< Kutoka 31 >

1 Yahweh akasema na Musa,
BOEIPA loh Moses te a voek tih,
2 “Angalia, nimemwita kwa jina lake Bezaleli mwana wa Uri, mwana wa Huri, wa kabila ya Yuda
“Judah koca lamloh Hur capa Uri kah a ca, a ming ah Bezalel la ka khue he hmu ne.
3 Nami nimemjaza Bezaleli na roho ya Mungu, katika hekima, na maarifa, na ujuzi, na mambo ya kazi ya kila aina,
Anih te Pathen mueihla lamloh cueihnah neh, lungcuei neh, mingnah neh bitat cungkuem ka kum sak.
4 ili abuni kazi za ustadi, kuwa fundi wa dhahabu, na wa fedha, na wa shaba,
Sui neh ngun neh rhohum neh a saii te kopoek neh moeh saeh.
5 na kukata vito kwa kutiwa mahali, na kuchora miti, na kufanya kazi ya ustadi iwayo yote.
Lungto kutthaibibi neh cung sak ham neh thing kutthaibibi dongah khaw bitat cungkuem dongah saii ham ka khue.
6 Tena, nimemchagua, awe pamoja naye Oholiabu, mwana wa Ahisamaki, wa kabila ya Dani. Nami nimetia hekima katika mioyo ya wote wenye moyo wa hekima, ili wapate kufanya vyote nilivyokuagiza. Hii ni,
Kai loh anih neh Dan koca kah Ahisamak capa Oholiab ka tuek coeng he ne. A lungbuei ah lungbuei kah a cueih cungkuem te cueihnah la ka paek tih nang kang uen te boeih saii uh saeh.
7 hema ya kukutania na sanduku la ushuhuda, na kiti cha rehema kilicho juu yake, na vyombo vyote vya Hema;
Tingtunnah dap neh olphong thingkawng khaw, a sokah a tlaeng neh dap dongkah hnopai boeih,
8 na meza, na vyombo vyake, na kinara cha taa safi pamoja na vyombo vyake vyote,
Caboei neh a tubael khaw, hmaitung tang neh a tubael boeih neh bo-ul hmueihtuk,
9 na madhabahu ya kufukizia uvumba; na madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa na vyombo vyake vyote, na birika na tako lake.
Hmueihhlutnah hmueihtuk neh a tubael boeih, baeldung neh a kho khaw,
10 Pia mavazi yenye kufumwa kwa uzuri, na mavazi matakatifu ya Haruni kuhani, na mavazi ya wanawe, ili kutumika katika kazi ya ukuhani.
Hnithun himbai neh khosoih Aaron kah hmuencim himbai khaw, aka khosoih ham a ca rhoek himbai khaw,
11 Pia mafuta ya kutiwa, na uvumba wa manukato mazuri, kwa ajili ya mahali patakatifu; sawasawa na yote niliyokuagiza ndivyo watakavyofanya wao.
koelhnah situi neh hmuencim kah bo-ul botui khaw nang kang uen bangla boeih a saii uh bitni,” a ti nah.
12 akasema na Musa,
BOEIPA loh Moses te a voek tih,
13 “Waambie wana wa Israeli, 'Hakika mtazishika Sabato zangu, kwa kuwa ni ishara kati ya mimi na ninyi katika vizazi vyenu vyote; ili mpate kujua ya kuwa mimi ndimi BWANA niwatakasaye ninyi.
“Namah loh Israel ca rhoek te voek lamtah, ‘Ka Sabbath he kai laklo neh nang laklo kah miknoek la tuem. Na cadilcahma ham khaw nangmih aka ciim tah YAHWEH kamah ni tila aka ming sak la om saeh.
14 Basi mtaishika hiyo Sabato; kwa kuwa ni takatifu kwenu; kila mtu atakayeitia unajisi hakika yake atauawa; kwa kuwa kila mtu afanyaye kazi katika siku hiyo, nafsi hiyo itakatiliwa mbali na watu wake.
Nangmih ham a cim dongah Sabbath te tuem uh. Te te aka poeih tah duek rhoe duek saeh. Te vaengah bitat aka saii boeih khaw a hinglu te a pilnam khui lamloh hnawt pah saeh.
15 Kazi itafanywa siku sita; lakini siku ya saba ni Sabato ya kustarehe kabisa, takatifu kwa BWANA; kila mtu atakayefanya kazi yo yote katika siku ya Sabato, hakika yake atauawa.
Hnin rhuk khuiah bitat te saii saeh. Tedae hnin rhih dongkah koiyaeh Sabbath tah BOEIPA ham khaw cim saeh. Sabbath hnin ah bitat aka saii boeih tah duek rhoe duek saeh.
16 Kwa ajili ya hayo wana wa Israeli wataishika Sabato. Kuiangalia sana hiyo Sabato katika vizazi vyao vyote, ni agano la milele.
Te dongah Israel ca rhoek loh Sabbath te tuem saeh. Sabbath a saii te a cadilcahma ham khaw kumhal kah paipi la om saeh.
17 Ni ishara kati ya mimi na wana wa Israeli milele; kwani kwa siku sita Yahweh alifanya mbingu na nchi, akastarehe kwa siku ya saba na kupumzika.
Kai laklo neh Israel ca rhoek laklo ah kumhal kah miknoek la om ni. BOEIPA loh hnin rhuk ah vaan neh diklai a saii. Tedae hnin rhih dongah a toeng tih tha a sai sak ta,’ ti nah,” a ti nah.
18 Hapo Mungu alipokuwa amekwisha zungumza na Musa katika mlima wa Sinai, akampa hizo mbao mbili za ushuhuda, mbao mbili za mawe, zilizoandikwa kwa mkono wake.
Anih taengah a thui te a khah nen tah Sinai tlang ah Pathen kah kutdawn loh lungto cabael a daek tih olphong cabael panit la Moses taengah a paek.

< Kutoka 31 >