< Ezekieli 31 >

1 Kisha ikawa katika mwaka wa kumi na moja, katika mwezi wa tatu, siku ya kwanza ya mwezi, lile neno la Yahwe likanijia, kusema,
و در روز اول ماه سوم از سال یازدهم، کلام خداوند بر من نازل شده، گفت:۱
2 “Mwanadamu, mwambie Farao, mfalme wa Misri, na watu wake wanaomzunguka, 'Katika ukuu wako, je! wewe ni kama nani?
«ای پسر انسان به فرعون پادشاه مصر و به جمعیت او بگو: کیست که در بزرگیت به اوشباهت داری؟۲
3 Tazama! Ashuru ilikuwa mwerezi katika Lebanoni pamoja na matawi mazuri, yakitoa kivuli kwenye msitu, na mirefu katika kimo, na matawi yalitengeneza kilele cha mti wake.
اینک آشور سرو آزاد لبنان باشاخه های جمیل و برگهای سایه‌گستر و قد بلندمی بود و سر او به ابرها می‌بود.۳
4 Maji mengi yaliufanya kuwa mrefu; maji ya chini yaliufanya kuwa mkuba. Mito ilitiririka sehemu zake zote, kwa kuwa mifereji yake ilitoa kuelekea kwenye miti yote katika shamba.
آبها او را نمو داد. و لجه او را بلند ساخت که نهرهای آنها بهر طرف بوستان آن جاری می‌شد و جویهای خویش رابطرف همه درختان صحرا روان می‌ساخت.۴
5 Kimo chake kikubwa kilikuwa zaidi kuliko miti mingine yote katika shamba, na matawi yake yakawa mengi; matawi yake yalikuwa marefu kwa sababu ya maji mengi yalipokuwa yakikua.
ازاین جهت قد او از جمیع درختان صحرا بلندترشده، شاخه هایش زیاده گردید و اغصان خود رانمو داده، آنها از کثرت آبها بلند شد.۵
6 Kila ndege wa mbinguni alitengeza kiota kwenye matawi yake, wakati kila kiumbe hai cha shamba kilizaa mtoto chini ya tawi. Mataifa mengi yote yaliishi chini ya kivuli chake.
و همه مرغان هوا در شاخه هایش آشیانه ساختند. وتمامی حیوانات صحرا زیر اغصانش بچه آوردند. و جمیع امت های عظیم در سایه‌اش سکنی گرفتند.۶
7 Kwa kuwa ulikuwa uzuri katika ukuu wake na kimo cha matawi yake, kwa kuwa mizizi yake ilikuwa katika maji mengi.
پس در بزرگی خود و در درازی شاخه های خویش خوشنما شد چونکه ریشه‌اش نزد آبهای بسیار بود.۷
8 Mierezi katika bustani ya Mungu haikuweza kuwa sawa nayo. Hakuna miongoni mwa miti ya mivinje iliyofanana matawi yake, na miti ya miamori haikuweza kuwa sawa na majani yake. Hapakuwa na mti mwingine katika bustani ya Mungu ulikuwa kama huo katika uzuri wake.
سروهای آزاد باغ خدا آن را نتوانست پنهان کرد. و صنوبرها به شاخه هایش مشابهت نداشت. و چنارها مثل اغصانش نبودبلکه هیچ درخت در باغ خدا به زیبایی او مشابه نبود.۸
9 Nimeufanya kuwa mzuri pamoja na matawi yake mengi na miti yote ya Edeni iliyokuwa katika bustani ya Mungu ilimwonea wivu.
من او را به کثرت شاخه هایش به حدی زیبایی دادم که همه درختان عدن که در باغ خدابود بر او حسد بردند.»۹
10 Kwa hiyo Bwana Yahwe asema hivi: Kwa sababu ilikuwa mirefu kwa kina, na imekiweka kilele chake kati ya matawi yake, moyo wake umeinua kwa sababu ya urefu wake.
بنابراین خداوند یهوه چنین می‌فرماید: «چونکه قد تو بلند شده است، و او سر خود را درمیان ابرها برافراشته و دلش از بلندیش مغرورگردیده است،۱۰
11 Nimeuweka kwenye mikono ya yeye mwenye uweza wa mataifa, kuishughulikia kulingana na yale maovu anayostahili. Nimeufukuza.
از این جهت من او را به‌دست قوی ترین (پادشاه ) امت‌ها تسلیم خواهم نمود واو آنچه را که می‌باید به وی خواهد کرد. و من او رابه‌سبب شرارتش بیرون خواهم‌انداخت.۱۱
12 Wageni waliokuwa wakiogofya wa mataifa yote wameikatilia mbali kuiacha ife. Matawi yake yameanguka kwenye milima na mabonde yote, na matawi yake yameanguka katika mito yote ya nchi. Kisha mataifa yote juu ya nchi wakatoka nje kutoka chini ya kivuli na kwenda zao wakamwacha.
وغریبان یعنی ستمکیشان امت‌ها او را منقطع ساخته، ترک خواهند نمود. و شاخه هایش برکوهها و در جمیع دره‌ها خواهد افتاد و اغصان اونزد همه وادیهای زمین شکسته خواهد شد. وجمیع قوم های زمین از زیر سایه او فرود آمده، اورا ترک خواهند نمود.۱۲
13 Ndege wa agani watapumzika kwenye shina la mti ulioanguka, na kila mnyama wa shambani atakuja kwenye matawi yake.
و همه مرغان هوا بر تنه افتاده او آشیانه گرفته، تمامی حیوانات صحرا برشاخه هایش ساکن خواهند شد.۱۳
14 Hii litokea ili kwamba pasiwe na miti mingine itakayopandwa karibu na maji yatang'oa majani yake hata kwenye kina cha miti mirefu, na kwamba hakuna miti mingine itakayomea karibu na maji itakayofikia kwenye hicho kina. Wote wametolewa kufa, chini ya nchi, miongoni mwa watoto wa binadamu, pamoja na wale washukao chini.
تا آنکه هیچکدام از درختانی که نزد آبها می‌باشند قدخود را بلند نکنند و سرهای خود را در میان ابرهابرنیفرازند. و زورآوران آنها از همگانی که سیراب می‌باشند، در بلندی خود نایستند. زیرا که جمیع آنها در اسفلهای زمین در میان پسران انسانی که به هاویه فرود می‌روند به مرگ تسلیم شده‌اند.»۱۴
15 Bwana Yahwe asema hivi: Katika siku wakati mkangazi uliposhuka chini nilileta maombolezo kwenye dunia. Niliyafunika maji ya chini juu yake, nikayarudisha maji ya bahari. Nilizuia maji makuu, nikaleta maombolezo hata Lebanoni kwa ajili yake. Hivyo miti yote ya shambani ikaomboleza kwa sababu yake. (Sheol h7585)
و خداوند یهوه چنین می‌گوید: «در روزی که او به عالم اموات فرود می‌رود، من ماتمی برپامی نمایم و لجه را برای وی پوشانیده، نهرهایش را باز خواهم داشت. و آبهای عظیم باز داشته خواهد شد و لبنان را برای وی سوگوار خواهم کرد. و جمیع درختان صحرا برایش ماتم خواهندگرفت. (Sheol h7585)۱۵
16 Nimeleta tetemeko kwa mataifa wa sauti ya kuanguka kwake, wakati nitakapomtupa chini mpaka kuzimu pamoja na wale walioenda chini kwenye shimo. Hivyo niliitia moyo miti ya Edeni yote katika pande zote za nchi. Hii ilikuwa imechaguliwa na miti iliyokuwa bora ya Lenanoni; miti iliyokunywa maji. (Sheol h7585)
و چون او را با آنانی که به هاویه فرودمی روند به عالم اموات فرود آورم، آنگاه امت هارا از صدای انهدامش متزلزل خواهم ساخت. وجمیع درختان عدن یعنی برگزیده و نیکوترین لبنان از همگانی که سیراب می‌شوند، در اسفلهای زمین تسلی خواهند یافت. (Sheol h7585)۱۶
17 Kwa kuwa walikwenda chini pia pamoja nayo hata kuzimu, kwa wale waliokuwa wameuawa kwa upanga. Kulikuwa na jeshi lake imara, yale mataifa yalikuwa yakiishi kati kivuli chake. (Sheol h7585)
و ایشان نیز بامقتولان شمشیر و انصارش که در میان امت‌ها زیرسایه او ساکن می‌بودند، همراه وی به عالم اموات فرود خواهند رفت. (Sheol h7585)۱۷
18 Umefanana na nani hivi katika utukufu na ukuu kati ya mti wa Edeni? Kwa kuwa utashushwa chini pamoja na miti ya Edeni hata pande zote nne za dunia miongoni mwa wasiotahiriwa; utaishi pamoja na watu wake wote-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavy.”
به کدام‌یک از درختان عدن در جلال و عظمت چنین شباهت داشتی؟ اما با درختان عدن به اسفلهای زمین تو را فرودخواهند‌آورد و در میان نامختونان با مقتولان شمشیر خواهی خوابید. خداوند یهوه می‌گویدکه فرعون و تمامی جماعتش این است.»۱۸

< Ezekieli 31 >