< Ezekieli 24 >

1 Neno la Yahwe likanijia katika mwaka wa nane mwezi wa kumi na siku ya kumi ya mwezi, kusema,
And it came [the] word of Yahweh to me in the year ninth in the month tenth on the ten of the month saying.
2 “Mwanadamu, andika kwa ajili yako jina la hii siku, siku hii sahihi mfalme wa Babeli ameizingira Yerusalimu.
O son of humankind (write *Qk) yourself [the] name of the day [the] substance of the day this he has leaned [the] king of Babylon to Jerusalem on [the] substance of the day this.
3 Basi nena mithali juu ya hii nyumba ya kuasi, fumbo moja. Waambie, 'Bwana Yahwe asema hivi: weka sufuria ya kupikia. Iweke na weka maji kwenye hiyo.
And speak a parable to [the] house of rebellion a parable and you will say to them thus he says [the] Lord Yahweh put on the pot put on and also pour in it water.
4 Vikusanye vipande vya chakula ndani yake, kila kipande kizuri-paja na bega-na ijaze kwa mifupa bora.
Gather pieces of meat its into it every piece of meat good thigh and shoulder [the] choicest of [the] bones fill [it].
5 Chukua kundi bora na jaza mifupa chini yake. Ilete kuchemsha na ipike mifupa ndani yake.
[the] choicest of The flock take and also pile up the bones under it make boil boiling its also they have cooked bones its in [the] midst of it.
6 Kwa hiyo, Bwana Yahwe asema hivi: Ole kwa mji wa damu. Nitakiongeza chungu cha mbao. Weka kuni nyingi na washa moto. Pika nyama vizuri na changanya katika viungo na iacha mifupa iteketee.
Therefore thus he says - [the] Lord Yahweh woe! [the] city of blood a pot which rust its [is] in it and rust its not it has gone out from it to piece of meat its to piece of meat its take out it not it has fallen on it a lot.
7 Kwa kuwa damu iko kati yake. Ameiweka juu ya jiwe laini; hakuimwaga juu ya nchi kuifunika kwa mavumbi,
For blood its in [the] midst of it it was on bareness of rock it put it not it poured out it on the ground to cover over it dust.
8 hivyo inaleta hasira ya kulipa kisasi. Nimeweka damu yake juu ya jiwe laini ili isifunikwe.
To stir up rage to avenge vengeance I put blood its on bareness of rock to not to be covered.
9 Kwa hiyo, Bwana Yahwe asema hivi: Ole kwa mji wa damu. Nitakiongeza chungu cha mbao.
Therefore thus he says [the] Lord Yahweh woe! [the] city of blood also I I will make great the pile.
10 Weka kuni nyingi na washa moto. Pika nyama vizuri na changanya katika viungo na acha mifupa iteketee.
Increase the wood kindle the fire complete the meat and mix the seasoning and the bones let them be charred.
11 Kisha weka chungu kitupu juu ya mkaa, ili kuchemsha na kuchoma shaba yake, hivyo uchafu wake ndani yake itayeyushwa, kutu yake imekula.'
And set it on burning coals its empty so that it may grow warm and it will be hot bronze its and it will be melted in [the] midst of it uncleanness its it may be consumed rust its.
12 Amechoka kwa sababu ya kazi ya taabu, lakini kutu yake haitoki kweke kwa moto.
Toil it has made weary and not it comes out from it [the] great [amount] of rust its in a fire rust its.
13 Tabia yako ya aibu iko ndani ya uchafu wako, kwa sababu nimekusafisha, lakini bado hutaweza kuwa msafi. Bado hutakuwa huru kutoka uchafu wako hadi hasira yako itakapotulia kutoka kwako.
In uncleanness your licentiousness because I cleansed you and not you are clean from uncleanness your not you will be clean again until give rest to I rage my on you.
14 Mimi, Yahwe, nimesema hili, na nitalifanya. Sintotulia wala kupumzika kwa ajili ya hili. Kama njia zako zilivyokuwa, na kama matendo yako, yatakuhukumu! -hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”
I Yahweh I have spoken [it is] coming and I will act not I will refrain and not I will have compassion and not I will have pity according to ways your and according to practices your they have judged you [the] utterance of [the] Lord Yahweh.
15 Kisha neno la Yahwe likanijia, kusema,
And it came [the] word of Yahweh to me saying.
16 “mwanadamu! Tazama, ninachukua tamaa ya macho yako kutoka kwako pamoja na tauni, lakini hutaomboleza wala kulia, na machozi yako hayatatoka.
O son of humankind here I [am] about to take from you [the] desire of eyes your with a blow and not you must lament and not you must weep and not it will come tear[s] your.
17 Utagugumia bila kusikika. Usiendeshe mazishi kwa ajili ya aliyekufa. Funga kilemba chako juu yako na vaa makubazi miguuni pako, lakini usivalishe shela nywele zako au kula mkate wa watu waombolezao kwa ajili ya kuwapoteza wake zao.”
Groaning - be silent dead [people] mourning not you must do turban your bind on you and sandals your you will put on feet your and not you must cover over a moustache and food of people not you must eat.
18 Hivyo nimeongea na watu asubuhi, na mke wangu amekufa asubuhi. Asubuhi nimefanya kile nilichokuwa nimeambiwa kukifanya.
And I spoke to the people in the morning and she died wife my in the evening and I did in the morning just as I had been commanded.
19 Watu wameniuliza, “Ji! hautatuambia haya mambo yanamaana gani, mambo ambayo unayoyafanya?”
And they said to me the people ¿ not will you tell to us what? [are] these [things] for us that you [are] doing.
20 Hivyo nimewaambia, “Neno la Yahwe likanijia, kusema,
And I said to them [the] word of Yahweh it came to me saying.
21 'Waambie nyumba ya Israeli, Bwana Yahwe asema hivi: Tazama! Nitapanajisi patakatifu pangu-fahari ya nguvu yenu, mahali panapopendeza macho yenu, na panapotamaniwa na roho zenu, na wana wenu na binti zenu ambao mliowaacha nyuma wataanguka kwa upanga.
Say - to [the] house of Israel thus he says [the] Lord Yahweh here I [am] about to profane sanctuary my [the] pride of strength your [the] desire of eyes your and [the] love of being your and sons your and daughters your whom you have left by the sword they will fall.
22 Kisha mtafanya hasa kama nilivyofanya: hutafunika nywele za sehemu ya chini za uso, wala kula mkate wa watu wanaoomboleza!
And you will do just as I have done over a moustache not you must cover and food of people not you must eat.
23 Badala yake, vilemba vyenu vitakuwa juu ya vichwa, na makubadhi yenu miguuni mwenu; hutaomboleza wala kulia, kwa kuwa mtayeyuka katika maovu yenu, na kila mtu atagugumia kwa ya ajili ya ndugu yake.
And turbans your [will be] on heads your and sandals your [will be] on feet your not you must lament and not you must weep and you will waste away in iniquities your and you will groan each to brother his.
24 Hivyo Ezekieli atakuwa ishara kwenu, kama kila kitu ambacho alichokifanya mtafanya wakati hili litakapokuja. Kisha mtajua yakwamba mimi ni Bwana Yahwe!”'
And he will become Ezekiel for you a sign according to all that he has done you will do when comes it and you will know that I [am the] Lord Yahweh.
25 “Lakini wewe, mwanadamu, siku ambayo nitachukua hekalu lao, ambalo ni furaha yao, kiburi chao, na kile waonacho na kutamani-na wakati nikiwachukua wana wao na binti-
And you O son of humankind ¿ not on [the] day take I from them stronghold their [the] joy of splendor their [the] desire of eyes their and [the] uplifting of being their sons their and daughters their.
26 siku hiyo, mgeni atakuja kwako kukupatia habari!
On the day that he will come the escapee to you for information of ears.
27 Siku hiyo kinywa chako kitafunguliwa kwa huyo mgeni na utaongea-hutakuwa bubu tena. Utakuwa ishara kwao hivyo basi watajua kwamba mimi ni Yahwe.
On the day that it will be opened mouth your with the escapee so you may speak and not you will be dumb again and you will become for them a sign and they will know that I [am] Yahweh.

< Ezekieli 24 >