< Danieli 7 >

1 Katika mwaka wa kwanza wa Belshaza mfalme wa Babelli, Danieli alikuwa na ndoto na maono katika akili zake wakati alipokuwa amelala kitandani kwake. Kisha akayaandika yale aliyoyaona katika ndoto. Aliandika matukio ya muhimu sana:
В първата година на вавилонския цар Валтасар Даниил видя сън и видения на главата си върху леглото си. Тогава написа сънят и разказа същността на работите.
2 Danieli alieleza, “Usiku katika ndoto zangu niliona pepo nne za mbinguni zilikuwa zinaitikisa bahari kuu.
Даниил проговаряйки, рече: Видях в нощното си видение, и ето, четирите небесни ветрища избухнаха върху голямото море.
3 Wanyama wakubwa wanne, kila mmoja alikuwa tofauti na mwenzake, walitoka katika bahari.
И четири големи зверове възлязоха из морето, различни един от друг.
4 Mnyama wa kwanza alikuwa kama simba, lakini alikuwa na mabawa ya tai. Nilipokuwa natazama, mabawa yake yalikuwa yamepasuka na alikuwa ameinuliwa katika ardhi na alikuwa amesimama kwa miguu miwili kama mtu. Na alipewa akili za kibinadamu.
Първият бе като лъв и имаше орлови крила; а, като го гледах, крилата му се изскубаха, и той се издигна от земята и биде заставен да се изправи на две нозе като човек, и даде му се човешко сърце.
5 Na kulikuwa na mnyama wa pili, alikuwa kama dubu, na alikuwa ameinama, alikuwa na mbavu tatu katikati ya meno yake katika mdomo wake. Aliambiwa, 'Inuka na umeze watu wangi.'
След това, ето друг звяр, втори, приличен на мечка, който се повдигна от едната страна, и имаше три ребра в устата си между зъбите си; и му думаха така: Стани, изяж много месо.
6 Baada ya hili, niliangalia tena. Kulikuwa na mnyama mwingine ambaye alionekana kama chui. Mgongoni mwake alikuwa na mabawa manne kama mabawa ya ndege, na alikuwa na vichwa vinne. Alipewa mamlaka ya kutawala.
Подир това, като погледнах, ето друг звяр, приличен на леопард, който имаше на гърба си четири птичи крила: тоя звяр имаше и четири глави; и даде му се власт.
7 Baada haya, niliona usiku katika ndoto yangu mnyama wa nne, mwenye kuogofya, na kutisha na mwenye nguvu. Alikuwa na meno makubwa ya chuma; aliteketeza, na kuvunja vunja katika vipande, na kusaga saga katika miguuni pake kile kilichosalia. Alikuwa ni wa tofauti na wanyama wengine, na alikuwa na pembe kumi.
Подир това, като погледнах в нощните видения, ето четвъртият звяр, страшен и ужасен и твърде як; той имаше големи железни зъби, с които пояждаше и сломяваше, като стъпкваше останалото с нозете си; той се различаваше от всичките зверове, които бяха преди него; и имаше десет рога.
8 Na wakati nilipokuwa natafakari juu ya pembe, nilitazama na niliona pembe nyingine ndogo ilichipuka katikati ya pembe zingine. Mizizi ya pembe tatu kati ya pembe za mwanzo iling'olewa. Niliona katika pembe hii macho kama macho ya mtu na mdomo ambao ulikuwa ukijivuna kwa mambo makubwa.
Като разглеждах роговете, ето, между тях излезе друг рог, малък, пред който три от първите рогове се изкорениха; и ето, в тоя рог имаше очи като човешки очи, и уста, които говореха надменно.
9 Na nilipotazama, viti vya enzi vilikuwa vimewekwa, na Mtu wa siku za kale alikaa sehemu yake. Mavazi yake yalikuwa meupe kama theruji, na nywele zake katika kichwa chake zilikuwa safi kama sufu. Kiti chake cha enzi kilikuwa na miali ya moto, na magurudumu yake yalikuwa yanawaka moto.
Гледах, додето се положиха престоли, и Древният по Дни седна, чието облекло беше бяло като сняг, и космите на главата му като чиста вълна, престолът му огнени пламъци, и колелата му пламенен огън.
10 Mto wa moto ulitiririka kutoka mbele yake, na mamilioni ya watu walimtumikia, na wengine mia moja milioni walikuwa wamesimama mbele yake. Na mahakama iliitishwa, na vitabu vilifunguliwa.
Огнена река излизаше и течеше изпред него; милион служители му слугуваха, и милиарди по милиарди стояха пред него; съдилището се откри, и книгите се отвориха.
11 Niliendelea kuangalia kwasababu ya maneno ya kiburi yaliyosemwa na pembe. Nilitazama wakati mnyama anauliwa, na mwili wake uliharibiwa, na ulitolewa kwa ajili ya kuchomwa moto.
Тогава погледнах по причина на гласа на надменните думи, които рогът изговаряше; гледах додето звярът биде убит, и тялото му погубено и предадено да се изгори с огън.
12 Na kwa wale wanyama wanne waliosalia, mamlaka yao yalitwaliwa mbali, lakini maisha yao yaliendelezea kwa kipindi fulani cha muda.
А колкото за другите зверове, тяхното владичество биде отнето; животът им обаче се продължи до време и година.
13 Katika maono yangu usiku ule, nilimwona mtu mmoja anakuja katika mawingu ya mbinguni alikuwa kama mwana wa mtu; alikuja kwa Mzee wa Siku na aliletwa mbele zake.
Гледах в нощните видения, и ето, един като човешки син идеше с небесните облаци и стигна до Древния по Дни; и доведоха го пред Него.
14 Naye alipewa mamlaka ya kiutawala na utukufu na mamlaka ya kifalme ili kwamba watu wote, na mataifa na lugha ziweze kumtumikia yeye. Mamlaka yake ya kutawala ni mamlaka ya milele ambayo hayatapita, na ufalme wake ni ule ambao hautaangamizwa.
И Нему се даде владичество, слава и царство, за да му слугуват всичките племена, народи и езици. Неговото владичество е вечно владичество, което няма да премине, и царството Му е царство, което няма да се разруши.
15 Na kwangu mimi, Danieli, roho yangu ilihuzunishwa ndani yangu, na maono niliyoyaona katika akili zangu yalinisumbua.
Колкото за мене Даниила, духът ми се наскърби дълбоко в тялото ми, и виденията на главата ми ме смутиха.
16 Nilimsogelea mmoja wa hawa walikuwa wamesimama hapo na nikamwomba anioneshe maana ya mambo haya.
Приближих се до едного от предстоящите и го попитах що е истинското значение на всичко това. И той ми разправи и ми даде да разбера значението на тия неща.
17 Hawa wanyama nne wakubwa ni wafalme wanne ambao watatoa katika nchi.
Тия четири големи зверове, каза той, са четирима царе, които ще се издигнат от земята.
18 Lakini watu watakatifu wa Mungu aliyejuu wataupokea ufalme na wataumiliki milele na milele.'
Но светиите на Всевишния ще приемат царството, и ще владеят царството до века и до вечни векове.
19 Ndipo nilipotaka kujua zaidi juu ya mnyama wa nne, ambaye alikuwa tofauti sana na wengine na alikuwa wa kutisha pamoja na meno yake ya chuma na makucha ya shaba; alimeza, na alivunja vipande vipande, na alisaga saga kwa miguu yake kile kilichokuwa kimesalia.
Тогава поисках да узная истината за четвъртия звяр, който се различаваше от всичките други и бе твърде страшен, чиито зъби бяха железни и ноктите му медни, който пояждаше и строшаваше, а останалото стъпкваше с нозете си,
20 Nilitaka kujua juu ya pembe kumi katika kichwa chake, na kuhusu pembe nyingine iliyochomoza, na ambayo mbele yake pembe zingine tatu zilianguka chini. Nilitaka kujua kuhusu pembe yenye macho na kuhusu mdomo uliokuwa unajisifu kwa mambo makubwa na ambayo ilionekana kuwa ni kubwa kuliko zingine.
и за десетте рога, които бяха на главата му, и за другия рог, който излезе, и пред който паднаха три, тоест, за оня рог, който имаше очи и уста, които говореха надменно, и който наглед бе по-як от другарите си.
21 Na nilipotazama, pembe hii iliinua vita dhidi ya watu watakatifu na ilikuwa inawawashinda mpaka pale
Гледах същия рог като воюваше със светиите и превъзмогваше против тях,
22 Mzee wa Siku alipokuja, na watu watakatifu wa Mungu Aliye Juu Sana. Ndipo wakati ulipowadia ambapo watu watakatifu waliupokea ufalme.
докато дойде Древният по Дни, и се извърши съд за светиите на Всевишния, и настана времето, когато светиите завладяха царството.
23 Hiki ndicho mtu yule alichokisema, 'Kwa habari ya mnyama wanne, utakuwa ni ufalme wa nne juu ya dunia ambao utakuwa tofauti na falme zingine zote. Utaimeza dunia yote, na utaikanyaga yote chini na kuivunja vunja vipande vipande.
Той каза така: Четвъртият звяр ще бъде четвърто царство на света, което ще се различава от всичките царства, и ще погълне целия свят, и ще го стъпче и разтроши.
24 Na kuhusu pembe kumi, kutoka katika ufalme huu, wafalme kumi watainuka, na mwingine atainuka baada yao. Atakuwa wa tofauti na wale waliomtangulia, na atawashinda wale wafalme watatu.
А за десетте рога, те са десет царе, които ще се издигнат от това царство; и след тях ще се издигне друг, който ще се различава от първите, и ще покори трима царе.
25 Atazungumza maneno kinyume cha Yeye Aliye Juu sana na atawatesa watu watakatifu wa Mungu Aliye Juu. Atajaribu kuzibadili sikukuu na sheria. Mambo haya atapewa mikononi mwake kwa mwaka mmoja, miaka miwili na nusu mwaka.
Той ще говори думи против Всевишния, ще изтощава светиите на Всевишния, и ще замисли да промени времена и закони; и те ще бъдат предаде в ръката му до време и времена и половина време.
26 Lakini kikao cha mahakama kitaitishwa, na watazichukua nguvu zake za kifalme ili mwisho aweza kuharibiwa na kuteketezwa.
Но когато съдилището ще заседава, ще му отнемат владичеството, за да го изтребят и погубят до край.
27 Ufalme na utawala, ukubwa wa falme chini ya mbingu yote, watapewa watu walio wa watu watakatifu wa Yeye Aliye juu Sana. Ufalme wake ni ufalme wa milele, na falme zingine zote zitamtumikia na kumtii yeye.'
А царството и владичеството и величието на царствата, които са под цялото небе, ще се дадат на людете, които са светиите на Всевишния, Чието царство е вечно царство, и на Когото всичките владичества ще служат и се покоряват.
28 Na huu ndio mwisho wa mambo. Na kuhusu mimi, Danieli, mawazo yangu yanihuzunisha sana mimi na mwonekano wa uso wangu ulibadilika. Lakini mambo haya niliyahifadhi mimi mwenyewe.”
Тук е краят на това нещо. Колкото за мене, Даниила, размишленията ми ме смущават много, и изгледът на лицето ми се измени; но запазих това нещо в сърцето си.

< Danieli 7 >