< Matendo 24 >

1 Baada ya siku tano, Anania kuhani mkuu, baadhi ya wazee na msemaji mmoja aitwaye Tertulo, wakaenda pale. Watu hawa wameleta mashtaka dhidi ya Paulo kwa gavana.
Cinq jours après, le grand prêtre Ananias descendit avec quelques anciens et un orateur, un certain Tertullus. Ils informèrent le gouverneur contre Paul.
2 Paulo alipo simama mbele ya gavana, Tertulo akaanza kumshitaki na kusema kwa gavana, “kwa sababu yako tuna amani kuu; na kwa maono yako yanaleta mageuzi mazuri katika taifa letu;
Lorsqu'il fut appelé, Tertullus se mit à l'accuser, en disant: Puisque par toi nous jouissons d'une grande paix, et que, par ta prévoyance, la prospérité arrive à cette nation,
3 basi kwa shukurani yote tunapokea kila kitu ukifanyacho, Wasalam mheshimiwa Feliki.
nous l'acceptons de toutes les manières et en tous lieux, très excellent Félix, avec toute reconnaissance.
4 Lakini nisikuchoshe zaidi, nakusihi unisikilize maneno machache kwa fadhili zako.
Mais, pour ne pas vous retarder, je vous prie de nous supporter et d'écouter quelques mots.
5 Kwa maana tumempata mtu huyu mkorofi, na anasababisha Wayahudi wote kuasi duniani. Tena ni kiongozi wa madhehebu ya Wanazorayo. (Zingatia: Sehemu ya maneno ya mstari huu 24: 6
Car nous avons trouvé que cet homme était un fléau, un instigateur d'insurrections parmi tous les Juifs du monde entier, et un chef de la secte des Nazaréens.
6 Na tena alijaribu kulitia hekalu unajisi hivyo tukamkamata., haumo kwenye nakala bora za kale). (Zingatia: Mstari huu
Il a même essayé de profaner le temple, et nous l'avons arrêté.
7 Lisiasi, afisa, alikuja na akamchukua kwa nguvu mikononi mwetu., haumo kwenye nakala bora za maandiko ya kale).
8 Ukimwuliza Paulo kuhusu mambo haya, hata utaweza kujifunza ni kitu gani tumemshtakia.”
En l'examinant vous-même, vous pourrez vous assurer de toutes ces choses dont nous l'accusons. »
9 Wayahudi nao wakamshtaki Paulo, wakisema kwamba haya mambo yalikuwa kweli.
Les Juifs aussi se joignirent à l'attaque, affirmant que ces choses étaient vraies.
10 Liwali alipompungia mkono ili Paulo aongee, Paulo alijibu, “Ninajua ya kwamba kwa miaka mingi umekua mwamuzi wa taifa hili, na nina furaha kujieleza mwenyewe kwako.
Le gouverneur lui ayant fait signe de parler, Paul prit la parole et dit: Puisque je sais que tu es depuis longtemps juge de cette nation, j'accepte volontiers de me défendre,
11 Waweza kuhakikisha kuwa hazijapita siku zaidi ya kumi na mbili tangu nilipopanda kwenda kuabudu Yerusalemu.
puisque tu peux vérifier qu'il n'y a pas plus de douze jours que je suis monté à Jérusalem pour adorer.
12 Na waliponikuta katika hekalu, sikubishana na mtu yeyote, na sikufanya fujo katika mkutano, wala katika masinagogi wala ndani ya mji;
On ne m'a pas trouvé dans le temple en train de disputer avec quelqu'un ou de soulever une foule, ni dans les synagogues ni dans la ville.
13 na wala hawawezi kuhakikisha kwako mashitaka wanayoyashitaki dhidi yangu.
Ils ne peuvent pas non plus vous prouver les choses dont ils m'accusent maintenant.
14 Ila nakiri hili kwako, ya kwamba kwa njia ile ambayo wanaiita dhehebu, kwa njia iyo hiyo ninamtumikia Mungu wa baba zetu. Mimi ni mwaminifu kwa yote yaliyoko kwenye sheria na maandiko ya manabii.
Mais je vous confesse que, selon la voie qu'ils appellent secte, je sers le Dieu de nos pères, croyant à tout ce qui est conforme à la loi et à ce qui est écrit dans les prophètes,
15 Nina ujasiri ule ule kwa Mungu ambao hata hao nao wanaungojea, kuja kwa ufufuo wa wafu, kwa wote wenye haki na wasio na haki pia;
espérant en Dieu, ce qu'ils espèrent eux-mêmes, qu'il y aura une résurrection des morts, tant des justes que des injustes.
16 na kwa hili, ninafanya kazi ili niwe na dhamira isiyo na hatia mbele za Mungu na mbele ya watu kupitia mambo yote.
C'est ce que je pratique aussi, ayant toujours une conscience exempte d'offense envers Dieu et envers les hommes.
17 Sasa Baada ya miaka mingi nimekuja kuleta msaada kwa taifa langu na zawadi ya fedha.
Or, après quelques années, je suis venu apporter à ma nation des dons pour les indigents et des offrandes;
18 Nilipofanya hivi, Wayahudi fulani wa Asia wakanikuta ndani ya sherehe ya utakaso ndani ya hekalu, bila kundi la watu wala ghasia.
au milieu desquelles quelques Juifs d'Asie m'ont trouvé purifié dans le temple, non pas avec une foule, ni avec du tumulte.
19 Watu hawa ambao imewapasa kuwapo mbele yako sasa hivi na waseme kile walichonacho juu yangu kama wana neno lo lote.
Ils auraient dû se présenter ici devant vous et porter plainte, s'ils avaient quelque chose contre moi.
20 Au watu hawa wenyewe na waseme ni kosa gani waliloliona kwangu niliposimama mbele za baraza la kiyahudi;
Ou bien, que ces hommes disent eux-mêmes quelle injustice ils ont trouvée en moi quand je me suis présenté devant le conseil,
21 isipokuwa kwa ajili ya kitu kimoja nilichokisema kwa sauti niliposimama katikati yao, ' ni kwa sababu ya ufufuo wa wafu ninyi mnanihukumu.”'
à moins que ce ne soit pour cette seule raison que je me sois écrié au milieu d'eux: « C'est à propos de la résurrection des morts que je suis jugé aujourd'hui devant vous. »
22 Feliki alikuwa ametaarifiwa vizuri kuhusu njia, na akauahirisha mkutano. Akasema, “Lisia jemedari atakapokuja chini kutoka Yerusalemu nitatoa maamuzi dhidi ya mashitaka yenu.”
Mais Félix, qui avait une connaissance plus précise de la voie, les reporta en disant: « Quand Lysias, le commandant, sera descendu, je déciderai de ton cas. »
23 Ndipo akamwamuru akida amlinde Paulo, ila awe na nafasi na hata asiwepo mtu wakuwakataza marafiki zake wasimsaidie wala wasimtembelee.
Il ordonna au centurion de garder Paul et de lui accorder quelques privilèges, et de n'interdire à aucun de ses amis de le servir ou de lui rendre visite.
24 Baada ya siku kadhaa, Feliki akarudi na Drusila mkewe aliyekuwa Myahudi, akatuma kumwita Paulo na akasikiliza toka kwake habari za imani ndani ya Kristo Yesu.
Quelques jours après, Félix, accompagné de Drusilla, sa femme, qui était juive, fit venir Paul et l'entendit sur la foi en Jésus-Christ.
25 Ila Paulo alipokuwa akijadiliana naye kuhusu haki, kuwa na kiasi na hukumu itakayokuja, Feliki akapata hofu akajibu, “nenda mbali kwa sasa, ila nikipata muda tena, nitakuita.”
Comme il discourait sur la justice, la maîtrise de soi et le jugement à venir, Félix fut terrifié et lui répondit: « Va-t'en pour le moment, et quand cela me conviendra, je te convoquerai. »
26 Muda uo huo, alitegemea kwamba Paulo atampa fedha kwa hiyo alimwita mara nyingi akaongea naye.
Entre-temps, il espérait aussi que Paul lui donnerait de l'argent, afin de le libérer. C'est pourquoi il l'envoyait chercher plus souvent et s'entretenait avec lui.
27 Ila miaka miwili ilipopita, Porkio Festo akawa Liwali baada ya Feliki, ila Feliki alitaka kujipendekeza kwa Wayahudi, hivyo akamwacha Paulo chini ya uangalizi.
Deux ans plus tard, Porcius Festus succéda à Félix. Désireux de s'attirer les faveurs des Juifs, Félix laissa Paul en prison.

< Matendo 24 >