< Ezekieli 8 >

1 Hivyo ikawa kuhusu katika mwaka wa sita na mwezi wa sita, katika siku ya tano ya mwezi, nilipokuwa nimeketi kwenye nyumba yangu na wazee wa Yuda waliketi mbele yangu, kwamba mkono wa Bwana Yahwe ukanijaza juu yangu huko.
А в шестата година, в шестия месец, на петия ден от месеца, като седях в къщата си, и Юдовите старейшини седяха пред мене, ръката на Господа Иеова слетя там върху мене.
2 Hivyo nikaona, na tazama, kulikuwa na mfano kama mwonekano wa mwanadamu. Kutoka kwenye mwonekano wake wa nyonga kwenda chini kulikuwa na moto. Na kutoka kwenye nyonga kwenda juu kulikuwa na mwonekano wa kitu kinachong'aa, kama mng'ao wa chuma.
Погледнах, и ето подобие на глед като огън; от това, което се виждаше, че е кръстът му и надолу, огън; и от кръста му нагоре, наглед като сияние, като че ли беше светъл метал.
3 Kisha akanyoosha kutoka kwenye mkono na kunichukua kwa nywele za kichwa changu; Roho akaniacha juu kati ya dunia na mbingu, na katika maono kutoka kwa Mungu, akaniletea hata Yerusalemu, kwenye mlango wa kuingia ndani ya lango la kaskazini, ambako sanamu ile iletayo wivu mkubwa ilipokuwa imesiamama.
И Той простря подобие на ръка и ме хвана за космите на главата ми; и Духът ме издигна между земята и небето, и пренесе ме чрез Божии видения в Ерусалим, до входа на северната порта на вътрешния двор, гдето бе поставен възбудителят на ревността идол, който предизвиква ревнование.
4 Kisha tazama, utukufu wa Mungu wa Israeli ulikuwa huko, kulingana na ono nililokuwa nimeliona kwenye uwanda.
ето, славата на Израилевия Бог бе там, както във видението, което видях на полето.
5 Kisha akanambia, “Mwanadamu, inua juu macho yako kwenda upande wa kaskazini.” Hivyo nikainua macho yangu kuelekea kaskazini, na kwenye lango la kaskazini kulekea kwenye madhabahu, huko kwenye lango la kuingilia, kulikuwa na sanamu ya wivu.
Тогава ми рече: Сине човешки, подигни сега очите си към север. И тъй, повдигнах очите си към север, и, ето, на север от вратата, която води за олтара, при входа стоеше тоя възбудител на ревнивост идол.
6 Hivyo akanambia, “Mwanadamu, unaona wanayoyafanya? Haya ni machukizo makubwa ambayo nyumba ya Israeli wanayoyafanya hapa kunifanya niende mbali kutoka patakatifu pangu. Lakini utageuka na kuona machukizo makubwa zaidi.”
И рече ми: Сине човешки, видиш ли що правят тия? - големите мерзости, които Израилевият дом върши тук, та да се отдалеча от светилището Си? Но ще видиш още пак големи мерзости.
7 Kisha akanileta hata kwenye mlango wa uzio, na nikatazama, kulikuwa na shimo kwenye ukuta.”
И тъй, заведе ме до вратата на двора; и, като погледнах, ето една дупка в стената.
8 Akanambia, “Mwanadamu, chimba kwenye huu ukuta.” Basi nikachimba kwenye huo ukuta, na kulikuwa na mlango.
Тогава ми рече: Сине човешки, копай сега в стената. И като копах в стената, ето един вход.
9 Kisha akanambia, “Nenda na ukaone machukizo ya uovu ambayo wanayoyafanya hapa.”
И рече ми: Влез та виж нечестивите мерзости, които тия вършат тука.
10 Basi nilipokuwa nikienda ndani na nikaona, na tazama! Kulikuwa na kila umbo la vitu vikitembea polepole na mnyama achukizaye sana! Kila sanamu wa nyumba ya Israeli ilikuwa imechongwa kwenye ukuta pande zote.
Влязох прочее и погледнах; и ето всякакви подобия на гадове и гнусни животни, и всичките идоли на Израилевия дом, изобразени на стената от край до край.
11 Wazee sabini wa wa nyumba ya Israeli walikuwa huko, na Yaazania mwana wa Shafani alikuwa amesimama katikati yao. Walikuwa wamesimama mbele ya picha, na kila mtu alikuwa na chetezo kwenye mkono wake ili kwamba harufu ya ubani ingeweza kupanda juu.
И пред тях стоеха седемдесет мъже от старейшините на Израилевия дом, всред които стоеше Яазания Сафановия син, всеки с кадилницата си в ръката си; и гъст облак темян се издигаше.
12 Akanambia, “mwanadamu, unaona kile ambacho wazee wa nyumba ya Israeli wanachokifanya kwenye giza? Kila mmoja hufanya hivi kwenye chumba cha sanamu yake, kwa kuwa husema, 'Yahwe hatuone! Yahwe ameitelekeza hii nchi.”'
Тогава ми рече: Сине човешки, видя ли що правят в тъмнината старейшините на Израилевия дом, всички в скришните стаи за изображения? защото си казват: Господ не ни вижда; Господ е напуснал земята.
13 Kisha akanambia, “Geuka tena na tazama machukizo makubwa ambayo wanayoyafanya.”
Рече ми още: Ще видиш още пак големи мерзости, които вършат.
14 Tena akanileta kwenye lango la kuingia la nyumba ya Yahwe lililokuwa upande waa kaskazini, na tazama! Wanawake walikuwa wameketi huko wakimlilia Tamuzi.
Тогава ме заведе до входа на северната порта на Господния дом; и, ето, там седяха жени та оплакваха Тамуза.
15 Hivyo akanambia, “Umeiona hii, mwanadamu? Geuka tena na uone machukizo makubwana zaidi kuliko hayo.”
И рече ми: Видя ли, сине човешки? Ще видиш още пак и по-големи мерзости от тия.
16 Akanileta hata kwenye uzio wa ndani wa nyumba ya Yahwe, na tazama! huko kwenye lango la kuingia kwenye madhabahu, kulikuwa na takribani watu ishirini na tano waliokuwa wamelipa mgongo hekalu la Yahwe na nyuso zao kuelekea mashariki, na walikuwa wakiabudu jua.
И въведе ме във вътрешния двор на Господния дом; и, ето, във входа на Господния храм, между предхрамието и олтара, около двадесет и пет мъже, с гърбовете си към Господния храм, и с лицата си към изток, които се кланяха на слънцето към изток.
17 Akanambia, “Unaona hii, mwanadamu? Je ni kitu kidigo kwa ajili ya nyumba ya Yuda kufanya haya machukizo wanayoyafanya? Kwa kuwa wameijaza nchi kwa uovu na wamerudi tena ili kuniletea hasira, kuweka tawi kwenye pua zao.
Тогава ми рече: Видя ли, сине човешки? Малко ли е за Юдовия дом дето вършат мерзости, каквито тия вършат тука? Защото като напълниха земята с насилия, пак предизвикват гнева Ми; и, ето, турят клончето до ноздрите си.
18 Hivyo nitatenda miongoni mwao pia; jicho langu halitakuwa na huruma, sitaacha kuwaharibu. hata watalia kwenye masikio yangu kwa sauti kubwa, sitawasikia.”
Затова и аз ще действувам с ярост; окото Ми няма да пощади, нито ще покажа милост; и макар да извикат в ушите Ми с висок глас, няма да ги послушам.

< Ezekieli 8 >