< 2 Nyakati 1 >

1 Selemani mwana wa Daudi, aliimariswa katika utawala wake, na Yahwe Mungu wake alikuwa pamoja naye na alimpa nguvu nyingi sana.
Och Salomo, Davids son, vardt i sitt rike förstärkt, och Herren hans Gud var med honom, och gjorde honom ju större och större.
2 Sulemani akasema kwa Israleli wote, na maakida wa maelfu na wa mamia, na kwa waamuzi, na kwa kila mfalme kiongozi katika Israeli yote, wakuu wa kaya.
Och Salomo talade med hela Israel, med de öfverstar öfver tusend och hundrade, med domare och alla Förstar i Israel, med de öfversta fäder;
3 Hivyo Sulemani na kusanyiko lote wakaenda pamoja naye sehemu ya juu iliyokuwa Gibeoni, maana ndipo palikuwepo hema ya kukutania ya Mungu, ambayo Musa mtumishi wa Yahwe, alikuwa ameitengeneza jangwani.
Att de skulle gå, Salomo och hela menigheten med honom, bort till den höjden, som i Gibeon var; ty der var Guds vittnesbörds tabernakel, som Mose Herrans tjenare gjort hade i öknene.
4 Lakini Daudi alikuwa ameleta pale sanduku la Mungu kutoka Kiriath yeriam hadi sehemu ambayo alikuwa ametayarisha, maana alikuwa ameliandalia hema huko katika Yerusalemu.
Ty Guds ark hade David uppfört ifrå KiriathJearim, dit han för honom tillredt hade; förty han hade honom uppslagit ett tabernakel i Jerusalem.
5 Zaidi ya hayo, madhabahu ya shaba iliyotengenezwa na Bezaleli mwana wa uri mwana wa Huri ilikuwepo huko kabla ya mbele ya madhabahu ya Yahwe; Sulemani na kusanyiko wakaenda ilikokuwa. (Maandiko ya zamani yanasema
Men det kopparaltaret som Bezaleel, Uri son, Hurs sons, gjort hade, var der för Herrans tabernakel; och Salomo och menigheten plägade söka det.
6 Selemani akaenda huko kwenye kwenye madhabahu ya shaba mbele za Yahwe, ambayo ilikuwepo mahali pa hema ya kukutamia, na akatoa sadaka elfu za kuteketezwa juu yake.
Och Salomo offrade för Herranom på kopparaltaret, som der för dörrene af vittnesbördsens tabernakel stod, tusende bränneoffer.
7 Mungu akamtokea Selemani usiku huo na akasema kwake, “Omba! Nikupe nini?”
I samma nattene syntes Gud Salomo, och sade till honom: Bed, hvad skall jag gifva dig?
8 Selemani akasema kwa Mungu, “Umeonesha agano la uaminifu mkuu kwa Daudi baba yangu, na umenifanya mfalme katika nafasi yaye.
Och Salomo sade till Gud: Du hafver gjort stora barmhertighet med minom fader David, och hafver gjort mig till Konung i hans stad.
9 Sasa, Yahwe Mungu, ahadi yako kwa Daudi baba yangu itimie, maana umenifanya mfalme juu ya watu wengi kama mavumbi ya dunia.
Så låt nu, Herre Gud, din ord varda sann till min fader David; ty du hafver gjort mig till Konung öfver ett folk, det så mycket är som stoftet på jordene.
10 Sasa nipe hekima na maarifa, ili niweze kuwaongoza watu hawa, maana ni nani anayeweza kuwaamua watu wako, ambao ni wengi sana kwa idadi?”
Så gif mig nu vishet och förstånd, att jag för detta folket må gå ut och in; ty ho förmår döma detta ditt myckna folk?
11 Mungu akasema kwa Selemani, “Kwa kuwa hili lilikuwa kwenye moyo wako, na kwa kuwa hujaomba mali, utajiri, au heshima, wala maisha ya wale wanaokuchukia, wala maish marefu kwa jili yako binafsi, lakini umeomba hekima na maarifa kwa ajili yako, ili uwatawale watu wangu, ambao juu yao nimekufanya mfame, na hivi ndivyo nitafanya.
Då sade Gud till Salomo: Efter du hafver detta i sinnet, och hafver icke bedit om rikedomar, eller ägodelar, eller om härlighet, eller om dina fiendars själar, eller om långt lif; utan hafver bedit om visdom och förstånd, att du må döma mitt folk, der jag dig en Konung öfver gjort hafver;
12 Sasa nitakupa hekima na maarifa, pia nitakupa mali na utajiri, na heshima, kuliko wafalme wote waliokuwepo kabla yako walivyokuwa, na baada yako hakuna yeyote atakayekuwa navyo.”
Så vare dig visdom och förstånd gifvet; dertill vill jag ock gifva dig rikedomar, ägodelar och härlighet, så att din like ibland Konungarna för dig icke varit hafver, ej heller varda skall efter dig.
13 Kwa hiyo Selemani akaenda Yerusalemu kutoka sehemu ya juu iliyokuwepo Gibeoni, kutoka mbele ya hema ya kukutania; akatawala juu ya Israeli.
Alltså kom Salomo ifrå höjdene, som i Gibeon var, till Jerusalem, ifrå vittnesbördsens tabernakel, och regerade öfver Israel.
14 Selemani akakusanya magari na wanaume waendesha farasi, naye alikuwa na magari 1, 400 na waendesha farasi kumi na mbili elfu ambao aliwaweka katika miji ya magari, pamoja naye, mfalme katika Yerusalemu.
Och Salomo församlade sig vagnar och resenärar, så att han åstadkom tusende och fyrahundrade vagnar, och tolftusend resenärar, och lät dem uti vagnsstäderna, och när Konungenom i Jerusalem.
15 Mfalme akatengeneza fedha na dhahabu kuwa vitu vya kawaida kama mawe katika Yerusalemu, na mbao za mierezi kuwa kama miti ya mikuyu iliyomo katika nyanda za chini.
Och Konungen gjorde, att silfver och guld var i Jerusalem så mycket som stenar; och cedreträ så mycket som mulbärsträ i dalarna.
16 Selemani katika uagizaji wa farasi kutoka Misiri, wafanya biashara wake walinunua farasi kutoka Misiri kwa bei stahiki.
Och man förde Salomo hästar utur Egypten, och allahanda varor. Och Konungens köpmän köpte samma varor;
17 Waliagiza gari kutoka Misiri kwa shekeli mia sita za fedha, na farasi mmoja kwa shekeli 150. Pia walinunua kutoka kwa wafalme wa Wahiti na wafalme wa Washamu.
Och förde dem utur Egypten, hvar vagn för sexhundrad silfpenningar, och hvar häst för hundrade och femtio; alltså förde man dem ock till alla de Hetheers Konungar, och till de Konungar i Syrien, genom deras hand.

< 2 Nyakati 1 >