< Kutoka 21 >

1 Sasa hizi ni amri utakazoweka kabla yao:
Ето съдбите, които ще представиш пред тях.
2 'kama mtanunua mtumishi wa kiebrania, atatumikia kwa miaka sita, na mwaka wa saba ataachiwa huru bila kilipwa chochote.
Ако купиш роб евреин, шест години ще работи, а в седмата ще излезе свободен, без откуп.
3 Kama alikuja mwenyewe, ataenda huru kwa ridhaa yake;
Ако е дошъл сам, сам да си излезе; ако е имал жена, то и жена му да излезе с него.
4 kama bwana wake atampa mke na kumzalia mwana na binti, mke pamoja na watoto wake watabaki mali ya bwana wake, na ataenda zake huru.
Ако господарят му му е дал жена, и тя му е родила синове или дъщери, то жената и чадата й ще бъдат на гсподаря й, а той ще излезе сам.
5 Lakini kama mtumishi atasema waziwazi, “Nampenda bwana wangu, mke wangu, na watoto; sitaenda nje,”
Но ако робът изрично каже: Обичам господаря си, жена си и чадата си; не желая да изляза свободен,
6 “kisha bwana wake atapaswa kumleta kwa Mungu. Bwana wake atapaswa kumleta katika mlango au katika muhimili wa mlango, na bwana wake atatoboa sikio lake na sindano. Kisha mtumishi wake atamtumikia kwa maisha yake yote.
тогава господарят му ще го заведе пред съдиите, и, като го приведе при вратата, или при стълба на вратата, господарят му ще му промуши ухото с шило; и той ще му бъде роб за винаги.
7 Kama mwanaume ata muuza binti wake kama mtumishi wa kike, ata weza kwenda huru kama watumishi wa kiume wanavyo enda.
Ако някой продаде дъщеря си за робиня, тя няма да излезе така както излизат робите.
8 Kama hamridhishi bwana wake, aliye mtenga kwa ajili yake, kisha lazima amnunue tena. Hana ruhusa ya kumuuza kwa watu wengine wa kigeni. Hana ruhusa hiyo, sababu amemtendea kwa hila.
Ако не бъде угодна на господаря си, който се е сгодил за нея, то нека я остави да бъде откупена; той не ще има власт да я продаде на чужденци, тъй като й е изневерил.
9 Ikiwa bwana wake atamposa awe mke wa mwanae, atamtendea kama desturi zipasavyo sawa na binti zake.
Но ако я е сгодил за сина си, то нека постъпи с нея, както е обичайно с дъщерите.
10 Ikiwa atajitwalia mke mwingine, asimpunguzie huyo chakula chake, nguo na haki zake za unyumba.
Ако си вземе още една жена, да не лиши оная от храната й, от дрехите й и от съпружеско съжитие с нея.
11 Lakini asipofanyiwa mambo haya matatu, basi anaweza kwenda bure pasipo kutolewa mali.
И ако не й направи тия трите, тогава тя нека си излезе даром, без откуп.
12 Mtu awaye yote ampigaye mtu hata akafa, inampasa mtu huyo auawe pia.
Който удари човек смъртоносно, непременно да се умъртви.
13 Lakini kama hakumvizia, ila kwa bahati mbaya, basi nitamfanyia mahali pa kukimbilia.
Но ако не го е причаквал, но Бог го е предал в ръката му, тогава Аз ще ти определя място гдето да побегне.
14 Lakini mtu akimwendea mwenzake kwa kujikinai, kusudi apate kumwua kwa hila; huyo utamwondoa hata kama ni madhabahuni pangu, ili auawe.
Ако, обаче, някой от злоба убие ближния си коварно, то и от олтара Ми ще го извадиш, за да се умъртви.
15 Yeyote atakaye mpiga baba au mama yake lazima auawe.
Който удари баща си или майка си непременно да се умъртви.
16 Yeyote atakaye mteka mtu na kumuuza, au mtu amekutwa kama mali yake, huyo mtekaji lazima auawe.
Който открадне човек и го продадеде, или ако откраднатият се намери в ръката му, той непременно да се умъртви.
17 Yeyote atakaye mlaani baba au mama yake lazima auawe.
Който хули баща си или майка си непременно да се умъртви.
18 Kama wanaume watapigana na mmoja akimpiga mwengine kwa jiwe au ngumi, na huyo mtu asife, lakini alazwe kitandani;
Когато се карат някои, ако единият удари другия с камък или с юмрука си, и той не умре, но пази легло;
19 kisha akapona na anaweza kutembea kwa gongo lake, yeye aliye mpiga lazima alipe muda aliye mpotezea; na lazima alipe matibabu yake yote. Lakini huyo mtu hana hatia ya mauaji.
и ако последният се придигне и излиза макар с тояга, тогава оня, който го е ударил, ще бъде невинен, само ще плати за денгубата му и ще направи да бъде съвършено изцерен.
20 Kama mwanaume akimpiga mtumishi wake wa kiume au wa kike kwa gongo, na kama mtumishi huyo akifa kwa madhara ya pigo, kisha huyo mtu lazima ahadhibiwe.
Ако някой удари роба си или робинята си с тояга, та умре под ръката му, непременно да се накаже.
21 Walakini, mtumishi huyo akiishi siku moja au mbili, bwana aruhusiwi kuadhibiwa, kwa kuwa atateseka kupoteza mtumishi huyo.
Обаче, ако удареният поживее един два дена, тогава да се не наказва, понеже той му е стока.
22 Kama wanaume wakipigana pamoja na wakamuumiza wanamke mwenye mimba na kuiharibu, lakini hakuna majeraha mengine kwake, kisha huyo mwanaume mwenye hatia lazima alipe kama mme wa mwanamke anavyo taka kwake, na kulipa kama hakimu anavyo kusudia.
Ако се бият някои и ударят трудна жена, така щото да пометне, а не последва друга повреда, тогава оня, който я е ударил непременно да бъде глобен, според както мъжът й би му наложил, и да плати както определят съдиите.
23 Lakini kama kuna majeraha makubwa, lazima utoe uhai kwa uhai, jicho kwa jicho,
Но ако последва повреда, тогава да отсъдиш живот за живот,
24 jino kwa jino, mkono kwa mkono, mguu kwa mguu,
око за око, зъб за зъб, ръка за ръка, нога за нога,
25 kuchoma kwa kuchoma, jeraha kwa jeraha, au mkwaruzo kwa mkwaruzo.
изгаряне за изгаряне, рана за рана, удар за удар.
26 Kama mwanaume akipiga jicho la mtumishi wake kiume au mtumishi wake wa kike na kuliharibu, kisha lazima amuache mtumishi aende pasipo fidia ya jicho.
Ако някой удари роба си или робинята си в окото, и то се развали, поради окото му ще го освободи.
27 Kama akitoa jino la mtumishi wake wa kiume au mtumishi wake wa kike, lazima amuache mtumishi kwenda huru kama fidia ya jino.
И ако избие някой зъб на роба си или някой зъб на робинята си, ще го освободи поради зъба му.
28 Kama ng'ombe akimpiga mwanaume au mwanamke akafa, ng'ombe lazima apigwe mawe, na nyama yake hairuhusiwi kuliwa; lakini mmiliki wa ng'ombe lazima awe huru kwa hatia.
Ако вол убоде мъж или жена щото да умре, тогава да се убие с камъни, и да се не яде месото му; а стопанинът на вола ще бъде оправдан.
29 Lakini kama ng'ombe alikuwa na tabia ya kupiga hapo awali, na mmiliki wake alionywa lakini hakumzuia, na ng'ombe ameua mwanaume au mwanamke, huyo ng'ombe lazima apigwe mawe, na mmiliki wake lazima auawe pia.
Но ако волът е бил бодлив от по-напред, и това е било известно на стопанина му, но той не го е ограничил, та е убил мъж или жена, то волът да се убие с камъни, още и стопанинът му да се умъртви.
30 Kama malipo ya uhai yanaitajika, lazima alipe chochote anachotakiwa kulipa.
Обаче, ако му се определи откуп, то за избавление на живота си нека даде, колкото му се определи.
31 Kama ng'ombe amempiga mwana wa mwanaume au binti wake, mmiliki wa ng'ombe anapaswa kufanya kama masharti yanavyo mlazimu.
Било че волът е убол мъж или е убол жена, според тая съдба ще му се направят.
32 Kama ng'ombe akimpiga mtumishi wa kiume au wakike, mmiliki wa ngombe lazima alipe shekeli thelathini za fedha, na ng'ombe lazima apigwe mawe.
Но ако волът убоде роб или робиня, стопанинът нека плати на господаря им тридесет сребърни сикли, и нека се убие волът с камъни.
33 Kama mwanaume akifungua shimo, au kama mwanume akichimba shimo na asifunike, na ng'ombe au punda akaanguka ndani,
Ако отвори някой яма, или изкопае яма без да я покрие, и в нея падне вол или осел,
34 mmiliki wa shimo lazima alipe madhara. Lazima atoe hela kwa mmiliki wa mnyama aliye kufa, na mnyama aliye kufa atakuwa wake.
притежателят на ямата ще заплати повредата; ще даде пари на стопанина им, а мършата ще бъде негова.
35 Kama ng'ombe wa mwanaume akimuumiza ng'ombe wa mwanume mwengine hadi kufa, kisha lazima wamuuze ng'ombe aliye hai na kugawana gharama, na pia lazima wagawane ng'ombe aliye kufa.
Ако волът на някого убоде вола на другиго, така щото умре, тогава да продадат живия вол и да си разделят стойността му, и мършата тоже да си разделят.
36 Lakini kama ilijulikana kama ng'ombe alikuwa na tabia ya kupiga hapo awali, na mmiliki wake hakumfunga ndani, hakika lazima alipe ng'ombe kwa ng'ombe, na mnyama aliye kufa atakuwa wake.
Но ако се е знаело от по-напред, че волът е бил бодлив, и стопанинът му не го е ограничил, то непременно ще плати вол за вол, а мършата ще бъде негова.

< Kutoka 21 >