza madhabahu kwa sadaka za dhambi, lakini zimekuwa madhabahu kwa kufanya dhambi.
Ker je Efrájim naredil mnogo oltarjev za greh, bodo oltarji njemu v greh.
12 Niliweza kuandika sheria yangu kwao mara elfu kumi, lakini wangeiona kama kitu cha ajabu kwao.
Njemu sem napisal velike stvari iz svoje postave, vendar so bile štete kakor čudna stvar.«
13 Kwa ajili ya dhabihu za sadaka zangu, hutoa nyama na kuila, lakini mimi, Bwana, siwakubali. Sasa nitafikiri juu ya uovu wao na kuadhibu dhambi zao. Watarudi Misri.
Žrtvujejo meso za klavno daritev mojih daritev in ga jedo, toda Gospod jih ne sprejema. Sedaj se bo spomnil njihove krivičnosti in obiskal njihove grehe; vrnili se bodo v Egipt.
14 Israeli amenisahau mimi, Muumba wake, na amejenga majumba. Yuda ameimarisha miji mingi, lakini nitatuma moto juu ya miji yake; itaharibu ngome zake.
»Kajti Izrael je pozabil svojega Stvarnika in zgradil templje in Juda je pomnožil utrjena mesta, toda na njegova mesta bom poslal ogenj in ta bo požrl njegove palače.

< Hosea 8 >