< Ezekieli 32 >

1 Kisha ikawa katika mwezi wa kumi na mbili wa mwaka wa kumi na mbili, siku ya kwanza ya mwezi, lile neno la Yahwe likanijia, kusema,
W dwunastym roku, w dwunastym miesiącu, pierwszego [dnia] tego miesiąca, doszło do mnie słowo PANA mówiące:
2 “Mwanadamu, inua maombolezo kuhusu Farao mfalme wa Misri; mwambie, 'Wewe ni kama simba mdogo juu ya mataifa, lakini kama jitu la kutisha, unatoka kwenye maji, unayachafua maji kwa miguu yako na kuyachafua maji yao.
Synu człowieczy, podnieś lament nad faraonem, królem Egiptu, i powiedz mu: Jesteś podobny do młodego lwa pośród narodów, jesteś jak wieloryb w morzu, gdyż bujając po swoich rzekach, mącisz wody swoimi nogami i mieszasz jego rzeki.
3 Bwana Yahwe asema hivi: Basi nitautandaza wavu wangu juu yako katika kusanyiko la watu wengi, na watawainua juu katika wavu wangu.
Tak mówi Pan BÓG: Rozciągnę nad tobą swoją sieć w zgromadzeniu wielu narodów, a wyciągną cię w swoim niewodzie.
4 Nitakuacha katika nchi. Nitakutupa kwenye shamba na kufanya ndege wote wa angani watue juu yako; njaa ya wanyama wote waishio juu ya nchi watashibishwa na wewe.
I zostawię cię na ziemi, porzucę cię na otwartym polu i sprawię, że obsiądzie cię wszelkie ptactwo niebieskie, i nasycę tobą zwierzęta całej ziemi.
5 Kwa kuwa nitaiweka nyama yako juu ya milima, na nitayajaza mabonde kwa funza wako waliokufa.
Rozrzucę twoje ciało po górach i napełnię doliny twoją wysokością.
6 Kisha nitamwaga damu yako juu ya milima, na vitanda vya kijito vitajazwa kwa damu yako.
Twoją ziemię, w której pływasz, napoję twoją krwią aż do gór, i rzeki będą napełnione tobą.
7 Kisha wakati nitakapokuzimisha, nitazifunika mbingu na kuzitia giza nyota zake; nitalifunika jua kwa mawingu, na mwezi hautatoa nuru yake usiku.
A gdy cię zgaszę, zakryję niebo i zaciemnię jego gwiazdy, słońce zakryję chmurą, a księżyc nie da swego światła.
8 Mianga ya mbinguni nitaiweka giza juu yako, na nitaweka giza juu ya nchi-hivi ndivyo asemavyo Bwana Yahwe.
Wszystkie świecące światła na niebie zaciemnię z twojego powodu i sprowadzę ciemność na twoją ziemię, mówi Pan BÓG.
9 Hivyo nitaitisha mioyo ya watu wengi katika nchi ambao huwajui, wakati nitakapoleta kuhusu uvunjifu miongoni mwa mataifa, miongoni mwa nchi ambazo hukuzijua.
Nadto zasmucę serce wielu narodów, gdy za moją sprawą nadejdzie [wieść] o twoim zniszczeniu do narodów, do ziem, których nie znałeś.
10 Nitawashangaza watu wengi kuhusiana na wewe; wafalme wao watatetemeka kwa hofu kuhusiana na wewe nitakapoutikisa upanga wangu mbele yao. Kila wakati kila mmoja atatetemeka kwa sababu yako, katika siku ya kuanguka kwako.
Tak, sprawię, że zdumieje się nad tobą wiele narodów, a ich królowie bardzo się zatrwożą z twojego powodu, gdy zacznę wywijać swoim mieczem przed nimi; i będą drżeć nieustannie – każdy o swoją duszę – w dniu twego upadku.
11 Kwa kuwa Bwana Yahwe asema hivi: Upanga wa mfalme wa Babeli utakuja juu yako.
Tak bowiem mówi Pan BÓG: Miecz króla Babilonu spadnie na ciebie.
12 Nitawafanya watu wako kuanguka kwa panga za mashujaa-kila shujaa ni tishio la mataifa. Hawa mashujaa watateketeza kiburi cha Misri na kuangamiza watu wake wote.
Mieczami mocarzy powalę twoją rzeszę. Najokrutniejsi ze wszystkich narodów zniszczą pychę Egiptu i będzie zgładzone całe jego mnóstwo.
13 Kwa kuwa nitaiharibu mifugo yote kutoka karibu na maji mengi; na mguu wa mtu hautayatibua tena, wala kwato za wanyama hazitayatibua.
Wytępię całe jego bydło znad wielkich wód, tak że nie zamąci ich stopa ludzka ani nie zamąci ich kopyto bydlęcia.
14 Kisha nitayafanya maji yao kuwa matulivu na kufanya mito yao kukimbia kama mafuta-hivi ndivyo asemavyo Bwana Yahwe.
Wtedy sprawię, że ich wody uspokoją się, a ich rzeki popłyną jak oliwa – mówi Pan BÓG.
15 Wakati nitakapoifanya nchi ya Misri sehemu iliyojitenga, wakati nchi iliyopungukiwa na vitu viijazavyo, wakati nitakapo washambulia wakaao ndani yake, watajua yakwamba mimi ni Yahwe.
Gdy zamienię ziemię Egiptu w spustoszenie, a ziemia zostanie pozbawiona tego, co ją napełnia, gdy pobiję wszystkich jej mieszkańców, wtedy poznają, że ja jestem PANEM.
16 Kutakuwa na maombolezo; binti za mataifa wataomboleza juu yake; wataomboleza juu ya Misri, juu ya watu wake wote wataomboleza-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”'
To jest lament, który podniosą nad nią. Córki narodów będą ją opłakiwać. Nad Egiptem i nad całą jego rzeszą będą lamentować, mówi Pan BÓG.
17 Kisha ikawa katika mwaka wa kumi na mbili, siku ya kumi na tano ya mwezi, lile neno la Yahwe likanijia, kusema,
Potem, w dwunastym roku, piętnastego [dnia] miesiąca, doszło do mnie słowo PANA mówiące;
18 “Mwanadamu, omboleza kwa ajili watu wa misri na walete chini-yeye na binti za mataifa mashuhuri-hata chini ya dunia pamoja na wale walioshuka chini kwenye shimo.
Synu człowieczy, zawódź nad rzeszą Egiptu, zepchnij ją i córki tych sławnych narodów aż do najniższych stron ziemi, do tych, którzy zstępują do dołu.
19 'Je! wewe ni mzuri zaidi kuliko mtu mwingine yeyote? Nenda chini na lala chini pamoja na wasiotahiriwa.'
I [mów]: Kogo przewyższasz pięknem? Zstąp i połóż się z nieobrzezanymi.
20 Wataanguka miongoni mwao waliokuwa wameuawa kwa upanga. Upanga ulikuwa umewekwa! Alikuwa amepatiwa upanga; watamkamata na watu wake.
Padną pośród pobitych mieczem; został wydany pod miecz, wywleczcie go z całą jego rzeszą.
21 Hodari wa wapiganaji katika Sheoli atasema kuhusu Misri na rafiki zake, 'Wameshuka chini hapa! Watalala pamoja na wasiotahiriwa, pamoja na wale waliokuwa wameuawa kwa upanga.' (Sheol h7585)
Najmocniejsi z mocarzy będą do niego mówić spośród piekła wraz z jego pomocnikami. Zstąpili [tam], leżą z nieobrzezanymi pobitymi mieczem. (Sheol h7585)
22 Ashuru yupo huko pamoja na kusanyiko lake. Makaburi yake yamemzunguka; wote waliuawa kwa upanga.
Tam [jest] Assur i cała jego rzesza, wokół niego [są] jego groby; wszyscy ci pobici upadli od miecza.
23 Wale ambao makaburi yao yamewekwa katika maficho ya mashimo yaliyo huko, pamoja na kusanyiko lake. Makaburi yake yakiwazunguka wote waliokuwa wameuawa, walioanguka kwa upanga, wale walioleta hofu juu ya nchi ya walio hai.
Ich groby są położone po stronach dołu, jego rzesza jest dokoła jego grobu. Ci wszyscy pobici polegli od miecza, ci, którzy szerzyli postrach w ziemi żyjących.
24 Elamu yupo huko pamoja na watu wake wote. Makaburi yake yamemzunguka; wote walikuwa wameuawa. Wale walioawa kwa upanga, walioshuka chini wasiotahiriwa hata sehemu ya chini kabisa ya dunia, waliowatia hofu juu ya nchi ya walio hai na wale waliobeba aibu yao wenyewe, pamoja na wale washukao chini kwenye shimo.
Tam [jest] Elam i cała jego rzesza dokoła jego grobu, ci wszyscy pobici upadli od miecza i zstąpili nieobrzezani do najgłębszych stron ziemi; szerzyli swój postrach w ziemi żyjących. Już znoszą swoją hańbę z tymi, którzy zstępują do dołu.
25 Wamemuwekea kitanda kwa ajili ya Elamu na watu wake wote kati ya wachinjaji; kaburi lake limemzunguka. Wote hawajatahiriwa, kukatwa vipande kwa upanga, kwa sababu waliwaleta mashujaa wao juu ya nchi ya walio hai. Hivyo wamechukua aibu yao wenyewe, pamoja na wale washukao kwenye shimo miongoni mwa wote waliouawa, wale washukao kwenda shimoni. Elamu yu miongoni mwa wale waliokuwa wameuawa.
Postawili mu łoże pośród pobitych z całą jego rzeszą, wokół niego są jego groby. Wszyscy ci nieobrzezani są pobici mieczem. Ich postrach szerzył się w ziemi żyjących, ale już ponoszą swoją hańbę z tymi, którzy zstąpili do dołu, a wśród pobitych zostali położeni.
26 Mesheki, Tubali, na watu wake wote wako huko! Makaburi yao yamewazunguka. Wote hawajatahiriwa, wameuawa kwa upanga, kwa sababu walileta utiisho wao juu ya nchi ya walio hai.
Tam [jest] Meszek, Tubal i cała jego rzesza, i wokoło niego jego groby. Ci wszyscy nieobrzezani [zostali] pobici mieczem, choć szerzyli swój postrach w ziemi żyjących.
27 Wasilale pamoja mashujaa walioanguka wa wasiotahiriwa walioshuka chini kwa Sheoli pamoja na silaha zao zote za vita, na pamoja na panga zao zote walizoziweka chini ya vichwa vyao na maovu yao juu ya mifupa yao. Kwa kuwa walikuwa tishio kwa mashujaa katika nchi ya walio hai. (Sheol h7585)
Oni jednak nie będą leżeć z mocarzami, którzy spośród nieobrzezanych upadli i zstąpili do grobu ze swym orężem wojennym i położono im miecze pod głowy. Ich nieprawości zaś zostaną na ich kościach, chociaż byli postrachem dla mocarzy w ziemi żyjących. (Sheol h7585)
28 Basi wewe, Misri, utavunjika kati yao wasiotahiriwa! Utalala karibu nao waliokuwa wamekatwa vipande vipande kwa upanga.
I ty będziesz skruszony wśród nieobrzezanych, i będziesz leżał pośród pobitych mieczem.
29 Edomu yuko huko na wafalme na viongozi wake wote. Walikuwa wamehifadhiwa katika uwezo wao pamoja na wale walioawa kwa upanga. Pamoja na wasiotahiriwa wamelala, pamoja na wale walioshuka kwenye shimo.
Tam [jest] Edom, jego królowie i wszyscy jego książęta, którzy zostali położeni ze swoją mocą i wraz z pobitymi mieczem. Ci będą leżeć z nieobrzezanymi i z tymi, którzy zstępują do dołu.
30 Wakuu wa kaskazini wako huko-wote na Wasidoni wote walioshuka chini pamoja na hao waliokuwa wamekatwa vipande vipande. Walikuwa na nguvu na kuwafanya wengine kuogopa, lakini sasa wako huko kwa aibu, wasiotahiriwa pamoja na wale waliokatwa vipande vipande kwa upanga. Wamebeba aibu yao wenyewe, pamoja nao waendao kwenye shimo.
Tam [są] wszyscy książęta północy i wszyscy Sydończycy, którzy zstępują do pobitych; wstydzą się swego postrachu, jaki szerzyli swoją mocą, i leżą nieobrzezani z pobitymi mieczem. Znoszą swoją hańbę z tymi, którzy zstępują do dołu.
31 Farao ataona na kupata faraja kuhusu kundi lake waliokatwa vipande vipande kwa upanga -Farao na jeshi lake lote-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
Zobaczy ich faraon i ucieszy się z całej swojej rzeszy, którą pobito mieczem, faraon i całe jego wojsko – mówi Pan BÓG.
32 Natamuweka kama utiisho wangu katika nchi ya walio hai, lakini atakuwa amelazwa chini katikati yao wasiotahiriwa, miongoni mwa wale walio katwa vipande kwa upanga, Farao na makundi yake yote-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
Szerzyłem bowiem swój postrach w ziemi żyjących i zostanie położony wśród nieobrzezanych z pobitymi mieczem – faraon i cała jego rzesza – mówi Pan BÓG.

< Ezekieli 32 >