< Danieli 6 >

1 Ilimpendeza Dario kuchagua juu ya ufalme magavana wa majimbo 120 ambao wangetawala juu ya ufalme wote.
Un Dārijam patika, iecelt pār valsti simts un divdesmit valdniekus, kas lai būtu pār visu valsti.
2 Juu yao kulikuwa na watawala wakuu watatu, na Daniel alikuwa mmoja wao. Hawa watawala waliwekwa ili waweze kuwasimamia magavana wa majimbo, ili kwamba mfalme asipate hasara.
Un pār tiem atkal trīs virsniekus, kuru starpā Daniēls bija tas pirmais; tiem tie valdnieki deva atbildēšanu, lai ķēniņam nebūtu rūpes.
3 Danieli alipambanuliwa juu ya watawala wakuu na juu ya magavana wa majimbo kwasababu alikuwa na roho isiyo ya kawaida. Mfalme alikuwa akipanga kumweka juu ya ufalme wote.
Bet Daniēls bija pārāks par visiem virsniekiem un valdniekiem, tāpēc ka gudrs gars bija iekš viņa, un ķēniņš nodomāja viņu iecelt pār visu valsti.
4 Basi watawala wakuu wengine na magavana wa majimbo walitafuta makosa katika kazi ambazo Danieli alizifanya kwa ufalme, lakini hawakuweza kuona ufisadi au kushindwa katika majukumu yake kwasababu alikuwa mwaminifu. Hakuna kosa au uzembe uliopatikana ndani yake.
Tad tie virsnieki un valdnieki meklēja iemeslus pret Daniēli tās valdības dēļ. Bet tie nekādu iemeslu nedz vainu nevarēja atrast, jo viņš bija uzticīgs, ka nekādu noziegumu nedz vainu pie viņa neatrada.
5 Kisha watu hawa wakasema, “Hatukuweza kupata sababu yoyote ya kumshitaki huyu Danieli isipokuwa tukitafuta kitu fulani dhidi yake kuhusiana na sheria za Mungu wake.'”
Tad tie vīri sacīja: mēs neatradīsim pret Daniēli nekādus iemeslus, ja mēs pret viņu nekā neatrodam viņa Dieva kalpošanā.
6 Ndipo watawala hawa na magavana walileta mpango mbele ya mfalme. Walimwambia, “Mfalme Dario, uishi milele!
Tad tie virsnieki un valdnieki nāca lielā pulkā pie ķēniņa un tā uz viņu sacīja: lai ķēniņš Dārijs dzīvo mūžīgi!
7 Watawala wote wakuu wa ufalme, magavana wa mikoa, na magavana wa majimbo, washauri, na magavana wameshauriana kwa pamoja na kuamua kuwa wewe, mfalme, unapaswa kupitisha amri na kuitekeleza, ili kwamba mtu yeyote anayefanya dua kwa mungu yeyote au mtu kwa siku thelathini, isipokuwa wewe mfalme, mtu huyo lazima atupwe katika tundu la simba.
Visi valsts virsnieki, priekšnieki, valdnieki, runas kungi un zemes soģi ir sarunājušies, ka ķēniņam būtu jāceļ likums un jāizlaiž stipra pavēle, ka ikviens, kas pa trīsdesmit dienām ko laba lūgs no kaut kāda dieva vai cilvēka, bez vien no tevis, kungs ķēniņ, taptu iemests lauvu bedrē.
8 Sasa mfalme, litoe agizo na utie saini nyaraka ili kwamba isije ikabadilika, kama ilivyoelekezwa katika sheria za Wamedi na Waajemi, hivyo haiweze ikabatilishwa.
Nu tad, kungs ķēniņ, apstiprini šo pavēli, un raksti to grāmatā, ka tā netop pārgrozīta, pēc Mēdiešu un Persiešu neatsaucamiem likumiem.
9 Basi, mfalme Dario alitia saini nyaraka kwa kuifanya amri kuwa sheria.
Tad ķēniņš Dārijs rakstīja tādu grāmatu un pavēli.
10 Danieli alipojua kuwa nyaraka imekwisha kusainiwa kuwa sheria, alienda ndani ya nyumba yake (madirisha yake katika chumba cha juu yalikuwa wazi kuelekea Yerusalemu), na alipiga magoti yake, kama alivyokuwa akifanya mara tatu kwa siku, na aliomba na kushukuru mbele ya Mungu wake, kama alivyofanya hapo kabla.
Kad nu Daniēls dzirdēja, tādu grāmatu esam rakstītu, tad viņš gāja savā namā, bet viņam bija savā augšistabā atvērti logi pret Jeruzālemi, un viņš par dienu trīs reiz metās ceļos, lūdza, teica un pateicās savam Dievam, tā kā viņš arvienu mēdza darīt.
11 Kisha watu hawa walikuwa wameunda hila kwa pamoja walimwona Danieli akiomba na kutafuta msaada kutoka kwa Mungu.
Tad tie vīri nāca lielā pulkā un atrada Daniēli lūdzam un savu Dievu piesaucam.
12 Ndipo walipomwendea mfalme na kuongea naye kuhusiana na amri yake: “Je haukuweka amri kwamba mtu yeyote akayefanya maombi kwa mungu mwingine au kwa binadamu ndani ya siku thelathini zijazo, isipokuwa kwako wewe, mfalme, lazima mtu huyo atupwe katika tundu la simba? Mfalme akajibu, “Jambo hili ni la hakika, kama ilivyoelekezwa katika sheria za Wamedi na Waajemi; ambazo haziwezi zikabatilishwa.”
Un tie piegāja un runāja ķēniņa priekšā par ķēniņa pavēli: vai tu, ak ķēniņ, neesi likumu rakstījis, ka ikviens, kas pa trīsdesmit dienām no kaut kāda dieva vai cilvēka ko laba lūgs, bez vien no tevis, ķēniņ, taptu iemests lauvu bedrē? Ķēniņš atbildēja un sacīja: tas ir tiesa pēc Mēdiešu un Persiešu neatsaucamiem likumiem.
13 Kisha wakamjibu mfalme, “Mtu yule Daniel, ambaye ni mmoja wa watu wa mateka kutoka Yuda, hakutii wewe, mfalme wala maagizo yako uliyoyasaini. Yeye humwomba Mungu wake mara tatu kwa siku.”
Tad tie atbildēja un sacīja ķēniņa priekšā: Daniēls, viens no tiem atvestiem Jūdiem, ķēniņ, nav licis vērā ne tevi, ne tavu pavēli, ko tu esi rakstījis, jo viņš lūdz trīsreiz par dienu savu lūgšanu.
14 Mfalme aliposikia haya, alisikitishwa sana, alitumia akili jinsi ya kumwokoa kutoka katika utawala huu. Alisumbuka sana mpaka wakati wa kuzama kwa jua akijaribu kumwokoa Danieli.
Šo valodu dzirdējis, ķēniņš ļoti noskuma un nodarbojās no visas sirds, ka viņš Daniēli izpestītu; - tiekams saule nogāja, viņš to meklēja izglābt.
15 Kisha watu hawa waliokuwa wamepanga njama walikusanyika kwa pamoja na mfalme, na wakamwambia, “Ujue mfalme kwamba ni sheria ya Wamedi na Waajemi kwamba hakuna amri au sanamu ambayo mfalme anaipitisha yaweza kubadilishwa.”
Bet tie vīri nāca lielā pulkā ķēniņa priekšā un sacīja uz ķēniņu: tu zini, kungs ķēniņ, ka Mēdiešu un Persiešu likumi ir tādi, ka nevienu pavēli, ne likumu, ko ķēniņš ir iecēlis, nevar pārgrozīt.
16 Ndipo mfalme alitoa agizo, na walimleta ndani Danieli, na kisha wakamtupa katika tundu la simba. Mfalme akamwambia Danieli, “Mungu wako, ambaye unamtumikia daima, na akuokoe.''
Tad ķēniņš pavēlēja, Daniēli atvest un iemest lauvu bedrē, un ķēniņš iesāka un sacīja uz Daniēli: tavs Dievs, ko tu bez mitēšanās godā, Tas lai tevi izpestī.
17 Jiwe lililetwa katika mlango wa tundu, na mfalme alilitia muhuri wa pete yake mwenyewe na pamoja na muhuri wa wakuu wake ili kwamba chochote kisiweze kubadilishwa kuhusiana na Danieli.
Un akmens tapa atnests un likts uz bedres caurumu; to ķēniņš aizzieģelēja ar savu gredzenu un ar savu lielkungu gredzenu, ka tas spriedums par Daniēli netaptu pārgrozīts,
18 Basi mfalme alienda kwenye ikulu yake na usiku ule alikuwa na mfungo. Hakuna starehe yoyote iliyoletwa mbele yake, nao usingizi ulimkimbia.
Tad ķēniņš nogāja uz savu pili un palika cauru nakti neēdis un nelika sev celt priekšā barību un nevarēja arī gulēt.
19 Kisha katika mapambazuko mfalme aliamka na kwa haraka alienda kwenye tundu la simba.
No rīta agri, ar mazu gaismiņu, ķēniņš cēlās un gāja steigšus pie lauvu bedres.
20 Na alipokaribia kwenye tundu, alimwita Danieli kwa sauti ya huzuni, akimwambia Danieli, “Danieli, mtumishi wa Mungu aliye hai, je Mungu wako ambaye anamtumkia daima ameweza kukuokoa kutoka katika simba?
Un pie bedres nācis, viņš Daniēli sauca ar noskumušu balsi: ķēniņš sauca un sacīja uz Daniēli: Daniēl, tu dzīvā Dieva kalps, vai tavs Dievs, ko tu bez mitēšanās godā, tevi varējis izpestīt no lauvām?
21 Ndipo Danieli akamwambia mfalme, “Mfalme, uishi milele!
Tad Daniēls sacīja uz ķēniņu: lai ķēniņš dzīvo mūžīgi!
22 Mungu wangu amemtuma mjumbe na amevifunga vinywa vya simba, na hazijaweza kunidhuru. Kwa kuwa sikuwa na hatia yoyote mbele yake na pia mbele yako, ewe mfalme, na sijakufanyia jambo lolote la kukudhuru.”
Mans Dievs savu eņģeli sūtījis, tas lauvām aizturējis rīkli, ka tie mani nav ievainojuši, tāpēc ka viņa priekšā esmu atrasts nenoziedzīgs un arī pret tevi, kungs ķēniņ, es nekā ļauna neesmu darījis.
23 Basi mfalme alikuwa na furaha sana. Alitoa agizo kwamba wanatakiwa wamtoe Danieli nje ya tundu. Hivyo Danieli aliondolewa kutoka katika tundu. Hakuna dhara lolote lililoonekana kwake, kwa kuwa alikuwa amemtumainia Mungu wake.
Tad ķēniņš palika priecīgs un pavēlēja Daniēli no bedres izvilkt; un kad Daniēls no bedres tapa izvilkts, tad nekādas vainas pie viņa neatrada, tāpēc ka viņš savam Dievam bija uzticējies.
24 Mfalme alitoa agizo, waletwe wale watu waliomshitaki Danieli na kisha akawatupa wao katika tundu la simba - wao, na watoto wao, na wake zao. Kabla hawajafika sakafuni, simba waliwararua na kuvunjavunja mifupa yao vipande vipande.
Un ķēniņš pavēlēja, tos vīrus atvest, kas Daniēli bija apsūdzējuši, un tos meta lauvu bedrē līdz ar viņu bērniem un sievām, un tie vēl nenonāca dibenā, tad jau tie lauvas tos sagrāba un satrieca visus viņu kaulus.
25 Kisha mfalme Dario aliandika ujumbe kwa watu wote, mataifa na lugha ambazo ziliishi katika dunia yote: “Amani na iongezeke kwenu.
Tad ķēniņš Dārijs rakstīja visiem ļaudīm, visām tautām un mēlēm, kas visapkārt virs zemes: miers lai jums vairojās!
26 Ninaagiza kwamba katika utawala wote wa ufalme wangu watu watetemeka na kumcha mbele ya Mungu wa Danieli, kwa kuwa ni Mungu aliye hai na huishi milele, na ufalme wake hauwezi kuharibiwa; utawala wake utakuwepo hadi mwisho.
No manis nāk pavēle, ka visās manas valsts tiesās būs bīties un drebēt priekš Daniēla Dieva, jo Viņš ir tas dzīvais Dievs un pastāvīgs mūžīgi, un Viņa valstība nav nīcīga un Viņa valdībai nav gala.
27 Yeye anatuhifadhi salama na kutuokoa, na anafanya ishara na maajabu mbinguni na duniani; amemhifadhi Danieli salama dhidi ya uwezo wa simba.”
Viņš atpestī un izglābj un dara brīnumus un zīmes debesīs un virs zemes; tas Daniēli izpestījis no lauvu varas.
28 Na hivyo basi, Danieli alifanikiwa katika utawala wa Dario na katika utawala wa Koreshi Mwajemi.
Un šis Daniēls palika varens Dārija valstī un arī Kirus, Persiešu ķēniņa, valstī.

< Danieli 6 >