< Ezekieli 9 >

1 Kisha akalia kwa sauti kubwa nikasikia kwenye masikio yangu, huku akisema, “Waache walinzi waje kwenye mji, kila mmoja na silaha yake ya uharibifu kwenye mkono wake.”
Then he called in mine ears with a loud voice, saying: 'Cause ye them that have charge over the city to draw near, every man with his destroying weapon in his hand.'
2 Kisha tazama! watu wanne watakuja kutokea njia ya lango la juu linaloelekea kaskazini, kila mmoja na silaha yake ya kuchinjia kwenye mkono wake. Kulikuwa na mtu mmoja miongoni mwao alikuwa amevaa nguo ya kitani pamoja na kifaa cha uandishi ubavuni mwake. Hivyo waliingia na kusimama karibu na madhabahu ya shaba.
And, behold, six men came from the way of the upper gate, which lieth toward the north, every man with his weapon of destruction in his hand; and one man in the midst of them clothed in linen, with a writer's inkhorn on his side. And they went in, and stood beside the brazen altar.
3 Kisha utukufu wa Mungu wa Israeli ukapanda juu kutoka kwa kerubi ambapo ilikuwa kwenye kisingiti cha nyumba. Akamwita yule mtu aliyekuwa amevaa nguo ya kitani na kifaa cha uandishi ubavuni mwake.
And the glory of the God of Israel was gone up from the cherub, whereupon it was, to the threshold of the house; and He called to the man clothed in linen, who had the writer's inkhorn on his side.
4 Yahwe akamwambia, “Pita kati ya mji-kati ya Yerusalemu-na weka alama katika vipaji vya uso vya wale waliolemewa na kuona kuhusu machukizo yote yanafanyika kati ya mji.”
And the LORD said unto him: 'Go through the midst of the city, through the midst of Jerusalem, and set a mark upon the foreheads of the men that sigh and that cry for all the abominations that are done in the midst thereof.'
5 Kisha akaongea na wengine kupitia kusikia kwangu, “Pita kwenye mji baada ya yeye na kuua. Msiache macho yenu yawe na huruma, na msiogope kuharibu
And to the others He said in my hearing: 'Go ye through the city after him, and smite; let not your eye spare, neither have ye pity;
6 iwe mzee, kijana, msichana, mtoto mdogo au wanawake. Waueni watu wote! Lakini msimkaribie mtu yeyote ambaye mwenye alama kwenye kichwa chake. Anzeni katika patakatifu pangu!” Hivyo wakaanza na wazee waliokuwa mbele ya nyumba.
slay utterly the old man, the young man and the maiden, and little children and women; but come not near any man upon whom is the mark; and begin at My sanctuary.' Then they began at the elders that were before the house.
7 Akawaambia, “Najisi nyumba, na kujaza zio zake kwa waliokufa. Endeleeni!” Hivyo wakaenda na kuushambulia mji.
And He said unto them: 'Defile the house, and fill the courts with the slain; go ye forth.' And they went forth, and smote in the city.
8 Walipokuwa wakiushambulia, nikajikuta mwenyewe na nikaangukia kwenye uso wangu na kulia kwa sauti na kusema, “Ee, Bwana Yahwe, utayaharibu mabaki yote ya Israeli wakati wa kumwaga ghadhabu yao juu ya Yerusalemu?”
And it came to pass, while they were smiting, and I was left, that I fell upon my face, and cried, and said: 'Ah Lord GOD! wilt Thou destroy all the residue of Israel in Thy pouring out of Thy fury upon Jerusalem?'
9 Akanambia, “Uovu wa nyumba ya Israeli na Yuda unaongezeka sana. Nchi imejaa damu na mji umejaa upotovu, tangu waliposema, 'Yahwe ameisahau nchi; na Yahwe haoni!'
Then said He unto me: 'The iniquity of the house of Israel and Judah is exceeding great, and the land is full of blood, and the city full of wresting of judgment; for they say: The LORD hath forsaken the land, and the LORD seeth not.
10 Hivyo kisha, macho yangu hataangalia kwa huruma, na sintoacha kuwaharibu. Badala yake nitaileta juu ya vichwa vyao.”
And as for Me also, Mine eye shall not spare, neither will I have pity, but I will bring their way upon their head.'
11 Tazama! yule mtu aliyekuwa amevaa nguo ya kitani aliyekuwa na kifaa cha uandishi kwa uapende wa ubavuni mwake. Alitoa taarifa na kusema, “Nimemaliza yale yote uliyoniamuru.”
And, behold, the man clothed in linen, who had the inkhorn on his side, reported, saying: 'I have done according to all that Thou hast commanded me.'

< Ezekieli 9 >