< Kutoka 2 >

1 Sasa mwanamme wa kabila la Lawi alimuoa mwanamke Mlawi.
В това време отиде някой си човек от Левиевия дом та взе за жена една от Левиевите жени.
2 Yule mwanamke akapata mimba na kuzaa mtoto wa kiume. Alipoona ya kuwa alikuwa mtoto mwenye afaya, alimficha kwa miezi mitatu.
И жената зачна и роди син; и като видя, че беше красиво дете, кри го за три месеца.
3 Lakini alipokuwa hawezi kuendelea kumficha tena, alichukua kikapu cha manyasi akakipaka sifa na lami. Akamtia mtoto ndani yake na kukiweka juu ya maji katika majani kando ya mto.
Но понеже не можеше вече да се крие, взе му рогозен ковчежец и намаза го със смола и катран, тури детето в него и го положи в тръстиката край брега на реката.
4 Dada yake akasimama kwa mbali ili ajue yatakayompata.
А сестра му стоеше от далеч, за да види какво ще му се случи.
5 Binti Farao akashuka kuoga mtoni wakati vijakazi wake wakitembea kando ya mto. Naye akaona kile kikapu katika majani na akamtuma kijakazi wake kwenda kukileta.
И Фараоновата дъщеря слезе да се окъпе в реката, а слугините й ходеха по брега на реката; и когато съгледа ковчежеца в тръстиката, тя прати слугинята си за го донесе.
6 Alipokifungua, aliomwona mtoto. Tazama, mtoto alikuwa analia. Alimhurumia na kusema, “Bila shaka huyu ni mmoja wapo wa watoto wa Waebrania.”
Като го отвори, видя детето, и, ето малкото плачеше; и пожали го и каза: От еврейските деца е това.
7 Basi dada wa yule mtoto akamwambia binti Farao, “Je naweza kwenda kukutafutia mwanamke wa Kiebrania aje akulele mtoto kwa ajili yako?”
Тогава сестра му рече на Фараоновата дъщеря: Да отида ли да ти повикам доилка от еврейките, за да ти дои детето?
8 Binti Farao akamwambia, “Nenda.” Hivyo yule binti akaenda na kumwita mama yake yule mtoto.
И Фараоновата дъщеря й рече: Иди. И тъй, момичето отиде та повика майката на детето.
9 Binti Farao akamwambia mama yake yule mtoto, “Mchukue mtoto huyu ukaninyonyeshee, nami nitakupa posho.” Hivyo yule mwanamke akamchukua mtoto na kumnyonyesha.
И Фараоновата дъщеря й рече: Вземи това дете и ми го отдой, и аз ще ти заплатя. И жената взе детето и го доеше.
10 Mtoto alipokuwa mkubwa, akamleta kwa binti Farao, na akawa mtoto wake. Akamwita jina lake Musa akisema, “Kwa sababu nilimtoa katika maji.”
А когато порасна детето, донесе го на Фараоновата дъщеря, и то стана неин син. И наименува го Моисей: Понеже, каза тя, извлякох го от водата.
11 Musa alipokuwa mtu mzima, alienda kwa watu wake na kuona kazi ngumu walizokuwa wanafanya. Alimuona Mmisri akimpiga Mwebrania, mmoja wa watu wa jamii yake.
А във времето, когато Моисей порасна, излезе при братята си и гледаше теглилата им. И видя някой си египтянин, че биеше един евреин, един от братята му;
12 Aliangalia huku na kule, na alipoona ya kuwa hakuna mtu, alimuua yule mmisri na kuuficha mwili wake katika mchanga.
и като поразгледа насам натам и видя, че няма никой, уби египтянина и го скри в пясъка.
13 Alienda tena siku iliyofuata, na tazama, Waebrania wawili walikuwa wanapigana. Alimwambia yule aliyekuwa na makosa, “Kwa nini unampigia mwenzako?”
Излезе и на другия ден, и ето, двама евреи се препираха; и каза на обидника: Защо биеш другаря си?
14 Lakini yule mtu alisema, “Ni nani aliyekuweka wewe kuwa kiongozi na mwamuzi juu yetu? Unataka kuniua na mimi kama ulivyomuua yule mmisri?” Ndipo Musa akaogopa na kusema, “Hakika niliyoyafanya yamejulikana.”
А той рече: Кой те постави началник и съдия над на? Искаш ли и мене да убиеш, както уби египтянина? Тогава Моисей се уплаши и си каза: Явно е, че това нещо стана известно.
15 Farao aliposikia habari hizi, alijaribu kumuua Musa. Lakini Musa alikimbia na kwenda kuishi katika nchi ya Wamidiani. Kule alikaa chini kando ya mto.
А като чу това Фараон, търсеше случай да убие Моисея; но Моисей побягна от Фараоновото лице и се засели в Мадиамската земя. И седна до един кладенец.
16 Wakati huo kuhani wa Midiani alikuwa na mabinti saba. Walikuja mtoni kuchota maji na kujaza vyombo vyao ili wawanyweshe mifuko ya baba yao.
А Мадиамският жрец имаше седем дъщери, които дойдоха и наляха вода и напълниха коритата, за да напоят бащините си овци.
17 Wachungaji walikuja na kutaka kuwafukuza, lakini Musa alienda kuwasaidia. Kisha akawanywesha mifugo wao.
Но овчарите дойдоха и ги изпъдиха; а Моисей стана та им помогна, и напои овците им.
18 Wale mabinti walipoenda kwa Reueli baba yao, aliwauliza, “Kwa nini mmerudi nyumbani mapema hivi leo?”
И като дойдоха при баща си Рагуила, той им рече: Как дойдохте днес толкова скоро.
19 Wakamwambia, “Mmisri mmoja alituokoa dhidi ya wachungaji. Pia alichota maji na kuwanywesha mifugo wetu.”
А те казаха: Един египтянин ни избави от ръцете на овчарите, при това и вода ни наля та напои овците.
20 Kisha akawauliza binti zake, “Yu wapi sasa? Kwa nini mlimwacha? Mwiteni ili apate kula chakula pamoja nasi.”
И той рече на дъщерите си: А где е той? защо оставихте човека? повикайте го да яде хляб.
21 Musa akakubali kukaa na yule mtu ambaye pia alimpa binti yake Zipora ili amuoe.
И Моисей склони да живее при човека, който е даде на Моисея дъщеря си Сепфора за жена.
22 Alizaa mtoto wa kiume, na Musa akamwita jina lake Geshomu; akisema; “Nimekuwa mkazi katika nchi ya ugeni.”
И тя роди син; и той го наименува Герсам, защото думаше: Пришелец станах в чужда земя.
23 Muda mrefu baadaye, mfalme wa Misri akafa. Waisraeli walilalamika kwa sababu ya kazi za utumwa. Walilia kutafuta msaada, na maombi yao yakamfikia Mungu kwa sababu ya mateso yao.
Подир дълго време египетският цар умря; а израилтяните пъшкаха под робството и извикаха: и викат им от робството стигна до Бога.
24 Mungu aliposikia malalamiko yao, Mungu alikumbuka agano lake na Abrahamu, na Isaka, na Yakobo.
Бог чу пъшканията им; и Бог спомни завета си с Авраама, с Исаака, и с Якова.
25 Mungu aliwaona Waisraeli na akaielewa hali yao.
И Бог погледна на израилтяните, и Бог разбра положението им.

< Kutoka 2 >