< 2 Wafalme 15 >

1 Katika mwaka wa ishirini na saba wa Yeroboamu mfalme wa Israeli, Azaria mwana wa Amazia mfalme wa Yuda akaanza kutawala.
Israel manghai Jeroboam kah kum kul kum rhih dongah Judah manghai Amaziah capa Azariah te manghai van.
2 Azaria alikuwa na umri wa miaka kumi na sita alipoanza kutawala, na alitawala kwa mda wa miaka hamsini na mbili katika Yerusalemu. Mama yake alikuwa anaitwa Yekolia, na alikuwa anatokea Yerusalemu.
Anih te kum hlai rhuk a lo ca vaengah manghai coeng tih Jerusalem ah sawmnga kum nit manghai. A manu ming tah Jerusalem lamkah Jekoliah ni.
3 Alifanya yaliyo mema machoni pa Yahwe, kama baba yake Amazia alivyofanya.
A napa Amaziah loh a cungkuem a saii vanbangla BOEIPA mikhmuh ah a thuem ni a saii van.
4 Lakini, mahali pa juu hapakuwa pameondolewa. Watu wakaendelea kutoa sadaka na kufukiza ubani katika mahala pa juu.
Tedae hmuensang te a khoe moenih. Hmuensang ah pilnam a nawn tih a phum pueng.
5 Yhawe akampiga mfalme hivyo basi akawa na ukoma mpaka siku ya kifo chake na alikaa kwenye nyumba ya pekee. Yothamu, mtoto wa mfalme, alikuwa juu ya watu na kuwaongoza watu wa nchi.
BOEIPA loh manghai te a ben dongah a dueknah hnin duela pahuk. Te dongah im hloeh la om tih im ah manghai capa Jotham loh khohmuen pilnam te lai a tloek pah.
6 Kama kwa mambo mengine yanayomhusu Azaria, yote aliyoyafanya, je hayajaandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Yuda?
Azariah kah ol noi neh a cungkuem a saii te Judah manghai rhoek kah khokhuen olka cabu dongah a daek moenih a?
7 Hivyo Azaria alilala pamoja na babu zake katika mji wa Daudi. Yothamu, mtoto wake, akawa mfalme katika mahala pake.
Azariah te a napa rhoek taengla a khoem uh vaengah anih te David khopuei kah a napa taengah a up uh. Te phoeiah a capa Jotham te anih yueng la manghai.
8 Katika mwaka wa thelathini na nane mwaka wa Azaria mfalme wa Yuda, Zekaria mwana wa Yeroboamu akatawala juu ya Israeli katika Samaria kwa miezi sita.
Judah manghai Azariah kah a kum sawmthum kum rhet vaengah Samaria kah Israel te Jeroboam capa Zekhariah loh hla rhuk a manghai thil.
9 Alifanya yaliyo maovu usoni mwa Yahwe, kama baba zake waliyoyafanya. Hakuziacha dhambi za Yeroboamu mwana wa Nabeti, ambaye alisababisha Israeli kuasi
A napa rhoek kah a saii bangla BOEIPA mik ah boethae ni a saii. Israel aka tholh sak Nebat capa Jeroboam kah tholhnah lamloh a nong moenih.
10 Shalumu mwana wa Yabeshi akafanya njama dhidi ya Zekaria, akamshambulia katika Ibleamu, na kumuua. Kisha akawa mfalme katika mahala pake.
Jabesh capa Shallum loh anih te a taeng tih pilnam mikhmuh ah anih te a ngawn. Anih te a ngawn van nen tah anih yuengla manghai.
11 Kama kwa mambo mengine yanayomuhusu Zekaria, yameandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli.
Zekhariah kah ol noi khaw Israel manghai rhoek kah khokhuen olka cabu dongah a daek uh coeng ne.
12 Hili ndilo lililokuwa neno la Yahwe ambalo aliongea na Yehu, kusema, “Kizazi chako kitakaa katika kiti cha Israeli mpaka kizazi cha nne.” Hiyo ikatokea.
Jehu taengah BOEIPA ol a thui pah bangla, “Nang lamkah a khong li ca hil tah Israel ngolkhoel dongah ngol ni,” a ti nah te thoeng tangloeng coeng.
13 Shalumu mwana wa Yabeshi akaanza kutawala katika mwaka wa thelathini na tisa wa Azaria mfalme wa Yuda, na kutawala kwa mwezi mmoja tu katika Samaria.
Judah manghai Uzziah kah kum sawmthum kum ko vaengah Jabesh capa Shallum manghai tih Samaria ah hla khat hnin khat manghai.
14 Menahemu mwana wa Gadi akapanda kutoka Tirza kwenda Samaria. Akamshambulia Shalumu mwana wa Yabeshi hapo, katika Samria. Akamuua na kuwa mfalme katika mahali pake.
Te phoeiah tah Tirzah lamkah Gadi capa Menahem te cet tih Samaria la pawk. Te vaengah Samaria kah Jabesh capa Shallum te a ngawn tih anih a duek sak phoeiah tah anih yueng la manghai.
15 Kama kwa mambo mengine yanayomuhusu Shalumu na njama aliyoifanya, yameandikwa kwenye kitabu cha matukio cha wafle wa Israeli.
Shallum kah ol noi khaw, lairhui loh anih a ven te khaw Israel manghai rhoek kah khokhuen olka cabu dongah a daek uh coeng he.
16 Ndipo Menahemu akamshambulia Tifsa na wote waliokuwa pale, na mipaka yote kuzunguka Tizra, kwasababu hawakufungua kwenye mji. Hivyo akaushambulia, na akawapasua wanawake wajawazito wote katika hicho kijiji.
Tiphsah Menahem neh a khuikah boeih khaw, Tirzah lamloh a khorhi te khaw a tloek. Thoh a ong pah pawt dongah bungvawn boeih te khaw a ngawn tih a bung a boe pah.
17 Katika mwaka wa thelathini na tisa wa Ahazia mfalme wa Yuda, Menahemu mwana wa Gadi akaanza kutawala; alitawala kwa miaka kumi katika Samaria.
Judah manghai Azariah kah a kum sawmthum kum ko vaengah Samaria kah Gadi capa Menahem loh Israel te kum rha a manghai thil.
18 Alifanya yaliyo maovu usoni mwa Yahwe. Katika maisha yake yote, hakuziacha dhambi za Yeroboamu mwana wa Nabeti, ambaye alifanya Israeli kufanya dhambi.
Amah tue khuiah tah BOEIPA mikhmuh ah boethae a saii tih Israel aka tholh sak Nebat capa Jeroboam kah tholhnah lamloh a nong moenih.
19 Kisha Pulu mfalme wa Ashuru akaja kinyume cha nchi, na Menahemu akampatia Pulu talanta elfu moja za fedha, hivyo msaada wa Pulu ungeweza kuwa na yeye kuimarisha utawala wa Israeli katika nchi yake.
Assyria manghai Pul loh khohmuen a muk vaengah anih neh kut at la om ham khaw, amah kut ah ram duel ham khaw Menahem loh Pul taengah tangka talent thawng khat a paek.
20 Menahemu akatoza hii pesa kutoka Israeli kwa kumtaka kila mtu tajiri alipe shekeli hamsini za fedha kwake kumpatia mfalme wa Ashura. Hivyo mfalme wa Ashuru akarudi na hakukaa pale katika ile nchi.
Menahem loh tangka te Israel taeng lamkah khaw, tatthai hlangrhalh boeih taeng lamkah khaw a khuen. Assyria manghai taengah a paek ham te hlang khat ah tangka shekel sawmnga a coi pah daengah Assyria manghai te khoe uh tih khohmuen ah khosa pawh.
21 Kama kwa mabo mengine yanayomuhusu Menahemu, na yote aliyoyafanya, je hayajaandikwa kwenye kitabu cha matukio ya waflme wa Israeli?
Menahem kah ol noi neh a saii boeih te Israel manghai rhoek kah khokhuen olka cabu dongah a daek uh moenih a?
22 Hivyo Menahemu akalala pamoja na babu zake, na Pekahia mtoto wake akawa mfalme katika mahala pake.
Menahem te a napa rhoek taengla a khoem uh neh a capa Pekahiah te anih yueng la manghai.
23 Katika mwaka wa hamsini wa Azaria mfalme wa Yuda, Pekahia mwana wa Menahemu akaanza kutawala juu ya Israeli katika Samaria; alitawala kwa muda wa miaka miwili.
Judah manghai Azariah kah kum sawmnga kum vaengah Menahem capa Pekahiah tah Samaria ah Israel kum nit a manghai thil.
24 Alifanya yaliyo maovu usoni pa Yahwe. Hakuziacha dhambi za Yeroboamu mwana wa Nabeti, ambazo kwa hizo alisababisha Israeli kufanya dhambi.
BOEIPA mikhmuh ah boethae a saii tih Israel aka tholh sak Nebat capa Jeroboam kah tholhnah lamloh a nong moenih.
25 Pekahia alikuwa na afisa aliyekuwa anaitwa Peka mwana wa Remalia, ambaye alifanya njama dhidi yake. Pamoja na watu hamsini wa Gileadi, Peka akamuua Pekahia pamoja na Argobu na Arie katika Samaria, katika ngome ya nyumba ya mfalme. Peka akamuua alipomua Pekahia akawa mfalme katika mahala pake.
Anih te a rhalboei Remaliah capa Pekah loh a taeng. Te dongah anih te Argob neh, Arieh neh, a taengkah Giladi ca rhoek lamkah hlang sawmnga loh Samaria kah manghai kah manghai im, impuei ah a ngawn. Anih te a duek sak phoeiah tah a yueng la amah tloep manghai.
26 Kama kwa mambo mengine yanayomuhusu Pekahia, yote aliyoyafanya, yameandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli.
Pekahiah kah ol noi neh a saii boeih te Israel manghai rhoek kah khokhuen olka cabu dongah a daek uh coeng he.
27 Katika mwaka wa hamsini na mbili wa Azia mfalme wa Yuda, Peka mwana wa Remalia akaanza kutawala juu ya Israeli katika Samaria; alitawala miaka Ishirini.
Judah manghai Azariah kah kum sawmnga kum nit dongah Remaliah capa Pekah loh Samaria ah Israel kum kul a manghai thil.
28 Alifanya yaliyo maovu usoni mwa Yahwe. Hakuziacha dhambi za Yeroboamu mwana wa Nabati, ambaye alisababisha Israeli kufanya dhambi.
BOEIPA mikhmuh ah boethae a saii tih Israel aka tholh sak Nebat capa Jeroboam kah tholhnah lamloh a nong moenih.
29 Katika siku za Peka mfalme wa Israeli, Tiglath Pileseri mfalme wa Ashuru akaja na kuichukua Iyoni, Abel Beth Maaka, Yanoa, Kadeshi, Hazori, Gileadi, na nchi yote ya Naftali. Akawachukua hao watu hadi Ashuru.
Israel manghai Pekah tue vaengah Assyria manghai Tiglathpileser loh a paan tih Ijon, Abelbethmaakah, Janoah, Kedesh neh Hazor, Gilead, Galilee neh Naphtali khohmuen pum te a loh pah. Te phoeiah amih te Assyria la a poelyoe.
30 Hivyo Hoshea mwana wa Ela akafanya njama dhidi ya Peka mwana wa Remalia. Akaishambulia na kisha kumuua. Kisha akawa mfalme katika mahali pake, katika mwaka wa ishirini wa Yothamu mwana wa Uzia.
Elah capa Hosea loh Remaliah capa Pekah te lairhui a sui thil. Pekah te a ngawn tih a duek sak phoeiah tah Uzziah capa Jotham kah a kum kul vaengah Pekah yueng la manghai.
31 Kama kwa mambo mengine yanayomuhusu Peka, yote aliyoyafanya, yameandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli.
Pekah kah ol noi neh a saii boeih te Israel manghai rhoek kah khokhuen olka cabu dongah a daek uh coeng he.
32 Katika mwaka wa pili wa Peka mwana wa Remalia, mfalme wa Israeli, Yothamu mwana wa Azaria, mfalme wa Yuda akaanza kutawala.
Israel manghai Remaliah capa Pekah kah a kum bae dongah Judah manghai Uzziah capa Jotham manghai van.
33 Alikuwa na umri wa miaka ishirini alipoanza kutawala; alitawala kwa muda wa miaka kumi na sita katika Yerusalimu. Mama yake alikuwa anaitwa Yerusha; alikuwa binti ya Sadoki.
Anih te kum kul kum nga a lo ca vaengah manghai tih Jerusalem ah kum hlai rhuk manghai. A manu ming tah Zadok canu Jerusha ni.
34 Yotahmu alifanya yaliyo sahihi usoni pa Yahwe. Alifuata mfano wa yote baba yake Azaria aliyofanya.
BOEIPA mikhmuh ah a thuem ni a saii. A cungkuem dongah a napa Uzziah kah a saii bangla a saii.
35 Ila, mahali pa juu hapakuchukuliwa. Watu walikuwa wakitio sadaka na kufukiza ubani katika mahali pa juu. Yothamu akajenga lango la juu la nyumba ya Yahwe.
Te cakhaw hmuensang te a khoe moenih. Hmuensang ah pilnam a nawn tih a phum pueng. Anih loh BOEIPA im kah imhman vongka te a saii.
36 Kama kwa mambo mengine yanayomuhusu Yothamu, na yote aliyoyafanya, je yameandikwa katika kitabu cha matukio ya wafalme wa Yuda?
Jotham kah ol noi neh a bi saii te Judah manghai rhoek kah khokhuen olka cabu dongah a daek uh moenih a?
37 Katika zamani hizo Yahwe akaanza kumtuma dhidi ya Yuda Rezini mfalme wa Sahmu, na Peka mwana wa Remalia.
Te vaeng tue ah ana tong tih BOEIPA loh Judah taengla Aram manghai Rezin neh Remaliah capa Pekah te a tueih coeng.
38 Yothamu akalala pamoja na babu zake na akazikwa pamoja na babu zake katika mji wa Daudi, babu yake. Kisha Ahazi, mtoto wake, akwa mfalme katika mhali pake.
Jotham te a napa rhoek taengla a khoem uh vaengah a napa David khopuei kah a napa rhoek taengah a up. Te phoeiah a capa Ahaz te anih yueng la manghai.

< 2 Wafalme 15 >