< Danieli 12 >

1 Katika kipindi hicho, Mikaeli, jemedari mkuu ambaye huwalinda watu wako, atainuka. Kutakuwa na wakati wa mateso ambao haujawahi kutokea tangu mwanzo wa taifa lolote mpaka kipindi hicho. Katika muda huo watu wako wataokolewa, yeyote ambaye jina lake litapatikana katika kitabu.
«و در آن زمان میکائیل، امیر عظیمی که برای پسران قوم تو ایستاده است خواهد برخاست و چنان زمان تنگی خواهد شدکه از حینی که امتی به وجود آمده است تا امروزنبوده و در آنزمان هر یک از قوم تو که در دفترمکتوب یافت شود رستگار خواهد شد.۱
2 Na wengi wa wale waliolala katika mavumbi ya dunia watainuka. baadhi kwa uzima wa milele na baadhi kwa ajili ya fedheha na matwezo ya milele.
وبسیاری از آنانی که در خاک زمین خوابیده اندبیدار خواهند شد، اما اینان به جهت حیات جاودانی و آنان به جهت خجالت و حقارت جاودانی.۲
3 Wale wenye hekima watang'ara kama mng'ao wa anga la juu, na wale wenye kuwaelekeza wengine katika haki, watakuwa kama nyota milele na milele.
و حکیمان مثل روشنایی افلاک خواهند درخشید و آنانی که بسیاری را به راه عدالت رهبری می‌نمایند مانند ستارگان خواهندبود تا ابدالاباد.۳
4 Lakini wewe, Danieli, yafunge maneno haya; kihifadhi kitabu kikiwa kimetiwa chapa mpaka nyakati za mwisho. Watu wengi watakimbia huku na kule, na maarifa yataongezeka.
اما تو‌ای دانیال کلام را مخفی دار و کتاب را تا زمان آخر مهر کن. بسیاری بسرعت تردد خواهند نمود و علم افزوده خواهدگردید.»۴
5 Kisha mimi, Danieli, nilitazama, na kulikuwa na malaika wengine wawili wamesimama. Mmoja alisimama katika upande huu wa ukingo wa mto, na mwingine alisimama katika ukingo wa upande mwingine wa mto.
پس من دانیال نظر کردم و اینک دو نفر دیگریکی به اینطرف و دیگری به آنطرف نهر ایستاده بودند.۵
6 Mmoja wao alimwambia mtu aliyevaa nguo za kitani, yeye aliyekuwa juu ya mkondo wa mto, “Je itachukua muda gani mpaka mwisho wa matukio haya ya kushangaza?”
و یکی از ایشان به آن مرد ملبس به کتان که بالای آبهای نهر ایستاده بود گفت: «انتهای این عجایب تا بکی خواهد بود؟»۶
7 Nilimsikia mtu yule aliyevaa nguo za kitani, aliyekuwa juu katika mkondo wa mto, aliinua mkono wake wa kuume na mkono wake wa kushoto kuelekea mbinguni na kuapa kwa yeye aishiye milele kwamba itakuwa kwa wakati, nyakati, na nusu wakati. Na wakati nguvu za watu watakatifu zitakapokuwa zimeshaharibiwa, mambo haya yote yatakuwa yamemalizika.
و آن مرد ملبس به کتان را که بالای آبهای نهر ایستاده بود شنیدم که دست راست و دست چپ خود را بسوی آسمان برافراشته، به حی ابدی قسم خورد که برای زمانی و دو زمان و نصف زمان خواهد بود و چون پراکندگی قوت قوم مقدس به انجام رسد، آنگاه همه این امور به اتمام خواهد رسید.۷
8 Nilisikia, lakini sikufahamu. Basi nikamwuliza, “Bwana wangu, mambo haya yote yatakuwa na matokeo gani?”
و من شنیدم اما درک نکردم پس گفتم: «ای آقایم آخر این امور چه خواهد بود؟»۸
9 Alisema, “Nenda zako Danieli, kwa kuwa maneno yamefungwa na kutiwa chapa mpaka wakati wa mwisho.
او جواب داد که «ای دانیال برو زیرا این کلام تا زمان آخرمخفی و مختوم شده است.۹
10 Watu wengi watakuwa wametakaswa, wameoshwa, na kusafishwa, lakini waovu wataenenda katika uovu.
بسیاری طاهر وسفید و مصفی خواهند گردید و شریران شرارت خواهند ورزید و هیچ کدام از شریران نخواهندفهمید لیکن حکیمان خواهند فهمید.۱۰
11 Katika muda ule ambapo sadaka ya kawaida ya kuteketezwa itakapokuwa imeondolewa na chukizo la uharibifu liliosababisha ukiwa limesimamishwa, kutakuwa na siku zipatazo 1, 290.
و ازهنگام موقوف شدن قربانی دایمی و نصب نمودن رجاست ویرانی، هزار و دویست و نود روزخواهد بود.۱۱
12 Ana heri mtu yule anayengojea mpaka mwisho wa siku 1, 335.
خوشابه‌حال آنکه انتظار کشد و به هزار و سیصد و سی و پنج روز برسد.۱۲
13 Unapaswa uondoke uende njia yako hata mwisho, na kisha utapumzika. Utainuka katika sehemu uliyopewa, mwishoni mwa siku.”
اما تو تابه آخرت برو زیرا که مستریح خواهی شد و درآخر این ایام در نصیب خود قایم خواهی بود.»۱۳

< Danieli 12 >