< 2 Samweli 1 >

1 Baada ya kifo cha Sauli, Daud alirudi kutoka kuwashambulia Waamaleki na akakaa Siklagi kwa siku mbili.
След смъртта на Саула, като се върна Давид от поражението на амаличаните, и Давид беше престоял в Сиклаг два дена,
2 Siku ya tatu, mtu mmoja alikuja kutoka kambi ya Sauli nguo zake zikiwa zimeraruliwa na akiwa na vumbi juu ya kichwa chake. Alipofika kwa Daudi alinamisha uso wake chini akajifanya yeye mwenyewe kuwa si kitu.
на третия ден, ето, дойде един човек из стана, от Саула, с раздрани дрехи и пръст на главата си; и като влезе при Давида, падна на земята та се поклони.
3 Daudi akamuliza, “Unatoka wapi?” Yeye akajibu, “Nimeponyoka kutoka kambi ya Israeli.”
И Давид рече: От где идеш? А той му каза: От Израилевия стан се отървах.
4 Daudi akamwambia, “Tafadhari nieleze jinsi mambo yalivyokuwa.” Akajibu, “Watu walikimbia kutoka vitani. Wengi wameanguka, na wengi wao wameuawa. Sauli na Yonathani mwanawe pia wameuawa.”
И рече Му Давид: Какво стана? Кажи ми, моля. А той отговори: Людете побягнаха от сражението, даже и мнозина от людете паднаха мъртви; умряха още и Саул и син му Ионатан.
5 Daudi akamwuliza kijana, “unajuaje kuwa Sauli na Yonathani mwanawe wameuawa?”
Тогава Давид рече на момъка, който му съобщаваше това: От къде знаеш, че Саул и син му Ионатан са мъртви?
6 Yule kijana akajibu, “Kwa bahati nilikuwa juu ya Mlima Gilboa, na pale alikuwepo Sauli ameegemea mkuki wake, na magari ya farasi na waongozaji walikuwa karibu kumkamata.
И момъкът, който му съобщаваше това рече: Намерих се случайно в хълма Гелвуе, и, ето, Саул беше се подпрял на копието си, и, ето, колесниците и конниците го застигнаха.
7 Sauli alipogeuka aliniona na akaniita. Nikajibu, 'Mimi hapa.'
И като погледна отдире си, той ме видя, и повика ме. И отговорих: Ето ме.
8 Akaniuliza, 'Wewe ni nani?' Nikamjibu, 'Mimi ni Mwamaleki,'
И рече ми: Кой си ти? И отговорих му, амаличанин съм.
9 Akaniambia, Tafadhari simama juu yangu uniuwe, kwa kuwa shida kubwa imenipata, lakini uhai ungalimo ndani yangu.'
Пак ми рече: Застани, моля, над мене та ме убий, защото помрачение ме обзе; понеже целият ми живот е още в мене.
10 Hivyo nilisimama juu yake nikamuuwa, kwa maana nilijua kwamba asingeweza kuishi baada ya kuwa ameanguka. Ndipo nikachukuwa taji iliyokuwa juu ya kichwa chake na kikuku kilichokuwa mkononi mwake, na nimevileta hapa kwako, bwana wangu.”
И тъй, застанах над него и го убих, понеже бях уверен, че не можеше да живее, като беше вече паднал; и взех короната, която беше на главата му, и гривната, която беше на ръката му, та ги донесох тук при господаря си.
11 Kisha Daudi akararua mavazi yake, na watu wote waliokuwa pamoja naye wakafanya vilevile.
Тогава Давид хвана дрехите си, та ги раздра: така направиха и всичките мъже, които бяха с него
12 Walilia, wakaomboleza na kufunga mpaka jioni kwa ajili ya Sauli, Yonathani mwanawe, watu wa Yahwe, na kwa ajili ya nyumba ya Israeli kwa maana wameanguka kwa upanga.
И жалиха и плакаха и постиха до вечерта за Саула и за сина му Ионатана, и за Господните люде и за Израилевия дом, за гдето бяха паднали от меч.
13 Daudi akamwambia yule kijana, “Unatokea wapi?” Akajibu, mimi ni kijana wa mgeni Mwamaleki.”
А Давид рече на момъка, който му съобщаваше това: От где си ти? И отговори: Аз съм син на един чужденец, амаличанин.
14 Daudi akamwambia, “Kwa nini haukuogopa kumwua mfalme, mtiwa mafuta wa Yahwe kwa mkono wako?”
И рече му Давид: Ти как се не убоя да дигнеш ръка да убиеш Господния помазаник?
15 Daudi akamwita mmojawapo wa vijana na akamwambia, “Nenda ukamuue.” Hivyo kijana huyo akaenda na kumpiga hata ata chini, Mwamaleki akafa.
И Давид повика един от момците и рече: Пристъпи, нападни го. И той го порази та умря.
16 Ndipo Daudi akamwambia Mwamaleke aliyekufa, “Damu yako iwe juu ya kichwa chako kwa kuwa kinywa chako kimeshuhudia dhidi yako kusema, Nimemuua mfalme mtiwa mafuta wa Yahwe.
И Давид му рече: Кръвта ти да бъде на главата ти; защото устата ти свидетелствуваха против тебе, като рече: Аз убих Господния помазаник
17 Ndipo Daudi akaimba wimbo wa maombolezo juu ya Sauli na Yonathani mwanawe.
Тогава Давид оплака Саула и сина му Ионатана с тоя плач;
18 Akawaamuru watu kuufundisha wimbo wa Bow kwa wana wa Yuda, ambao umeandikwa katika Kitabu cha Yashari.
(и заръча да научат юдейците тая Песен на лъка; ето, написана е в Книгата на Праведния):
19 “Utukufu wako, Israel, umeondolewa, umeondolewa juu ya mahali pako pa juu! Jinsi mwenye nguvu alivyoanguka!
Славата ти, о Израилю, е застреляна на опасните места на полето ти! Как паднаха Силните.
20 Msiiseme katika Gathi, msiitangaze katika mitaa ya Ashikeloni, ili binti za wafilisti wasifurahi, ili binti za wasiotailiwa wasisherehekee.
Не възвестявайте това в Гет, Не го прогласявайте по улиците на Аскалон, За да не се зарадват филистимските дъщери, За да не се развеселят дъщерите на необрязаните.
21 Milima ya Gilboa, kusiwe na umande au mvua juu yenu. wala mashamba yasitoe nafaka kwa ajili ya sadaka, kwa maana hapo ngao ya mwenye nguvu imeharibiwa. Ngao ya Sauli haiwezi tena kutiwa mafuta.
Хълми гелвуиски, да няма роса нито дъжд на вас, Нито ниви доставяйки първи плодове за жертви; Защото там бе захвърлен щитът на силните, Щитът на Саула, като да не е бил той помазан с миро.
22 Kutoka katika damu ya waliouawa, kutoka katika miili ya wenye nguvu, upinde wa Yonathani haukurudi nyuma, na upanga wa Sauli haukurudi patupu.
От кръвта на убитите, От лоя на силните, Лъкът Ионатанов не се връщаше назад, И мечът Саулов не се връщаше празен.
23 Sauli na Yonathani walikuwa wakipendwa na walikuwa wenye neema maishani, hata wakati wa mauti yao walikuwa pamoja. Walikuwa na kasi kuliko tai, walikuwa na nguvu kuliko simba.
Саул и Ионатан Бяха любезни и рачителни в живота си, И в смъртта си не се разделиха; По-леки бяха от орлите, По-силни от лъвовете.
24 Enyi binti wa Israeli lieni juu ya Sauli, aliyewavika mavazi ya thamani pamoja na vito vya thamani, na aliyetia mapambo ya dhahabu katika mavazi yenu.
Израилеви дъщери, плачете за Саула, Който ви обличаше в червено с украшения, Който туряше златни украшения по дрехите ви.
25 Jinsi wenye nguvu walivyoanguka vitani! Yonathani ameuawa juu ya mahali pako pa juu.
Как паднаха силните всред боя! Ионатан, поразен на опасните места на полето ти
26 Nimesikitishwa sana kwa ajili yako, Yonathani ndugu yangu. Ulikuwa mpendwa wangu sana. Upendo wako kwangu ulikuwa wa ajabu, ukipita upendo wa wanawake.
Прескръбен съм за тебе Ионатане, брате мой! Рачителен ми беше ти; Твоята любов към мене беше чудесна, Превъзхождаше любовта на жените.
27 Jinsi wenye nguvu walivyoanguka na silaha za vita zimeteketea!”
Как паднаха силните, И погинаха бойните оръжия!

< 2 Samweli 1 >