< Ezekieli 45 >

1 Wakati mtakapogawanya nchi kama urithi, mtafanya sadakwa kwa Yahwe; sadaka hiyo itakuwa sehemu takatifu ya nchi, dhiraa elfu ishirini na tano urefu, na dhiraa elfu kumi upana. Patakuwa patakatifu, ndani ya mipaka yake yote.
"''De plus, lorsque vous diviserez par le sort le pays pour l'héritage, vous présenterez une offrande à Yahvé, une portion sainte du pays. Sa longueur sera celle de vingt-cinq mille roseaux, et sa largeur de dix mille. Elle sera sainte dans toute son étendue, tout autour.
2 Kutoka hapa kutakuwa na dhiraa mia tano kwa dhiraa mia tano za mraba kuzunguka mahali patakatifu, kwa kuuzunguka mpaka dhiraa hamsini upana.
De cette mesure, il y aura un carré de cinq cents sur cinq cents pour le lieu saint, et cinquante coudées pour ses pâturages tout autour.
3 Kutoka hili eneo utapima fungu ambalo ni dhiraa elfu ishirini na tano urefu na elfu kumi upana; patakuwa patakatifu; mahali patakatifu palipo tukuka.
Tu mesureras de cette mesure une longueur de vingt-cinq mille et une largeur de dix mille. C'est là que se trouvera le sanctuaire, qui est très saint.
4 Patakuwa patakatifu katika nchi kwa ajili ya makuhani wanaomtumikia Yahwe, ajaye kwa Yahwe kumtumikia. Patakuwa mahali kwa ajili ya nyumba na eneo takatifu kwa ajili mahali patakatifu.
C'est une portion sainte du pays; elle sera pour les prêtres, les ministres du sanctuaire, qui s'approchent pour servir l'Éternel. Ce sera un lieu pour leurs maisons et un lieu saint pour le sanctuaire.
5 Hivyo itakuwa dhiraa elfu ishirini na tano urefu na elfu kumi upana, patakuwa kwa ajili ya miji ya Walawi wanaotumika kwenye nyumba.
Vingt-cinq mille coudées en longueur et dix mille en largeur seront pour les Lévites, les ministres de la maison, comme une possession pour eux-mêmes, pour vingt pièces.
6 Mtadhihirisha eneo moja kwa ajili ya mji, dhiraa elfu tano na urefu ishirini na tano, hapo patakuwa kando kando ya eneo lililohifadhiwa kwa ajili ya mahali patakatifu; huu mji utakuwa wa mali ya nyumba yote ya Israeli.
"''Tu établiras la propriété de la ville sur cinq mille coudées de largeur et vingt-cinq mille coudées de longueur, à côté de l'offrande de la portion sainte. Ce sera pour toute la maison d'Israël.
7 Nchi ya mwana mfalme itakuwa kwa pande zote za eneo lililohifadhiwa kwa ajili ya mahali patakatifu na mji. Patakuwa kwa upande wao wa magaharibi na upande wa mashariki. Urefu utalingana na urefu wa moja ya hayo mafungu, kutoka magaribi hata mashariki.
"''Ce qui sera pour le prince sera d'un côté et de l'autre du lotissement sacré et de la possession de la ville, devant le lotissement sacré et devant la possession de la ville, du côté ouest vers l'ouest, et du côté est vers l'est, et d'une longueur correspondant à l'une des portions, de la limite ouest à la limite est.
8 Hii nchi itakuwa mali ya mwana mfalme katika Isaraeli. Wana wafalme hawatawakandamiza watu wangu; badala yake, watawapatia nchi kwa nyumba ya Israeli, kwa ajili ya makabila yao.
Dans le pays, il sera pour lui une possession en Israël. Mes princes n'opprimeront plus mon peuple, mais ils donneront le pays à la maison d'Israël selon ses tribus. »
9 Bwana Yahwe asema hivi: Inatosha kwa ajili yenu, mwana mfalme wa Israeli! Ondoa dhuluma na mgogoro; fanya hukumu na haki! Usiwafukuze wapangaji wa watu wangu! -hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
"'Le Seigneur Yahvé dit: « Assez, princes d'Israël! Supprimez la violence et le pillage, faites régner la justice et la droiture! Cessez de déposséder mon peuple! » dit le Seigneur Yahvé.
10 Mtakuwa na mzani sahihi, efa sahihi, na bathi sahihi!
« Vous aurez des balances justes, un épha juste et un bain juste.
11 Efa na bathi zitakuwa kiasi kile kile, ili kwamba bathi iwe zaka ya homeri; efa itakuwa zaka ya hamori moja. Vipimo vyao vitakuwa vinafanana na homeri.
L'épha et le bain auront la même mesure: le bain contiendra un dixième de homer, et l'épha un dixième de homer. Sa mesure sera la même que celle du homer.
12 Shekeli zitakuwa gera ishirini, shekeli sita zitakuwa mane yenu.
Le sicle sera de vingt gérachs. Vingt shekels plus vingt-cinq shekels plus quinze shekels seront ton mina.
13 Hili ndilo toleo mtakalotoa: efa sita kwa kila homeri ya ngano, na mtatoa efa sita kwa kila homeri ya shayiri.
"''Voici l'offrande que tu présenteras: la sixième partie d'un épha d'un homer de froment, et tu donneras la sixième partie d'un épha d'un homer d'orge,
14 Sadaka ya kawaida ya mafuta itakuwa zaka ya bathi kwa kila kori (ambazo ni bathi), au kwa kila hamori, kwa kuwa hamori moja ni bathi kumi pia.
et la part d'huile, du bain d'huile, un dixième de bain sur le cor, qui est de dix baths, un homer (car dix baths font un homer),
15 Kondoo mmoja au mbuzi kutoka mifugo kwa kila wanyama mia mbili kutoka malisho ya maji ya mikoa ya Israeli yatatumika kwa sadaka ya kuteketezwa yoyote au sadaka ya amani kufanya upatanisho kwa ajili ya watu-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
et un agneau du troupeau sur deux cents, provenant des pâturages bien arrosés d'Israël, pour l'offrande, l'holocauste et le sacrifice de prospérité, afin de faire l'expiation pour eux, dit le Seigneur Yahvé.
16 Watu wote wa nchi watatoa hii sadaka kwa mwana mfalme wa Israeli.
« Tout le peuple du pays donnera à cette offrande pour le prince en Israël.
17 Utakuwa wajibu wa mwana mfalme kutoa wanyama kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa, sadaka ya unga, sadaka ya kinywaji, katika siku za sikukuu na sherehe za mwezi mpya, na katika siku za Sabato-sikukuu zote za kudumu za nyumba ya Israeli. Ataandaa kwa ajili ya sadaka za dhambi, sadaka za unga, sadaka za kuteketezwa, na sadaka za amani kwa ajili ya upatanisho badala ya nyumba ya Israeli.
C'est au prince qu'il appartiendra de présenter les holocaustes, les offrandes de repas et les libations, aux fêtes, aux nouvelles lunes et aux sabbats, à toutes les fêtes fixées par la maison d'Israël. Il préparera le sacrifice pour le péché, l'offrande de repas, l'holocauste et les sacrifices de paix, afin de faire l'expiation pour la maison d'Israël. »
18 Bwana Yahwe asema hivi: Katika mwezi wa kwanza, siku ya kwanza ya mwezi, utachukua ng'ombe mmoja asiyekuwa na dosari kutoka kwenye kundi na kufanya sadaka ya dhambi kwa ajili ya patakatifu.
"'Le Seigneur Yahvé dit: « Le premier mois, le premier jour du mois, tu prendras un jeune taureau sans défaut, et tu purifieras le sanctuaire.
19 Kuhani atachukua baadhi ya damu ya sadaka ya dhambi na kuiweka juu ya miimo ya mlango na kwenye pembe nne za mpaka wa madhabahu, na miimo ya lango la uzio wa ndani.
Le prêtre prendra du sang du sacrifice pour le péché et en mettra sur les montants de la porte de la maison, sur les quatre coins du rebord de l'autel et sur les montants de la porte du parvis intérieur.
20 Utafanya hivyo siku ya saba ya mwezi kwa dhambi ya kila mtu kwa ajali au ujinga; katika njia hii mtaipatanisha hekalu.
Tu feras ainsi, le septième jour du mois, pour celui qui a commis une erreur et pour celui qui est simple. Tu feras ainsi l'expiation pour la maison.
21 Katika siku ya mwezi siku ya kumi na nne ya mwezi, mtakuwa na sikukuu, sikukuu ya siku saba. Matakula makate usiotiwa chachu.
"''Au premier mois, le quatorzième jour du mois, vous ferez la Pâque, une fête de sept jours; on mangera des pains sans levain.
22 Siku hiyo, mwana mfalme ataandaa ng'ombe kwa ajili yake na kwa ajili ya watu wote wa nchi kama sadaka ya dhambi.
Ce jour-là, le prince préparera pour lui et pour tout le peuple du pays un taureau en sacrifice pour le péché.
23 Kwa siku saba za sikukuu, mwana wa mfalme ataandaa sadaka ya kuteketezwa kwa ajili ya Yahwe: ng'ombe saba na kondoo dume saba zisizokuwa na dosari kila siku kwa mda wa siku saba, na mbuzi dume kila siku kama sadaka ya dhambi.
Pendant les sept jours de la fête, il préparera un holocauste à l'Éternel: sept taureaux et sept béliers sans défaut par jour pendant sept jours, et un bouc par jour en sacrifice pour le péché.
24 Kisha mwana mfalme atatengeneza sadaka ya chakula ya efa moja kwa kila ng'ombe na efa moja kwa kila kondoo dume pamoja na hini ya mafuta kwa kila efa.
Il préparera une offrande de repas, un épha pour un taureau, un épha pour un bélier, et un hin d'huile pour un épha.
25 Katika siku ya saba ya mwezi siku ya kumi na tano ya mwezi, katika sikukuu, mwana wa mfalme atafanya matoleo katika siku hizi saba: sadaka za dhambi, sadaka za kuteketezwa, sadaka za chakula, na sadaka za mafuta.
"''Au septième mois, le quinzième jour du mois, pendant la fête, il fera comme cela pendant sept jours. Il fera les mêmes dispositions pour le sacrifice pour le péché, l'holocauste, l'offrande de repas et l'huile. »"

< Ezekieli 45 >