< Torati 10 >

1 Kwa wakati ule Yahwe alisema kwangu, 'Chonga mbao mbili za mawe kama zile za kwanza, na njoo kwangu huku juu ya mlima, na utengeneze sanduku la mbao.
U to vrijeme Jahve mi reče: 'Iskleši dvije kamene ploče kao i prijašnje pa se popni k meni na brdo; a napravi i drveni kovčeg.
2 Nitaandika kwenye mbao maneno ambayo yalikuwa kwenye mbao za kwanza ulizozivunja, na utaziweka ndani ya sanduku.
Na ploče ću napisati riječi koje su bile na prvim pločama što si ih razbio. A onda ih položi u kovčeg.'
3 Basi nilitengeneza sanduku la mbao za mikaratusi, na nikachonga mbao mbili za mawe kwa zile za kwanza, na nikaenda juu ya mlima, nikiwa na mbao mbili mkononi mwangu.
Načinih kovčeg od bagremovine, isklesah dvije kamene ploče kao što bijahu prve, pa se, s dvjema pločama u ruci, popeh na brdo.
4 Aliandika kwenye mbao, kama maandishi ya kwanza, amri kumi ambazo Yahwe amesema nanyi kwenye mlima kutoka katikati mwa moto katika siku ya kusanyiko; ndipo Yahwe alilinipa mimi.
I napisa na te ploče, kao i prije, Deset riječi koje vam je Jahve rekao na brdu, isred ognja, na dan zbora. Onda ih Jahve dade meni.
5 Niligeuka na kushuka chini kutoka mlimani, na kuweka mbao ndani ya sanduku nililokuwa nimetengeneza; hapo zilikaa, kama Yahwe alivyoniamuru.”
Okrenuh se i siđoh s brda. Položih ploče u kovčeg koji bijah napravio. I stadoše ondje, kako mi je Jahve naredio.
6 (Watu wa Israeli walisafiri kutoka Beerothi ya Bene Jaakan kwenda Moserathi. Huko Aaroni alikufa, na huko alizikwa; Eleazar, mwana wake, alitumika katika ofisi ya ukuhani kwenye nafasi yake.
Od Beerota sinova Jaakanovih odoše Izraelci u Moseru. Ondje umrije Aron i ondje bi pokopan. Svećenikom mjesto njega postade njegov sin Eleazar.
7 Kutokea huko walisafiri kwenda Gudgodah, na kutoka Gudgodah kwenda Jotbathah, nchi yenye mikondo ya maji.
Odande odoše u Gudgodu; iz Gudgode u Jotbatu, u kraj bogat potocima.
8 Kwa wakati huo Yahwe alichagua kabila la Lawi kubeba sanduku la agano la Yahwe, kusimama mbele ya Yahwe kumtumikia na kubariki watu kwa jina lake, kama ilivyo leo.
U to vrijeme odvoji Jahve pleme Levijevo da nosi Kovčeg saveza Jahvina; da pred Jahvom stoji u njegovoj službi te da u njegovo ime blagoslivlja, kako radi i danas.
9 Kwa hiyo Lawi hawana sehemu wala urithi wa nchi pamoja na ndugu zake; Yahwe ni urithi wao, kama Yahwe Mungu wenu alizungumza naye)
Stoga Levi nema udjela ni baštine sa svojom braćom: Jahve je njegova baština, kako mu je Jahve, Bog tvoj, i rekao.
10 “Nilibaki kwenye mlima kama ilivyokuwa mara ya kwanza, siku arobaini na usiku arobaini. Yahwe alinisikiliza wakati huo pia; Yahwe hakutaka kukuangamiza.
Na brdu sam ostao, kao i prvi put, četrdeset dana i četrdeset noći. I usliša me Jahve i taj put; nije htio da te uništi,
11 Yahwe alisema nami, “Inuka, nenda mbele ya watu uwaongoze katika safari yao; wataingia na kumiliki nchi ambayo niliapa kwa mababu zao kuwapa.'
nego mi Jahve reče: 'Ustaj! Idi pred ovim narodom da uđu i zaposjednu zemlju za koju sam se zakleo njihovim ocima da ću im je dati.'
12 Sasa, Israeli, Yahwe Mungu wenu ataka nini kwenu, isipokuwa hofu ya Yahwe Mungu wenu, kutembea katika njia zake zote, kumpenda yeye, na kumwabudu Yahwe Mungu wenu kwa moyo wenu wote na roho yenu yote.
Dakle, Izraele, što od tebe traži Jahve, Bog tvoj? Samo to da se bojiš Jahve, Boga svoga; da po svim putovima njegovim hodiš; da ga ljubiš i služiš Jahvi, Bogu svome, svim srcem svojim i svom dušom svojom;
13 Kuzishika amri za Yahwe, na maagizo ambayo ninawaamuru ninyi leo kwa ajili ya uzuri wenu?
da držiš Jahvine zapovijedi i njegove zakone što ti ih danas za tvoje dobro dajem.
14 Tazama, kwa Yahwe Mungu wenu mbingu ni zake na mbingu za mbingu, dunia, vyote vilivyomo.
Evo, Jahvi, Bogu tvome, pripada nebo i nebo nad nebesima, zemlja i sve što je na njoj.
15 Yahwe peke alichukua furaha kwa baba zenu ili kwamba awapende, na aliwachagua ninyi, wazao wao, baada yao, zaidi kuliko ya watu wengine wowote, kama afanyavyo leo.
Ali Jahvi samo vaši oci omilješe i poslije njih izabrao je vas, potomke njihove, između svih naroda, kako je i danas.
16 Kwa hiyo basi wataili govi la mioyo yao, na msiwe wakaidi tena.
Srce svoje obrežite; šiju više ne ukrućujte!
17 Kwa kuwa Yahwe Mungu wenu, ni Mungu wa miungu na Bwana wa bwana, Mungu mkuu, mwenye nguvu na wakutisha, ambaye hapendelei yeyote na hapokei rushwa-
Jer Jahve, Bog vaš, Bog je nad bogovima, Gospodar nad gospodarima, Bog velik, jak i strašan, koji nije pristran i ne da se podmititi;
18 Hutekeleza haki kwa yatima na wajane, na huonesha upendo kwa mgeni kwa kumpa chakula na mavazi.
daje pravdu siroti i udovici; ljubi pridošlicu, daje mu hranu i odjeću.
19 Kwa hiyo basi mpende mgeni; kwa kuwa mlikuwa wageni kutoka nchi ya Misri.
Ljubite i vi pridošlicu, jer ste i sami bili pridošlice u zemlji egipatskoj.
20 Mtamche Yahwe Mungu wenu yeye mtamwabudu. Mtashikamana kwake, na kwa jina lake mtaapa.
Boj se Jahve, Boga svojeg; njemu služi; uza nj se priljubi; njegovim imenom priseži.
21 Yeye ni sifa yenu, ni Mungu wenu, ambaye amefanya kwa ajili yenu haya mambo makuu na kutisha, ambayo macho yenu yameyaona.
On je tvoja slava, Bog tvoj, koji je radi tebe učinio velika i čudesna djela što su ih vidjele tvoje oči.
22 Baba zako walienda Misri kama watu sabini; sasa Yahwe Mungu wako amekufanya wewe kuwa wengi kama nyota za mbinguni.
Tvojih otaca, kad su se spustili u Egipat, bješe samo sedamdeset, a sad je Jahve, Bog tvoj, učinio te vas ima kao zvijezda na nebu.

< Torati 10 >