< Ezekieli 7 >

1 Neno la Yahwe likanijia, likisema,
و کلام خداوند بر من نازل شده، گفت:۱
2 Wewe, mwanadamu-Bwana Yahwe asema hivi kwa nchi ya Israeli.”'Mwisho! Mwisho umekuja kwenye mipaka minne ya nchi.
«وتو‌ای پسر انسان (بگو): خداوند یهوه به زمین اسرائیل چنین می‌گوید: انتهایی بر چهارگوشه زمین انتها رسیده است.۲
3 Sasa mwisho uko juu yako, kwa kuwa natuma ghadhabu yangu juu yako, nitakuhukumu kulingana na njia zako; nitaleta machukizo yako yote juu yako.
الان انتها بر تورسیده است و من خشم خود را بر تو واردآورده‌ام و بر وفق راههایت ترا داوری نموده، تمامی رجاساتت را بر تو خواهم نهاد.۳
4 Kwa kuwa macho yangu hayatakuhurumia, na sitakuharibu. Badala yake, nitaleta njia zako zote juu yako, na machukizo yako yote yatakuwa katikati yako, hivyo utajua kwamba mimi ni Yahwe.
و چشم من برتو شفقت نخواهد کرد و رحمت نخواهم فرمود بلکه راههای تو را بر تو خواهم نهاد ورجاسات تو در میانت خواهد بود. پس خواهی دانست که من یهوه هستم.»۴
5 Bwana Yahwe asema hivi: Msiba! Msiba wa pekee! Tazama, unakuja.
خداوند یهوه چنین می‌گوید: «بلا هان بلای واحد می‌آید!۵
6 Mwisho unakuja hakika. Mwisho umeamsha dhidi yenu. Tazama! unakuja!
انتهایی می‌آید، انتهایی می‌آید وبه ضد تو بیدار شده است. هان می‌آید.۶
7 Kifo chako kinakuja kwako ukaaye kwenye nchi. Mda umefika; siku ya uharibifu iko karibu, na milima haitakuwa na shangwe tena.
‌ای ساکن زمین اجل تو بر تو می‌آید. وقت معین می‌آید و آن روز نزدیک است. روز هنگامه خواهد شد و نه روز آواز شادمانی بر کوهها.۷
8 Sasa baada ya mda mfupi nitamwaga dhahabu yangu juu yako na kujaza hasira yangu juu yako wakati nitakapokuhukumu kulingana na njia zako na kuleta machukizo yako yote juu yako.
الان عنقریب غضب خود را بر تو خواهم ریخت و خشم خویش را بر تو به اتمام رسانیده، تو را موافق راههایت داوری خواهم نمود و جمیع رجاساتت را بر تو خواهم نهاد.۸
9 Kwa kuwa jicho langu halitaona kwa huruma, sitakuharibu, kama ulivyofanya, nitafanya kwako; na machukizo yako yatakuwa katikati yako hivyo utajua kwamba ni mimi Yahwe, anayekuadhibu.
و چشم من شفقت نخواهدکرد و رحمت نخواهم فرمود، بلکه مکافات راههایت را به تو خواهم رسانید و رجاسات تو درمیانت خواهد بود و خواهید دانست که زننده تو من یهوه هستم.۹
10 Tazama, siku! Tazama, inakuja! Kifo kimetoka! fimbo ya kuadhibia imechanua, kiburi kimechipua!
اینک آنروز هان می‌آید! اجل تو بیرون آمده و عصا شکوفه آورده و تکبر، گل کرده است.۱۰
11 Udhalimu umekua kwenye fimbo ya udhaifu-hakuna kati yao, na hakuna katika ya kundi lao, hakuna katika utajiri wao, na hakuna wa muhimu wao atakaye baki!
ظلم عصای شرارت گشته است. ازایشان و از جمعیت ایشان و از ازدحام ایشان چیزی باقی نیست و در میان ایشان حشمتی نمانده است.۱۱
12 Muda unakuja; siku imekaribia. Usimuache anayenunua shangwe, wala asihuzunike auzaye, kwa kuwa hasira yangu iko juu ya kikundi kizima!
وقت می‌آید و آنروز نزدیک است. پس مشتری شادی نکند و فروشنده ماتم نگیرد، زیرا که خشم بر تمامی جمعیت ایشان قرار گرفته است.۱۲
13 Kwa kuwa muuzaji hatarudia kile kilichouzwa, kadiri wanapoendelea kuishi, kwa kuwa maono yako juu yako kikundi kizima. Hawatarudi, kwa kuwa hakuna mtu anayeishi kwenye dhambi atakayejitia nguvu!
زیرا که فروشندگان اگر‌چه در میان زندگان زنده مانند، به آنچه فروخته باشندنخواهند برگشت، چونکه غضب بر تمامی جمعیت ایشان قرار گرفته است. ایشان نخواهندبرگشت و هیچکس به گناه خویش زندگی خود راتقویت نخواهد داد.۱۳
14 Wamepiga tarumbeta na kufanya kila kitu tayari, lakini hakuna mtu anayeenda kupigana; kwa kuwa hasira yangu iko juu ya kundi zima.
کرنا را نواخته و همه‌چیزرا مهیا ساخته‌اند، اما کسی به جنگ نمی رود. زیراکه غضب من بر تمامی جمعیت ایشان قرار گرفته است.۱۴
15 Upanga uko nje, na tauni na njaa viko nje kwenye jengo. Wale walioko shambani watakufa kwa upanga, wakati njaa na tauni zitakapowala wale waliopo kwenye mji.
شمشیر در بیرون است و وبا و قحط دراندرون. آنکه در صحرا است به شمشیر می‌میرد وآنکه در شهر است قحط و وبا او را هلاک می‌سازد.۱۵
16 Lakini watakao salia watatoroka kutoka miongoni mwao, na watakwenda kwenye milima. Kama hua wa mabondeni, wote watalia-kila mtu kwa ajili ya uovu wake.
و رستگاران ایشان فرار می‌کنند ومثل فاخته های دره‌ها بر کوهها می‌باشند. و هرکدام از ایشان به‌سبب گناه خود ناله می‌کنند.۱۶
17 Kila mkono utasita na kila goti litakuwa dhaifu kama maji, na watavaa nguo za magunia, na hofu kuu itawafunika,
همه دستها سست شده و جمیع زانوها مثل آب بیتاب گردیده است.۱۷
18 na aibu itakuwa juu ya kila uso, na upara juu ya vichwa vyao vyote.
و پلاس در برمی کنند و وحشت ایشان را می‌پوشاند و بر همه چهره‌ها خجلت و بر جمیع سرها گری می‌باشد.۱۸
19 Watatupa fedha yao kwenye mitaa na dhahabu yao itakuwa kama jalala. Fedha yao na dhahabu yao haitaweza kuwaokoa katika siku ya ghadhabu ya Yahwe. Maisha yao hayataokolewa, na njaa yao haitashiba, kwa sababu uovu wao umekuwa kizuizi.
نقره خود را در کوچه‌ها می‌ریزند و طلای ایشان مثل چیز نجس می‌باشد. نقره و طلای ایشان در روز غضب خداوند ایشان را نتواندرهانید. جانهای خود را سیر نمی کنند و بطنهای خویش را پر نمی سازند زیرا گناه ایشان سنگ مصادم آنها شده است.۱۹
20 Kwenye fahari yao walichukua kito yake nzuri za mapambo, pamoja nao wakatengeza sanamu zao za vinyago, na vitu vyao vichukizavyo. Kwa hiyo, nayabadilisha haya kuwa kitu najisi kwao.
«و او زیبایی زینت خود را در کبریایی قرارداده بود، اما ایشان بتهای مکروهات و رجاسات خویش را در آن ساختند. بنابراین آن را برای ایشان مثل چیز نجس خواهم گردانید.۲۰
21 Kisha nitawapatia hivyo vitu kwenye mikono ya wageni kama mateka na kwa waovu wa dunia kama mateka, na watapanajisi.
و آن رابه‌دست غریبان به تاراج و به شریران جهان به غارت خواهم داد و آن را بی‌عصمت خواهندساخت.۲۱
22 Kisha nitaugeuza uso wangu mbali kutoka kwao watakapo najisi mahali pangu pa siri; maharamia wataingia humo na kupanajisi.
و روی خود را از ایشان خواهم برگردانید و مکان مستور مرا بی‌عصمت خواهندنمود و ظالمان داخل آن شده، آن را بی‌عصمت خواهند ساخت.۲۲
23 Tengeneza mnyororo, kwa sababu nchi imejaa hukumu ya damu, na mji umejaa udhalimu.
زنجیر را بساز، زیرا که زمین از جرمهای خونریزی پر است و شهر از ظلم مملو.۲۳
24 Hivyo nitaleta waovu wengi wa mataifa, na watamilki nyumba zao, na nitaleta mwisho kwenye fahari ya uweza, kwenda mahali pao patakatifu patanajisiwa!
و اشرار امت‌ها را خواهم آورد و درخانه های ایشان تصرف خواهند نمود و تکبرزورآوران را زایل خواهم ساخت و آنهامکان های مقدس ایشان را بی‌عصمت خواهندنمود.۲۴
25 Hofu itakuja! Wataitafuta amani, lakini haitakuwepo.
هلاکت می‌آید و سلامتی را خواهندطلبید، اما یافت نخواهد شد.۲۵
26 Majanga juu ya majanga yatakuja juu yangu, na kutakuwa na tetesi juu ya tetesi. Kisha watatafuta ono moja kutoka kwa nabii, lakini sheria itawaangamiza kutoka kwa kuhani na shauri kutoka kwa wazee.
مصیبت برمصیبت می‌آید و آوازه بر آوازه مسموع می‌شود. رویا از نبی می‌طلبند، اما شریعت از کاهنان ومشورت از مشایخ نابود شده است.۲۶
27 Mfalme ataomboleza na mwana wa mfalme atakata tamaa, wakati mikono ya watu wa nchi itatetemeka kwa hofu. Kulingana na njia zao wenyewe nitafanya hivi kwao! Nitawahukumu sawa sawa na wanavyostahili hadi watakapojua yakwamba mimi ni Yahwe.'”
پادشاه ماتم می‌گیرد و رئیس به حیرت ملبس می‌شود ودستهای اهل زمین می‌لرزد. و موافق راههای ایشان با ایشان عمل خواهم نمود و بر وفق استحقاق ایشان ایشان را داوری خواهم نمود. پس خواهند دانست که من یهوه هستم؟۲۷

< Ezekieli 7 >