< Kutoka 37 >

1 Bezaleli akafanya Sanduku la mbao za mshita. Mikono miwili na nusu urefu wake, na mkono mmoja na nusu upana wake, na mkono mmoja na nusu kimo chake.
И направи Веселеил ковчега от ситимово дърво, дълъг два лакътя и половина, широк лакът и половина, и лакът и половина висок.
2 Kisha akalifunika kwa dhahabu safi ndani na nje na kulifanyia ukingo wa dhahabu kulizunguka pande zote.
Обкова го отвътре и отвън с чисто злато, и направи ме златен венец наоколо.
3 Kisha akalitengenezea pete nne za dhahabu, za juu ya miguu yake minne, pete mbili upande wake mmoja na pete mbili upande wake mwingine
И изля за него четири златни колелца за четирите му долни ъгъла, две колелца на едната му страна, и две колелца на другата ме страна.
4 Kisha akafanya miti ya mshita na kuifunika kwa dhahabu.
Направи и върлини от ситимово дърво и обкова ги със злато.
5 Halafu akaitia miti hiyo kwenye zile pete zilizo pande za Sanduku ili kulibeba Sanduku.
И провря върлините през колелцата от страните на ковчега за да се носи ковчегът.
6 Naye akafanya kifuniko cha dhahabu safi. Mikono miwili na nusu urefu wake, na mkono mmoja na nusu upana wake.
И направи умилостивилище от чисто злато, два лакътя и половина дълго, и лакът и половина широко.
7 Bezaleli akafanya makerubi wawili wa dhahabu. Kwa kazi ya kufua akawafanya kwenye miisho yote miwili ya kifuniko.
И направи два херувима от злато, изковани ги направи, на двата края на умилостивилището,
8 Kerubi mmoja kwenye mwisho ule, na yule kerubi mwingine kwenye mwisho huu. Aliwafanya makerubi juu ya kifuniko kwenye miisho yote miwili.
един херувим на единия край, и един херувим на другия край; част от самото умилостивилище направи херувимите на двата му края.
9 Nao wakawa makerubi wanaonyoosha mabawa yao mawili kuelekea juu, wakisitiri kifuniko kwa mabawa yao, nazo nyuso zao zilikuwa zikielekeana. Nyuso za makerubi hao zilielekea kifuniko hicho.
И херувимите бяха с разперени отгоре крила, и покриваха с крилата си умилостивилището; и лицата им бяха едно срещу друго; към умилостивилището бяха обърнати лицата на херувимите.
10 Bezaleli akafanya meza ya mbao za mshita. Mikono miwili urefu wake, na mkono mmoja upana wake, na mkono mmoja na nusu kimo chake.
И направи трапезата от ситимово дърво, два лакътя дълга, един лакът, широка, и лакът и половина висока.
11 Halafu akaifunika kwa dhahabu safi na kufanya ukingo wa dhahabu kuizunguka pande zote.
Обкова я с чисто злато, и направи й златен венец наоколо.
12 Kisha akafanya mzingo wa upana wa kiganja kuizunguka na kufanya ukingo wa dhahabu kwa ajili ya mzingo wake kuizunguka pande zote.
Направи й наоколо и перваз, една длан широк, и направи златен венец около перваза й.
13 Tena, akatengeneza pete nne za dhahabu kwa ajili yake na kuziweka pete hizo kwenye zile pembe nne zilizokuwa kwa ajili ya ile miguu minne.
И изля за нея четири златни колелца, и постави колелцата на четирите ъгъла, които бяха при четирите й нозе.
14 Pete hizo zilikuwa karibu na ule mzingo, ili kutegemeza ile miti ya kuibeba meza hiyo.
До самия перваз бяха колелцата, като влагалища на върлините, за да се носи трапезата.
15 Halafu akafanya ile miti ya mshita na kuifunika kwa dhahabu ili kuibeba ile meza.
Направи върлините от ситимово дърво, и обкова ги със злато, за да се носи трапезата с тях.
16 Baada ya hilo akafanya kutokana na dhahabu safi vile vyombo vilivyo juu ya meza, sahani zake na vikombe vyake na mabakuli yake na mitungi yake iliyotumiwa kumimina matoleo ya kinywaji.
И направи от чисто злато приборите, които бяха на трапезата, блюдата й, темянниците й, тасовете й, и поливалниците й, за употреба при възлиянията.
17 Kisha akafanya kinara cha taa cha dhahabu safi. Kwa kazi ya kufua akakifanya kinara cha taa. Pande zake na matawi yake, vikombe vyake, mafundo yake na maua yake vikatokea kwake.
И направи светилника от чисто злато; изкован направи светилника; стъблото му, клоновете му, чашките му, и цветята му бяха част от самия него.
18 Na matawi sita yalikuwa yakitoka kwenye pande zake, matawi matatu ya kinara cha taa kutoka kwenye upande wake mmoja na matawi mengine matatu ya kinara cha taa kutoka kwenye ule upande wake mwingine.
Шест клона се издигаха от страните му, три клона на светилника, от едната му страна, и три клона на светилника от другата му страна.
19 Vikombe vitatu vyenye umbo la maua ya mlozi vilikuwa kwenye kikundi kimoja cha matawi, vifundo na maua yakifuatana; na vikombe vitatu vyenye umbo la maua ya mlozi vilikuwa kwenye kile kikundi kingine cha matawi, vifundo na maua yakifuatana. Hivyo ndivyo ilivyokuwa kwa yale matawi sita yaliyokuwa yakitoka katika kile kinara cha taa.
На единия клон имаше три чашки, като бадеми, една топчица и едно цвете; така и на шестте клона, които се издаваха от светилника.
20 Na kwenye kile kinara cha taa kulikuwa na vikombe vinne vyenye umbo la maua ya mlozi, vifundo vyake na maua yake yakifuatana.
И на стъблото на светилника имаше четири чашки като бадеми, с топчиците им и цветята им.
21 Na kile kifundo chini ya matawi mawili kilitoka kwake, na kifundo kilicho chini ya yale matawi mengine mawili kilitoka kwake, na kifundo kingine kilicho chini ya matawi mengine mawili zaidi kilitoka kwake, kwa ajili ya matawi sita yanayotoka katika kinara.
И на шестте клона, които се издаваха от светилника, имаше под първите два клона една топчица, под вторите два клона една топчица и под третите два клона една топчица.
22 Vifundo vyake na matawi yake vilitoka kwake, vyote vilikuwa kitu kimoja cha kazi ya kufua, cha dhahabu safi.
Топчиците им и клоновете им бяха част от самия него; светилникът беше цял изкован от чисто злато.
23 Kisha akafanya taa zake saba na mikasi ya tambi zake na vyetezo vyake kutokana na dhahabu safi.
И направи седемте му светила, щипците му и пепелниците му от чисто злато.
24 Alikifanya kwa talanta ya dhahabu safi, hicho pamoja na vyombo vyake vyote.
От един талант чисто злато направи него и всичките му прибори.
25 Sasa akafanya madhabahu ya uvumba kutokana na mbao za mshita. Mkono mmoja urefu wake na mkono mmoja upana wake, ikiwa mraba, na mikono miwili kimo chake. Pembe zake zilitoka kwake.
И направи кадилния олтар от ситимово дърво, един лакът дълъг и един лакът широк, четвъртит; и височината му беше два лакътя; а роговете му бяха част от самия него.
26 Kisha akaifunika kwa dhahabu safi, upande wake wa juu na pande zake za kando kuizunguka na pembe zake, naye akafanya ukingo wa dhahabu kuizunguka pande zote.
Обкова с чисто злато върха му, страните му наоколо, и роговете му; и направи му златен венец наоколо.
27 Naye akaifanyia pete mbili za dhahabu chini ya ukingo wake kwenye pande zake mbili, kwenye pande zake mbili zinazoelekeana, za kutegemeza ile miti ya kuibeba.
А под венеца му му направи две златни колелца, близо при двата му ъгъла, на двете му страни, за да бъдат влагалища на върлините, за да го носят с тях.
28 Kisha akafanya ile miti ya mshita na kuifunika kwa dhahabu.
Върлините направи от ситимово дърво, и обкова ги със злато.
29 Tena akafanya yale mafuta yanayotumiwa kutia mafuta na ule uvumba safi uliotiwa manukato, kazi ya mtengenezaji wa marhamu.
И направи светото миро за помазване, и чистия благоуханен темян, според изкуството на мироварец.

< Kutoka 37 >