< Mwanzo 20 >

1 Abraham akasafiri kutoka pale hadi nchi ya Negebu, na akakaa kati ya Kadeshi na Shuri. Akawa mgeni akiishi Gerari.
От там Авраам пътуваше към южната страна. Той се настани между Кадис и Сур и живееше като пришелец в Герар.
2 Abraham akasema kususu mkewe Sara, “ni dada yangu.” Kwa hiyo Abimeleki mfalme wa Gerari akatuma watu wake kumchukua Sara.
И понеже Авраам казваше за жена си Сара: Сестра ми е, то Герарският цар Авимелех прати та взе Сара.
3 Lakini Mungu akamtokea Abimeleki usiku katika ndoto, akamwambia, “Tazama, wewe ni mfu kutokana na mwanamke uliye mchukua, kwa kuwa ni mke wa mtu.”
Но Бог дойде при Авимелеха в съня му, през нощта и му рече: Ето, ти умираш поради жената, която си взел; защото тя си има мъж.
4 Basi Abimeleki alikuwa bado hajamkaribia hivyo akasema, “Bwana, Je utaua hata taifa lenye haki?
(А Авимелех не беше се приближил при нея). И рече: Господи, ще погубиш ли един праведен народ?
5 Je si yeye mwenyewe aliye niambia, 'Sara ni dada yangu?' Hata Sara mwenyewe alisema, 'ni kaka yangu.' Nimefanya hili katika uadilifu wa moyo wangu na katika mikono isiyo na hatia.”
Не каза ли сам той: Сестра ми е? Също и сама тя рече: Той ми е брат. С право сърце и с чисти ръце сторих аз това.
6 Kisha Mungu akasema naye katika ndoto, “Kweli, ninajua pia kwamba umefanya hili katika uadilifu wa moyo wako, na pia nilikuzuia usitende dhambi dhidi yangu mimi. Ndiyo maana sikuruhusu umshike.
Бог му каза в съня: Да, Аз зная, че си сторил това с праведно сърце; още Аз те въздържах да не съгрешиш против Мене, и затова не те оставих да се докоснеш до нея.
7 Kwa hiyo, mrudishe huyo mke wa mtu, kwa kuwa ni nabii. Atakuombea, na utaishi. Lakini usipo mrudisha, ujuwe kwamba wewe pamoja na wote walio wa kwako mtakufa hakika.
Сега, прочее, върни жената на човека, защото е пророк и ще се помоли за тебе, и ти ще останеш жив; но, ако не я върнеш, знай, че непременно ще умреш, ти и всички твои.
8 Abimeleki akaamka asubuhi na mapema akawaita watumishi wake wote waje kwake. Akawasimulia mambo haya yote, na watu wale wakaogopa sana.
На сутринта, като стана рано Авимелех повика всичките си слуги и извести всички тия неща в ушите им; и хората се уплашиха много.
9 Kisha Abimeleki akamwita Abraham na kumwambia, “Umetufanyia jambo gani? Ni kwa jinsi gani nimekutenda dhambi kwamba umeniletea mimi na ufalme wangu dhambi hii kubwa? Umenifanyia mimi jambo ambalo halipaswi kufanywa.”
Тогава Авимелех повика Авраам и му рече: Що ни стори ти? Какво ти съгреших, та си навлякъл на мене и на царството ми голям грях? Направил си ми работи, които не трябваше да се правят.
10 Abimeleki akamwambia Abraham, “Nini kilikushawishi wewe kutenda jambo hili?”
Рече още Авимелех на Авраама: Що си видял, та стори това нещо?
11 Abraham akasema, “Ni kwasababu nilifikiri hakika hakuna hofu ya Mungu katika sehemu hii, na kwamba wataniua kwa ajili ya mke wangu.'
И рече Авраам: Сторих го понеже рекох: Не ще има страх от Бога в това място, и ще ме убият поради жена ми.
12 Licha ya kwamba kweli ni dada yangu, binti wa baba yangu, ingawa si binti wa mama yangu; na ndiye alifanyika kuwa mke wangu.
А при това, тя наистина ми е сестра, дъщеря на баща ми, но не и дъщеря на майка ми; и ми стана жена.
13 Wakati Mungu aliponiondoa katika nyumba ya baba yangu na kusafiri kutoka mahali kwenda mahali pengine, nilimwambia mke wangu, kwa kila sehemu tutakayo kwenda, unioneshe uaminifu wako kama mke wangu: Kila mahali tutakapo kwenda, useme juu yangu kuwa, “Ni kaka yangu.”'''
И когато Бог ме направи да странствувам от бащиния си дом, рекох й: Ще ми направиш тая добрина - На всяко място, гдето отидем, казвай за мене: Брат ми е.
14 Ndipo Abimeleki akatwaa kondoo, maksai, watumwa wa kiume na wa kike akampatia Abraham. Basi Abimeleki akamrudisha Sara, mke wa Abraham.
Тогава Авимелех взе овци и говеда, слуги и слугини, та ги даде на Авраама и върна му жена му Сара.
15 Abimeleki akasema, Tazama, Nchi yangu i mbele yako. Kaa mahali utakapopendezewa.”
И рече Авимилех: Ето, земята ми е пред тебе, засели се дето ти е угодно.
16 Na kwa Sara akasema, Tazama, nimempatia kaka yako vipande elfu vya fedha. Navyo ni kwa ajili ya kufunika kosa lolote dhidi yako machoni pa wote walio pamoja na wewe, na mbele ya kila mtu ambaye umemfanya kuwa na haki.”
А на Сара каза: Виж, дадох на брат ти хиляда сребърника; ето, това ти е покривало за очите пред всички, които са с тебе и пред всички човеци си оправдана.
17 Kisha Abraham akaomba kwa Mungu, Na Mungu akamponya Abimeleki, mkewe, na watumwa wake wa kike kiasi kwamba wakaweza kupata watoto.
И тъй, Авраам се помоли на Бога; и Бог изцели Авимелеха, и жена му, и слугите му; и раждаха деца.
18 Kwa kuwa Yahwe alikuwa amewafanya wanawake wote wa nyumaba ya Abimeleki kuwa tasa kabisa, kwa sababu ya Sara, mke wa Abraham.
Защото, поради Авраамовата жена Сара, Господ беше заключил съвсем всички утроби на Авимелеховия дом.

< Mwanzo 20 >