< Danieli 5 >

1 Mfalme Belshaza alifanya sherehe kubwa kwa kwa ajili ya wakuu wake wa kuheshimiwa wapatao elfu moja, na alikunywa divai mbele yao wote watu elfu moja.
Ķēniņš Belsacars taisīja lielas dzīres saviem tūkstoš virsniekiem un dzēra vīnu ar tiem tūkstošiem.
2 Wakati Belshaza alipokuwa akionja divai, alitoa agizo la kuleta vyombo vilivyotengenezwa kwa dhahabu au kwa fedha ambavyo Nebukadneza baba yake alikuwa amevichukua kutoka katika hekalu huko Yerusalemu, ambavyo yeye, na wakuu wake, na wake zake, na masuria waliweza kuvinywea.
Kad nu Belsacars vīnu bija baudījis, tad viņš pavēlēja, atnest tos zelta un sudraba traukus, ko viņa tēvs Nebukadnecars bija paņēmis no Jeruzālemes Dieva nama, ka ķēniņš un viņa varenie un viņa sievas un viņa liekās sievas no tiem dzertu.
3 Watumishi walivileta vyombo ya dhahabu vilivyokuwa vimechukulia katika hekalu, nyumba ya Mungu huko Yerusalemu. Mfalme na wakuu wake, na wake zake na masuria walivinywea.
Tā tie zelta trauki tapa atnesti, kas no Jeruzālemes Dieva nama bija ņemti, un ķēniņš un viņa varenie un viņa sievas un viņa liekās sievas no tiem dzēra.
4 Walikunywa divai na kuzisifu sanamu zao zilizotengenezwa kwa dhahabu na fedha, shaba, chuma, mbao na mawe.
Tie dzēra vīnu un slavēja tos zelta un sudraba, vara, dzelzs, koka un akmens dievus.
5 Kwa wakati huo huo vidole vya mkono wa mtu vilionekana mbele ya kinara cha taa na kuandika katika ukuta uliopigwa lipu katika ikulu ya mfalme. Mfalme aliweza kuona sehemu ya mkono ulipokuwa unaandika.
Tai pašā acumirklī tur iznāca cilvēka rokas pirksti, tie rakstīja pretim lukturim uz ķēniņa pils balto sienu, un ķēniņš redzēja tās rokas pirkstus, kas rakstīja.
6 Ndipo uso wa mfalme ulibadilika na mawazo yake yalimwogopesha; miguu yake haikuweza kumfanya asimame, na magoti yake yalikuwa yakigongana kwa pamoja.
Tad ķēniņa ģīmis palika bāls un viņa domas to iztrūcināja, un viņa gurni nogura; un viņa lieli drebēja.
7 Mfalme alitoa agizo kwa kupiga kelele, waletwe ndani wale ambao hudai wanaweza kuzungumza na wafu, watu wenye hekima, na wataalamu wa nyota. Mfalme akawaambia wale waliojulikana kwa hekima katika Babeli, “Yeyote atakayeyaeleza maandishi haya na maana yake atavikwa nguo za zambarau na atavikwa na mkufu wa dhahabu shingoni mwake. Naye atakuwa mtawala wa tatu wa juu kwa mamlaka katika ufalme.”
Un ķēniņš brēca stipri, lai atved tos vārdotājus, Kaldejus un pareģus; un ķēniņš iesāka un sacīja uz Bābeles gudriem: kas šos rakstus lasīs un tos man izstāstīs, tas taps apģērbts ar purpuru, ar zelta ķēdi ap kaklu, un viņš būs par trešo valdītāju šinī valstī.
8 Ndipo watu wote wa mfalme walikuwa wakijulikana kwa hekima yao waliingia ndani, lakini hawakuweza kuyasoma maandishi wala kueleza maana yake kwa mfalme.
Tad visi ķēniņa gudrie nāca iekšā, bet tie tos rakstus nevarēja lasīt, nedz ķēniņam tos izstāstīt.
9 Kisha mfalme Belshaza alishitushwa sana na mwonekano wa uso wake ulibadilika. Wakuu wake nao walishangazwa sana.
Tad ķēniņš Belsacars ļoti iztrūcinājās, un viņa ģīmis palika bāls, un viņa varenie izbijās.
10 Ndipo sasa malkia alikuja katika nyumba ya sherehe kwasababu ya kile ambacho mfalme na wakuu wake walikuwa wamekisema. Malkia akasema, “Mfalme na aishi milele! Usiache mawazo yako yakakusumbua. Usiruhusu mwonekano wa uso wako ubadilike.
Kad ķēniņiene dzirdēja ķēniņa un viņa vareno vārdus, tad tā iegāja tai istabā, kur tās dzīres bija, un ķēniņiene runāja un sacīja: lai ķēniņš dzīvo mūžīgi, un lai tavas domas tevi neizbiedē, un lai tavs ģīmis nav bāls.
11 Kuna mtu katika ufalme wako ambaye ana roho ya miungu watakatifu dani yake. Katika siku za baba yako, mwanga na weledi na hekima ya miungu ilipatikana ndani yake. Mfalme Nebukadneza, baba yako mfalme, alimfanya kuwa mkuu wa waganga, pamoja na mkuu wa wale wanazungumza na wafu, na wa wenye hekima, na wa wataalamu wa nyota.
Te ir viens vīrs tavā valstī, iekš tā ir to svēto dievu gars, jo tava tēva laikā pie viņa atrasts gaišums un saprašana un gudrība, itin kāda ir dievu gudrība, un tavs tēvs Nebukadnecars to iecēla par virsnieku tiem gudriem, vārdotājiem, Kaldejiem un pareģiem, tavs tēvs, ak ķēniņ!
12 Roho bora, ufahamu, weledi, kutafsiri ndoto, kufafanua mafumbo na kutatua matatizo - hizi ni sifa zilizopatikana kwa mtu huyu Danieli, ambaye mfalme alimwita Belteshaza. Sasa mwiteni Danieli naye atawaambia maana ya kile kilichoandikwa.”
Tādēļ ka augsts gars pie tā tapa atrasts un saprašana, izstāstīt sapņus un uzminēt mīklas un izsacīt noslēpumus, proti pie Daniēla, ko ķēniņš lika nosaukt Belsacaru. Aicini nu Daniēli, tas tev to izstāstīs.
13 Ndipo Danieli alipoletwa mbele ya mfalme. Mfalme akamwambia, “Wewe ni yule Danieli, mmoja kati ya watu wa mateka wa Yuda, ambao baba yangu mfalme aliwaleta kutoka Yuda.
Tad Daniēls tapa atvests ķēniņa priekšā. Un ķēniņš iesāka un sacīja uz Daniēli: vai tu esi Daniēls, viens no tiem atvestiem Jūdiem, ko ķēniņš, mans tēvs, no Jūda ir atvedis?
14 Nimesikia habari kukuhusu wewe, kwamba roho ya miungu iko ndani yako, na ya kwamba mwanga na ufahamu na hekima bora inapatikana ndani yako.
Es par tevi esmu dzirdējis, ka dievu gars ir iekš tevis, un ka gaisma un saprašana un liela gudrība pie tevis atrodas.
15 Na sasa watu wanaojulikana kwa hekima na wale wanaozungumza na wafu, wamekwisha kuletwa mbele yangu, ili kusoma maandishi haya na kunijulisha maana ya tafsiri yake, lakini hawakuweza kunijulisha tafsiri yake.
Nu manā priekšā ir atvesti tie gudrie un vārdotāji, šos rakstus lasīt un man darīt zināmu viņu izstāstīšanu, bet tie man tos vārdus nav varējuši izstāstīt.
16 Nimesikia kwamba unaweza kutoa tafsiri na kutatua matatizo. Sasa kama utaweza kusoma maandishi na kuniambia maana yake, utavikwa nguo za zambarau na kuwa na kuvalishwa mkufu wa dhahabu shingoni mwako, na utakuwa mtawala wa tatu mwenye mamlaka katika ufalme.”
Bet par tevi es esmu dzirdējis, ka tu mākot izstāstīt un noslēpumus izsacīt. Nu tad, ja tu šos rakstus māki lasīt un man izstāstīt, tad tu tapsi apģērbts ar purpuru un ar zelta ķēdi ap savu kaklu un būsi tas trešais valdītājs šinī valstī.
17 Kisha Danieli akajibu mbele ya mfalme, “Zawadi yako na iwe kwa ajili yako mwenyewe, na thawabu yako na umpe mtu mwingine. Hata hivyo, mfalme, nitakusomea maandishi na nitakwaambia maana.
Tad Daniēls atbildēja un sacīja ķēniņa priekšā: paturi sev savas dāvanas un dod savas mantas citam; bet es tomēr tos rakstus ķēniņam lasīšu un viņam tos izstāstīšu.
18 Na juu yako, Ewe mfalme, Mungu Aliye juu sana alimpa Nebukadneza baba yako ufalme, ukuu, heshima na enzi.
Kungs ķēniņ! Dievs, tas visuaugstais tavam tēvam Nebukadnecaram ir devis valstību un varu, godu un augstību.
19 Na kwasababu ya ukuu huo, Mungu alimpa watu wote, mataifa, na lugha walimtetemekea na kumwogopa. Aliwauwa wale aliotaka wafe na aliwaacha hai wale aliotaka waishi. Aliwainua wale aliowataka, na aliwashusha wale aliowataka.
Un tās augstības dēļ ko viņš tam bija devis, drebēja un trīcēja visi ļaudis, visas tautas un mēles viņa priekšā. Ko gribēja, to viņš nokāva, un ko gribēja, to viņš paturēja dzīvu, un ko gribēja, to viņš paaugstināja, un ko gribēja, to viņš pazemoja.
20 Lakini wakati moyo ulipokuwa na kiburi na roho yake ilifanywa kuwa mgumu na kwasababu hiyo alitenda kwa kiburi, alishushwa kutoka kiti chake cha enzi cha kifalme, na waliiondoa enzi yake.
Bet kad viņa sirds metās lepna, un viņa gars apcietinājās līdz pārgalvībai, tad viņš no savas valstības krēsla tapa nostumts un viņa gods tapa atņemts.
21 Aliondolewa katika ubinadamu, alikuwa na akili za mnyama, na aliishi na punda wa mwituni. Alikula majani kama ng'ombe. Mwili wake ulilowanishwa kwa umande wa kutoka mbinguni mpaka pale alipojifunza kwamba Mungu Aliye Juu anatawala juu ya falme za watu na ya kwamba humweka mtu yeyote amtakaye juu yake.
Un viņš no cilvēku bērniem tapa izstumts, un viņa sirds palika kā lopa sirds, un viņam bija jādzīvo pie meža ēzeļiem, un zāle jāēd kā vēršiem, un viņa miesa no debess rasas tapa slacināta, tiekams viņš atzina, ka tas visu augstākais Dievs ir valdītājs pār cilvēku valstīm un ieceļ pār tām, kuru gribēdams.
22 Wewe mwana wake, Belshaza, haujaunyenyekeza moyo wako, ingawa aliyajua haya yote.
Un tu, Belsacar, viņa dēls, neesi pazemojis savu sirdi, jebšu tu visu gan labi esi zinājis,
23 Umejiinua mwenyewe kinyume cha Bwana wa mbinguni. Katika nyumba yake walikuletea vyombo ambavyo wewe, wakuu wako, wake zako na masuria wako walivinywea, na kisha ukaisifia sana sanamu zilitengenezwa kwa fedha na dhahabu, shaba, chuma, mbao, na mawe - sanamu ambazo haziwezi kuona, kusikia wa kujua kitu chochote. Haujamheshimu Mungu ambaye anaishikilia pumzi yako katika mkono wake na ambaye anazijua njia zako zote.
Bet esi cēlies pret to debesu Kungu, un Viņa nama trauki ir atnesti tavā priekšā, un tu un tavi varenie un tavas sievas un tavas liekās sievas no tiem esat vīnu dzēruši un slavējuši tos sudraba un zelta, vara, dzelzs, koka un akmens dievus, kas nedz redz nedz dzird nedz saprot; bet to Dievu, kam rokā tava dvaša un pie kā stāv visi tavi ceļi, Tam tu neesi godu devis.
24 Ndipo Mungu aliutuma mkono kutoka katika makao yake na maandishi haya yaliandikwa.
Tad tās rokas pirksti no viņa ir sūtīti un šie raksti rakstīti.
25 Haya ndiyo maandishi ambayo yaliandikwa: 'Mene, Mene, Tekeli na Peresin.'
Un šis ir tas raksts, kas rakstīts: Mene, Mene, Teķel Parsin.
26 Maana yake ni: 'Mene,' 'Mungu ameuhesabu ufalme wako na ameukomesha.'
Un šī ir to vārdu izstāstīšana: Mene: - Dievs tavu valstību skaitījis un dara tai galu.
27 'Tekeli' 'umepimwa katika mizani na umeonekana umepungua.'
Teķel: - tu svaru kausā esi svērts un esi atrasts visai viegls.
28 'Peresi' 'ufalme wako umegawanyika na wamepewa Wamedi na Waajemi.'”
Peres: - tava valstība ir dalīta un Mēdiešiem un Persiešiem dota.
29 Ndipo Belshaza alitoa agizo, na walimvalisha Danieli mavazi ya zambarau. Mkufu wa dhahabu walimvisha shingoni, na mfalme alitoa tamko juu ya Danieli kuwa atakuwa mtawala mwenye mamlaka ya nafasi ya tatu katika ufalme.
Tad Belsacars pavēlēja, un tie apģērba Daniēli ar purpuru un ar zelta ķēdi ap kaklu, un izsauca par viņu, ka viņš tas trešais valdnieks valstī.
30 Usiku ule Belshaza, mfalme wa Babeli aliuawa,
Bet tai pašā naktī Kaldeju ķēniņš Belsacars tapa nokauts.
31 na Dario Mwajemi aliuchukua ufalme alipokuwa na miaka ipatayo sitini na miwili.
Un Dārijs, tas Medietis, uzņēma valdību, sešdesmit un divus gadus vecs būdams.

< Danieli 5 >