< Mwanzo 19 >

1 Malaika wawili wakaja Sodoma jioni, wakati ambao Lutu alikuwa amekaa langoni mwa Sodoma. Lutu akawaona, akainuka kuwalaki, na akainama uso wake chini ardhini.
Привечер дойдоха двама ангела в Содом; а Лот седеше в Содомската порта. И като ги видя, Лот стана да ги посрещне, поклони се с лице до земята и рече:
2 Akasema, Tafadhari Bwana zangu, nawasihi mgeuke mwende kwenye nyumba ya mtumishi wenu, mlale pale usiku na muoshe miguu yenu. Kisha muamke asubuhi na mapema muondoke.” Nao wakasema, “Hapana, usiku tutalala mjini.”
Ето, господари мои, свърнете, моля, в къщата на слугата си, пренощувайте и си умийте нозете, и утре станете та си идете по пътя. А те рекоха: Не, на улицата ще пренощуваме.
3 Lakini akawasihi sana, mwishowe wakaondoka pamoja nae, na wakaingia katika nyumba yake. Akaandaa chakula na kuoka mkate usiotiwa chachu, wakala.
Но, като настояваше много, те се отбиха към него и влязоха в къщата му; и той им направи угощение и изпече безквасни хлябове; и ядоха.
4 Lakini kabla hawaja lala, wanaume wa mji, wa Sodoma, vijana kwa wazee wakaizunguka nyumba, wanaume wote kutoka kila kona ya mji.
А преди да си легнат те, градските мъже, Содомските жители, млади и стари, всичките люде от всякъде, обиколиха къщата
5 Wakamwita Lutu, na kumwambia, “Wale wanaume walioingia kwako usiku wakowapi? watoe hapa nje waje kwetu, ili tuweze kulala nao.”
и викаха на Лота, казвайки: Где са мъжете, които дойдоха у тебе тая нощ? Изведи ни ги да ги познаем.
6 Lutu akatoka nje na akafunga mlango.
А Лот излезе при тях пред вратата, затвори вратата след себе си, и рече:
7 Akasema, “Nawasihi, ndugu zangu, msitende uovu.
Моля ви се, братя мои, не правете такова нечестие.
8 Tazama, nina mabinti wawili ambao hawajawahi kulala na mwanaume yeyote. Nawaomba tafadhari niwalete kwenu, na muwafanyie lolote muonalo kuwa jema machoni penu. Msitende lolote kwa wanaume hawa, kwa kuwa wamekuja chini ya kivuli cha dari yangu.”
Вижте сега, имам две дъщери, които не са познали мъж; тях да ви изведа вън, и сторете с тях, каквото ви се вижда угодно; само на тия мъже не струвайте нищо, понеже затова са влезли по покрива на стрехата ми.
9 Wakasema, “Ondoka hapa!” Wakasema pia, huyu alikuja kukaa hapa kama mgeni, na sasa amekuwa mwamuzi! Sasa tutakushugulilia vibaya wewe kuliko wao.” Wakamsonga sana huyo mtu, huyo Lutu, na wakakaribia kuvunja mlango.
Но те рекоха: Махни се нататък. Рекоха още: Той дойде тук самичък и пришелец, а иска още и съдия да стане; ей сега на тебе ще сторим по-голямо зло, отколкото на тях. И насилваха премного човека, Лота, и приближиха се да разбият вратата.
10 Lakini wale wanaume wakamkamata Lutu na kumweka ndani na wakafunga mlango.
Но мъжете простряха ръце, дръпнаха Лота при себе си, в къщи, и затвориха вратата.
11 Kisha wale wageni wa Lutu wakawapiga kwa upofu wale wanaume waliokuwa nje ya nyumba, vijana na wazee kwa pamoja, kiasi kwamba wakachoka wakati wakiutafuta mlango.
Тоже и поразиха със слепота човеците, които бяха пред вратата на къщата, и малък и голям, тъй щото се умориха, като търсеха вратата.
12 Basi wale watu wakamwambia Lutu, Je una mtu mwingine yeyote hapa? wakwe zako, wanao na mabinti zako, na yeyote mwingine katika huu mji, ukawatoe hapa.
Тогава мъжете рекоха на Лота: Имаш ли тука друг някой: зет, синове, дъщери и които и да било други, що имаш в града, изведи ги из това място;
13 Kwa kuwa tunakaribia kuiangamiza sehemu hii, kwa sababu mashitaka dhidi yake mbele ya Yahwe yamezidi kiasi kwamba ametutuma kuuangamiza.”
защото ние ще съсипем мястото, понеже силен стана викът им пред Господа, и Господ ни изпрати да го съсипем.
14 Lutu akatoka na akazungumza na wakwe zake, wanaume ambao walikuwa wamewaposa binti zake, akawambia, “Ondokeni upesi mahali hapa, kwa kuwa Yahwe anakaribia kuuangamiza mji.” Lakini kwa wakwe zake alionekana kuwa anawatania.
И тъй, Лот излезе и говори на зетьовете си, които щяха да водят дъщерите му и рече: Станете, излезте из това място, защото Господ ще съсипе града. Но не зетьовете му се видя, че той се шегува.
15 Alfajiri, malaika wakamsihi Lutu, wakisema, ondoka, mtwae mkeo na binti zako wawili ambao wako hapa, ili kwamba usipotelee katika adhabu ya mji huu.”
Когато се зазори, ангелите настояваха пред Лота, казвайки: Стани, вземи жена си и двете си дъщери, които са тука, за да не погинеш всред наказанието на тоя град.
16 Lakini akakawia-kawia. Kwa hiyo watu wale wakamshika mkono wake, na mkono wa mkewe, na mikono ya binti zake wawili, kwa sababu Yahwe alimhurumia. Wakawatoa nje, na kuwaweka nje ya mji.
Но тоя се бавеше; затова мъжете хванаха за ръка него, жена му и двете му дъщери, изведоха го и поставиха го вън от града; понеже Господ го пожали.
17 Wakisha kuwatoa nje mmoja wa wale watu akasema, “jiponye nafsi yako! usitazame nyuma, au usikae mahali popote kwenye hili bonde. Toroka uende milimani ili kwamba usije ukatoweshwa mbali.”
И като го изведоха вън, рече единият на Лота: Бягай за живота си; да не погледнеш назад, нито да се спреш някъде в цялата тая равнина; бягай на планината, за да не погинеш.
18 Lutu akawambia, “Hapana, tafadhali bwana zangu!
А Лот им рече: Ах, Господи, не така!
19 Mtumishi wenu amepata kibali machoni pako, na umenionesha wema ulio mkuu kwa kuokoa maisha yangu, lakini sitaweza kutorokea milimani, kwa sababu mabaya yataniwahi na nitakufa.
Ето, слугата ти придоби Твоето благоволение, и с опазването на живота ми, Ти правиш още по-голяма милостта, която си показал към мене; но аз не мога да побягна на планината да не би да ме постигне злато и да умра.
20 Tazama, ule mji pale uko karibu nijisalimishe pale, na ni mdogo. Tafadhari niacheni nikimbilie pale ( Je Siyo mdogo ule?), na maisha yangu yataokolewa.”
Гледай, моля, твоя град е близо, за да побягна там, и малък е. Нека побягна там, (не е ли малък град?) и така животът ми ще се опази.
21 Akamwambia, “Sawa, nimekubali ombi hili pia, kwamba sitaangamiza mji ambaoumeutaja.
Той му каза: Ето слушам те и за това нещо, че няма да разоря града, за който ти говори.
22 Harakisha! toroka uende pale, kwa kuwa sitafanya chochote mpaka ufike pale.” kwa hiyo mji ule ukaitwa Soari.
Бързай, бягай там защото Аз не мога да сторя нищо, догде ти не стигнеш там. Затова тоя град се наименува Сигор.
23 Jua lilikuwa limekwisha chomoza juu ya nchi wakati Lutu alipofika Soari.
Слънцето изгряваше на земята, когато Лот влезе в Сигор.
24 Kisha Yahwe akanyesha juu ya Sodoma na Gomora kiberiti na moto toka kwa Yahwe mbinguni.
Тогава Господ изля върху Содом и Гомор сяра и огън от Господа от небето.
25 Akaharibu miji ile, na bonde lote, na vyote vilivyomo katika miji, na mimea iliyo chipua juu ya ardhi.
Той разори тия градове и цялата равнина, всичките жители на градовете и земните растения.
26 Lakini mke wa Lutu aliye kuwa nyuma yake, akatazama nyuma, na akawa nguzo ya chumvi.
Но жена му, след него, погледна назад, и стана стълб от сол.
27 Abraham akaamuka asubuhi na mapema akaenda mahali alipokuwa amesimama mbele ya Yahwe.
Сутринта Авраам подрани на мястото, дето беше стоял пред Господа;
28 Akatazama chini kuelekea Sodoma na Gomora na kuelekea katika nchi yote bondeni. Akaona na tazama, moshi ulikuwauki ukienda juu kutoka chini kama moshi wa tanuru.
и погледна към Содом и Гомор и към цялата земя на равнината, и, ето видя, че дим, като дим от пещ, се издигаше от земята.
29 Wakati Mungu alipoharibu miji ya bondeni, Mungu akamkumbuka Abraham. Akamtoa Lutu kutoka katika maangamizi alipoangamiza miji ambayo katika hiyo Lutu aliishi.
И тъй, когато Бог разоряваше градовете на тая равнина, Бог си спомни за Авраама и изпрати Лота изсред разорението, когато разори градовете, дето живееше Лот.
30 Lakini Lutu akapanda juu kutoka Soari na kwenda kuishi katika milima akiwa pamoja na binti zake wawili, kwa sababu aliogopa kuishi Soari. Kwa hiyo akaishi pangoni, yeye na binti zake wawili.
А Лот излезе от Сигор и живееше в планината, и с него двете му дъщери, понеже се боеше да остане в Сигор; затова живееше в една пещера, той и двете му дъщери.
31 Yule wa kwanza akamwambia yule mdogo, “Baba yetu ni mzee, na hakuna mwanaume mahali popote wa kulala na sisi kulingana na desturi ya dunia yote.
Тогава по-старата рече на по-младата: Баща ни е стар, и няма мъж на земята да влезе при нас, според обичая на цялата земя.
32 Njoo na tumnyweshe baba yetu mvinyo na tulale naye ili kwamba tuendeleze uzao wa baba yetu.”
Ела, да упоим баща си с вино и да преспим с него, за да запазим потомството от баща си.
33 Kwa hiyo wakamnywesha baba yako mvinyo usiku ule. Kisha yule wa kwanza akaingia na akalala na baba yake; Baba yake hakujua ni wakati gani alikuja kulala, wala wakati alipo amka.
И тъй, оная нощ упоиха баща си с вино; и по-старата влезе та преспа с баща си; а той не усети, нито кога легна тя, нито кога влезе.
34 Siku iliyo fuata yule wa kwanza akamwambia mdogowake, “Sikiliza, usiku wa jana nililala na baba yangu. Na tumnyweshe mvinyo usiku wa leo pia, na uingie ukalale naye. Ili kwamba tuendeleze uzao wa baba yetu.”
На другия ден по-старата рече на по-младата: Виж, миналата нощ аз преспах с баща си; да го упоим с вино и тая нощ, та влез ти и преспи с него, за да запазим потомството от баща си.
35 Kwa hiyo wakamnywesha baba yao mvinyo usiku ule pia, na yule mdogo akaenda na akalala naye. Baba yake hakujua ni wakati gani alilala, wala wakati alipoamka.
И тъй, оная нощ упоиха баща си с вино, и по-младата влезе та преспа с него; а той не усети нито кога легна тя, нито кога стана.
36 Basi hao binti wote wawili wa Lutu wakapata mimba kwa baba yao.
Така и двете лотови дъщери зачнаха от баща си.
37 Wa kwanza akazaa mwana wa kiume, na akamwita jina lake Moabu. Akawa ndiye baba wa wamoabu hata leo.
И по-старата роди син и го наименува Моав; той е до днес отец на моавците.
38 Nayule mdogo naye akazaa mwana wa kiume, na akamwita Benami. Huyu ndiye baba wa watu wa Waamoni hata leo.
Роди и по-младата син и го наименува Бен-ами; той е и до днес отец на амонците.

< Mwanzo 19 >