< 2 Nyakati 35 >

1 Yosia asherehekea Pasaka kwa ajili ya Yahwe katika Yerusalemu, na wakachinja wanakondoo katika siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza.
Un Josija Tam Kungam noturēja Pasa svētkus Jeruzālemē, un tie nokāva to Pasa pirmā mēneša četrpadsmitā dienā.
2 Akawaweka makauhuni katika nafasi zao na akawatia moyo katika hudumza za nyumba ya Yahwe.
Un viņš iecēla priesterus, ikvienu savā vietā, un tos iedrošināja pie Tā Kunga nama kalpošanas.
3 Akasema kwa Walawi waliowafundisha Israeli wote na waliokuwa wamewekwa wakifu kwa Yahwe. “Liwekeni sanduka takatifu katika nyumba ambayo Selemani mwana wa Daudi, mfalme wa Israeli aliijenga. Msilibebe kuzunguka nalo tena mabegani mwenu. Sasa mwabuduni Yahwe Mungu wenu, na watumikieni watu wake Israeli.
Un viņš sacīja uz tiem levitiem, kas visu Israēli mācīja, kas bija svētīti Tam Kungam: noliekat to svēto šķirstu tai namā, ko Salamans, Dāvida dēls, Israēla ķēniņš, ir uzcēlis; tas jums vairs nav jānes uz kamiešiem. Tad nu kalpojiet Tam Kungam, savam Dievam, un Viņa Israēla ļaudīm,
4 Jikusanyeni wenyewe kwa majina ya nyumba za babu zenu na zamu zenu, mkifuata maelekezo ya Daudi, mfalme wa Israeli, na yale ya Selemani, mwaye.
Un esat gatavi pēc savu tēvu namiem, pēc savām kārtām, kā Dāvids, Israēla ķēniņš, to uzrakstījis, un kā Salamans, viņa dēls, arī uzrakstījis.
5 Simeni katika sehemu takatifu, mkichukua nafasi zenu kwa zamu zenu ndani ya nyumba za mababu wa bdugu zenu, uzao wa watu, na mchukue sehemu zenu kwa zamu zenu ndani ya nyumba za mababu wa Walawi.
Un stāviet svētā vietā pēc tēvu namu kārtām par saviem brāļiem, tiem ļaužu bērniem, un pēc levitu tēvu namu kārtām,
6 Chinjeni wanakondoo wa Paska, jitakaseni wenyewe, andaeni wankondoo kwa ajili ya ndugu zenu, kufanya sawa sawa na neno la Yahwe ambalo lilitolewa kwa mkono wa Musa”.
Un kaujiet to Pasa un svētījaties un sataisiet to saviem brāļiem, darīdami pēc Tā Kunga vārda caur Mozu.
7 Yosia akawapa watu wote wanakondoo elfu thelathini na wanambuzi kutoka katika makundi kwa ajili ya sadaka za Pasaka kwa wote walikuwepo. Pia akatoa ng'ombe dume elfu tatu; hawa walikuwa kutoka katika mali ya mfalame.
Un Josija deva tiem ļaudīm no sīkiem lopiem jērus un kazlēnus, tos visus par Pasa upuriem, visiem, kas tur atradās, trīsdesmit tūkstošus, un trīs tūkstošus vēršus; tas bija no ķēniņa mantas.
8 Viongozi wake wakatoa sadaka za hiari kwa watu, makuhani, na Walawi. Hilki, Zekaria, na Yeieli, viongozi wasimamizi wa nyumba ya Mungu, wakawapa makuhani ndama 2, 600 na maksai mia tatu kwa ajili ya matoleo ya Paska.
Arī viņa lielkungi deva labprātības upurus tiem ļaudīm, priesteriem un levitiem: Hilķija un Zaharija un Jeīels, Dieva nama virsnieki, deva priesteriem uz Pasa svētkiem divtūkstoš sešsimt jērus un trīssimt vēršus.
9 Pia Konania, Shemaya na Nethaneli, ndugu zake, na Hashabia, Yeieli, na Yazabadi, mkuu wa Walawi, akawapa Walawi ndama elfu tano kwa ajili ya matoleo ya Pasaka.
Un Kananija un Šemaja un Netaneēls, viņa brāļi, Hašabija un Jeīels un Jozabads, levitu virsnieki, deva levitiem uz Pasa svētkiem piectūkstoš jērus un piecsimt vēršus.
10 Kwa hiyo huduma iliandaliwa, na makuhani wakasimama katika sehemu zao, pamoja na Walawi kwa zamu zao, kwa mjibu wa agizo la mfalme.
Tā Dieva kalpošana tapa ierīkota, un priesteri stāvēja savā vietā un leviti pēc savām kārtām, pēc ķēniņa pavēles.
11 Wakawachinja wanakondoo wa Pasaka, na makuhani wakainyunyiza damu waliyoipokea kutoka kwenye mikono ya Walawi, na Walawi wakawachuna wanakondoo.
Un tie kāva to Pasa, un priesteri slacināja asinis no savām rokām, un leviti noplēsa ādas.
12 Wakaziondoa sadaka za kuteketezwa, ili kuzisambaza katika makundi ya nyumba za mababu wa watu, ili wamtolee Yahwe, kama ilivyoandikwa katika Kitabu cha Musa. Wakafanya vile vile kwa wale ng'ombe dume.
Un tie atšķīra dedzināmos upurus, ka tos izdalītu ļaužu tēvu namu kārtām, Tam Kungam upurēt, kā Mozus grāmatā rakstīts. Tāpat arī darīja ar vēršiem.
13 Wakawaoka kwa moto wanakondoo wa Pasaka wakifuata maelekezo, kuhusu sadaka takatifu, walizichemsha kwenye vyungu, masufuria na makaangoni, na haraka wayapeleka kwa watu.
Un tie cepa to Pasa pie uguns pēc likuma, bet svētos gabalus tie vārīja podos un katlos un pannās un steigšus to nesa visiem ļaudīm.
14 Baadaye waliandaa sadaka kwa ajili yao wenyewe na kwa ajili ya makuhani, kwa sababu makuhani, uzao wa Haruni, walikuwa wametingwa katika kazi ya kutoa sadaka za kuteketezwa na za mafuta hadi usiku ulipoingia, kwa hiyo Walawi wakaandaa sadaka kwa ajili yao wenyewe na kwa ajili ya makuhani, wana wa Haruni.
Pēc tam tie arī sev sataisīja un priesteriem. Jo priesteri, Ārona dēli, upurēja līdz pašai naktij dedzināmos upurus un taukus, tādēļ leviti sataisīja priekš sevis un priekš priesteriem, Ārona dēliem.
15 Waimbaji, wana wa Asafu, walikuwa katika nafasi zao, kama ilivyoagiwa na Daudi, Asafu, Hemani, na Yeduthuni, mwonaji wa mfalme, na walinzi walikuwa katika kila lango. Hawakutakiwa kuviacha vituo vyao, kwa sababu ndugu zao Walawi walifanya maandalizi kwa ajili yao.
Un tie dziedātāji, Asafa dēli, stāvēja savās vietās, tā kā Dāvids un Asafs un Hemans un Jedutuns, ķēniņa redzētājs, pavēlējuši, arī vārtu sargi pie ikkatriem vārtiem. Un tiem nevajadzēja atkāpties no sava darba, bet viņu brāļi, tie leviti, to sataisīja priekš viņiem.
16 Kwa hiyo, wakati huo huduma yote ya Yahwe ilifanyika kwa ajili ya kusherekea Pasaka na kutoa sadaka za kuteketezwa juu ya madhabahu ya Yahwe, Kama alivyoamuru mfalme Yosia.
Tā visa Tā Kunga kalpošana tai dienā tapa izdarīta, Pasa svētki tika noturēti un tie dedzināmie upuri upurēti uz Tā Kunga altāra, kā ķēniņš Josija to bija pavēlējis.
17 Watu wa Israeli ambao walikuwepo wakaishika Sabato wakati huo, na kisha Sikukuu ya Mikate isiyochachwa kwa siku saba.
Un Israēla bērni, kas tur atradās, turēja tai laikā Pasa svētkus un neraudzētās maizes svētkus septiņas dienas.
18 Pasika kama hiyo haijafanyika tena katika Israeli tangu siku za nabii Samweli, wala hakuna mfalme yeyote miongoni mwa wafalme wa Israeli ambaye amewahi kusherekea Pasaka kama Yosia alivyofanya, pamoja na makuhani, Walawi, na watu wote wa Yuda na Israeli waliokuwepo, na wakaaji wote wa Yerusalemu.
Tādi Pasa svētki iekš Israēla vēl nebija turēti no pravieša Samuēla laika, un neviens no Israēla ķēniņiem nebija turējis tādus Pasa svētkus, kā Josija turēja ar priesteriem un levitiem un ar visu Jūdu un Israēli, cik tur atradās, un ar Jeruzālemes iedzīvotājiem.
19 Pasaka hii ilitunzwa ndani ya miaka kumi na nane ya utawala wa Yosia.
Josijas valdīšanas astoņpadsmitā gadā šie Pasa svētki tapa turēti.
20 Baada ya haya yote, baada ya Yosia kuliweka hekalu katika utaratibu, Neko, mfalme wa Misiri, akaenda juu kupigana dhidi ya Karkemist karibu na mto Frati, na Yosia akaenda kupigana juu yake.
Pēc visa tā, kad Josija to namu bija uzkopis, tad Nekus, Ēģiptes ķēniņš, nāca karot pret Karķemisu pie Eifrat upes. Un Josija tam izgāja pretī.
21 Lakini Niko akatuma wajumbe kwake, akisema, “Nikufanye nini, mfalme wa Yuda? Leo siji kinyume nawe, lakini dhidi ya nyumba ambayo nafanya vita nayo. Mungu ameniamuru kuwahi, hivyo acha kumwingilia Mungu, ambaye yuko pamoja nami, la sivyo atakuangamiza.”
Bet viņš sūtīja vēstnešus pie tā un sacīja: kas man ar tevi, Jūda ķēniņ? Es šodien pret tevi neesmu nācis, bet pret kādu namu, kas karo pret mani, un Dievs ir sacījis, ka man būs steigties; nepretojies tu Dievam, kas ir ar mani, lai tas tevi nesamaitā.
22 Hata hivyo, Yosia alipuuzia kurudi nyuma. Akajibadili ili apigane naye. Hakusikiliza maneno ya Neko ambayo yalikuja kutoka kwenye kinywa cha Mungu; hivyo akaenda kupigana kataika bonde la Megido.
Bet Josija nenovērsās no tā, bet sataisījās ar viņu karot, un viņš neklausīja Nekus vārdiem no Dieva mutes un nāca, ar viņu kauties Meģidus ielejā.
23 Wapiga upinde wakampiga Mfalme Yosia, na mfalme akawaambia watumishi wake, “Niondoeni hapa, kwa maana nimejeruhiwa vibaya.”
Bet strēlnieki šāva uz ķēniņu Josiju, un ķēniņš sacīja uz saviem kalpiem: vediet mani projām, jo es esmu ļoti ievainots.
24 Kwa hiyo watumishi wake wakamtoa nje ya gari, na kumuweka katika gari lake la tahadhari. Wakampeleka Yerusalemu, ambako alikufa. Alzikwa katika makaburi ya babu zake. Yuda wote na Yerusalemu wakamwomboleza.
Tad viņa kalpi to nocēla no ratiem un noveda uz viņa otriem ratiem, un to noveda Jeruzālemē. Un tas nomira un tapa aprakts savu tēvu kapos, un visa Jūda valsts un Jeruzāleme žēlojās par Josiju.
25 Yeremia akamwomboleza Yosia; waimbaji wote wa kiume na wa kike wakaomboleza kuhusu Yosia hata leo. Nyimbo hizi zikawa desturi katika Israeli; tazama, zimeandikwa katika nyimbo za maombolezo.
Un Jeremija taisīja vienu raudu dziesmu par Josiju, un visi dziedātāji un dziedātājas runāja savās raudu dziesmās par Josiju līdz šai dienai, un to iestādīja par likumu iekš Israēla; un redzi, tās ir rakstītas raudu dziesmās.
26 Kwa mambao mengine kuhusu Yosia, na matendo yake mema aliyoyafanya katika utii kwa kile kilichoandikwa katika sheria ya Yahwe—
Un kas vēl par Josiju stāstāms, un viņa dievbijība pēc Tā Kunga bauslības,
27 na matendo yake, kutoka mwanzo hadi mwisho, yameandikwa katika kitabu cha wafalme wa Yuda na Israeli.
Arī viņa pirmās un pēdējās lietas, redzi, tās rakstītas Israēla un Jūda ķēniņu grāmatā.

< 2 Nyakati 35 >