< Ezekieli 45 >

1 Wakati mtakapogawanya nchi kama urithi, mtafanya sadakwa kwa Yahwe; sadaka hiyo itakuwa sehemu takatifu ya nchi, dhiraa elfu ishirini na tano urefu, na dhiraa elfu kumi upana. Patakuwa patakatifu, ndani ya mipaka yake yote.
Khohmuen te rho la na naan uh vaengah BOEIPA te khosaa neh na pomsang ni. Khohmuen te a yun thawng kul thawng nga sen tih a daang thawng rha te hmuencim la hoep lamtah a kaepvai kah a rhi khaw boeih ah cimcaihnah om saeh.
2 Kutoka hapa kutakuwa na dhiraa mia tano kwa dhiraa mia tano za mraba kuzunguka mahali patakatifu, kwa kuuzunguka mpaka dhiraa hamsini upana.
Hmuencim ham he ya nga, ya nga ah hniboeng bangla om saeh. A kaep, kaep ah dong sawmnga te khocaak la om saeh.
3 Kutoka hili eneo utapima fungu ambalo ni dhiraa elfu ishirini na tano urefu na elfu kumi upana; patakuwa patakatifu; mahali patakatifu palipo tukuka.
Te tlam cungnueh nen a yun thawng kul thawng nga, panga neh a daang thawng rha nueh lamtah a khui te hmuencim kah hmuencim rhokso la om saeh.
4 Patakuwa patakatifu katika nchi kwa ajili ya makuhani wanaomtumikia Yahwe, ajaye kwa Yahwe kumtumikia. Patakuwa mahali kwa ajili ya nyumba na eneo takatifu kwa ajili mahali patakatifu.
Khohmuen lamkah hmuencim te BOEIPA taengah thohtat ham aka paan tih rhokso kah aka thotat khosoih rhoek ham om saeh. Amih ham im neh rhokso kah rhokso hmuen la om saeh.
5 Hivyo itakuwa dhiraa elfu ishirini na tano urefu na elfu kumi upana, patakuwa kwa ajili ya miji ya Walawi wanaotumika kwenye nyumba.
Te vaengah thawng kul thawng nga te a yun saeh lamtah thawng rha te a daang la om saeh. Te vaengah im kah aka thotat, amih Levi rhoek ham te khohut la imkhan pakul om pah saeh.
6 Mtadhihirisha eneo moja kwa ajili ya mji, dhiraa elfu tano na urefu ishirini na tano, hapo patakuwa kando kando ya eneo lililohifadhiwa kwa ajili ya mahali patakatifu; huu mji utakuwa wa mali ya nyumba yote ya Israeli.
Khopuei kah khohut te a daang thawng nga neh a yun thawng kul nga te voeivang ah hoep pah. Te te Israel imkhui pum ham khosaa hmuencim la om saeh.
7 Nchi ya mwana mfalme itakuwa kwa pande zote za eneo lililohifadhiwa kwa ajili ya mahali patakatifu na mji. Patakuwa kwa upande wao wa magaharibi na upande wa mashariki. Urefu utalingana na urefu wa moja ya hayo mafungu, kutoka magaribi hata mashariki.
Hmuencim khosaa kah a kaep, kaep ah, khopuei khohut kah hmuencim khosaa hmai duela, khotlak tuipuei ngong lamloh khothoeng kah khothoeng ngong khopuei khohut hmai duela, khotlak rhi lamloh khothoeng rhi duela voeivang kah khoyun te khoboei ham khoyo pakhat la om saeh.
8 Hii nchi itakuwa mali ya mwana mfalme katika Isaraeli. Wana wafalme hawatawakandamiza watu wangu; badala yake, watawapatia nchi kwa nyumba ya Israeli, kwa ajili ya makabila yao.
Te khohmuen te Israel lakli ah anih kah khohut la om saeh. Te dongah ka khoboei rhoek loh ka pilnam te vuelvaek voel boel saeh. Tedae khohmuen te Israel imkhui ham a koca tarhing a paek bitni.
9 Bwana Yahwe asema hivi: Inatosha kwa ajili yenu, mwana mfalme wa Israeli! Ondoa dhuluma na mgogoro; fanya hukumu na haki! Usiwafukuze wapangaji wa watu wangu! -hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
Ka Boeipa Yahovah loh he ni a thui. Israel khoboei rhoek nangmih te tamah laeh saeh, kuthlahnah neh rhoelrhanah te toeng uh laeh. Tiktamnah neh duengnah mah saii uh. Nangmih hlanghmu pathai khaw ka pilnam taeng lamloh temah laeh saeh. He he ka Boeipa Yahovah kah olphong ni.
10 Mtakuwa na mzani sahihi, efa sahihi, na bathi sahihi!
Duengnah cooi neh duengnah cangnoek, duengnah bath mah nangmih taengah om saeh.
11 Efa na bathi zitakuwa kiasi kile kile, ili kwamba bathi iwe zaka ya homeri; efa itakuwa zaka ya hamori moja. Vipimo vyao vitakuwa vinafanana na homeri.
Cangnoek neh bath kah a rhimong te pakhat la om saeh. Bath pakhat dongah homer parha, homer pakhat dongah cangnoek parha kun saeh lamtah homer te a lan a tang la om saeh.
12 Shekeli zitakuwa gera ishirini, shekeli sita zitakuwa mane yenu.
Shekel khat gerah pakul lo. Shekel pakul panga phoeiah shekel pakul phoeiah shekel hlai nga te nangmih ham mina pakhat la om saeh.
13 Hili ndilo toleo mtakalotoa: efa sita kwa kila homeri ya ngano, na mtatoa efa sita kwa kila homeri ya shayiri.
Khocang he cang homer pakhat dongkah cangnoek parhuk ah tloeng lamtah cangtun homer khat te cangnoek parhuk la loeng pah.
14 Sadaka ya kawaida ya mafuta itakuwa zaka ya bathi kwa kila kori (ambazo ni bathi), au kwa kila hamori, kwa kuwa hamori moja ni bathi kumi pia.
Situi ham tah bath dongah oltlueh khueh saeh. Situi he kore pakhat ah bath parha lo saeh. Homer pakhat te bath parha, bath parha te homer pakhat lo ni.
15 Kondoo mmoja au mbuzi kutoka mifugo kwa kila wanyama mia mbili kutoka malisho ya maji ya mikoa ya Israeli yatatumika kwa sadaka ya kuteketezwa yoyote au sadaka ya amani kufanya upatanisho kwa ajili ya watu-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
Israel kah buhtoi boiva yahnih dongah tu pakhat te khocang neh hmueihhlutnah la, rhoepnah ham amih kah tholh aka dawth la om saeh. He tah ka Boeipa Yahovah kah olphong ni.
16 Watu wote wa nchi watatoa hii sadaka kwa mwana mfalme wa Israeli.
Khohmuen pilnam boeih loh he khosaa neh Israel khoboei taengla mop uh saeh.
17 Utakuwa wajibu wa mwana mfalme kutoa wanyama kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa, sadaka ya unga, sadaka ya kinywaji, katika siku za sikukuu na sherehe za mwezi mpya, na katika siku za Sabato-sikukuu zote za kudumu za nyumba ya Israeli. Ataandaa kwa ajili ya sadaka za dhambi, sadaka za unga, sadaka za kuteketezwa, na sadaka za amani kwa ajili ya upatanisho badala ya nyumba ya Israeli.
Khoboei soah he hmueihhlutnah neh khocang khaw, khotue kah tuisi neh hlasae Sabbath khaw, Israel imkhui kah tingtunnah boeih khaw om ni. Israel imkhui yueng tholh dawth ham te boirhaem neh khocang khaw, hmueihhlutnah neh rhoepnah khaw a saii pah ni.
18 Bwana Yahwe asema hivi: Katika mwezi wa kwanza, siku ya kwanza ya mwezi, utachukua ng'ombe mmoja asiyekuwa na dosari kutoka kwenye kundi na kufanya sadaka ya dhambi kwa ajili ya patakatifu.
Ka Boeipa Yahovah loh he ni a thui. Lamhmacuek kah hlasae hnin at dongah saelhung ca khuikah vaito hmabut te lo lamtah rhokso te ciim kuekluek.
19 Kuhani atachukua baadhi ya damu ya sadaka ya dhambi na kuiweka juu ya miimo ya mlango na kwenye pembe nne za mpaka wa madhabahu, na miimo ya lango la uzio wa ndani.
Boirhaem thii te khosoih loh lo saeh lamtah im kah rhungsut neh hmueihtuk tungkha a kil te pali dongah khaw, khuiben vongup vongka kah rhungsut dongah khaw hluk saeh.
20 Utafanya hivyo siku ya saba ya mwezi kwa dhambi ya kila mtu kwa ajali au ujinga; katika njia hii mtaipatanisha hekalu.
Te tlam te a hla rhih dongah khaw aka palang hlang ham neh hlangyoe ham saii pah. Te tlam ni im ham khaw na dawth eh.
21 Katika siku ya mwezi siku ya kumi na nne ya mwezi, mtakuwa na sikukuu, sikukuu ya siku saba. Matakula makate usiotiwa chachu.
Lamhma la hlasae hnin hlai li te nangmih ham Yoom la om vetih khotue yalh khohnin ah tah vaidamding mah ca saeh.
22 Siku hiyo, mwana mfalme ataandaa ng'ombe kwa ajili yake na kwa ajili ya watu wote wa nchi kama sadaka ya dhambi.
Te khohnin ah khoboei loh amah yueng neh khohmuen pilnam boeih yueng, boirhaem la vaitotal ngawn saeh.
23 Kwa siku saba za sikukuu, mwana wa mfalme ataandaa sadaka ya kuteketezwa kwa ajili ya Yahwe: ng'ombe saba na kondoo dume saba zisizokuwa na dosari kila siku kwa mda wa siku saba, na mbuzi dume kila siku kama sadaka ya dhambi.
Khotue hnin rhih khuiah BOEIPA taengkah hmueihhlutnah te vaitotal parhih neh tutal parhih hmabut neh, khohnin hnin rhih kah boirhaem te hnin at ham maae tal ca pakhat ngawn saeh.
24 Kisha mwana mfalme atatengeneza sadaka ya chakula ya efa moja kwa kila ng'ombe na efa moja kwa kila kondoo dume pamoja na hini ya mafuta kwa kila efa.
Khocang te vaito pakhat dongah cangnoek pakhat, tutal pakhat dongah cangnoek neh cangnoek pakhat dongah situi bunang pakhat hmoel saeh.
25 Katika siku ya saba ya mwezi siku ya kumi na tano ya mwezi, katika sikukuu, mwana wa mfalme atafanya matoleo katika siku hizi saba: sadaka za dhambi, sadaka za kuteketezwa, sadaka za chakula, na sadaka za mafuta.
Hla rhih, hnin hlai nga dongkah khotue vaengah khaw hnin rhih khuiah boirhaem ham neh hmueihhlutnah ham khaw, khocang ham neh situi ham khaw te rhoek bangla saii saeh.

< Ezekieli 45 >