< Torati 18 >

1 Makuhani, ambao ni Walawi, na makabila yote ya Lawi, hayatakuwa na mgao wala urithi pamoja na Israel; wanapaswa kula dhabihu ya Yahwe iliyotengenezwa kwa moto kama urithi wao.
لاویان کهنه و تمامی سبط لاوی راحصه و نصیبی با اسرائیل نباشد.۱
2 Hawatakuwa na urithi miongoni mwa ndugu zao; Yahwe ni urithi wao, kama alivyosema nao.
پس ایشان در میان برادران خود نصیب نخواهندداشت. خداوند نصیب ایشان است، چنانکه به ایشان گفته است.۲
3 Hii ni sababu ya makuhani kutoka kwa watu, kutoka kwa wale wanaotoa dhabihu, kama itakuwa ng'ombe au kondoo: wanapaswa kutoa kwa kuhani bega, mashavu mawili, na sehemu za ndani.
و حق کاهنان از قوم، یعنی از آنانی که قربانی، خواه از گاو و خواه از گوسفندمی گذرانند، این است که دوش و دو بنا گوش وشکنبه را به کاهن بدهند.۳
4 Mazao ya kwanza ya nafaka zako, mvinyo wako mpya, na mafuta yako, na manyoya ya kwanza ya kondoo zako, unapaswa umpe.
و نوبر غله و شیره وروغن خود و اول چین پشم گوسفند خود را به اوبده،۴
5 Kwa kuwa Yahwe Mungu wako amemchagua kutoka kwenye makabila yote yako kusimama kutumika kwa jina la Yahwe, yeye na wana wake milele.
زیرا که یهوه، خدایت، او را از همه اسباطت برگزیده است، تا او و پسرانش همیشه بایستند و به نام خداوند خدمت نمایند.۵
6 Kama Mlawi anatoka kati ya miji yenu nje ya Israel yote kutoka ambapo anaishi, na utamani kwa moyo wake wote kuja katika eneo Yahwe atachagua,
و اگر احدی از لاویان از یکی ازدروازه هایت از هر جایی در اسرائیل که در آنجاساکن باشد آمده، به تمامی آرزوی دل خود به مکانی که خداوند برگزیند، برسد،۶
7 basi anapaswa kutumika kwa jina la Yahwe Mungu wake kama ndugu zake wote Walawi wanafanya, wanaosimama mbele ya Yahwe.
پس به نام یهوه خدای خود، مثل سایر برادرانش از لاویانی که در آنجا به حضور خداوند می‌ایستند، خدمت نماید.۷
8 Wanapaswa kuwa na mgao wa kufanana wa kula, badala ya kile kinachokuja kutokana na mauzo ya urithi wa familia yake.
حصه های برابر بخورند، سوای آنچه ازارثیت خود بفروشد.۸
9 Wakati mmekuja katika nchi ambayo Yahwe Mungu wenu anawapa, mnapaswa kujifunza kuangalia machukizo ya mataifa.
چون به زمینی که یهوه، خدایت، به تومی دهد داخل شوی، یاد مگیر که موافق رجاسات آن امتها عمل نمایی.۹
10 Pasipatikana miongoni mwenu mmoja anayemweka kijana wake au binti yake kwenye moto, yeyote anatumia uganga, yeyote anatabiri, au mchawi, mchawi yeyote,
و در میان تو کسی یافت نشود که پسر یا دختر خود را از آتش بگذرانند، ونه فالگیر و نه غیب گو و نه افسونگر و نه جادوگر،۱۰
11 yeyote aongeae na wafu, au yeyote aongeae na roho.
و نه ساحر و نه سوال کننده از اجنه و نه رمال ونه کسی‌که از مردگان مشورت می‌کند.۱۱
12 Kwa yeyote afanyae mambo haya ni chukizo kwa Yahwe; ni kwa sababu ya machukizo haya ambayo Yahwe Mungu wenu anawaondosha mbele zenu.
زیرا هرکه این کارها را کند، نزد خداوند مکروه است وبه‌سبب این رجاسات، یهوه، خدایت، آنها را ازحضور تو اخراج می‌کند.۱۲
13 Mnapaswa kuwa wakamilifu mbele ya Yahwe Mungu wenu.
نزد یهوه، خدایت، کامل باش.۱۳
14 Kwa mataifa haya ambayo mtayafukuza kusikiliza wale wafanyao uchawi na uganga; lakini kwenu, Yahwe Mungu wenu amewakataza ninyi kufanya hivyo.
زیرا این امتهایی که تو آنها را بیرون می‌کنی به غیب گویان و فالگیران گوش می‌گیرند، و اما یهوه، خدایت، تو را نمی گذارد که چنین بکنی.۱۴
15 Yahwe Mungu wenu atainua kwa ajili yenu nabii kutoka miongoni mwenu, mmoja wa ndugu zenu, kama mimi. Mnapaswa kumsikiliza.
یهوه، خدایت، نبی‌ای را از میان تو ازبرادرانت، مثل من برای تو مبعوث خواهدگردانید، او را بشنوید.۱۵
16 Hiki ndicho mlichouliza kutoka kwa Yahwe Mungu wenu huko Horebu katika siku ya kusanyiko, kusema, “Acha tusisikie tena sauti ya Yahwe Mungu wetu, wala kuona moto mkuu tena, wala tutakufa.”
موافق هر‌آنچه درحوریب در روز اجتماع از یهوه خدای خودمسالت نموده، گفتی: «آواز یهوه خدای خود رادیگر نشنوم، و این آتش عظیم را دیگر نبینم، مبادابمیرم.»۱۶
17 Yahwe alisema nami, “Kile walichosema ni kizuri.
و خداوند به من گفت: «آنچه گفتندنیکو گفتند.۱۷
18 Nitamwinua nabii kwa ajili yao kutoka miongoni mwa ndugu zao, kama wewe. Nitaweka maneno yangu katika kinywa chake, na ataongea nao yote niliyowakuamuru.
نبی‌ای را برای ایشان از میان برادران ایشان مثل تو مبعوث خواهم کرد، و کلام خود را به دهانش خواهم گذاشت و هر‌آنچه به اوامر فرمایم به ایشان خواهد گفت.۱۸
19 Itakuwa kama yeyote hatasikia maneno yangu ambayo anazungumza kwa jina langu, nitalitaka kwake.
و هر کسی‌که سخنان مرا که او به اسم من گوید نشنود، من ازاو مطالبه خواهم کرد.۱۹
20 Lakini nabii ambaye anazungumza neno kwa kiburi kwa jina langu, neno ambalo sijamuamuru kusema, au ambaye anayezungumza kwa jina la miungu mingine, huyo nabii atakufa.
و اما نبی‌ای که جسارت نموده، به اسم من سخن گوید که به گفتنش امرنفرمودم، یا به اسم خدایان غیر سخن گوید، آن نبی البته کشته شود.»۲۰
21 Hivyo ndivyo unapaswa kusema katika mioyo yenu: “Tutagunduaje kuwa ujumbe ambao Yahwe hajazungumza?
و اگر در دل خود گویی: «سخنی را که خداوند نگفته است، چگونه تشخیص نماییم.»۲۱
22 Mtagundua ujumbe ambao Yahwe amezungumza pindi nabii azungumzapo kwa jina la Yahwe. Kama hiyo haitokei wala kufanyika, basi hicho ni kile ambacho Yahwe hajazungumza na nabii amezungumza kwa kiburi, na hampaswi kumuogopa.
هنگامی که نبی به اسم خداوند سخن گوید، اگر آن چیز واقع نشود و به انجام نرسد، این امری است که خداوند نگفته است، بلکه آن نبی آن را از روی تکبر گفته است. پس از او نترس.۲۲

< Torati 18 >