< Torati 8 >

1 Mnapaswa kuyashika maagizo yote ninayowapa leo, ili kwamba mweze kuishi na kuongezeka, na kuingia na kuimiliki nchi ambayo Yahwe aliaapa kwa baba zenu.
You shall observe to do all the mitzvot ·instructions· which I enjoin you today, that you may live, and multiply, and go in and possess the land which Adonai swore to your fathers.
2 Mtakumbuka akilini njia zote ambazo Yahwe Mungu amewaongoza miaka hii arobaini kwenye jangwa, ili kwamba apate kuwanyenyekeza, ili kwamba awajaribu kujua nini kilikuwa ndani ya mioyo yenu, kama mungeweza kuyashika maagizo yake au hapana.
You shall remember all the way which Adonai your God has led you these forty years in the wilderness, that he might humble you, to prove you, to know what was in your heart, whether you would keep his mitzvot ·instructions·, or not.
3 Aliwanyenyekeza, na kuwafanya kuwa na njaa, na kuwalisha manna, ambayo hamkuijua na ambayo baba zenu hawakuijua. Alifanya hivyo kuwafanya nyie kujua si kwa mkate tu watu wanaishi, badala ni kwa chochote hutoka kwenye kinywa cha Yahwe kwamba watu wanaishi.
He humbled you, and allowed you to be hungry, and fed you with manna ·what is it·, which you didn’t know, neither did your fathers know; that he might teach you that man does not live by bread only, but man lives by every d'var ·word· that proceeds out of Adonai’s mouth.
4 Mavazi yenu hayakuchanika na kudondoka, na miguu yenu haikuvimba kipindi cha miaka hiyo arobaini.
Your clothing didn’t grow old on you, neither did your foot swell, these forty years.
5 Mtatafakari katika mioyo yenu kuhusu, namna, kama mtu anavyo mwadibisha kijana wake, hivyo Yahwe Mungu wenu anawadibisha ninyi.
You shall consider in your heart that as a man disciplines his son, so Adonai your God disciplines you.
6 Mtayashika maagizo ya Yahwe Mungu wenu, ili kwamba mweze kutembea katika njia zake na kumheshimu.
You shall keep the mitzvot ·instructions· of Adonai your God, to walk in his ways, and to fear him.
7 Kwa kuwa Yahwe Mungu wenu anawaleta katika nchi nzuri, nchi ya vijito vya maji, visima na chemchemi, vitiririkavyo kwenda kwenye mabonde na miongoni mwa milima,
For Adonai your God brings you into a good land, a land of brooks of water, of springs, and underground water flowing into valleys and hills;
8 nchi ya ngano na shayiri, mizabibu, mtini, na komamanga; nchi mizeituni na asali.
a land of wheat and barley, and vines and fig trees and pomegranates; a land of olive trees and honey;
9 Ni nchi ambayo mtakula mkate bila kupungukiwa, na ambapo mtaenda bila chochote; nchi ambayo mawe yametengenezwa kwa chuma, na kutokana na milima mtaweze kuchimba shaba.
a land in which you shall eat bread without scarceness, you shall not lack anything in it; a land whose stones are iron, and out of whose hills you may dig copper.
10 Mtakula na kushiba, na mtambariki Yahwe Mungu wenu kwa nchi nzuri ambayo amewapa.
You shall eat and be full, and you shall bless Adonai your God for the good land which he has given you.
11 Iweni makini kwamba msimsahau Yahwe Mungu wenu, na kwamba msipuuzie maagizo yake, hukumu zake, na sheria zake ambazo ninakuamuru leo,
Beware lest you forget Adonai your God, in not keeping his mitzvot ·instructions·, and his judgments, and his statutes, which I enjoin you today;
12 vinginenyo unapokula na ukashiba, na wakati unajenga nyumba nzuri na kuishi ndani zao.
lest, when you have eaten and are full, and have built fine houses, and lived in them;
13 Na muwe makini wakati makundi yenu na mifugo yenu ikiongezeka, na wakati wa fedha zenu na dhahabu zenu zikiongezeka, na vyote mlivyonavyo kuongezeka,
and when your herds and your flocks multiply, and your silver and your gold is multiplied, and all that you have is multiplied;
14 basi kwamba mioyo yenu iliniuliza juu ya kumsahau Yahwe Mungu wenu-aliyewaleta kutoka nchi ya Misri, toka nyumba ya utumwa.
then your heart might be lifted up, and you forget Adonai your God, who brought you out of the land of Egypt [Abode of slavery], out of the house of bondage;
15 Usimsahau yeye aliyewaongoza kupitia jangwa kuu na la kutisha, ambako ndani yake kulikuwa na nyoka wa moto na nge, na pitia nchi yenye kiu ambako hapakuwa na maji, ambaye yeye alileta maji toka kwenye mwamba wa jiwe.
who led you through the great and terrible wilderness, with fiery serpents and scorpions, and thirsty ground where there was no water; who poured water for you out of the rock of flint;
16 Ambaye aliwalisha kwenye jangwa kwa manna ambayo mababu zenu hawakuijua, ili kwamba awajaribu, kufanya uzuri kwenu mwishoni-
who fed you in the wilderness with manna ·what is it·, which your fathers didn’t know; that he might humble you, and that he might prove you, to do you good at your latter end:
17 lakini mnaweza kusema mioyoni mwenu, Nguvu yangu na mkono wangu wa uweza umepata utajiri huu wote.
and lest you say in your heart, “My power and the might of my hand has gotten me this wealth.”
18 Lakini mtamkumbuka akilini Yahwe Mungu wenu, kwa kuwa ni yeye awapae ninyi nguvu ya kupata utajiri, ili kwamba aweze kuanzisha agano lake aliloapa kwa baba zenu, kama ilivyo leo.
But you shall remember Adonai your God, for it is he who gives you power to get wealth; that he may establish his covenant ·binding contract between two or more parties· which he swore to your fathers, as it is today.
19 Itakuwa kwamba, kama mtamsahau Yahwe Mungu wenu na kuwaendea miungu mingine, kuibudu, na kuiheshimu, nashuhudia kinyume dhidi yenu leo kwamba mtateketea.
It shall be, if you shall forget Adonai your God, and walk after other deities, and abad ·serve· them, and hawa ·bow low, prostrate· to worship them, I testify against you today that you shall surely perish.
20 Kama mataifa ambayo Yahwe anatengeneza kuyaangamiza mbele yenu, hivyo mtaangamia, kwa sababu hamkusikiliza sauti ya Yahwe Mungu wenu.
As the nations that Adonai makes to perish before you, so you shall perish; because you wouldn’t sh'ma ·hear obey· Adonai your God’s voice.

< Torati 8 >