< 2 Wafalme 9 >

1 Nabii Elisha akamwita mmoja wa watoto wa manabii na kumwambia, “Vaa kwa kwa safari, halafu chukua hii chupa ndogo ya mafuta kwenye mikono yako na uende Romoth Geliadi.
Тогава пророк Елисей повика един от пророческите ученици та му раче: Препаши кръста си и вземи в ръката си тоя съд с миро та иди в Рамот-галаад;
2 Wakati utakapofika, mtafute Yehu mwana wa Yehoshafati mwana wa Nimshi, na uende ukaingie na kumfanya ainuke kutoka miongoni mwa rafiki zake, na ukampeleke katika chumba cha ndani.
и като стигнеш там, подири в същото място Ииуя, син на Иосафата, Намесиевия син; тогава влез при него, дигни го отсред братята му, и въведи го в една вътрешна стая.
3 Kisha chukua ile chupa ya mafuta na imiminie kwenye kichwa chake na kusema, 'Yahwe anasema hivi: “Nimekumiminia mafuta uwe mfalme juu ya Israeli. “Halafu fungua mlango, na kukimbia; usichelewe.”
После вземи съда с мирото та го излей на главата му, и речи: Така казва Господ: Помазах те цар над Израиля. Тогава отвори вратата и бягай без да се забавиш.
4 Basi yule kijana, yule nabii kijana, akaenda Romoth Geliadi.
И тъй, младежът, младият пророк, отиде в Рамот-галаад.
5 Wakati alipofika, kumbe, wale manahodha wa lile jeshi walikuwa wamekaa. Hivyo yule nabii kijana akasema, “Nimekuja mara moja naneno kwako, nahodha.” Yehu akajibu, “kwa yupi katika sisi?” Yule nabii kijana akajibu, “Kwako nahodha.”
И като стигна, ето, военачалниците седяха заедно; и рече: Имам дума към тебе, о военачалниче. И Ииуй рече: Към кого от всички нас? А той каза: Към тебе военачалниче.
6 Basi Yehu akainuka na kwenda kwenye nyumba, na yule nabii akammiminia mafuta kwenye kichwa chake na kumwambia Yehu, “Yahwe, Mungu wa Israeli, anasema hivi: 'Nimekumiminia mafuta uwe mfalme juu ya watu wa Yahwe, juu ya Isaraeli.
И той стана та влезе в къщата. Тогава пророкът изля мирото на главата му и му рече: Така казва Господ Израилевият Бог: Помазах те цар над Господните люде, над Израиля.
7 Wewe lazima uiue familia ya Ahabu bwana wako, ili niweze kulipiza kisasi cha damu ya watumishi wangu manabii, na damu ya watumishi wote wa Yahwe, ambao waliokuwa wameuawa kwa mkono wa Yezebeli.
И ти да поразиш дома на господаря си Ахаава, за да отмъстя върху Езавел за кръвта на слугите Си пророците, за кръвта на всичките Господни слуги.
8 Kwa kuwa nyumba yote ya Ahabu itaangamia, na nitamkatilia mbali kila mtoto wa kiume wa Ahabu, yeyote awe mtumwa au mtu huru.
Защото целият Ахаавов дом ще бъде изтребен, и ще погубя от Ахаава всеки от мъжки пол, както малолетния, така и пълнолетния в Израил;
9 Nitaifanya nyumba ya Ahabu kama nyumba ya Yerobohamu mwana wa Nebati na kama nyumba ya Baasha mwana wa Ahiya.
и ще направя дома на Ахаава както дома на Еровоама, Наватовия син и както дома на Вааса, Ахиевия син.
10 Mbwa watamla Yezebeli katika Yezreeli, na hakutakuwa na mtu wa kumzika.” Kisha nabii akafungua mlango na kukimbia.
А Езавел - кучетата ще я изядат в градския край на Езраел, и не ще да има кой да я погребе. И като отвори вратата, побягна.
11 Kisha Yehu akatoka kwenda kwa watumishi wa bwana wake, na mmoja akamwambia, “Je kila kitu kiko sawa? Kwa nini huyu mwenda wazimu amekuja kwako?” Yehu akawajibu, “Mnamjua huyo mtu na mambo asemayo.”
Тогава Ииуй излезе при слугите на господаря си, и един от тях ме каза: Всичко добре ли е? Защо е дошъл тоя луд при тебе? А той им рече: Вие знаете човека и това, което каза.
12 Wakasema, “Huo ni uongo. Tuambie.” Yehu akajibu, “Alisema hivi na vile juu yangu, na pia akasema, 'hivi ndivyo Yahwe asemavyo: Nimekumiminia mafuta kama mfalme juu ya Israeli.””
А те рекоха: Не е вярно; я ни кажи. А той рече: Така и така ми говори, като рече: Така казва Господ: Помазах те цар над Израиля.
13 Kisha kila mmoja wao akachukua vazi haraka na kuweka chini ya Yehu juu ya madaraja. Wakapiga baragumu na kusema, “Yehu ni mfalme.”
Тогава побързаха, и като взеха всеки дрехата си туриха ги под Ииуя на върха на стълбата, и засвириха с тръба и рекоха: Ииуй се възцари.
14 Katika njia hii Yehu mwana wa Yehoshafati mwana wa Nimshi akafanya njama juu ya Yoramu. Basi Yoramu alikuwa akiilinda Ramothi Gileadi, yeye na Israeli yote, kwa sababu ya Hazaeli mfalme wa Shamu,
Така Ииуй, син на Иосафата, Немесиевият син, направи заговор против Иорама. (А Иорам с целия Израил пазеше Рамот-галаад от сирийския цар Азаил;
15 lakini mfalme Yoramu alikuwa amesharudi kwa Yezreeli ili kuponywa yale majeraha aliyokuwa ameyapewa na Washami, wakati akiwa anapigana dhidi ya Hazaeli mfalme wa Shamu. Yehu akawaambia watumishi wa Yoramu, “kama hili ndilo wazo lako, kisha usimwache mtu aondoke na kwenda nje ya mji, ili aende kupeleka habari hii Yezreeli.”
а цар Иорам беше се върнал в Езраел за да се цери от раните които сирийците му баха нанесли, когато войваше протви сирийския цар Азаил). И рече Ииуй: Ако това е вашето мнение, то да не излезе никой да побегне из града за да отиде и извести това в Езраел.
16 Basi Yehu akaendesha gari la farasi mpaka Yezreeli; kwa kuwa Yoramu alikuwa amelala huko. Basi Ahazi mfalme wa Yuda alikuwa ameshuka chini kuonana na Yoramu.
Тогава Ииуй се качи на колесницата та отиде в Езаел, защото Иорам лежеше там. И Юдовият цар Охозия бе слязъл да види Иорама.
17 Mlinzi alikuwa amesimama juu ya mnara katika Yezreeli, akaliona lile kundi la Yehu alipokuwa akija kwa mbali kidogo; akasema, “Naona kundi la watu wanakuja.” Yoramu akasema, “Chukua mwendesha farasi, na umtume akakutane nao; mwambie aseme, “Je mnakuja kwa amani?””
И стражът, който стоеше на кулата в Езраел, когато съгледа дружината на Ииуя, като идеше, рече: Виждам една дружина. И рече Иорам: Вземи конник и прати да ги посрещне; и нака рече: С мир ли идеш?
18 Hivyo mwendesha farasi akatoka kumlaki; akasema, “Mfalme asema hivi: Je mnakuja kwa amani?”' Basi Yehu akasema, “Wewe una nini na amani? Geuka na unifuate nyuma.” Kisha yule mlinzi akamwambia mfalme, Yule mjumbe ameshaonana nao, lakini anarudi.”
Отиде, прочее, конник да го посрещне, и рече: Така казва царят: С мир ли идеш? А Ииуй рече: Що имаш ти с мира? обърни се та иди отзаде ми. И стражарят извести, казвайки: Пратеникът стигна до тях, но не се връща.
19 Kisha akapeleka mpanda farasi wa pili, ambaye alikuja kwao na kusema, “Mfalme asema hivi: 'Je mnakuja na amani?”' Yehu akajibu, “Wewe una nini na amani? Geuka na kunifuata nyuma.
Тогава изпрати втори конник, който отиде при тях та рече: Така казва царят: С мир ли идеш? А Ииуй отговори: Що имаш ти се мира? обърни се та иди отзаде ми.
20 Tena yule mlinzi akatoa taarifa, “Amekwisha kuonana nao, lakini hatorudi. Kwa kuwa hilo gari la farasi limekuwa likiendeshwa ndivyo ambavyo Yehu mwana wa Nimshi aendeshavyo; anaendesha kwa kasi.”
И стражът извести, казвайки: Стигна до тях, но и той не се връща; а канането прилима на карането на Ииуя, Намасиевия син, защото кара като луд.
21 Hivyo Yoramu akasema, “Andaa gari langu la farasi liwe tayari.” Wakaandaa gari lake la farasi, na Yoramu mfalme wa Israeli na Ahazi mfalme wa Yuda akaendesha, kila mmoja kwenye gari lake la farasi, kumlaki Yehu. Wakamkuta kwenye mali ya Nabothi Myezreeli.
Тогава рече Иорам: Впрегнете. И впрегнаха колесницата му. И Израилевият цар Иорам и Юдовият цар Охозия излязоха, всеки в колесницата си, и отидоха да посрещнат Ииуя, и намериха го в нивата на езраелеца Навутей.
22 Wakati Yoramu alipomuona Yehu, alisema, “Je unakuja katika hali ya amani, Yehu?” Akajibu, “Amani gani hapo, wakati uzinzi wa ukahaba hufanywa na uchawi wa mama yako Yezebeli umejaa tele?”
И Иорам, като вия, Ииуя, рече: С мир ли идеш, Ииуе? А той отговори: Какъв мир докле са толкоз вного блудствата и чародействата на майка ти Езавел?
23 Basi Yoramu akarudisha magari yake ya farasi na kukimbia na kumwambia Ahazia, “Kuna udanganyifu, Ahazia.
Тогава Иорам обърна юзда та побягна, като думаше на Охозия: Предателство, Охозие!
24 Ndipo Yehu akauvuta upinde wake kwa nguvu zake zote na kumpiga Yoramu kati ya mabega yake; mshale ukaenda kwenye moyo wake, akaanguka chini kwenye gari lake la farasi.
А Иий дръпна лъка си с пълна сила та устрели Иорама между плещите му така щото стрелата излезе през сърцето му; а той се пригърби в колесницата си.
25 Ndipo Yehu akamwambia Bidkari nahodha wake, “Mchukue na mtupie kwenye shamba la Nabothi Myezreeni. Fikiria kuhusu vile ambavyo wewe na mimi tulivyoendesha pamoja baada ya Ahabu baba yake, Yahwe aliuweka juu unabii dhidi yake:
Тогава рече Ииуй на военачалника си Видкар: Вземи та го хвърли в оная част от нивата, която пренадлежи на езраелеца Навутей; защото спомни си, че, когато аз и ти яздехме подир баща му Ахаава, Господ произнесе против него това пророчество:
26 Jana niliona damu ya Nabothi na damu ya watoto wake - asema Yahwe - na nitahakikisha unalipia hili shamba - asema Yahwe. Sasa basi, mchukue na mtupe kwenye hili shamba, sawa sawa na neno la Yahwe.”
Не видях ли вчера кръвта на Навутея и кръвта на синовете му, казва Господ? И в тая част от нивата ще ти въздам, казва Господ. Сега, прочее, дигни, хвърли го в тая част, според Господното слово.
27 Wakati Ahazi yule mfalme wa Yuda alipoliona hili, akakimbia kwa njia ya Bethi Hagani. Lakini Yehu akamfuata, na kusema, “Muulie humo kwenye gari la farasi,” na wakampiga mahali pa kupandia Guri, karibu na Ebleamu. Ahazi akakimbilia Megido na kufia pale.
А Юдовият цар Охозия, като видя това побягна през пътя на градинската къща. И ииу се спусна подир него и рече: Поразете тогова в колесницата. И поразиха го в негорнището на Гер, близо до Ивлеам; и той побягна в Магедон и умря там.
28 Watumishi wake wakaubeba mwili wake kwa magari ya farasi kwenda Yerusalemu na kumzika kwenye kaburi lake pamoja na baba zake katika mji wa Daudi.
И слугите му го докараха на колесница ва Ерусалим, погребаха го в гроба му с бащите му в Давидовия град.
29 Basi ilikuwa mwaka wa kumi na moja wa Yoramu mwana wa Ahabu huyo Ahazia akaanza kutawala juu ya Yuda.
А Охозия бе се възцарил над Юда в единадесетата година на Иорама Ахаавовия сен.
30 Wakati Yahu alipokuja kwa Yezebeli, Yezebeli akasikia juu ya hilo, akapaka wanja kwenye macho yake, akatengeneza nywele zake vizuri, na kuchungulia kwenye dirisha.
Тага Ииуй дойде в Езраел и Езавел като чу начерни клепачите на очите си, накити главата си и надникна през прозореца.
31 Kadiri Yehu alipokuwa akiingia kwenye lango, akamwambia, “Je unakuja kwa amani, wewe Zimri, muuaji wa bwana wako?”
И, като влизаше Ииуй в портата, те рече: С мир ли идеш, ти Зимриевце, убиецо на господаря си?
32 Yehu akatazama juu ya dirisha na kusema, “Ni nani yuko upande wangu? Nani?” Matowashi wawili au watatu wakachungulia nje.
А той подигна лицето си към прозореца и рече: Кой е от към мене? Кой? И надникнаха към него двама трима скопци.
33 Basi Yehu aksema, “Mtupeni chini.” Hivyo wakamtupa Yezebeli chini, na damu yake nyingine ikamwagika kwenye ukuta na farasi, na Yehu akamkanyaga kanyaga chini ya miguu.
И рече: Хвърлете я долу. И те я хвърлиха долу; и пръсна от кръвта й по стената и по конете; и той я сгази.
34 Basi Yehu akaingia hiyo sehemu, akala na kunywa. Kisha akasema, “Mtazamani sasa huyu mwanamke aliyelaaniwa na kumzika, kwa kuwa ni binti wa mfalme.”
И като влезе та яде и пи, рече: Идете сега и вижте тая проклета и погребете я, защото е царска дъщеря.
35 Wakaenda kumzika, lakini hawakumkuta ila fuvu, miguu, na viganga vya mikono yake.
И отидоха да я погребат, но не намериха от нея освен черепа, нозете и дланите на ръцете.
36 Basi wakarudi na kumwambia Yehu. Akasema, “Hili ndilo neno la Yahwe ambalo ameliongea kupitia Eliya Mtishbi, likisema, 'Katika nchi Yezreeli mbwa ataula mwili wa Yezebeli,
И когато се върнаха та му явиха това, той рече: Това е словото, което Господ говори чрез слугата Си тесвиеца Илия, като рече: В градския край на Езраел кучетата ще изядат месата на Езавел;
37 na mwili wa Yezebeli utakuwa kama kinyesi juu ya uso wa mashamba katika nchi ya Yezreeli, kwa hiyo basi hakuna atakayeweza kusema, “Huyu ni Yezebeli.””
и трупът на Езавел в градския край на Езраел ще бъде като гной по лицето на полето, така щото не ще да рекат: Това е Езавел.

< 2 Wafalme 9 >