< Kutoka 30 >

1 Nawe fanya madhabahu ya kufukizia uvumba; utaifanyiza kwa mti wa mshita.
Bo-ul hlupnah hmueihtuk na saii vaengah rhining thing mah saii.
2 Urefu wake utakuwa dhiraa moja, na upana wake dhiraa moja; itakuwa mraba; na kwenda juu kwake dhiraa mbili; pembe zake zitakuwa za kitu kimoja nayo.
Hmueihtuk te a yun dong khat neh a daang dong khat saeh lamtah hniboeng la om saeh. Amah lamloh a ki hil a sang dong nit lo saeh.
3 Nawe utaifunikiza dhahabu safi juu yake - na mbavu zake kando kando, na pembe zake. Nawe utaifanyia ukingo wa dhahabu kuizunguka.
Te te a imphu khaw, a pangbueng neh a ki khaw, sui cilh neh pin ben thil. Te te a khopnah khaw sui neh pin saii.
4 Kisha utaifanyia pete mbili za dhahabu, chini ya ukingo wake katika mbavu zake mbili, katika pande zake mbili utazifanya; nazo zitakuwa mahali pa kuitia miti ya kuichukulia madhabahu.
A vae rhoi kah a khopnah hmui ah sui kutcaeng panit saii pah. A vae rhoi kah na saii phoeiah tah te kah te hmueihtuk aka kawt ham thingpang rholhnah la om saeh.
5 Na ile miti utaifanya kwa mti wa mshita, na kuifunikiza dhahabu safi.
Thingpang te rhining thing saii lamtah sui neh ben thil.
6 Nawe utaitia mbele ya lile pazia lililo karibu na sanduku la ushuhuda mbele ya kiti cha rehema kilicho juu ya ushuhuda, hapo nitakapokutana nawe.
Hmueihtuk te olphong sokah a tlaeng hmai, olphong thingkawng taengkah hniyan hmai ah khueh. Te ah ni nang te pahoi kan tuentah eh.
7 Na Aruni atafukiza uvumba wa manukato juu yake; kila siku asubuhi. Atakapozitengeneza zile taa, ataufukiza,
Te dongah te Aaron loh mincang, mincang ah bo-ul botui phum saeh. Te te a rhoekbah vaengah khaw hmaithoi te tok saeh.
8 na Aruni atakapoziwasha zile taa wakati wa jioni, ataufukiza, uwe uvumba wa daima mbele za Yahweh katika vizazi vyenu vyote.
Aaron loh hlaemhmah kah hmaithoi a vang vaengah khaw bo-ul te phum saeh. Te te na cadilcahma ham khaw BOEIPA mikhmuh ah saii yoeyah saeh.
9 Hamtafukiza juu yake uvumba mgeni, wala sadaka ya kuteketezwa, wala sadaka ya unga, wala hamtamimina juu yake sadaka ya kinywaji.
Te soah te kholong kah bo-ul neh hmueihhlutnah khaw khocang khaw khuen boeh. Te soah tuisi khaw doeng boeh.
10 Naye Aruni atafanya upatanisho juu ya pembe zake mara moja kila mwaka. Kwa damu ya ile sadaka ya dhambi ya kufanya upatanisho, mara moja kila mwaka ataifanyia upatanisho, katika vizazi vyenu vyote. Ni takatifu sana kwa Yahweh.”
Aaron loh kum khat ah vai tah hmueihtuk ki dongah boirhaem thii neh dawth saeh. Kum khat ah vai tah hmueihtuk dongah na cadilcahma ham dawthnah neh dawth pah saeh. Te tah BOEIPA ham a cim kah a cim koek ni.
11 BWANA akanena na Musa,
Te phoeiah BOEIPA loh Moses te a voek tih,
12 “Utakapowahesabu wana wa Israeli, kama itakavyotokea hesabu yao, ndipo watakapompa BWANA kila mtu ukombozi kwa ajili ya roho yake, hapo utakapowahesabu; ili kwamba yasiwe maradhi kati yao, hapo utakapowahesabu.
“Israel ca rhoek kah hlangmi te tae lamtah amih te soep. Te vaengah hlang boeih loh a hinglu kah tlansum te BOEIPA taengah pae uh saeh. Amih te ming a soep daengah ni a soep vanbangla tlohthae loh amih soah a om pawt eh.
13 Kila mtu apitaye kwa wale waliohesabiwa atatoa nusu shekeli kwa kuiandama shekeli ya mahali patakatifu; (shekeli ni gera ishirini). Nusu shekeli kwa sadaka ya Yahweh.
Ming soep ham aka paan boeih loh gerah pakul neh aka tluk hmuencim shekel te shekel ngancawn ah pae uh saeh. Shekel khat dong shekel rhakthuem he BOEIPA kah khosaa ni.
14 Kila mtu apitaye kwa wale waliohesabiwa tangu huyo ambaye umri wake ni miaka ishirini, au zaidi, atatoa hiyo sadaka kwangu.
Ming soep ham aka paan kum kul ca neh a so boeih long tah BOEIPA taengah khosaa pae saeh.
15 Watu watakapo leta hii sadaka kwangu kufanya upatananisho, matajiri hawataleta zaidi, wala maskini hawataleta kilichopungua katika hiyo nusu shekeli.
Na hinglu dawth ham BOEIPA kah khosaa na khueh te shekel pakhat kah rhakthuem lakah hlanglen long khaw pueh boel saeh lamtah tattloel long khaw hnop boel saeh.
16 Nawe utapokea hizo fedha za upatanisho mikononi mwa hao wana wa Israeli, na kuziweka kwa ajili ya utumishi wa hema ya kukutania. Ili kwamba ziwe ukumbusho kwa ajili ya wana wa Israeli mbele yangu ili kufanya upatanisho kwa ajili ya roho zenu.
Israel ca rhoek taeng lamkah dawthnah tangka na doe te tingtunnah dap ah thothuengnah ham pae. Na hinglu aka dawth ham te BOEIPA mikhmuh ah Israel ca rhoek kah poekkoepnah la om saeh,” a ti nah.
17 Yahweh akamwambia Musa,
Te phoeiah BOEIPA loh Moses te a voek tih,
18 “Fanya na birika la shaba, na tako lake la shaba, ili kuogea; nawe utaliweka kati ya hema ya kukutania na madhabahu, nawe utalitia maji.
“Silh vaengkah ham rhohum baeldung khaw saii lamtah a kho khaw rhohum saeh. Te te tingtunnah dap laklo neh hmueihtuk laklo ah hol lamtah tui pahoi tawn thil.
19 Na Aruni na wanawe wataosha mikono yao na miguu yao humo.
Te lamlong te Aaron neh anih koca rhoek loh a kut, a kho sil uh saeh.
20 Hapo waingiapo ndani ya hema ya kukutania au waendepo karibu na madhabahu kunitumikia kwa kuchoma sadaka, watajiosha majini, ili wasife.
Tingtunnah dap im khuila a kun uh vaengah tui hlu uh saeh. Te daengah ni BOEIPA taengah hmaihlutnah phum ham neh thohtat ham hmueihtuk la a thoeih vaengah a duek uh pawt eh.
21 Basi wataosha mikono yao na miguu yao ili kwamba wasife; na neno hili litakuwa amri kwao milele, kwake yeye na kwa wazao wake katika vizazi vyao vyote.
A kut a kho te a silh uh daengah ni a duek uh pawt eh. Te dongah amah ham neh a tiingan ham khaw, a cadilcahma ham khaw kumhal kah oltlueh la amih taengah om saeh,” a ti nah.
22 Kisha Yahweh akasema na Musa,
BOEIPA loh Moses te a voek bal tih,
23 “Jitwalie manukato yaliyo bora, manemane mbichi shekeli mia tano, na mdalasini wenye harufu nzuri 250, na kane shekeli 250
“Namah bal loh namah ham boeilu botui myrrah pi ya nga, thingsa botui yahnih sawmnga ngancawn, canhnam botui yahnih sawmnga,
24 na kida shekeli mia tano, kwa kuiandama shekeli ya mahali patakatifu, na mafuta ya zeituni kiasi cha vibaba vitano.
valaeng khaw hmuencim kah shekel dongah ya nga neh olive situi bunang khat ah lo laeh.
25 Nawe utayafanya mafuta ya kutiwa matakatifu, marhamu iliyochanganywa kwa kazi ya ustadi ya mtengezaji manukato; yatakuwa ni mafuta matakatifu ya kutiwa.
Te phoeiah aka thungnom bibi kah yuhnah si bangla hmuencim koelhnah situi he saii lamtah hmuencim kah koelhnah situi la om saeh.
26 Nawe utaipaka hema ya kukutania kwa mafuta hayo, na hilo sanduku la ushuhuda,
Te nen te tingtunnah dap neh olphong thingkawng khaw,
27 na hiyo meza, na vyombo vyake vyote, na kinara cha taa, na vyombo vyake,
caboei neh a tubael boeih khaw, hmaitung neh a tubael khaw, bo-ul hmueihtuk khaw,
28 na madhabahu ya kufukizia uvumba, na madhabahu ya kuteketezea sadaka, pamoja na vyombo vyake vyote, na birika, na tako lake.
hmueihhlutnah hmueihtuk neh a hnopai boeih khaw, baeldung neh a kho te koelh pah.
29 Nawe utavitakasa vitu hivyo, ili viwe vitakatifu sana; tena kila kivigusacho vyombo vile kitakuwa kitakatifu.
Te rhoek te na ciim tangloeng daengah ni a cim kah a cim la a om tih te aka ben boeih khaw a cimcaih eh.
30 Nawe utawatia mafuta Aruni na wanawe, na kuwatakasa, ili wanitumikie katika kazi ya ukuhani.
Aaron neh anih koca rhoek khaw koelh lamtah kamah taengah khosoih sak ham amih te ciim laeh.
31 Nawe utanena na wana wa Israeli na kuwaambia, Haya yatakuwa ni mafuta matakatifu ya kutiwa kwa ajili yangu mimi katika vizazi vyenu vyote.
Israel ca te khaw thui pah lamtah, ‘Hmuencim kah koelhnah situi he tah na cadilcahma duela kamah taengah om saeh,’ ti nah.
32 Hayatamiminwa katika kiwiliwili cha binadamu, wala msifanye mengine mfano wa haya kama yalivyoungwa kwa viungo vyake; ni matakatifu, na kwenu ninyi yatakuwa matakatifu.
Hlang pum dongah yuh nah boel saeh lamtah te kah a lantang neh te bang te saii boeh. Te kah a cim te nangmih taengah khaw a cim la om saeh.
33 Mtu awaye yote atakayechanganya mafuta mfano wa haya, au mtu awaye yote atakayetia mafuta haya juu ya mgeni, mtu huyo atakatiliwa mbali na watu wake.'”
Te bang aka thungnom tih kholong taengah te aka pae hlang te tah a pilnam lamloh hnawt saeh,” a ti nah.
34 Yahweh akamwambia Musa, “Jitwalie manukato mazuri, yaani, natafi, na shekelethi, na kelbena; viungo vya manukato vizuri pamoja na ubani safi; vitu hivyo vyote na viwe vya kipimo kimoja.
Te phoeiah BOEIPA loh Moses te, “Namah ham botui aangpi neh khawphlawp khaw, botui tlangsungsing neh hmueihtui cil lo lamtah amah, amah om saeh.
35 Nawe utafanya uvumba wa vitu hivyo, manukato ya kazi ya ustadi wa mtengenazaji manukato, yatakuwa yamekolea, safi, matakatifu.
Te te thungnom kutci loh cilrhik la a thoek, yuhnah bo-ul cim la saii.
36 Nawe baadhi yake utayaponda sana, na kuyaweka mbele ya ushuhuda ndani ya hema ya kukutania, hapo nitakapokutana nawe; nayo yatakuwa kwenu matakatifu sana.
Te te a tip la neet lamtah tingtunnah dap khuikah olphong hmai ah khueh. Te ah te nang kan tuentah vetih nangmih ham hmuencim kah hmuencim koek la om ni.
37 Na uvumba utakaofanya, hamtajifanyia uvumba wenye viungo sawasawa na uvumba huo; utakuwa kwenu mtakatifu kwa ajili yangu.
Te bo-ul na saii vaengkah a lan a tang neh namah ham saii boeh. BOEIPA ham namah taengah a cim om.
38 Mtu ye yote atakayefanya mfano wa huo, ili kuunusa, mtu huyo atakatiliwa mbali na watu wake.
Te te him ham te bang aka saii hlang te a pilnam lamloh hnawt saeh,” a ti nah.

< Kutoka 30 >