< Danieli 6 >

1 Ilimpendeza Dario kuchagua juu ya ufalme magavana wa majimbo 120 ambao wangetawala juu ya ufalme wote.
Видя се добре на Дария да постави над царството сто и двадесет сатрапи, които да бъдат из цялото царство,
2 Juu yao kulikuwa na watawala wakuu watatu, na Daniel alikuwa mmoja wao. Hawa watawala waliwekwa ili waweze kuwasimamia magavana wa majimbo, ili kwamba mfalme asipate hasara.
и над тях трима председатели, един от които бе Даниил, за да дават тия сатрапи сметка на тях, и тъй царят да не губи.
3 Danieli alipambanuliwa juu ya watawala wakuu na juu ya magavana wa majimbo kwasababu alikuwa na roho isiyo ya kawaida. Mfalme alikuwa akipanga kumweka juu ya ufalme wote.
В това време тоя Даниил се отличаваше от другите председатели и сатрапи, защото имаше в него превъзходен дух; и царят намисли да го постави над цялото царство.
4 Basi watawala wakuu wengine na magavana wa majimbo walitafuta makosa katika kazi ambazo Danieli alizifanya kwa ufalme, lakini hawakuweza kuona ufisadi au kushindwa katika majukumu yake kwasababu alikuwa mwaminifu. Hakuna kosa au uzembe uliopatikana ndani yake.
Тогава председателите и сатрапите се стараеха да намерят причина против Даниила относно делата на царството; но не можаха да намерят никаква причина или вина, защото той бе верен, и в него не се намери никаква погрешка или вина.
5 Kisha watu hawa wakasema, “Hatukuweza kupata sababu yoyote ya kumshitaki huyu Danieli isipokuwa tukitafuta kitu fulani dhidi yake kuhusiana na sheria za Mungu wake.'”
И тъй, тия човеци си рекоха: Няма да намерим никаква причина против тоя Даниил, освен ако намерим нещо относно закона на неговия Бог.
6 Ndipo watawala hawa na magavana walileta mpango mbele ya mfalme. Walimwambia, “Mfalme Dario, uishi milele!
Прочее, тия председатели и сатрапи се събраха при царя и му рекоха така: Царю Дарие, да си жив до века!
7 Watawala wote wakuu wa ufalme, magavana wa mikoa, na magavana wa majimbo, washauri, na magavana wameshauriana kwa pamoja na kuamua kuwa wewe, mfalme, unapaswa kupitisha amri na kuitekeleza, ili kwamba mtu yeyote anayefanya dua kwa mungu yeyote au mtu kwa siku thelathini, isipokuwa wewe mfalme, mtu huyo lazima atupwe katika tundu la simba.
Всичките председатели на царството, наместниците и сатрапите, съветниците и управителите като се съветваха, решиха да поискат от царя да издаде указ и да обяви строга забрана, че който, до тридесет дена, би отправил някаква просба до кой да било бог или човек, освен до тебе, царю, той да се хвърли в рова на лъвовете.
8 Sasa mfalme, litoe agizo na utie saini nyaraka ili kwamba isije ikabadilika, kama ilivyoelekezwa katika sheria za Wamedi na Waajemi, hivyo haiweze ikabatilishwa.
Сега, царю, утвърди забраната и подпиши писмената й форма, за да не се измени, според закона на мидяните и персите, който не се изменява.
9 Basi, mfalme Dario alitia saini nyaraka kwa kuifanya amri kuwa sheria.
За това, цар Дарий подписа писмената забрана.
10 Danieli alipojua kuwa nyaraka imekwisha kusainiwa kuwa sheria, alienda ndani ya nyumba yake (madirisha yake katika chumba cha juu yalikuwa wazi kuelekea Yerusalemu), na alipiga magoti yake, kama alivyokuwa akifanya mara tatu kwa siku, na aliomba na kushukuru mbele ya Mungu wake, kama alivyofanya hapo kabla.
А Даниил, щом се научи, че била подписана писмената забрана, влезе у дома си, и, като държеше прозорците на стаята си отворени към Ерусалим, падаше на колената си три пъти на ден, молещ се и благодарящ пред своя Бог, както правеше по-напред.
11 Kisha watu hawa walikuwa wameunda hila kwa pamoja walimwona Danieli akiomba na kutafuta msaada kutoka kwa Mungu.
Тогава ония човеци се събраха демонстративно и намериха, че Даниил отправяше просба и се молеше пред своя Бог.
12 Ndipo walipomwendea mfalme na kuongea naye kuhusiana na amri yake: “Je haukuweka amri kwamba mtu yeyote akayefanya maombi kwa mungu mwingine au kwa binadamu ndani ya siku thelathini zijazo, isipokuwa kwako wewe, mfalme, lazima mtu huyo atupwe katika tundu la simba? Mfalme akajibu, “Jambo hili ni la hakika, kama ilivyoelekezwa katika sheria za Wamedi na Waajemi; ambazo haziwezi zikabatilishwa.”
За това, приближиха се и говориха пред царя за царската забрана, като рекоха: Не подписа ли ти забрана, че всеки човек, който до тридесет дена би отправил просба до кой да било бог или човек, освен до тебе, царю, ще се хвърли в рова на лъвовете? Царят в отговор рече: Това е вярно, според закона на мидяните и персите, който не се изменява.
13 Kisha wakamjibu mfalme, “Mtu yule Daniel, ambaye ni mmoja wa watu wa mateka kutoka Yuda, hakutii wewe, mfalme wala maagizo yako uliyoyasaini. Yeye humwomba Mungu wake mara tatu kwa siku.”
Тогава отговаряйки, те рекоха пред церя: Оня Даниил, който е от пленените юдейци, не зачита ни тебе, царю, нито подписаната от тебе забрана, но принася молбата си три пъти на ден.
14 Mfalme aliposikia haya, alisikitishwa sana, alitumia akili jinsi ya kumwokoa kutoka katika utawala huu. Alisumbuka sana mpaka wakati wa kuzama kwa jua akijaribu kumwokoa Danieli.
Тогава царят, като чу тия думи, наскърби се много, и тури присърце да отърве Даниила; и трудеше се до захождането на слънцето да го избави.
15 Kisha watu hawa waliokuwa wamepanga njama walikusanyika kwa pamoja na mfalme, na wakamwambia, “Ujue mfalme kwamba ni sheria ya Wamedi na Waajemi kwamba hakuna amri au sanamu ambayo mfalme anaipitisha yaweza kubadilishwa.”
Тогава ония човеци се събраха при царя и му рекоха: Знай, царю, че е закон на мидяните и на персите какво никаква забрана или повеление, което царят постави, да не се изменява.
16 Ndipo mfalme alitoa agizo, na walimleta ndani Danieli, na kisha wakamtupa katika tundu la simba. Mfalme akamwambia Danieli, “Mungu wako, ambaye unamtumikia daima, na akuokoe.''
Тогава царят заповяда та докараха Даниила и го хвърлиха в рова на лъвовете. А царят проговаряйки, рече на Даниила: Твоят Бог, Комуто ти служиш непрестанно, Той ще те отърве.
17 Jiwe lililetwa katika mlango wa tundu, na mfalme alilitia muhuri wa pete yake mwenyewe na pamoja na muhuri wa wakuu wake ili kwamba chochote kisiweze kubadilishwa kuhusiana na Danieli.
После, като донесоха камък и го поставиха на устието на рова, царят го запечати със своя си печат и с печата на големците си, за да се не измени никакво намерение относно Даниила.
18 Basi mfalme alienda kwenye ikulu yake na usiku ule alikuwa na mfungo. Hakuna starehe yoyote iliyoletwa mbele yake, nao usingizi ulimkimbia.
Тогава царят отиде в палата си и пренощува гладен, нито остави да донесат пред него музикални инструменти; и сънят побягна от него.
19 Kisha katika mapambazuko mfalme aliamka na kwa haraka alienda kwenye tundu la simba.
И на утринта царят стана много рано и побърза да отиде при рова на лъвовете.
20 Na alipokaribia kwenye tundu, alimwita Danieli kwa sauti ya huzuni, akimwambia Danieli, “Danieli, mtumishi wa Mungu aliye hai, je Mungu wako ambaye anamtumkia daima ameweza kukuokoa kutoka katika simba?
И като се приближи при рова извика с плачевен глас на Даниила: Данииле, служителю на живия Бог, твоят Бог, Комуто ти служиш непрестанно, можа ли да те отърве от лъвовете?
21 Ndipo Danieli akamwambia mfalme, “Mfalme, uishi milele!
Тогава Даниил рече на царя: Царю, да си жив до века!
22 Mungu wangu amemtuma mjumbe na amevifunga vinywa vya simba, na hazijaweza kunidhuru. Kwa kuwa sikuwa na hatia yoyote mbele yake na pia mbele yako, ewe mfalme, na sijakufanyia jambo lolote la kukudhuru.”
Моят Бог прати ангела Си да затули устата на лъвовете, та не ме повредиха, защото се намерих невинен пред Него; още и пред тебе, царю, не съм сторил никакво прегрешение.
23 Basi mfalme alikuwa na furaha sana. Alitoa agizo kwamba wanatakiwa wamtoe Danieli nje ya tundu. Hivyo Danieli aliondolewa kutoka katika tundu. Hakuna dhara lolote lililoonekana kwake, kwa kuwa alikuwa amemtumainia Mungu wake.
Тогава царят се зарадва много, и заповяда да извадят Даниила из рова. И когато Даниил бе изваден из рова, никаква повреда не се намери на него, защото бе уповал на своя Бог.
24 Mfalme alitoa agizo, waletwe wale watu waliomshitaki Danieli na kisha akawatupa wao katika tundu la simba - wao, na watoto wao, na wake zao. Kabla hawajafika sakafuni, simba waliwararua na kuvunjavunja mifupa yao vipande vipande.
Тогава, по заповед на царя, докараха ония човеци, които бяха наклеветили Даниила, и хвърлиха тях, чадата им, и жените им в рова на лъвовете; и преди да стигнат до дъното на рова лъвовете им надвиха и счупиха всичките им кости.
25 Kisha mfalme Dario aliandika ujumbe kwa watu wote, mataifa na lugha ambazo ziliishi katika dunia yote: “Amani na iongezeke kwenu.
Тогава цар Дарий писа до всички племена, народи, и езици, които живеят по целия свят: Мир да се умножи на вас!
26 Ninaagiza kwamba katika utawala wote wa ufalme wangu watu watetemeka na kumcha mbele ya Mungu wa Danieli, kwa kuwa ni Mungu aliye hai na huishi milele, na ufalme wake hauwezi kuharibiwa; utawala wake utakuwepo hadi mwisho.
Издавам указ, щото в цялата държава, над която царувам, да треперят човеците и да се боят пред Данииловия Бог; защото той е живият Бог, който е утвърден до века, и Неговото царство е царство, което няма да се разруши, и властта Му ще трае до край.
27 Yeye anatuhifadhi salama na kutuokoa, na anafanya ishara na maajabu mbinguni na duniani; amemhifadhi Danieli salama dhidi ya uwezo wa simba.”
Той избавя и отървава, и върши знамения и чудеса на небесата и на земята; Той е, който отърва Даниил от силата на лъвовете.
28 Na hivyo basi, Danieli alifanikiwa katika utawala wa Dario na katika utawala wa Koreshi Mwajemi.
И тъй, тоя Даниил благоденстваше в царуването на Дария и в царуването на персиеца Кир.

< Danieli 6 >