< Danieli 5 >

1 Mfalme Belshaza alifanya sherehe kubwa kwa kwa ajili ya wakuu wake wa kuheshimiwa wapatao elfu moja, na alikunywa divai mbele yao wote watu elfu moja.
Król Belszazar urządził wielką ucztę dla tysiąca swoich książąt i przed [tym] tysiącem pił wino.
2 Wakati Belshaza alipokuwa akionja divai, alitoa agizo la kuleta vyombo vilivyotengenezwa kwa dhahabu au kwa fedha ambavyo Nebukadneza baba yake alikuwa amevichukua kutoka katika hekalu huko Yerusalemu, ambavyo yeye, na wakuu wake, na wake zake, na masuria waliweza kuvinywea.
A gdy Belszazar pił wino, rozkazał przynieść złote i srebrne naczynia, które jego ojciec, Nabuchodonozor, zabrał ze świątyni w Jerozolimie, aby pili z niego król, jego książęta, jego żony i jego nałożnice.
3 Watumishi walivileta vyombo ya dhahabu vilivyokuwa vimechukulia katika hekalu, nyumba ya Mungu huko Yerusalemu. Mfalme na wakuu wake, na wake zake na masuria walivinywea.
Wtedy przyniesiono złote naczynia, które zabrano ze świątyni domu Bożego, który był w Jerozolimie, i pili z nich król, jego książęta, jego żony i jego nałożnice.
4 Walikunywa divai na kuzisifu sanamu zao zilizotengenezwa kwa dhahabu na fedha, shaba, chuma, mbao na mawe.
Pili wino i chwalili bogów ze złota i srebra, z brązu i żelaza, z drewna i kamienia.
5 Kwa wakati huo huo vidole vya mkono wa mtu vilionekana mbele ya kinara cha taa na kuandika katika ukuta uliopigwa lipu katika ikulu ya mfalme. Mfalme aliweza kuona sehemu ya mkono ulipokuwa unaandika.
W tej samej godzinie ukazały się palce ręki ludzkiej, które pisały naprzeciw świecznika na wapnie ściany pałacu króla, a król widział część ręki, która pisała.
6 Ndipo uso wa mfalme ulibadilika na mawazo yake yalimwogopesha; miguu yake haikuweza kumfanya asimame, na magoti yake yalikuwa yakigongana kwa pamoja.
Wtedy oblicze króla zmieniło się, jego myśli zatrwożyły go, stawy jego bioder rozluźniły się i jego kolana uderzały jedno o drugie.
7 Mfalme alitoa agizo kwa kupiga kelele, waletwe ndani wale ambao hudai wanaweza kuzungumza na wafu, watu wenye hekima, na wataalamu wa nyota. Mfalme akawaambia wale waliojulikana kwa hekima katika Babeli, “Yeyote atakayeyaeleza maandishi haya na maana yake atavikwa nguo za zambarau na atavikwa na mkufu wa dhahabu shingoni mwake. Naye atakuwa mtawala wa tatu wa juu kwa mamlaka katika ufalme.”
I zawołał król ze wszystkich sił, aby przyprowadzono astrologów, Chaldejczyków i wróżbitów. Król powiedział do mędrców Babilonu: Ktokolwiek to pismo odczyta i oznajmi mi jego znaczenie, będzie odziany w purpurę, [dadzą] mu złoty łańcuch na szyję i będzie panował w królestwie jako trzeci.
8 Ndipo watu wote wa mfalme walikuwa wakijulikana kwa hekima yao waliingia ndani, lakini hawakuweza kuyasoma maandishi wala kueleza maana yake kwa mfalme.
Weszli więc wszyscy mędrcy króla, ale nie mogli odczytać pisma ani oznajmić królowi jego znaczenia.
9 Kisha mfalme Belshaza alishitushwa sana na mwonekano wa uso wake ulibadilika. Wakuu wake nao walishangazwa sana.
Wtedy król Belszazar bardzo się zatrwożył i jego oblicze się zmieniło, a jego książęta struchleli.
10 Ndipo sasa malkia alikuja katika nyumba ya sherehe kwasababu ya kile ambacho mfalme na wakuu wake walikuwa wamekisema. Malkia akasema, “Mfalme na aishi milele! Usiache mawazo yako yakakusumbua. Usiruhusu mwonekano wa uso wako ubadilike.
Wówczas królowa weszła do domu uczty z powodu słów króla i jego książąt. Odezwała się królowa i powiedziała: Królu, żyj na wieki! Niech cię nie trwożą twoje myśli i niech się nie zmienia twoje oblicze.
11 Kuna mtu katika ufalme wako ambaye ana roho ya miungu watakatifu dani yake. Katika siku za baba yako, mwanga na weledi na hekima ya miungu ilipatikana ndani yake. Mfalme Nebukadneza, baba yako mfalme, alimfanya kuwa mkuu wa waganga, pamoja na mkuu wa wale wanazungumza na wafu, na wa wenye hekima, na wa wataalamu wa nyota.
Jest w twoim królestwie mężczyzna, w którym [jest] duch świętych bogów, w którym za dni twego ojca znalazły się światło, rozum i mądrość podobna do mądrości bogów i którego król Nabuchodonozor, twój ojciec, [mówię ci], twój ojciec, król, ustanowił przełożonym magów, astrologów, Chaldejczyków i wróżbitów;
12 Roho bora, ufahamu, weledi, kutafsiri ndoto, kufafanua mafumbo na kutatua matatizo - hizi ni sifa zilizopatikana kwa mtu huyu Danieli, ambaye mfalme alimwita Belteshaza. Sasa mwiteni Danieli naye atawaambia maana ya kile kilichoandikwa.”
Dlatego że znalazły się [w nim] nadzwyczajny duch, wiedza, rozum, wykładanie snów, objawianie zagadek i rozwiązywanie rzeczy trudnych, w Danielu, któremu król nadał imię Belteszassar. Niech [więc] teraz wezwą Daniela, a on oznajmi znaczenie [pisma].
13 Ndipo Danieli alipoletwa mbele ya mfalme. Mfalme akamwambia, “Wewe ni yule Danieli, mmoja kati ya watu wa mateka wa Yuda, ambao baba yangu mfalme aliwaleta kutoka Yuda.
Wtedy Daniel został przyprowadzony do króla. A król zapytał Daniela: Czy ty jesteś tym Danielem z synów uprowadzonych z Judy, którego król, mój ojciec, sprowadził z ziemi Judy?
14 Nimesikia habari kukuhusu wewe, kwamba roho ya miungu iko ndani yako, na ya kwamba mwanga na ufahamu na hekima bora inapatikana ndani yako.
Słyszałem o tobie, że duch bogów [jest] w tobie, że światło, rozum i obfita mądrość znajdują się w tobie.
15 Na sasa watu wanaojulikana kwa hekima na wale wanaozungumza na wafu, wamekwisha kuletwa mbele yangu, ili kusoma maandishi haya na kunijulisha maana ya tafsiri yake, lakini hawakuweza kunijulisha tafsiri yake.
Właśnie przyprowadzono przede mnie mędrców i astrologów, aby mi to pismo odczytali i oznajmili jego znaczenie. Oni jednak nie potrafili tego zrobić.
16 Nimesikia kwamba unaweza kutoa tafsiri na kutatua matatizo. Sasa kama utaweza kusoma maandishi na kuniambia maana yake, utavikwa nguo za zambarau na kuwa na kuvalishwa mkufu wa dhahabu shingoni mwako, na utakuwa mtawala wa tatu mwenye mamlaka katika ufalme.”
A słyszałem o tobie, że możesz dawać wyjaśnienie i rozwiązywać trudności. Jeśli więc teraz możesz to pismo odczytać i oznajmić mi jego znaczenie, będziesz odziany w purpurę, [będzie włożony] złoty łańcuch na twoją szyję i będziesz panował w królestwie jako trzeci.
17 Kisha Danieli akajibu mbele ya mfalme, “Zawadi yako na iwe kwa ajili yako mwenyewe, na thawabu yako na umpe mtu mwingine. Hata hivyo, mfalme, nitakusomea maandishi na nitakwaambia maana.
Wtedy Daniel odpowiedział przed królem: Twoje upominki niech pozostaną przy tobie, a twoje dary daj innemu; pismo jednak odczytam królowi i oznajmię mu znaczenie.
18 Na juu yako, Ewe mfalme, Mungu Aliye juu sana alimpa Nebukadneza baba yako ufalme, ukuu, heshima na enzi.
Ty, królu, [posłuchaj]. Bóg Najwyższy dał Nabuchodonozorowi, twemu ojcu, królestwo, majestat, sławę i cześć;
19 Na kwasababu ya ukuu huo, Mungu alimpa watu wote, mataifa, na lugha walimtetemekea na kumwogopa. Aliwauwa wale aliotaka wafe na aliwaacha hai wale aliotaka waishi. Aliwainua wale aliowataka, na aliwashusha wale aliowataka.
A z powodu wielkości, którą mu dał, wszyscy ludzie, narody i języki drżały przed nim i bały się [go]. Kogo chciał, zabijał, a kogo chciał, zostawiał przy życiu, kogo chciał, wywyższał, a kogo chciał, poniżał.
20 Lakini wakati moyo ulipokuwa na kiburi na roho yake ilifanywa kuwa mgumu na kwasababu hiyo alitenda kwa kiburi, alishushwa kutoka kiti chake cha enzi cha kifalme, na waliiondoa enzi yake.
Ale gdy jego serce stało się wyniosłe i jego duch utwierdził się w pysze, został strącony z tronu swego królestwa i odebrano mu sławę;
21 Aliondolewa katika ubinadamu, alikuwa na akili za mnyama, na aliishi na punda wa mwituni. Alikula majani kama ng'ombe. Mwili wake ulilowanishwa kwa umande wa kutoka mbinguni mpaka pale alipojifunza kwamba Mungu Aliye Juu anatawala juu ya falme za watu na ya kwamba humweka mtu yeyote amtakaye juu yake.
Został wypędzony spośród synów ludzkich, jego serce stało się podobne do [serca] zwierzęcia i mieszkał z dzikimi osłami. Żywili go trawą jak woły i jego ciało było skrapiane rosą z nieba, aż poznał, że Bóg Najwyższy ma władzę nad królestwem ludzkim i ustanawia nad nim, kogo chce.
22 Wewe mwana wake, Belshaza, haujaunyenyekeza moyo wako, ingawa aliyajua haya yote.
Ty, też, Belszazarze, jego synu, nie ukorzyłeś swego serca, chociaż o tym wszystkim wiedziałeś.
23 Umejiinua mwenyewe kinyume cha Bwana wa mbinguni. Katika nyumba yake walikuletea vyombo ambavyo wewe, wakuu wako, wake zako na masuria wako walivinywea, na kisha ukaisifia sana sanamu zilitengenezwa kwa fedha na dhahabu, shaba, chuma, mbao, na mawe - sanamu ambazo haziwezi kuona, kusikia wa kujua kitu chochote. Haujamheshimu Mungu ambaye anaishikilia pumzi yako katika mkono wake na ambaye anazijua njia zako zote.
Lecz uniosłeś się przeciwko Panu nieba i naczynia jego domu przyniesiono przed ciebie, a ty, twoi książęta, twoje żony i twoje nałożnice piliście wino z nich. Ponadto chwaliłeś bogów ze srebra, złota, brązu, żelaza, drewna i kamienia, które nie widzą ani nie słyszą i nic nie wiedzą. Bogu zaś, w którego ręku jest twoje tchnienie i u którego są wszystkie twoje drogi, nie oddałeś czci.
24 Ndipo Mungu aliutuma mkono kutoka katika makao yake na maandishi haya yaliandikwa.
Dlatego przez niego została posłana część ręki i pismo to zostało napisane.
25 Haya ndiyo maandishi ambayo yaliandikwa: 'Mene, Mene, Tekeli na Peresin.'
A to jest pismo, które zostało napisane: Mene, Mene, Tekel, Uparsin.
26 Maana yake ni: 'Mene,' 'Mungu ameuhesabu ufalme wako na ameukomesha.'
Takie jest znaczenie tych słów: Mene: Bóg policzył twoje królestwo i doprowadził je do końca.
27 'Tekeli' 'umepimwa katika mizani na umeonekana umepungua.'
Tekel: Zważono cię na wadze i okazałeś się lekki.
28 'Peresi' 'ufalme wako umegawanyika na wamepewa Wamedi na Waajemi.'”
Peres: Twoje królestwo zostało podzielone i oddane Medom i Persom.
29 Ndipo Belshaza alitoa agizo, na walimvalisha Danieli mavazi ya zambarau. Mkufu wa dhahabu walimvisha shingoni, na mfalme alitoa tamko juu ya Danieli kuwa atakuwa mtawala mwenye mamlaka ya nafasi ya tatu katika ufalme.
Wtedy Belszazar wydał rozkaz i odziano Daniela w purpurę, złoty łańcuch włożono mu na szyję i ogłoszono o nim, że będzie panował jako trzeci w królestwie.
30 Usiku ule Belshaza, mfalme wa Babeli aliuawa,
Tej samej nocy Belszazar, król Chaldejczyków, został zabity.
31 na Dario Mwajemi aliuchukua ufalme alipokuwa na miaka ipatayo sitini na miwili.
A Dariusz, Med, przejął królestwo, mając około sześćdziesięciu dwóch lat.

< Danieli 5 >