< Ezekieli 46 >

1 Bwana Yahwe asema hivi: Lango la uzio wa ndani, linaloelekea mashariki, litafungwa kwa mda wa siku sita za kazi, lakini katika siku za Sabato litakuwa wazi, na katika siku ya mwezi mpya litafunguliwa.
Ka Boeipa Yahovah loh he a thui. Khothoeng la aka mael khuiben vongup vongka bibi nah hnin rhuk khuiah khai saeh. Tedae Sabbath hnin ah ong saeh lamtah hlasae hnin ah khaw ong saeh.
2 Mwana wa mfalme ataingia kwa kutumia lango la njia ya nyuma ya varanda upande wa nje, na atasimama mbele ya muhimili wa mwimo wa lango la ndani wakati makuhani wakiwa wakitengeza sadaka ya kuteketezwa na sadaka ya amani. Kisha ataabudu kwenye kizingiti cha lango la ndani na kutoka nje, lakini lango halitakuwa linafungwa hadi jioni.
Khoboei te poengben lamloh vongka ngalha longpuei ah khun saeh lamtah vongka rhungsut ah pai saeh. A hmueihhlutnah neh anih kah rhoepnah hmueih te khosoih rhoek loh nawn uh saeh. Te phoeiah vongka thohkong ah thothueng saeh lamtah nong saeh. Tedae vongka te kholaeh duela khai boel saeh.
3 Watu wa nchi pia wataabudu mbele ya Yahwe kwenye hili lango la kuingilia katika siku ya Sabato na siku mpya za mwezi.
Te phoeiah vongka thohka kah khohmuen pilnam long khaw Sabbath neh hlasae ah tah BOEIPA mikhmuh ah thothueng saeh.
4 Sadaka ya kuteketezwa ambayo mwana wa mfalme aitoayo kwa Yahwe katika siku ya Sabato itakuwa wanakondoo sita wasiokuwa na dosari na kondoo dume asiyekuwa na dosari.
Sabbath hnin ah tah BOEIPA taengkah hmueihhlutnah ham khoboei loh tuca hmabut parhuk neh tutal hmabut te khuen saeh.
5 Sadaka ya unga pamoja na kondoo dume itakuwa efa moja, na sadaka ya unga pamoja na wanakondoo kiasi awezacho kutoa, na hini moja ya mafuta pamoja na kila efa ya unga.
Tutal nen tah khocang cangnoek pakhat saeh lamtah tuca nen tah khocang amah kut kah kutdoe yet mai saeh, situi bunang khat neh cangnoek pakhat saeh.
6 Katika siku ya mwezi mpya atatoa ng'ombe mchanga asiyekuwa na dosari kutoka kuchungwa, wanakondoo sita, na kondoo asyekuwa na dosari.
Hlasae hnin kah ham te saelhung ca khuikah vaito khaw hmabut saeh lamtah tuca parhuk neh tutal khaw hmabut la om saeh.
7 Atatengeneza sadaka ya unga ya efa moja kwa ajili ya ng'ombe na efa moja kwa ajili ya kondoo, na kwa kiasi awezacho kukitoa kwa ajili ya wanakondoo, na hini ya mafuta kwa kila efa ya unga.
Khocang te vaito nen tah cangnoek pakhat, tutal nen tah cangnoek pakhat khueh saeh. Tedae tuca nen tah a kut naep bangla om mai saeh lamtah cangnoek pakhat dongah situi bunang khat nawn saeh.
8 Wakati mwana wa mfalme atakapokuwa anaingia kwa njia ya lango lenye varanda, ataondoka kwa njia hiyo hiyo.
Khoboei a kun vaengah vongka kah ngalha long kun saeh lamtah amah long ah ha pawk saeh.
9 Lakini wakati watu wa nchi watakakuja kwa Yahwe katika sikukuu zilizoteuliwa, kila mmoja kuingia kupitia kwenye lango la kaskazini kuabudu ataondoka kupitia lango la kusini; na kila atakayeingillia kupitia lango la kusini atatoka kupitia lango la kaskazini. Hakuna atakayerudia kwa lile lango aliloingilia, kwa kuwa atatoka nje moja kwa moja.
Khohmuen pilnam loh khoning vaengah BOEIPA mikhmuh ah a mop vaengah khaw thothueng ham te tlangpuei vongka long kun saeh lamtah tuithim vongka long la pawk saeh. Tuithim vongka long a kun te tlangpuei vongka long la pawk saeh. A kun nah vongka long ah mael boel saeh. Tedae a khatben lamloh cet rhoe cet saeh.
10 Mwana wa mfalme atakuwa kati yao; watakapoingia, ataingia ndani, na watakapoondoka, atatoka nao.
Amih khui kah khoboei khaw amih a kun vaengah kun saeh lamtah amih ha pawk vaengah ha pawk van saeh.
11 Kwenye sikukuu hizo, sadaka ya unga itakuwa efa moja ya unga kwa ng'ombe mmoja na efa moja kwa kondoo dume, na chochote atakacho kitoa pamoja na wanakondoo, na hini moja ya mafuta kwa kila efa.
Khotue vaengah khaw, tingtunnah dongah khaw khocang te vaito pumkhat ah cangnoek pakhat, tutal pakhat ah cangnoek pakhat nawn saeh. Tedae tuca nen tah a kut dongkah kutdoe rhoeh saeh lamtah cangnoek pakhat situi bunang khat saeh.
12 Wakati mwana wa mfalme atakapotoa sadaka atakayojisikia kutoa, labda sadaka ya kuteketezwa au sadaka ya amani kwa Yahwe, lango la kuelekea mashariki litafunguliwa kwa ajili yake. Atatoa sadaka yake ya kuteketezwa au sadaka ya amani kama afanyavyo siku ya Sabato. Kisha atatoka nje, na baada ya kutoka lango litafungwa.
Khoboei loh BOEIPA taengah hmueihhlutnah te kothoh neh, rhoepnah khaw kothoh saii saeh. Te vaengah anih ham khothoeng la aka mael vongka te ong pah saeh lamtah a hmueihhlutnah neh anih kah rhoepnah te Sabbath hnin kah a saii bangla saii saeh. Te phoeiah nong saeh lamtah anih ha pawk hnuk ah vongka te khai saeh.
13 Kwa kuongeza, utatoa mwanakondoo asiyekuwa na dosari mwenye umri wa mwaka mmoja kama sadaka ya kuteketezwa kwa Yahwe kila siku; utafanya hivi kila asubuhi.
Te vaengah tuca kumkhat ca a hmabut te hmueihhlutnah ham BOEIPA taengah hnin takuem saii saeh. Mincang, mincang ah te te saii pah.
14 Utatoa sadaka ya unga pamoja nayo kila asubuhi, efa sita na sehemu ya tatu ya hini ya mafuta kuchanganya na sadaka ya unga kwa ajili ya Yahwe, kulingana na sheria ilivyo.
Khocang khaw te nen te mincang, mincang ah na nawn ni. Khocang vaidam ham te cangnoek parhuk ah pakhat neh situi bunang pathum ah pakhat neh sul saeh lamtah BOEIPA taengkah kumhal khosing la phat om saeh.
15 Watandaa mwanakondoo, sadaka ya kuteketezwa, na mafuta kila asubuhi, sadaka ya kuteketezwa ya kudumu.
Te dongah tuca neh khocang neh situi te tah mincang, mincang kah hmueihhlutnah la hmoel rhoe hmoel uh taitu saeh.
16 Bwana Yahwe asema hivi: Kama mwana wa mfalme akitoa zawadi kwa mmoja wa watoto wake, imekuwa urithi wake. Itakuwa mali ya mtoto wake, imekuwa urithi.
Ka Boeipa Yahovah loh he ni a thui. Khoboei loh a rho te a ca rhoek khui kah hlang pakhat ham kutdoe la a paek coeng atah rho te a ca rhoek ham khohut la om ni.
17 Lakini kama akimpatia zawadi kutoka urithi wake kwa mmoja wa watumishi wake, kisha itakuwa ya huyo mtumishi mpaka mwaka wa uhuru, na kisha itarudi kwa mwana wa mfalme. Urithi wake yamkini ukawa kwa ajili ya watoto wake.
Tedae a rho te a sal pakhat ham kutdoe la a paek atah sayalhnah kum hil mah anih taengah om saeh. Te phoeiah tah khoboei taengla mael saeh lamtah a rho te amah ca rhoek taengah om saeh.
18 Mwana wa mfalme hatawaondolea urithi wa watu kutoka kwenye mali zao wenyewe; ataandaa kwa ajili ya watoto wake mali ili kwamba watu wangu wasitawanyike, kila mtu kutoka mali kwenye yake mwenyewe.”
Khoboei loh pilnam te amamih kah khohut lamloh vuelvaek tih rho te loh pah boel saeh. Amah khohut lamkah mah a ca rhoek te phaeng saeh. Te daengah ni ka pilnam he hlang khat khaw amah khohut dongah a taek a yak uh pawt eh.
19 Kisha yule mtu akaniletea kwenye lango la kutokea hata kwenye vyumba vitakatifu kwa ajili ya makuhani, vilivyokuwa vimeelekea kaskazini na tazama! Kulikuwa na sehemu mbele magharibi.
Te phoeiah kai te vongka hlaep kah khuirhai lamloh tlangpuei la aka mael, khosoih kah hmuencim imkhan la n'khuen. Te vaengah a hmuen te khotlak a bawt, a bawt ah pahoi om coeng ne.
20 Akanambia, “Hii ndio sehemu ambayo makuhani watakapo chemshia sadaka ya hatia na sadaka ya dhambi na walipookea sadaka ya unga. Wasilete sadaka nje ya uzio, kwa kuwa watu watatakaswa.”
Te phoeiah kai taengah, “He hmuen ah khosoih rhoek loh hmaithennah neh boirhaem khaw pahoi thong uh saeh lamtah khocang khaw te ah te kaeng uh saeh. Pilnam ciim ham vaengah tah poengben kah vongup la hang khuen boel saeh,” a ti.
21 Kisha akanileta kwenye uzio wa nje akaniongoza kuzunguka pembe nne za uzio, nikaona kwamba katika kila pembe ya uzio kulikuwa na uwanja.
Te phoeiah kai te poengben vongup la n'khuen tih vongup kah imki pali te kai m'paan puei. Vongup kah imki ah vongtung pakhat, vongup pakhat imki dongah vongtung pakhat lawt ana om.
22 Katika hizo pembe nne za nje ya uzio kulikuwa na nzio nne ndogo, dhiraa arobaini urefu na thelathini upana. Ukubwa ule ule kwa nzio zote nne.
Vongtung sokah vongtung imki te pali la sisuk uh. A yun sawmli neh a daang sawmthum lo tih a hmuidong pali te cungnueh pakhat la cet.
23 Kulikuwa na safu zilizokuwa zimetengenezwa kwa mawe kuzizunguka zote nne, na meko ya kupikia ilikuwa chini ya safu ya jiwe.
A kaep, kaep ah a tlaang pali la om tih lumim kaepvai kah a kungdak ah hmaikolhmuen a saii.
24 Yule mtu akanambia, “Hizi ndizo sehemu ambazo watumishi watachemshia dhabihu za watu.”
Te vaengah kai taengah, “He rhoek buh thong im ni. Im kah aka thotat rhoek loh pilnam kah hmueih te thong nah saeh,” a ti.

< Ezekieli 46 >