< Ezekieli 11 >

1 Kisha Roho akaniacha juu na kunileta kwenye lango la mashariki la nyumba ya Yahwe, kuelekea mashariki, na tazama, kwenye njia ya mlango wa lango kulikuwa na watu ishirini na tano. Nikamwona Yaazania mwana wa Azuri na Pelatia mwana wa Benaya, viongozi wa watu, miongoni mwao.
و روح مرا برداشته، به دروازه شرقی خانه خداوند که بسوی مشرق متوجه است آورد. و اینک نزد دهنه دروازه بیست و پنج مرد بودند و در میان ایشان یازنیا ابن عزور و فلطیاابن بنایا روسای قوم را دیدم.۱
2 Mungu akanambia, “Mwana wa adamu, hawa ndio wale watu walioshauri udhalimu, na kuamua mipango miovu kwenye huu mji.
و او مرا گفت: «ای پسر انسان اینها آن کسانی می‌باشند که تدابیرفاسد می‌کنند و در این شهر مشورتهای قبیح می‌دهند.۲
3 Wakisema, 'Mda wa kujenga nyumba sio sasa; huu mji ni sufuria, na sisi ni nyama.'
و می‌گویند وقت نزدیک نیست که خانه‌ها را بنا نماییم، بلکه این شهر دیگ است و ما گوشت می‌باشیم.۳
4 Kwa hiyo tabiri juu yao. Tabiri, mwana wa adamu.”'
بنابراین برای ایشان نبوت کن. ای پسر انسان نبوت کن.»۴
5 Kisha Roho wa Yahwe akanijaza na akaniambia, “akisema: Hivi ndivyo Yahwe asemavyo: kama usemavyo, nyumba ya Israeli; kwa kuwa najua kinachoendelea kwenye fikra zenu.
آنگاه روح خداوند بر من نازل شده، مرافرمود: «بگو که خداوند چنین می‌فرماید: ای خاندان اسرائیل شما به اینطور سخن می‌گویید واما من خیالات دل شما را می‌دانم.۵
6 Mmewazidisha watu mliowaua kwenye huu mji na kuijaza mitaa kwa hao.
بسیاری را دراین شهر کشته‌اید و کوچه هایش را از کشتگان پرکرده‌اید.۶
7 Kwa hiyo, Bwana Yahwe asema hivi: Wale watu milowaua, ambao mmeilaza miili yao kati ya Yerusalemu, ni nyama, na huu mji ni sufuria. Lakini mnaenda kutolewa nje kutoka kati ya huu mji.
لهذا خداوند یهوه چنین می‌گوید: کشتگان شما که در میانش گذاشته‌اید، گوشت می‌باشند و شهر دیگ است. لیکن شما را ازمیانش بیرون خواهم برد.۷
8 Mmeuogopa upanga, kwa hiyo nauleta huo upanga juu yenu-huu ndio usemi wa Bwana Yahwe.
شما از شمشیرمی ترسید، اما خداوند یهوه می‌گوید شمشیر را برشما خواهم آورد.۸
9 Nitawatoa nje kutoka kati ya mji, na kuwaweka kwenye mikono ya wageni, kwa kuwa nitaleta hukumu dhidi yenu.
و شما را از میان شهر بیرون برده، شما را به‌دست غریبان تسلیم خواهم نمودو بر شما داوری خواهم کرد.۹
10 Mtaanguka kwa upanga. Nitawahukumu kati ya mipaka ya Israeli hivyo mtajua yakwamba mimi ni Yahwe.
به شمشیرخواهید افتاد و در حدود اسرائیل بر شما داوری خواهم نمود و خواهید دانست که من یهوه هستم.۱۰
11 Huu mji hautakua sufuria yenu ya kupikia, wala hamtakuwa nyama ndani yake. Nitawahukumu kati ya mipaka ya Israeli.
این شهر برای شما دیگ نخواهد بود و شما درآن گوشت نخواهید بود، بلکه در حدود اسرائیل بر شما داوری خواهم نمود.۱۱
12 Kisha mtajua yakwamba mimi ni Yahwe, yule ambaye hamuishe kwenye amri zake na ambaye hamkuzishika sheria zake. Badala yake, mmebeba hukumu za mataifa wanayowazunguka.”
و خواهید دانست که من آن یهوه هستم که در فرایض من سلوک ننمودید و احکام مرا بجا نیاوردید، بلکه برحسب احکام امت هایی که به اطراف شمامی باشند عمل نمودید.»۱۲
13 Ikawa kwamba nilipokuwa natabiri, Pelatia mwana wa Benaya, akafa. Hivyo nikaanguka kwenye uso wangu na kulia kwa sauti na kusema, “Ee, Bwana Yahwe, Je utayaharibu kabisa mabaki ya Israeli?”
و واقع شد که چون نبوت کردم، فلطیا ابن بنایا مرد. پس به روی خوددر‌افتاده، به آواز بلند فریاد نمودم و گفتم: «آه‌ای خداوند یهوه آیا تو بقیه اسرائیل را تمام هلاک خواهی ساخت؟»۱۳
14 Neno la Yahwe likanijia, likisema,
و کلام خداوند بر من نازل شده، گفت:۱۴
15 “Mwana wa adamu, ndugu zako! Ndugu zako! Watu wa ukoo wako na nyumba yote ya Israeli! Wote hao ndio hao ambao inasemekana wale wanaoishi Yerusalemu, 'Wako mbali sana kutoka kwa Yahwe! Hii nchi tulipewa sisi kama milki yetu.'
«ای پسر انسان برادران تو یعنی برادرانت که از اهل خاندان تو می‌باشند و تمامی خاندان اسرائیل جمیع کسانی می‌باشند که سکنه اورشلیم به ایشان می‌گویند: شما از خداوند دورشوید و این زمین به ما به ملکیت داده شده است.۱۵
16 Kwa hiyo sema, 'Bwana Yahwe asema hivi: kote nimewapitisha mbali kati ya mataifa, na kote nimewasambaza kati ya nchi, bado nimekuwa patakatifu kwa ajili yao kwa mda kidogo kwenye nchi ambazo walizoenda.'
بنابراین بگو: خداوند یهوه چنین می‌گوید: اگرچه ایشان را در میان امت‌ها دور کنم و ایشان را درمیان کشورها پراکنده سازم، اما من برای ایشان درآن کشورهایی که به آنها رفته باشند اندک زمانی مقدس خواهم بود.۱۶
17 Kwa hiyo sema, 'Bwana Yahwe asema hivi: Nitawakusanya kutoka kwa watu, na kuwakutanisha kutoka kwenye nchi mlizokuwa mmetawanyika, na nitawapatia nchi ya Israeli.'
پس بگو خداوند یهوه چنین می‌فرماید: شما را از میان امت‌ها جمع خواهم کرد و شما را از کشورهایی که در آنهاپراکنده شده‌اید فراهم خواهم آورد و زمین اسرائیل را به شما خواهم داد.۱۷
18 Kisha wataenda huko na kuondoa kila kitu chenye karaha na kila chukizo kutoka hiyo sehemu.
و به آنجا داخل شده، تمامی مکروهات و جمیع رجاسات آن رااز میانش دور خواهند کرد.۱۸
19 Nitawapatia moyo mmoja, na nitaweka roho mpya kati yao. Nitaondoa moyo wa jiwe kutoka kwenye miili wao na kuwapatia moyo wa nyama,
و ایشان را یکدل خواهم داد و در اندرون ایشان روح تازه خواهم نهاد و دل سنگی را از جسد ایشان دور کرده، دل گوشتی به ایشان خواهم بخشید.۱۹
20 ili kwamba waweze kutembea kwenye amri zangu, watayachukua maagizo yangu na kuyatenda. Kisha watakuwa watu wangu, na nitakuwa Mungu wao.
تا در فرایض من سلوک نمایند و احکام مرا نگاه داشته، آنها رابجا آورند. و ایشان قوم من خواهند بود و من خدای ایشان خواهم بود.۲۰
21 Lakini kwa wale watembeao kwa kujifanya kuendeleza mambo yao ya karaha na machukizo yao, nitaleta tabia yao kwenye vichwa vyao-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”
اما آنانی که دل ایشان از عقب مکروهات و رجاسات ایشان می‌رود، پس خداوند یهوه می‌گوید: من رفتارایشان را بر سر ایشان وارد خواهم آورد.»۲۱
22 Makerubi wakainua mabawa yao na magurudumu yaliyokuwa karibu nao, na utukufu wa Mungu wa Israeli ulikuwa juu yao.
آنگاه کروبیان بالهای خود را برافراشتند وچرخها به پهلوی ایشان بود و جلال خدای اسرائیل از طرف بالا بر ایشان قرار گرفت.۲۲
23 Kisha utukufu wa Yahwe ukaenda juu kutoka katikati ya mji na kusimama kwenye mlima hata mashariki mwa mji.
وجلال خداوند از بالای میان شهر صعود نموده، برکوهی که بطرف شرقی شهر است قرار گرفت.۲۳
24 Roho akanichukua juu na kunileta hata Ukaldayo, hata uhamishoni, katika maono kutoka kwa Roho wa Mungu, na maono niliyokuwa nimeyaona yakaenda juu yakaniacha.
و روح مرا برداشت و در عالم رویا مرا به روح خدا به زمین کلدانیان نزد اسیران برد و آن رویایی که دیده بودم از نظر من مرتفع شد.۲۴
25 Kisha nikawaambia wale watumwa mambo yote ya Yahwe niliyokuwa nimeyaona.
و تمامی کلام خداوند را که به من نشان داده بود، برای اسیران بیان کردم.۲۵

< Ezekieli 11 >