< 2 Wafalme 22 >

1 Yosia alikuwa na umri wa miaka minane wakati alipoanza kutawala; alitawala kwa mda wa miaka thelathini na moja katika Yerusalemu. Mama yake alikuwa anaitwa Yedida (Alikuwa binti wa Adaye wa Bozkathi).
Josiah he kum rhet a lo ca vaengah manghai tih Jerusalem ah sawmthum kum khat manghai. A manu ming tah Bozkath lamkah Adaiah canu Jedidah ni.
2 Alifanya yale yaliyo mema usoni mwa Yahwe. Alitembea kwenye njia zote za Daudi babu yake, na hakugeuka wala upande wa kulia au kushoto.
BOEIPA mikhmuh ah a thuem a saii. A napa David kah longpuei cungkuem dongah pongpa tih banvoei bantang la phael pawh.
3 Ikawa kwamba katika mwaka wa kumi na nane mfalme Yosia, akamtuma Shafani mwana wa Azalia mwana wa Meshulamu, mwandishi, kwenye nyumba ya Yahwe, akisema,
Manghai Josiah kah kum hlai rhet dongla a pha vaengah tah manghai loh BOEIPA im kah cadaek Meshullam koca Azaliah capa Shaphan te a tah tih,
4 “Panda juu kwa Hilkia yule kuhani mkuu na mwambie ahesabu pesa ambazo zilizokuwa zimeletwa kwenye nyumba ya Yahwe, ambazo walinzi wa hekalu wamezikusanya kutoka kwa watu.
“Khosoih puei Hilkiah taengla cet lamtah BOEIPA im kah a khuen tangka te cum sak saeh. Te te cingkhaa aka tawt loh pilnam taeng lamkah ni a coi.
5 Zigawanywe kwenye mikono ya wafanyakazi ambao ni wasimamizi wa nyumba ya Yahwe, na waache wawapatie wafanya kazi ambao wako kwenye nyumba ya Yahwe, ili waweze kutengeneza pale palipoharibika.
Te phoeiah BOEIPA im kah im bitat aka saii aka hung kut ah pae rhoe pae saeh. Te te BOEIPA im ah bi aka saii taeng neh im puut aka biing rhoek taengah,
6 Wapewe pesa maseremala, wajenzi, na waashi, na pia kununua mbao na kukata jiwe kukarabati nyumba ya Yahwe.”
kutthai rhoek ham neh im aka sa rhoek ham khaw, aka biing ham neh thing lai ham khaw, im biing vaengkah lungrhaih lung ham khaw pae saeh,” a ti nah.
7 Lakini zile pesa hazikutakiwa kuhesabiwa wakati walipokuwa wanapewa, kwa sababu waliimudu ile kazi kwa uaminifu.
Tedae amih khaw uepomnah neh a saii uh dongah amih kut dongah a paek tangka te amih taengah koep toem voel pawh.
8 Hilkia kuhani mkuu akamwambia Shafani yule mwandishi, “Nimekipata kitabu cha sheria katika nyumba ya Yahwe.” Basi Hilkia akampatia kile kitabu Shafani, na kukisoma.
Te vaengah khosoih puei Hilkiah loh cadaek Shaphan taengah, “BOEIPA im ah olkhueng cabu ka hmuh,” a ti nah. Te phoeiah Hilkiah loh cabu te Shaphan taengah a paek tih a tae.
9 Shafani akaenda na kuchukua kile kitabu kwa mfalme, na pia kumjulisha, akisema, “Watumishi wako wamezitumia zile pesa ambazo zilizokuwa zimepatikana kwenye hekalu na zimegawiwa kwenye mikono ya wafanya kazi ambao husimamia kuangalia nyumba ya Yahwe.”
Te phoeiah cadaek Shaphan te manghai taengla pawk tih manghai te ol a mael. Te vaengah, “Im khuikah a hmuh tangka te na sal rhoek loh a khok uh coeng. Te te BOEIPA im kah bi saii rhoek aka hung kut ah a paek uh coeng,” a ti nah.
10 Kisha Shafani yule mwandishi akamwambia mfalme, “Hilkia yule kuhani amenipatia kitabu.” Kisha Shafani akakisoma mbele ya mfalme.
Cadaek Shaphan te manghai taengla puen tih, “Khosoih Hilkiah loh kai taengah cabu m'paek,” a ti nah. Te phoeiah te te Shaphan loh manghai mikhmuh ah a tae.
11 Ikawa kwamba wakati mfalme aliposikia maneno ya sheria, alichana nguo zake.
Manghai loh olkhueng cabu dongkah ol te a yaak van neh a himbai te a phen coeng.
12 Kisha mfalme akamwamuru Hilkia yule kuhani, Ahikamu mwana wa Shafani, Akbori mwana wa Mikaya, Shafani mwandishi, na Asaya, mtumishi wake mwenyewe, akisema,
Te dongah manghai loh khosoih Hilkiah, Shaphan capa Ahikam, Mikhaiah capa Akbor, cadaek Shaphan neh manghai kah sal Asaiah te a uen tih,
13 Nenda na ukaongee pamoja na Yahwe kwa ajili yangu, na kwa ajili ya watu na kwa Yuda yote, kwa sababu ya maneno ya hiki kitabu ambacho kilichopatikana. Kwa hasira kubwa ya Yahwe ambayo ametukasirikia dhidi yetu kwa sababu babu zetu hawakusikiliza maneno ya hiki kitabu hivyo kama kutii yote ambayo yalikuwa yameandikwa kuhusiana na sisi.
“Cet uh, kai ham neh pilnam ham khaw, Judah pum ham khaw BOEIPA te toem uh laeh. Cabu dongkah ol a hmuh dongah he BOEIPA kah kosi tah mamih taengah muep rhong coeng. He cabu olka he a pa rhoek ngai loh uh pawh. Mamih ham a daek tah a cungkuem ah ngai ham om,” a ti nah.
14 Basi Hilkia yule kuhani, Ahikamu, Akbori, Shafani, na Asaya wakaenda kwa Hulda nabii wa kike, mke wa Shalumu mwana wa Tikva mwana wa Harhasi, mtunza kabati la nguo (aliishi katika Yerusalemu katika mtaa wa pili), na wakaongea pamoja naye.
Te dongah khosoih Hilkiah, Ahikam, Akbor, Shaphan neh Asaiah tah himbai aka khoem Harhas koca Tikvah capa Shallum yuu, tonghmanu Huldah taengla cet uh. Te vaengah anih te Jerusalem kah hnukthoi khopuei ah kho a sak tih amah te a voek uh.
15 Akawaambia, “Hivi ndivyo Yahwe, Mungu wa Israeli, asemavyo: 'Mwambie huyu mtu aliyekutuma kwangu,
Te vaengah amih te, “Israel Pathen BOEIPA loh he ni a thui. Kai taengla nangmih aka tueih hlang taengah thui pah.
16 “Hivi ndivyo Yahwe asemavyo: 'Tazama, nitaleta janga kwenye hii sehemu na juu ya wakaao hapa, kulingana na kila kitu kilichoandikwa kwenye kitabu ambacho mfalme wa Yuda alichokisoma.
BOEIPA loh he ni a thui. Kai loh he hmuen so neh a khuikah khosa rhoek soah khaw boethae ka khuen coeng. Cabu dongkah ol cungkuem te Judah manghai loh a tae coeng te.
17 Kwa sababu wamenitelekeza na kufukiza ubani kwa miungu mingine, hivyo basi wanaweza kunichochea hasira pamoja na matendo yote waliyoyafanya-kwa hiyo hasira yangu ilikuwa inawaka dhidi ya hii sehemu, na haitazimika.”'
Kai n'toeng uh tih a kut dongkah bitat cungkuem neh kai veet hamla a tloe pathen taengah phum uh. Te dongah ka kosi loh he hmuen he a hlup tih daeh voel mahpawh.
18 Lakini kwa mfalme wa Yuda, aliye watuma kuuliza mapenzi ya Yahwe, hivi ndivyo mtakavyo mwambia: “Yahwe, Mungu wa Israeli asema hivi: Kuhusu yale maneno uliyoyasikia,
BOEIPA toem hamla nangmih aka tueih Judah manghai te a taengah Israel Pathen BOEIPA loh a thui ol he na yaak bangla thui pah.
19 kwa sababu moyo wako ulikuwa mlaini, na kwa sababu umejinyenyekesha mwenyewe mbele za Yahwe, wakati uliposikia nilichokisema dhidi ya hii sehemu na wenyeji wake, kwamba wanaweza kuwa wakiwa na laana, na kwasaabu ulizozirarua nguo zako na kulia mbele yangu, Nami pia nimekusikia-hivi ndivyo Yahwe asemavyo.
He hmuen so neh a khuikah khosa soah imsuep neh rhunkhuennah la om sak ham ka cal te na yaak vaengah na thinko phoena tih BOEIPA mikhmuh ah na kunyun coeng. Te vaengah na himbai te na phen tih ka mikhmuh ah na rhah khaw ka yaak bal coeng. He tah BOEIPA kah olphong ni.
20 Tazama, nitakukusanya na babu zako, nawe utawekwa kaburini kwako kwa amani. Macho yako hayataona maafa yote ambayo nitayaleta kwenye hii sehemu. “"” Hivyo watu wakachukua ujumbe huu kuurudisha kwa mfalme.
Te dongah kai loh nang te na pa rhoek taengla kan humcui sak bitni ne. Na phuel ah ngaimong la na khoem uh vetih he hmuen soah ka khuen boethae cungkuem te na mik loh hmu mahpawh,” a ti nah. Te phoeiah manghai te ol a mael uh.

< 2 Wafalme 22 >