< 1 Nyakati 8 >

1 Wana watano wa Benjamini walikuwa Bela mwana wake wa kwanza, Asibeli, Ahara,
BenJamin födde Bela sin första son, Asbel den andra, Ahrah den tredje,
2 Noha, na Rafa.
Nohah den fjerde, Rapha den femte.
3 Wana wa Bela walikuwa Adari, Gera, Abihudi,
Och Bela hade barn: Addar, Gera, Abihud;
4 Abishau, Naamani, Ahoa,
Abisua, Naaman, Ahoah,
5 Gera, Shefufani, na Huramu.
Gera, Sephuphan och Huram.
6 Hawa walikuwa uzao wa Ehudi ambao walikuwa vichwa vya koo kwa wakazi wa Geba, ambao walihimizwa kuhamia Manahati:
Desse äro Ehuds barn, som hufvud voro för de fäder, som bodde i Geba, och drogo bort till Manahath;
7 Naamani, Ahijahi, na Gera. Wa mwishi, Gera, aliwaongoza katika kuhama. Alikuwa baba wa Uza na Ahihudi.
Nämliga Naaman, Ahia och Gera, den samme förde dem bort; och han födde Ussa och Ahihud.
8 Shaharaimu akawa baba wa watoto katika ardhi ya Moabu, baada ya kuwatariki wake zake Hushimu na Baara.
Och Saharaim födde i Moabs land, (då han hade låtit dem ifrå sig) af Husim och Baara sinom hustrum.
9 kwa mke wake Hodeshi, Shaharaimu akawa baba wa Yobabu, Zibia, Mesha, Malkamu,
Och han födde af Hodes sine hustru Jobab, Zibia, Mesa, Malcham,
10 Yeuzi, Shachia, na Mirima. Hawa walikuwa wana wake, viongozi katika koo zao.
Jeuz, Sachia och Mirma. Desse äro hans barn, hufvud för fäderna.
11 Alikwisha kuwa baba wa Abitubi, na Elipaali kwa Hushimu.
Af Husim födde han Abitob och Elpaal.
12 Wana wa Elipaali walikuwa Eba, Mishamu, na Shemedi ( ambao walijenga Ono na Lod pamoja na vijiji vilivyozunguka.)
Elpaals barn voro: Eber, Misam och Samed; den samme byggde Ono och Lod, och dess döttrar.
13 Pia walikuwako Beria na Shema. Walikuwa vichwa vya koo walizoishi Aijalon, Ambao waliwaondoa wakazi wa Gati.
Och Beria och Serna voro hufvud för fäderna ibland dem som bodde i Ajalon; de förjagade dem som bodde i Gath.
14 Beria alikuwa na wana watatu: Ahio, Shashaki, Jeremothi,
Men hans broder, Sasak, Jeremoth,
15 Zebadia, Aradi, Eda,
Sebadia, Arad, Ader,
16 Mikaeli, Ishipa, na Joha.
Michael, Jispa och Joha. Desse äro Beria barn.
17 Elipaa alikuwa na wana hawa: Zebadia, Meshulamu, Hiziki, Heba,
Sebadia, Mesullam, Hiski, Heber,
18 Ishimerai, Izilia, na Yobabu.
Jismerai, Jislia, Jobab. Desse äro Elpaals barn.
19 Shimei alikuwa na wana hawa: Yokimu, Zikri, Zabdi,
Jakim, Sichri, Sabdi,
20 Elienai, Zilletai, Elieli,
Elienai, Zillethai, Eliel,
21 Adaia, Beraia, na Shimrati.
Adaja, Beraja och Simrath. Desse äro Simri barn.
22 Shashaki alikuwa na wana hawa: Ishipani, Eba, Elieli,
Jispan, Eber, Eliel,
23 Abdoni, Zikri, Hanani,
Abdon, Sichri, Hanan,
24 Hanania, Elamu, Antotoja,
Hanania, Elam, Anthothia,
25 Ifdeia, na Penueli.
Jiphdeja och Pnuel. Desse äro Sasaks barn.
26 Yerohamu alikuwa na wana hawa: Shamsherai, Sheharia, Atli,
Samserai, Seharia, Athalia,
27 Yaareshia, Elija, na Zikri.
Jaresia, Elia och Sichri. Desse äro Jerohams barn.
28 Hawa walikuwa vichwa vya koo na viongozi walioishi Yerusalemu.
Desse äro hufvud för fäderna i deras ätter; de bodde i Jerusalem.
29 Baba wa Gibeoni, Jeieli, ambaye mke wake aliitwa Maaka, aliishi ndani ya Gibeoni.
Men i Gibeon bodde fadren Gibeon; och hans hustru het Maacha.
30 Uzao wake wa kwanza alikuwa Abdoni, akafatia Zuri, Kishi, Baali, Nadab,
Och hans förste son var Abdon, Zur, Kis, Baal, Nadab,
31 Gedori, Ahio, na Zekari.
Gedor, Ahio och Secher.
32 Mwana mwingine wa Yeieli alikuwa Mikloti, ambaye akaja kuwa baba wa Shimea. Pia wanaishi karibu na ndugu zao Yerusalemu.
Men Mikloth födde Simea; och de bodde tvärsemot deras bröder i Jerusalem med sinom brödrom.
33 Neri alikuwa baba wa Kishi. Kishi alikuwa baba wa Sauli. Sauli alikuwa baba wa Yonathani, Malkishua, Abinadabu, na Ishbaali.
Ner födde Kis, Kis födde Saul, Saul födde Jonathan, MalchiSua, AbiNadab och Esbaal.
34 Mwana wa Yonathani alikuwa Meribu Baali. Meribu Baali alikuwa baba wa Mika.
Jonathans son var MeriBaal. MeriBaal födde Micha.
35 Wana wa Mika walikuwa Pithoni, Meleki, Tarea, and Ahazi.
Micha barn voro: Pithon, Melech, Thaerea och Ahas.
36 Ahazi akawa baba wa Yehoada. Yehoada alikuwa baba wa Amelethi, Azimavethi, na Zimri. Zimri alikuwa baba wa Moza.
Ahas födde Joadda. Joadda födde Alemeth, Asmaveth och Simri. Simri födde Moza.
37 Moza alikuwa baba wa Binea. Binea alikuwa baba wa Rafa. Rafa alikuwa baba wa Eleasa. Eleasa alikuwa baba wa Azeli.
Moza födde Binea; hans son var Rapha; hans son var Eleasa; hans son var Azel.
38 Azeli alikuwa na wana sita: Azrikamu, Bokeru, Ishimaeli, Obadia, na Hanani. Wote hawa walikuwa wana wa Azeli.
Men Azel hade sex söner. De heto: Asrikam, Bochru, Ismael, Searia, Obadja, Hanan. De äro alle Azels söner.
39 Wana wa Esheki, kaka yake, walikuwa Ulamu mzaliwa wake wa kwanza, Yeushi wa pili, na Elifeleti wa tatu.
Eseks barn, hans broders, voro: Ullam hans förste son, Jeus den andre, Eliphelet den tredje.
40 Wana wa Ulamu walikuwa wanaume wa mapambano na warusha mishale wa zuri. Walikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla ya 150. Wote hawa walikuwa uzao wa Benjamini.
Men Ullams barn voro väldige män, och välbehändige med bågar och hade många söner och sonasöner, hundrade och femtio. De äro alle af BenJamins barnom.

< 1 Nyakati 8 >