< Hesabu 1 >

1 Mungu alimwambia Musa katika hema ya kukutania walipokuwa katika jangwa la Sinai. Hii ilitokea katika siku ya kwanza ya mwezi wa pili miaka miwili baadaya Waisraeli kutoka nchi ya Misri. Mungu alisema,
U Sinajskoj pustinji, u Šatoru sastanka, reče Jahve Mojsiju prvoga dana drugoga mjeseca, druge godine po izlasku iz zemlje egipatske:
2 'fanya sensa ya wanaume wote wa Israel kutoka kila ukoo, katika familia za baba zao. Wahesabu kwa majina, wahesabu kila mume, kila mwanamume
“Obavite popis sve zajednice izraelske po rodovima i porodicama, navodeći imena svih muškaraca, glavu po glavu.
3 kuanzia umri a miaka ishirini na zaidi. Uwahesabu wote wanaoweza kupigana kama askari wa Israel. Wewe na Haruni mtaandika idadi ya wanaume katika makundi ya majeshi yao.
Od dvadeset godina naviše, za borbu sposobne u Izraelu, ti i Aron pobilježite prema njihovim jedinicama.
4 Kila mwanamume kwa kila kabila, kichwa cha ukoo, lazima atumike na wewe kama kiongozi wa kabila.
Neka s vama bude po jedan čovjek od svakoga plemena, glavari svoga pradjedovskog doma.
5 Haya ndiyo majina ya viongozi ambao watapigana pamoja na wewe: Kutoka kabila la Reubeni, Elizuri mwana wa Shedeuri;
Ovo su imena ljudi koji će vam pomagati: Elisur, sin Šedeurov, za pleme Rubenovo;
6 kutoka kabila la Simeoni, Shelumiel mwana wa Zurishadai
Šelumiel, sin Surišadajev, za pleme Šimunovo;
7 Kutoka kabila la Yuda, Nashoni mwana wa Aminadabu;
Nahšon, sin Aminadabov, za pleme Judino;
8 Ktoka kabila la Isakari, Nethaneli mwana wa Zuari;
Netanel, sin Suarov, za pleme Jisakarovo;
9 kutoka kabila Zebuluni, Eliabu mwana wa Heloni
Eliab, sin Helonov, za pleme Zebulunovo.
10 kutoka kabila la Efraimu mwana wa Yusufu, Elishama mwana wa Ammihudi; kutoka kabila la Manase, Gamaliel mwan wa Pedazuri;
Za Josipove sinove: Elišama, sin Amihudov, za pleme Efrajimovo; Gamliel, sin Pedahsurov, za pleme Manašeovo;
11 kutoka kabila la Benjamini mwana wa Ysufu, Abidani mwan wa Gidion;
Abidan, sin Gidonijev, za pleme Benjaminovo;
12 Kutoka kabila la Dan, Ahizeri mwana wa Amishadai;
Ahiezer, sin Amišadajev, za pleme Danovo;
13 kutoka kabila Asheri, Pagieli mwana wa Okirani;
Pagiel, sin Okranov, za pleme Ašerovo;
14 kutoka kabila la Gadi, Eliasafu mwana wa Deuli;
Elijasaf, sin Deuelov, za pleme Gadovo;
15 na kutoka kabila la Naftali, Ahira mwana wa Enani.”
Ahira, sin Enanov, za pleme Naftalijevo.”
16 Hawa ndio wanaume waliochaguliwa kutoka kwa watu. Waliongoza kabila za mababu zao. Walikuwa viongozi wa koo katika Israel.
To bijahu sazivači zajednice, knezovi pradjedovskih plemena i glavari rodova izraelskih.
17 Musa na Haruni wakawachukua wale wanaume, waliokuwa wameandikwa kwa majina,
Mojsije i Aron onda uzmu one ljude što su po imenu bili određeni
18 na pamoja na wanaume hao waliwakusanya wanume wote katika siku ya kwanza ya mwezi wa pili. Kisha kila mwanume wa miaka ishirini na zaidi alitambua babu zake. Alitakiwa kutaja koo na famila kutoka katika ukoo.
te prvoga dana drugoga mjeseca sazovu svu zajednicu. Tada se u popis prema rodovima i porodicama po redu unosio broj osoba starijih od dvadeset godina.
19 Kisha Musa akaandika hesabu yao huko katika nyika ya Sinai, Kama Mungu alivyokuwa amemwamuru kufanya.
Kako je Jahve naredio Mojsiju, tako ih je on pobilježio u Sinajskoj pustinji.
20 Kutoka uzao wa Reubeni, mtoto wa kwanza wa Israel, yalihesabiwa majina yote ya kila mwanamume mwenye umri wa miaka ishirini na zaidi wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka hesabu ya ukoo na familia.
Kad se utvrdi potomstvo Rubena, Izraelova prvorođenca, prema njegovim rodovima i porodicama, pribilježiše, glavu po glavu, imena svih muškaraca od dvadeset godina naviše, svih za borbu sposobnih.
21 Waliwahesabu wanaume 46, 000 kutoka ukoo wa Reubeni.
Popisanih od Rubenova plemena bilo je četrdeset i šest tisuća i pet stotina.
22 Kutoka uzao wa Simeoni yalihesabiwa majina yote ya kila mwanamume mwenye umri wa miaka ishirini na zaidi au wenye uwezo wa kwenda vitani, kutokana na hesabu ya ukoo na familia.
Bili su popisani Šimunovi potomci prema njihovim rodovima i porodicama: pribilježiše se, glava po glava, imena svih muškaraca od dvadeset godina naviše, svih za borbu sposobnih.
23 Walihesabu wanaume 59, 300 kutoka kabila la Simeoni.
Popisanih od Šimunova plemena bilo je pedeset i devet tisuća i tri stotine.
24 Kutoka uzao wa Gadi yalihesabiwa majina yote ya kila mwanamume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
Kad se utvrdi potomstvo sinova Gadovih prema njihovim rodovima i porodicama, pribilježiše se, glava po glava, imena onih od dvadeset godina i više, svih za borbu sposobnih.
25 Walihesabu wanaume 45, 650 kutoka kabila la Gadi.
Popisanih od Gadova plemena bilo je četrdeset i pet tisuća i šest stotina i pedeset.
26 Kutoka uzao wa Yuda yalihesabiwa majina yote ya wanaume wenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
Kad se utvrdi potomstvo sinova Judinih prema njihovim rodovima i porodicama, pribilježiše se, glava po glava, imena onih od dvadeset godina i više, svih za borbu sposobnih.
27 walihesabiwa wanume 74, 000 kutoka kabila la Yuda.
Popisanih od Judina plemena bilo je sedamdeset i četiri tisuće i šest stotina.
28 Kutoka uzao wa Isakari yalihesabiwa majina yote ya kila mwanamume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
Kad se utvrdi potomstvo sinova Jisakarovih prema njihovim rodovima i porodicama, pribilježiše se, glava po glava, imena onih od dvadeset godina i više, svih za borbu sposobnih.
29 Walihesabiwa wanaume 54, 000 kutoka kabila la Isakari.
Popisanih od Jisakarova plemena bilo je pedeset i četiri tisuće i četiri stotine.
30 Kutoka uzao wa Zabuloni yalihesabiwa majina yote ya kila mwanamume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
Kad se utvrdi potomstvo sinova Zebulunovih prema njihovim rodovima i porodicama, pribilježiše se, glava po glava, imena onih od dvadeset godina i više, svih za borbu sposobnih.
31 Walihesabiwa wanume 57, 400 kutoka kabila la Zabuloni.
Popisanih od Zebulunova plemena bilo je pedeset i sedam tisuća i četiri stotine.
32 Kutoka uzao wa Efraimu mwana wa Yusufu yalihesabiwa majina yote ya kila mwanaume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
Josipovi sinovi: Kad se utvrdi potomstvo sinova Efrajimovih, prema njihovim rodovima i porodicama, pribilježiše se, glava po glava, imena onih od dvadeset godina i više, svih za borbu sposobnih.
33 Walihesabiwa wanaume 40, 500 kutoka kabila la Efraimu.
Popisanih od Efrajimova plemena bilo je četrdeset tisuća i pet stotina.
34 Kutoka uzao wa Manase mwana wa Yusufu yaliheabiwa majina yote ya kila mwanaume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu y a ukoo na familia.
Kad se utvrdi potomstvo sinova Manašeovih, prema njihovim rodovima i porodicama, pribilježiše se, glava po glava, imena onih od dvadeset godina i više, svih za borbu sposobnih.
35 Walihesabiwa wanaume 32, 000 kutoka kabila la Manase.
Popisanih od Manašeova plemena bilo je trideset i dvije tisuće i dvjesta.
36 Kutoka uzao wa Benjamini yalihesabiwa majina yote ya kila mwanaume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
Kad se utvrdi potomstvo sinova Benjaminovih, prema njihovim rodovima i porodicama, pribilježiše se, glava po glava, imena onih od dvadeset godina i više, svih za borbu sposobnih.
37 Walihesabiwa wanaume 35, 000 kutoka kabila la Benjamini.
Popisanih od Benjaminova plemena bilo je trideset i pet tisuća i četiri stotine.
38 Kutoka uzao wa Dani yalihesabiwa majina yote ya kila mwanaume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na mwenye uwezo wa kwenda vitani, Kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
Kad se utvrdi potomstvo sinova Danovih, prema njihovim rodovima i porodicama, pribilježiše se, glava po glava, imena onih od dvadeset godina i više, svih za borbu sposobnih.
39 Walihesabiwa wanaume 62, 000 kutoka kabila la Dani.
Popisanih od Danova plemena bilo je šezdeset i dvije tisuće i sedam stotina.
40 Kutoka uzao wa Asheri yalihesabiwa majina yote ya kila mwanume mwenye umri wa miaka ishirini au zadi na mwenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu y a ukoo na familia.
Kad se utvrdi potomstvo sinova Ašerovih, prema njihovim rodovima i porodicama, pribilježiše se, glava po glava, imena onih od dvadeset godina i više, svih za borbu sposobnih.
41 Walihesabiwa wanaume 41, 500 kutoka ukoo wa Asheri.
Popisanih od Ašerova plemena bila je četrdeset i jedna tisuća i pet stotina.
42 Kutoka ukoo wa Naftali yalihesabiwa majina yote ya kila mwanaume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na mwenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
Kad se utvrdi potomstvo sinova Naftalijevih, prema njihovim rodovima i porodicama, pribilježiše se, glava po glava, imena onih od dvadeset godina i više, svih za borbu sposobnih.
43 Walihesabiwa wanaume 53, 400 kutoka kabila la Naftari
Popisanih od Naftalijeva plemena bilo je pedeset i tri tisuće i četiri stotine.
44 Musa na Haruni waliwahesabu wanaume wote hawa, pamoja na wale wanaume kumi na wawili waliokuwa wakiongoza yale makabila kumi na mawili ya Israeli.
To su oni koje popisaše Mojsije i Aron sa dvanaest knezova izraelskih, po jedan na svaki pradjedovski dom.
45 Kwa hiyo wanaume wote wa Israeli wenye umri wa miak ishirini au zaidi, wote wenye uwezo wa kwenda vitani, walihesabiwa kutoka kwenye familia zao.
Bili su popisani svi Izraelci, prema pradjedovskim domovima, od dvadeset godina i više, svi za borbu sposobni u Izraelu.
46 Walihesabu wanaume 603, 550.
Bilo je, dakle, svih popisanih šest stotina i tri tisuće i pet stotina i pedeset.
47 Lakini wanaume toka uzao wa Lawi hawakuhesabiwa,
Među te nisu se ubrojili Levijevci prema svojem pradjedovskom plemenu.
48 Kwa sababu BWANA alimwambia Musa,
Jahve je, naime, rekao Mojsiju:
49 “usiwahesabu wale wa kabila la Lawi wala kuwajumuisha kwenye jumla ya watu wa Israeli.
“Nipošto nemoj popisivati Levijeva plemena niti ga unosi u popis Izraelaca.
50 Badala yake, waagize Walawi kuliangalia hema la amri za agano, na kuangalia mapambo ya hema na vyote vilivyomo. Walawi watalazimika kulibeba hema na lazima wayabebe mapambo ya hema. Lazima waliangalie hema na kuyatengeneza mazingira yake. Wataiangalia masikani na kuzitengeneza kambi zinazolizunguka.
Nego ti sam odredi Levijevce za službu u Prebivalištu svjedočanstva; za sav njegov namještaj i sve što na nj spada; neka oni nose Prebivalište i sav njegov namještaj; neka oni u njemu poslužuju i oko njega tabore.
51 Kila hema litakapotakiwa kuhamishiwa eneo jingine, Walawi ndio watakaolipeleka pale. Na kila hema litakapotakiwa kusimamishwa, Walawi ndio watakao lisimamisha. Na mgeni yeyote atakayelisogelea hema lazima auawe.
Kad se Prebivalište mora premještati, neka ga Levijevci rastave; a kad se s Prebivalištem treba utaboriti, neka ga Levijevci opet podignu. Svjetovnjak koji bi mu se primakao neka se pogubi.
52 Wakati watu wa Israeli watakaposimamisha hema zao, kila mwanaume lazima awe karibu na bango la jeshi lake.
Neka Izraelci logoruju svatko u svome taboru; svatko kod svoje zastave, po četama.
53 Hata hivyo Walawi lazima waweke hema zao kuizunguka hiyo masikani ya amri za agano ili kwamba hasira yangu isije ikawaka juu ya wana wa Israeli. Walawi lazima wailinde hiyo masikani ya amri za agano.”
Levijevci neka borave oko Prebivališta svjedočanstva, da se gnjev ne obori na izraelsku zajednicu. Neka tako Levijevci stražu straže oko Prebivališta svjedočanstva.”
54 Wana wa Israeli walifanya yote haya. Walifanya yote ambayo BWANA aliagiza kupitia Musa.
Izraelci učine kako je Jahve Mojsiju naredio. U svemu tako urade.

< Hesabu 1 >