< Ezekieli 19 >

1 “Tena wewe, chukua maombolezo juu ya viongozi wa Israeli
При това, дигни плач за Израилевите първенци, и речи:
2 na sema, 'Mama yako alikuwa nani? Simba jike mmoja, aliishi na mtoto wa simba dume; katikati ya simba wadogo, aliwalisha watoto wake.
Що беше майка ти? Лъвица. Лежеше между лъвовете, Хранеше лъвчетата си всред млади лъвове.
3 Alimlea mmoja wa wale watoto kurarua wanyama wengine, na kisha alijifunza jinsi ya kuwinda watu na kuwala.
Тя изхрани едно от лъвчетата си, Което, като стана млад лъв, И се научи да граби лов, ядеше човеци.
4 Kisha mataifa wakasikia kuhusu yeye. Akakamatwa kwenye mtego wao, na wakamleta kwa kulabu hata nchi ya Misri.
И народите чуха за него; Хванат биде в ямата им, И с куки го закараха в Египетската земя.
5 Kisha alipoona kwamba ingawa alikuwa akimsubiri arudi, matumaini yake sasa yalienda, hivyo alimchukua mtoto wake wengine katika watoto wake na kumlea hata kuwa mwana simba.
А тя като видя, че надеждата й изчезна и се изгуби, Взе още едно от лъвчетата си Та направи и него млад лъв.
6 Huyu mwana simba alitembea huku na huku katikati ya simba. Akawa mwana simba na kujifunza kuwinda mawindo; akala watu.
И като ходеше между лъвовете Стана млад лъв, Който, когато се научи да граби лов, ядеше човеци.
7 Akawakamata wajane na kuiharibu miji. Nchi na viijazavyo vilitelekezwa kwa sababu ya sauti ya kunguruma kwake.
Той познаваше палатите им, И запустяваше градовете им; И от гласа на рева му Ужасяваше се земята и това, което я пълнеше.
8 Lakini mataifa yakaja juu yake kutoka mikoa yote; wakatengeneza nyavu juu yake. Akakamatwa kwenye mtego wao.
Тогава се опълчиха против него народите от околните области И простряха върху него мрежите си; Той се хвана в ямата им.
9 Kwa kulabu wakamuweka kwenye tundu na kisha wakamleta hata kwa mfalme wa Babeli. Wakamleta hata kwenye ngome imara ili kwamba sauti yake isiweze kusikika juu ya milima ya Israeli.
И с куки го туриха в решетка Та го закараха при Вавилонския цар; Туриха го в крепост, За да се не чуе вече гласа му По Израилевите планини.
10 Mama yako alikuwa kama mzabibu uliopandwa kwenye damu yako karibu na maji. ulizaa matunda na kujaa matawi kwa sababu ya wingi wa maji.
Майка ти, с жизненост като твоята, Беше като лоза, посадена при вода; Стана плодоносна и клонеста От многото води.
11 Ulikuwa na matawi imara yaliyokuwa yakitumika kwa ajili ya fimbo ya utawala, na kipimo chake kiliinuka juu ya matawi, na kina wake ulionekana kwa ukubwa wa majani yake.
Израснаха по нея яки жезли За скиптри на владетелите, И ръстът им стигна нависоко всред гъстите клончета, И те се отличаваха с височината си И с многото си отрасли.
12 Lakini mzabibu uling'olewa kwa ghadhabu na kutupwa chini hata aridhini, na upepo wa mashariki uliuvunja na kunyauka na moto ukavila.
Но тя биде изтръгната с ярост, Хвърлена бе на земята, И източен вятър изсуши плода й; Яките й жезли се счупиха и изсъхнаха; Огън ги изяде.
13 Hivyo sasa, umepandwa jangwani, kwenye nchi ya ukame na kavu.
А сега тя е посадена в пустиня, В суха и безводна земя.
14 Kwa kuwa moto ulitoka kwenye matawi makubwa na kuyala matunda yake. Hakuna tawi imara juu yake, hakuna fimbo ya kifalme kutawala.' Haya ni maombolezo na yataimbwa kama maombolezo.”
И огън излезе из един жезъл от клончетата й Та изяде плода й, Тъй щото няма вече в нея жезъл достатъчно як За владетелски скиптър. Това е плач, и ще служи за плач.

< Ezekieli 19 >