< Ezekieli 45 >

1 Wakati mtakapogawanya nchi kama urithi, mtafanya sadakwa kwa Yahwe; sadaka hiyo itakuwa sehemu takatifu ya nchi, dhiraa elfu ishirini na tano urefu, na dhiraa elfu kumi upana. Patakuwa patakatifu, ndani ya mipaka yake yote.
"Kun te arvotte maata perintöosiksi, niin antakaa Herralle anti, pyhä osa maasta, kahtakymmentäviittä tuhatta pitkä ja kahtakymmentä tuhatta leveä. Se olkoon pyhä koko alueeltaan, yltympäri.
2 Kutoka hapa kutakuwa na dhiraa mia tano kwa dhiraa mia tano za mraba kuzunguka mahali patakatifu, kwa kuuzunguka mpaka dhiraa hamsini upana.
Siitä tulkoon pyhäkölle neliö, viisisataa ja viisisataa joka taholta, ja sen lisäksi avointa tilaa viisikymmentä joka taholta.
3 Kutoka hili eneo utapima fungu ambalo ni dhiraa elfu ishirini na tano urefu na elfu kumi upana; patakuwa patakatifu; mahali patakatifu palipo tukuka.
Ja mittaa tästä mitatusta alueesta kahtakymmentäviittä tuhatta pitkälti ja kymmentätuhatta leveälti, ja siinä olkoon pyhäkkö, korkeasti-pyhä.
4 Patakuwa patakatifu katika nchi kwa ajili ya makuhani wanaomtumikia Yahwe, ajaye kwa Yahwe kumtumikia. Patakuwa mahali kwa ajili ya nyumba na eneo takatifu kwa ajili mahali patakatifu.
Se olkoon pyhä osa maasta papeille, jotka palvelevat pyhäkössä, jotka lähestyvät ja palvelevat Herraa; se olkoon talojen sijana heitä varten ja pyhänä paikkana pyhäkköä varten.
5 Hivyo itakuwa dhiraa elfu ishirini na tano urefu na elfu kumi upana, patakuwa kwa ajili ya miji ya Walawi wanaotumika kwenye nyumba.
Kahtakymmentäviittä tuhatta pitkälti ja kymmentätuhatta leveälti on tuleva leeviläisille, jotka toimittavat palvelusta pyhäkössä, heille perintömaaksi-kaksikymmentä kammiota-.
6 Mtadhihirisha eneo moja kwa ajili ya mji, dhiraa elfu tano na urefu ishirini na tano, hapo patakuwa kando kando ya eneo lililohifadhiwa kwa ajili ya mahali patakatifu; huu mji utakuwa wa mali ya nyumba yote ya Israeli.
Kaupungille antakaa perintömaata viittätuhatta leveälti ja kahtakymmentäviittä tuhatta pitkälti, pyhän antimaan viereltä; se olkoon kaiken Israelin heimon oma.
7 Nchi ya mwana mfalme itakuwa kwa pande zote za eneo lililohifadhiwa kwa ajili ya mahali patakatifu na mji. Patakuwa kwa upande wao wa magaharibi na upande wa mashariki. Urefu utalingana na urefu wa moja ya hayo mafungu, kutoka magaribi hata mashariki.
Ja ruhtinaalle: molemmilta puolin pyhää antimaata ja kaupungin perintömaata, pyhän antimaan sivusta ja kaupungin perintömaan sivusta, lännen puolelta länteen päin ja idän puolelta itään päin, maata yhtä pitkälti kuin on yhden sukukuntaosan pituus länsirajasta itärajaan.
8 Hii nchi itakuwa mali ya mwana mfalme katika Isaraeli. Wana wafalme hawatawakandamiza watu wangu; badala yake, watawapatia nchi kwa nyumba ya Israeli, kwa ajili ya makabila yao.
Se olkoon hänellä maana, perintömaana Israelissa; ja älkööt minun ruhtinaani enää sortako minun kansaani, vaan jättäkööt muun maan Israelin heimolle sukukunnittain.
9 Bwana Yahwe asema hivi: Inatosha kwa ajili yenu, mwana mfalme wa Israeli! Ondoa dhuluma na mgogoro; fanya hukumu na haki! Usiwafukuze wapangaji wa watu wangu! -hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
Näin sanoo Herra, Herra: Jo riittää, te Israelin ruhtinaat! Heittäkää pois väkivalta ja sorto, noudattakaa oikeutta ja vanhurskautta, heretkää häätämästä mailtansa minun kansaani, sanoo Herra, Herra.
10 Mtakuwa na mzani sahihi, efa sahihi, na bathi sahihi!
Olkoon teillä oikea paino, oikea eefa-mitta ja oikea bat-mitta.
11 Efa na bathi zitakuwa kiasi kile kile, ili kwamba bathi iwe zaka ya homeri; efa itakuwa zaka ya hamori moja. Vipimo vyao vitakuwa vinafanana na homeri.
Eefa-ja bat-mitta olkoot tarkoin yhtä suuret: bat vetäköön kymmenenneksen hoomer-mittaa ja eefa kymmenenneksen hoomer-mittaa; hoomerin mukaan määrättäköön kumpaisenkin suuruus.
12 Shekeli zitakuwa gera ishirini, shekeli sita zitakuwa mane yenu.
Sekelissä olkoon kaksikymmentä geeraa; miina olkoon teillä kaksikymmentä sekeliä, kaksikymmentäviisi sekeliä, viisitoista sekeliä.
13 Hili ndilo toleo mtakalotoa: efa sita kwa kila homeri ya ngano, na mtatoa efa sita kwa kila homeri ya shayiri.
Tämä on anti, joka teidän on annettava: kuudennes eefaa nisuhoomerista ja kuudennes eefaa ohrahoomerista;
14 Sadaka ya kawaida ya mafuta itakuwa zaka ya bathi kwa kila kori (ambazo ni bathi), au kwa kila hamori, kwa kuwa hamori moja ni bathi kumi pia.
ljyn määrä bat-mitasta öljyä: kymmenennes batia koor-mitasta-kymmenestä batista, hoomerista-sillä hoomer on kymmenen batia;
15 Kondoo mmoja au mbuzi kutoka mifugo kwa kila wanyama mia mbili kutoka malisho ya maji ya mikoa ya Israeli yatatumika kwa sadaka ya kuteketezwa yoyote au sadaka ya amani kufanya upatanisho kwa ajili ya watu-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
pikkukarjasta: kahdestasadasta yksi lammas Israelin runsasvetisiltä laitumilta ruokauhriksi, polttouhriksi ja yhteysuhriksi, että voitaisiin toimittaa heille sovitus, sanoo Herra, Herra.
16 Watu wote wa nchi watatoa hii sadaka kwa mwana mfalme wa Israeli.
Kaikki maan kansa on velvoitettu tähän antiin Israelin ruhtinaalle.
17 Utakuwa wajibu wa mwana mfalme kutoa wanyama kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa, sadaka ya unga, sadaka ya kinywaji, katika siku za sikukuu na sherehe za mwezi mpya, na katika siku za Sabato-sikukuu zote za kudumu za nyumba ya Israeli. Ataandaa kwa ajili ya sadaka za dhambi, sadaka za unga, sadaka za kuteketezwa, na sadaka za amani kwa ajili ya upatanisho badala ya nyumba ya Israeli.
Mutta ruhtinas toimittakoon polttouhrit, ruokauhrin ja juomauhrin juhlina, uusinakuina ja sapatteina, kaikkina Israelin heimon juhla-aikoina; hän uhratkoon syntiuhrin, ruokauhrin, polttouhrin ja yhteysuhrin toimittaakseen sovituksen Israelin heimolle.
18 Bwana Yahwe asema hivi: Katika mwezi wa kwanza, siku ya kwanza ya mwezi, utachukua ng'ombe mmoja asiyekuwa na dosari kutoka kwenye kundi na kufanya sadaka ya dhambi kwa ajili ya patakatifu.
Näin sanoo Herra, Herra: Ota ensimmäisessä kuussa, kuukauden ensimmäisenä päivänä virheetön mullikka ja puhdista pyhäkkö.
19 Kuhani atachukua baadhi ya damu ya sadaka ya dhambi na kuiweka juu ya miimo ya mlango na kwenye pembe nne za mpaka wa madhabahu, na miimo ya lango la uzio wa ndani.
Ja pappi ottakoon syntiuhrin verta ja sivelköön sitä temppelin ovenpieliin ja alttarin välireunan neljään kulmaan ja sisemmän esipihan portin ovenpieliin.
20 Utafanya hivyo siku ya saba ya mwezi kwa dhambi ya kila mtu kwa ajali au ujinga; katika njia hii mtaipatanisha hekalu.
Samoin tee kuukauden seitsemäntenä päivänä sen varalta, että joku olisi erehdyksestä tai tietämättömyydestä rikkonut. Ja niin te toimitatte temppelin sovituksen.
21 Katika siku ya mwezi siku ya kumi na nne ya mwezi, mtakuwa na sikukuu, sikukuu ya siku saba. Matakula makate usiotiwa chachu.
Ensimmäisessä kuussa, kuukauden neljäntenätoista päivänä, on teillä pääsiäinen. Se on seitsenpäiväinen juhla. Syötäköön silloin happamatonta leipää.
22 Siku hiyo, mwana mfalme ataandaa ng'ombe kwa ajili yake na kwa ajili ya watu wote wa nchi kama sadaka ya dhambi.
Sinä päivänä uhratkoon ruhtinas omasta puolestansa ja maan kaiken kansan puolesta mullikan syntiuhriksi.
23 Kwa siku saba za sikukuu, mwana wa mfalme ataandaa sadaka ya kuteketezwa kwa ajili ya Yahwe: ng'ombe saba na kondoo dume saba zisizokuwa na dosari kila siku kwa mda wa siku saba, na mbuzi dume kila siku kama sadaka ya dhambi.
Ja seitsemänä juhlapäivänä hän uhratkoon polttouhriksi Herralle seitsemän mullikkaa ja seitsemän oinasta, virheettömiä, joka päivä seitsemänä päivänä, ja syntiuhriksi kauriin joka päivä.
24 Kisha mwana mfalme atatengeneza sadaka ya chakula ya efa moja kwa kila ng'ombe na efa moja kwa kila kondoo dume pamoja na hini ya mafuta kwa kila efa.
Ja ruokauhriksi hän uhratkoon eefa-mitan mullikkaa ja eefa-mitan oinasta kohti sekä öljyä hiin-mitan eefaa kohti.
25 Katika siku ya saba ya mwezi siku ya kumi na tano ya mwezi, katika sikukuu, mwana wa mfalme atafanya matoleo katika siku hizi saba: sadaka za dhambi, sadaka za kuteketezwa, sadaka za chakula, na sadaka za mafuta.
Seitsemännessä kuussa, kuukauden viidentenätoista päivänä, juhlana, hän uhratkoon samalla tavoin-niin seitsemänä päivänä-samankaltaisen syntiuhrin, polttouhrin ja ruokauhrin sekä saman määrän öljyä."

< Ezekieli 45 >