< Wahebrania 4 >

1 Kwa hiyo, tunapaswa kuwa makini ili kwamba kati yenu asiwepo hata mmoja atakayeonekana kushindwa kufikia ahadi endelevu ya kuingia katika pumzika la Mungu.
И тъй, понеже ни остава обещание да влезем в Неговата почивка, нека се боим да не би да се открие, че някой от вас не е достигнал до нея.
2 Kwani tumekuwa na habari njema kuhusu pumziko la Mungu lililotangazwa kwetu kama Waisrael walivyokuwa nayo, lakini ujumbe huo haukuwasaidia wale ambao waliusikia bila kuunganisha imani kwa hilo.
Защото на нас се донесе едно благовестие, както и на тях; но словото, което те чуха, не ги ползува, понеже не се съедини чрез вяра в ония, които го чуха.
3 Kwa sisi, ambao tumekwisha amini-sisi ndio miongoni tutakaoingia katika lile pumuziko, Kama inavyosema, “Kama nilivyoapa kwa hasira yangu, Hawataingia katika pumziko mwangu.” Alisema hili, ingawa kazi zote alizotengeneza zilikuwa zimekamilika tangu mwanzo wa ulimwengu.
Затова ние, повярвалите, влизаме в тая почивка; както рече Бог:
4 Kwani ameshasema sehemu fulani kuhusu siku ya saba, “Mungu alipumzika siku ya saba katika yote aliyoyafanya.”
Защото нейде си е говорил за самия ден така: "И почина си Бог на седмия ден от всичките Си дела";
5 Tena ameshasema, “Hawataingia kwenye pumziko langu.”
а пък на това място: "Няма да влязат в Моята почивка".
6 Kwa sababu hiyo, tangu pumziko la Mungu bado ni akiba kwa ajili ya baadhi kuingia, na tangu Waisraeli wengi ambao walisikia habari njema kuhusu pumziko lake hawakuingia kwa sababu ya kutotii,
И тъй, понеже остава да влязат някои в нея, а ония, на които по-напред се благовести, не са влезли поради неверието ( Или: Непокорството ) си,
7 Mungu aliweka tena siku fulani, iitwayo “Leo.” Yeye aliiongeza siku hii alipozungumza kupitia Daudi, ambaye alisema kwa muda mrefu baada ya yaliyosemwa kwanza, “Leo kama mtasikia sauti yake, msifanye mioyo yenu kuwa migumu.”
затова Той пак определя един ден, "днес", като казва толкоз време по-после чрез Давида, както вече рекохме: "Днес, ако чуете Неговия глас, Не закоравявайте сърдцата си".
8 Kwani kama Yoshua aliwapatia pumziko, Mungu asingelisema juu ya siku nyingine.
Защото, ако Исус Навиев беше им дал почивка, Бог не би говорил след това за друг ден.
9 Kwa hiyo bado kuna Sabato ya pumziko iliyotunzwa kwa ajili ya watu wa Mungu.
Следователно, за Божиите люде остава една съботна почивка. ( Виж. ст. 4. )
10 Kwani anayeingia katika pumziko la Mungu yeye mwenyewe pia amepumzika kutokana na matendo yake, kama Mungu alivyofanya katika yeye.
Защото оня, който е влязъл в Неговата почивка, той си е починал от своите дела, както и Бог от Своите Си.
11 Kwa hiyo tuweni na shauku ya kuingia katika lile pumziko, ili kwamba asiwepo atakayeanguka katika aina ya uasi waliofanya.
Затова нека се постараем да влезем в тая почивка, за да не падне някой в това, да дава същия пример на неверие.
12 Kwa maana neno la Mungu li hai na lina nguvu na linaukali kuliko upanga wowote wenye makali kuwili. Na huchoma hata kufikia kugawanya nafsi na roho, na viungo kutika uboho. Na lenye kuweza kufahamu fikira za moyo nia yake.
Защото Божието слово е живо, деятелно, по-остро от всеки меч остър и от двете страни, пронизва до разделяне душата и духа, ставите и мозъка, и издирва помислите и намеренията на сърдцето.
13 . Hakuna kilichoumbwa kilichojificha katika uso wa Mungu. Badala yake, kila kitu ni dhahiri na wazi kwa macho ya mmoja ambaye ni lazima tutoe hesabu.
И няма създание, което да не е явно пред Бога; но всичко е голо и разкрито пред очите на Този, на Когото има да отговаряме.
14 Baadaye kuwa na kuhani mkuu aliyeingia katika mbingu, Yesu Mwana wa Mungu, kwa uimara tushikilie imani zetu.
И тъй, като имаме велик Първосвещеник Исуса, Божия Син, Който е преминал до най-високите небеса, нека държим това, което сме изповядали.
15 Kwa kuwa hatuna kuhani mkuu ambaye hawezi kuhisi huruma kwa ajili udhaifu wetu, lakini yeye ambaye kwa njia zote amekuwa akijaribiwa kama sisi, isipokuwa yeye ambaye hana dhambi.
Защото нямаме такъв първосвещеник, Който да не може да състрадава с нас в нашите немощи, а имаме Един, Който е бил във всичко изкушен като нас, но пак без грях.
16 Na tuje kwa ujasiri katika kiti cha enzi cha neema, ili kwamba tupokee rehema na kupata neema ya kutusaidia wakati wa hitaji.
Затова, нека пристъпваме с дръзновение към престола на благодатта, за да придобием милост, и да намерим благодат, която да помага благовременно.

< Wahebrania 4 >