< 2 Wafalme 8 >

1 Basi, Elisha alikuwa amemwambia yule mwanamke ambaye alimfufulia mtoto wake. Akamwambia, “Inuka na uenede pamoja na nyumba yako, na uishi popote uwezapo katika nchi nyingine, kwa sababu Yahwe ameiita njaa ambayo itakuja katika hii nchi kwa miaka saba.”
А Елисей беше говорил на жената, чийто син беше съживил, като беше казал: Стани та иди, ти и домът ти, и поживей гдето можеш поживя; защото Господ повика глада, и ще дойде на земята и ще продължи седем години.
2 Basi yule mwanamke akainuka na akatii lile neno la mtumishi wa Mungu. Akaenda na nyumba yake na kuishi kwenye nchi ya Wafilisti miaka saba.
И жената беше станала и постъпила според думите на Божия човек, и беше отишла тя и домът й, и беше поживяла във филистомската земя седем години.
3 Ikafika kama mwishoni mwa miaka saba yule mwanamke akarudi kutoka kwenye ile nchi ya Wafilisti, na kwenda kwa mfalme kumuomba nyumba yake na kwa ajili ya nchi yake.
А в края на седемте години жената се върна от филистимското зимя; и излезе да вика към царя за къщата си и за нивите си.
4 Basi mfalme alikuwa anaongea na Gehazi yule mtumishi wa Mungu, akisema, “Tafadhali niambie yale mambo makubwa ambayo Elisha ameyafanya.”
А царят се разговаряше със слугата на Божия човек, Гиезий, и казваше: Ями разкажи всичките големи дела, които Елисай извърши.
5 Basi alipokuwa akimwambia yule mfalme jinsi gani Elisha alivyomfufua yule mtoto aliyekufa, huyo mwanamke ambaye mtoto wake aliyekuwa amefufuliwa akaja kumuomba yule mfalme kwa ajili ya nyumba yake na nchi yake. Gehazi akasema, “Bwana wangu, mfalme, huyu ndiye yule mwanamke, na huyu ndiye mtoto wake, ambaye Elisha amemfufua.”
И като разказваше на царя как бе съживил мъртвия, ето, че жената, чиито син беше съживил, извика към царя за къщата си и за нивите си. И рече Гиезий: Господарю мой царю, тази е жената и този е синътй, когото Елисей съживи.
6 Wakati yule mfalme alipomuuliza yule mwanamke kuhusu mtoto wake, alimwelezea yule mfalme. Ndipo mfalme akamwagizia ofisa makini, akisema, “Mrudishie vyote vilivyokuwa vyake na mavuno yake yote ya kwenye mashamba tangu siku alipoondoka hadi sasa.”
И царят запита жената, и тя му разказа работата. Тогава церят й определи един чиновник, комуто каза: Повърни всичко, което е било нейно, и всичките произведения от нивите й от деня, когато е напуснала страната до сега.
7 Elisha akaja Damaskasi ambako Ben Hadadi yule mfalme wa Shamu alikuwa anaumwa. Yule mfalme aliambiwa, “Yule mtu wa Mungu amekuja hapa.”
А Елисай отиде в Дамаск. А сирийският цар Венадад бе болен; и известиха му, казвайки: Божият човек дойде тук.
8 Mfalme akamwambia Hazaeli, “Chukua zawadi kwenye mkono wako na uende ukakutane na mtu wa Mungu, na ukazungumze na Yahwe kupitia yeye, ukisema, “Je nitapona huu ugonjwa wangu?”
И царят рече на Азаила: Вземи подарък в ръката си та иди да посрещнеш Божия човек и допитай се чрез него до Господа, като кажеш: Ще оздравея ли от тая болест?
9 Basi Hazaeli akaenda kuonana naye na kuchukua zawadi zake za kila kitu kizuri cha Damskasi, akabeba ngamia arobaini. Hivyo Hazaeli akaja na kusimama mbele ya Elisha na kusema, “Mtoto wako Ben Hadadi mfalme wa Shamu amenituma kwako, kusema, “Je nitapona huu ugonjwa?”
И тъй, Азаил отиде за да го посрещне, като взе със себе си подарък от всяко благо от Дамаск, четиридесет камилски товари; и дойде та застана пред него и рече: Син ти Венадад, сирийският цар, ме прати при тебе, и казва: Ще оздравея ли от тая болест?
10 Elisha akamwambia, “Nenda, kwa Ben Hadadi, 'Utapona hakika,' lakini Yahwe amenionyesha kwamba atakufa hahkika.”
И Елисей му рече: Иди, кажи му: Непременно ще оздравееш от болестта. Обаче, Господ ми яви, че непременно ще умре друго-яче.
11 Basi Elisha akamtumbulia macho Hazaeli hadi alipojisikia aibu, na yule mtu wa Mungu akalia machozi.
И втренчи погледа си в Азаила без да мръдне, догде се засрами той; и Божият човек заплака.
12 Hazaeli akauliza, kwa nini unalia, bwana wangu?” Akajibu, “Kwa sababu najua uovu ambao utakaoufanya kwa watu wa Israeli. Utazichoma moto ngome zao kwa moto, na utawaua vijana wao kwa upanga, kuwaseta vipande vipande watoto wao wachanga, na kuwapasua mimba zao wanawake wenye mimba.”
А азаил каза: Защо плачеш, господарю мой? А той отговори: Защото зная колко зло ще сториш на израилтяните: укрепленията им ще предадеш но огън, младежите им ще избиеш с меч, малките им даца ще ще смажеш и бременните им жени ще разпориш.
13 Hazaeli akajibu, Ni nani mtumwa wako, ambaye atafanya jambo hili kubwa? Yeye ni mbwa tu.” Elisha akajibu, “Yahwe amenionyesha kwamba utakuwa mfalme juu ya Shamu.”
И рече Азеил: Но ще е слугата ти, кучето, та да извърши това голямо нещо? И Елисей отговори: Господ ми яви, че ти ще царуваш над Сирия.
14 Ndipo Hazaeli akamwacha Elisha na kuja kwa bwana wake, ambaye alimwambia, “Je Elisha alikwambiaje?” Akajibu, “Ameniambia kwamba utapona bila shaka.”
Тогава той тръгна от Елисея та дойде при господаря си и той му рече: Що ти каза Елисей? И отговори: Каза ми, че непременно ще оздравееш.
15 Basi siku ya pili yake Hazaeli akachukua blangeti na kulichovya kwenye maji, na kulitandaza kwenye uso wa Ben Hadadi hivyo akafa. Basi Hazaeli akawa mfalme katika sehemu sehemu yake.
А на другия ден взе завивката и като я натопи във вода, разпростня я на лицето му, така че той умря. А вместо него Азаил се възцари.
16 Katika mwaka wa kumi na tano wa Yoramu mwana wa Ahabu, mfalme wa Israeli, Yehoramu akaanza kutawala. Alikuwa mwana wa Yehoshafati mfalme wa Yuda. Alianza wakati Yehoshafati alikuwa mfalme wa Yuda.
И в петата година на Израилевия цар Иорам, син на Ахаава, възцари се Иорам, син на Юдовия цар Иосафат.
17 Yoramu alikuwa na umri wa miaka thelathini na mbili alipoanza kutawala, na alitawala kwa mda wa miaka minane katika Yerusalemu.
Той бе тридесет и две години на възраст, когато се възцари, и царува осем години в Ерусалим.
18 Yoramu akatembea kwenye njia ya huyo mfalme wa Israeli, kama walivyokuwa wakifanya kwenye nyumba ya Ahabu; kwa kuwa alikuwa na binti wa Ahabu kama mke wake, na alifanya uovu usoni kwa Yahwe.
И ходи по пътя на Израилевите царе, както постъпваше Ахавовият дом, защото жена му беше Ахаавова дъщеря; и върши зло пред Господа.
19 Walakini, kwa sababu ya mtumishi wake Daudi, Yahwe hakutaka kuiharibu Yuda, tangu alipomwambia kwamba atampatia wazao.
При все това, Господ не иска да изтреби Юда, заради слугата Си Давида, както му бе обещал, че ще даде светилник нему и на потомците му до века.
20 Katika siku za Yoramu, Edomu akaasi kutoka chini ya mkono wa Yuda, na wakamfanya mfalme juu yao wenyewe.
В неговите дни Едом отстъпи озпод ръката на Юда, и си поставиха свой цар.
21 Basi Yehoramu akaenda na maamri jeshi na magari ya farasi yote. Ilitokea kwamba akaamka usiku na kushambulia na kuwazunguka Waedomu, waliokuwa wamemzunguka na wale maamri jeshi wa magari ya farasi. Ndipo wanajeshi wa Yehoramu wakakimbilia wajumbani kwao.
Затова, Иорам замина за Саир, и всичките колесници с него; и като стана през нощта, порази едомците, които го обкръжаваха, и началниците на колесниците; а людете побягнаха в шатрите си.
22 Hivyo Edomu aliasi dhidi ya utawala wa Yuda katika siku hizi. Libna pia aliasi katika kipindi hicho hicho.
Обаче, Едом отстъпи изпод ръката на Юда, и остана независим до днес. Тогава, в същото време, отстъпи и Ливна.
23 Kwa mambo mengine yamhusuyo Yehoramu, yote aliyoyafanya, je hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya mfalme wa Yuda?
А останалите дела на Иорама, и всичко каквото извърши, не са ли написани в Книгата на летописите на Юдовите царе?
24 Yehoramu akafa na kuzikwa pamoja na baba zake, na akalala pamoja na baba zake katika mji wa Daudi. Ndipo Ahazi mtoto wake akawa mfalme katika sehemu yake.
И Иорам заспа с бащите си, и биде погребан с бащите си в Давидовия град; а вместо него се възцари син му Охозия.
25 Katika mwaka wa kumi na mbili wa Yohoramu mwana wa Ahabu, mfalme wa Israeli, Ahazi mwana wa Yehoramu, mfalme wa Yuda, alianza kutawala.
Охозия, син на Юдовия цар Иорам, се възцари в дванадесетата година на Израилевия цар Иорам, Ахаавовия син.
26 Ahazi alikuwa ana umri wa miaka ishirini na mbili wakati alipoanza kutawala; alitawala kwa mda wa mwaka mmoja katika Yerusalemu. Mama yake alikuwa anaitwa Athalia; alikuwa mtoto wa Omri, mfalme wa Israeli.
Охозия бе двадесет и две години на възраст, когато се възцари, и царува една година в Ерусалим. Името на майка му бе Готолия, внучка на Израилевия цар Амрий.
27 Ahazia alitembelea katika nyumba ya Ahabu; alifanya yale yaliyo maovu katika uso wa Yahwe, kama nyumba ya Ahabu ilivyokuwa ikifanya, kwa kuwa Ahazia alikuwa mkwe kwenye nyumba ya Aabu.
Той ходи в пътя на Ахаавовитя дом, и извърши зло пред Господа, Ахаавовия дом; защото бе зет на Ахаавовия дом.
28 Ahazia akaenda pamoja na Yoramu mwana wa Ahabu, kupigana dhidi ya Hazaeli, mfalme wa Shamu, katika Ramath Geleadi. Washami wakamjeruhi Yoramu.
И отиде на война с Иорама Ахаавовия син против сирийския цар Азаил за Рамот-галаад; а сирийците раниха Иорама.
29 Mfalme Yoramu akarudi ili auguzwe huko Yezreeli kwenye yale majeraha ambayo Washami walimpatia huko Rama. Wakati alipopigana dhidi ya Hazaeli mfalme wa Shamu. Hivyo Ahazi mwana wa Yehoramu, mfalme Yuda, akashuka kwa Yezreeli kumuona Yoramu mwana wa Ahabu, kwa sababu Yoramu alikuwa amejeruhiwa.
И тъй, цар Иорам се върна в Езраел, за да се цери от раните, които му нанесоха сирийците в Рама, когато воюваше против сирийския цар Азаил. И Юдовият цар Охозия, Иорамовият син, слезе в Езраел, за да види Иорама, Ахаавовия син, защото бе болен.

< 2 Wafalme 8 >