< 2 Nyakati 33 >

1 Manase alikuwa na umri wa miaka kumi na mbili alipoanza kutawala, alitawala miaka hamsini na tano katika Yerusalemu.
Manasus bija divpadsmit gadus vecs, kad palika par ķēniņu, un valdīja piecdesmit pieci gadus Jeruzālemē,
2 Akafanya yalikuwa uovu katika macho ya Yahwe, kama yalivyo mambo ya machukizo ya mataifa ambao Yahwe alikuwa amewafukuza mbele ya watu wa Israeli.
Un darīja, kas Tam Kungam nepatika, pēc to tautu negantībām, ko Tas Kungs Israēla bērnu priekšā bija izdzinis.
3 Kwa maana alizijenga tena sehemu za juu ambazo baba yake Hezekia alikuwa amezibomoa, na akajenga madhabahu kwa ajili ya mabaali, akatengeneza sanaamu za Maashera, na akaziinamia chini nyota zote za mbinguni na kuziabudu.
Jo tas uztaisīja atkal kalnu altārus, ko viņa tēvs Hizkija bija nolauzījis, un uztaisīja altārus Baāliem un taisīja Ašeras un metās zemē priekš visa debess spēka un tiem kalpoja.
4 Manase akajenga madhbahu za kipagani katika nyumba ya Yahwe, ingawa Yahwe alikuwa amemwamuru, “Ni katika Yerusalemu ambamo jina langu litawekwa milele”.
Viņš taisīja altārus arī Tā Kunga namā, par ko Tas Kungs bija sacījis: Jeruzālemē lai ir mans vārds mūžīgi.
5 Alijenga madhabahu kwa ajili ya nyota zote za mbinguni katika vile viwanja viwili vya nyumba ya Yahwe.
Un visam debess spēkam viņš cēla altārus Tā Kunga nama abējos pagalmos.
6 Katika bonde la Beni Hinomu akawaweka wanaye katika moto. Akafanya misemo ya ubashiri, na uchawi, akassoma utabiri; akashauriana na wale waliozungumza na wafu na wale waliozungumza na na roho. Akafanaya maaovu mengi katika mcho ya Yahwe na alimfanya Mungu akasirike.
Un viņš lika saviem dēliem caur uguni iet Ben-Inoma ielejā un zīlēja un vārdoja un būra un turēja zīlniekus un pūšļotājus; viņš darīja ļoti daudz, kas Tam Kungam nepatika, viņu kaitinādams.
7 Ile sanamu ya Maashera aliyokuwa amefanya, akaipeleka katika nyumba ya Mungu. Ni kuhusu nyumba hii ambayo Mungu alikuwa amesema kwa Daudi na Selemani mwanaye; alikuwa amesema, “Ni katika nyumba hii na katika Yerusalemu, ambao nimeuchangua kutoka makabila yote ya Israeli, kwamba nitaliweka jina langu milele.
Arī elka tēlu, ko bija taisījis, viņš uzcēla Dieva namā, par ko Dievs uz Dāvidu un viņa dēlu Salamanu bija sacījis: šinī namā un Jeruzālemē, ko Es esmu izredzējis no visām Israēla ciltīm, Es Savu vārdu iecelšu mūžīgi.
8 Sitawaondoa tena watu wa Israeli katina nchi hii ambayo niliitoa kwa babu zao, ikiwa tu watakuwa makini katika kuyashika yote niliyowaamuru, kuzishika sheria zangu, amri zangu, na sheria zangu nilizowapa kupitia Musa.”
Un Israēla kājai Es vairs nelikšu kustēt no tās zemes, ko Es jūsu tēviem esmu nolicis, ja tie visu turēs un darīs, ko Es tiem esmu pavēlējis, pēc visas bauslības un likumiem un tiesām caur Mozu.
9 Manase akawaongoza Yuda na wakaaji wa Yerusalemu hata kufanya uovu zaidi kuliko hata watu wa mataifa ambao Yahwe alikuwa amewateketeza mbele za Israeli.
Tā Manasus Jūdu un Jeruzālemes iedzīvotājus vedināja uz ļaunu, ka tie niknāki darīja, nekā tie pagāni, ko Tas Kungs Israēla bērnu priekšā bija izdeldējis.
10 Yahwe akasema kwa Manase, na kwa watu wake wote, lakini hawakumsikiliza.
Un Tas Kungs gan runāja uz Manasu un uz viņa ļaudīm, bet tie neņēma vērā.
11 Kwa hiyo Yahwe akaleta juu yao maamri jeshsi wa jeshi la Ashuru, ambao walimchukua Manase katika minyonyoro, wakamfunga kwa pingu, na wakampeleka Babeli.
Tāpēc Tas Kungs tiem sūtīja Asīrijas ķēniņa kara virsniekus; tie gūstīja Manasu saitēm un to apcietināja ar divām vara ķēdēm un to noveda uz Bābeli.
12 Manase alipokuwa katika dhika, alimuomba Yahwe, Mungu wake, na akajinyenyekesha sana mbele za Mungu wa babu zake.
Kad tas nu tā bija spaidos, tad tas pielūdza To Kungu, savu Dievu, un pazemojās ļoti priekš savu tēvu Dieva
13 Akaomba kwake; na Mungu akamsikiliza, na Mungu akasikia kuomba kwake na akamrudisha Yerusalemu, katika ufalme wake. Kisha Manase akafahamu kwamba Yahwe alikuwa Mungu.
Un lūdza Viņu. Un Viņš no tā ļāvās pielūgties un paklausīja viņa sirsnīgo lūgšanu un pārveda to atkal uz Jeruzālemi viņa valstībā. Tad Manasus atzina, ka Tas Kungs ir Dievs.
14 Baada ya hayo, manase akajenga ukuta wa nje ya mji wa Daudi, upande wa magharibi wa Gihoni, katika bonde, hadi kwenye lango la Samaki. Akauzungushia mlima wa Ofeli na akaupandisha ukuta hadi usawa mrefu sana. Akaweka maamri jeshi jasiri katika ngome zote za miji ya Yuda.
Un pēc tam viņš uztaisīja Dāvida pilsētas āra mūri uz Ģiona pusi pret vakariem ielejā līdz tai vietai, kur ieiet pa Zivju vārtiem, un apkārt Ofelam, un to taisīja ļoti augstu, un ielika arīdzan kara virsniekus visās stiprās Jūda pilsētās.
15 Akaipeleka mbali miungu yote ya kigeni, akaondoa sanamu zote kwenye nyumba ya Yahwe, na madhabahu zote ambazo alikuwa amejenga juu ya mlima wa nyumba ya Yahwe na katika Yerusalemu, na kuvitupa nje ya mji.
Un viņš nopostīja tos svešos dievus un to elku no Tā Kunga nama, ar visiem altāriem, ko viņš bija uztaisījis Tā Kunga nama kalnā un Jeruzālemē un izmeta tos ārā no pilsētas.
16 Akaijenga tena madhabahu ya Yahwe na juu yake akatoa sadaka za amani na sadaka za shukrani; akamwamuru Yuda amtumikie Yahwe, Mungu wa Israeli.
Un viņš uzkopa Tā Kunga altāri un upurēja uz tā pateicības upurus un slavas upurus, un pavēlēja Jūda ļaudīm, kalpot Tam Kungam, Israēla Dievam.
17 Hata hivyo watu bado walitoa sadaka mahali pa sehemu za juu, lakini kwa Yahwe, Mungu wao pekee.
Taču tie ļaudis vēl upurēja kalnos, bet Tam Kungam savam Dievam.
18 Katika mambo mengine kuhusu Manase, maombi yake kwa Mungu wake, na maneno ya waonaji ambao walisema kwake katika jina la Yahwe, Mungu wa Israeli, tazama, yameandikwa miongoni mwa matendo ya wafalme wa Israeli.
Un kas vēl par Manasu stāstāms, un viņa lūgšana uz savu Dievu un to redzētāju vārdi, kas uz viņu runājuši Tā Kunga, Israēla Dieva, vārdā, redzi, tas ir Israēla ķēniņu stāstos.
19 Katika matukio hayo kuna historia ya maombi yake, na jinsi Mungu alivyoguswa na maomabi hayo. Pia kuna kumbu kumbu ya dhambi zake zote na makosa yake, na sehemu ambako alikuwa amejenga sehemu za juu na kuzisimamisha Maashera na sanamu za kuchonga, kambla ya kujinyenyekesha mwenyewe — na imeandikwa kuhusu hayo katika tarehe ya waonaji. (Maandishi ya kale yanasema hivi, “tarehe ya Hozai,” ambayo ni maandishi ya kifungu asili. Lakini matoleo mengi ya kisasa yamesahihisha na kusomeka “tarehe ya waonaj” Pia, matoleo machache ya kisasa yanasema “tarehe ya waonaji”.).
Un viņa lūgšana un kā Dievs viņu paklausījis, arī visi viņa grēki un viņa pārkāpumi, un tās vietas, kur viņš uztaisījis elku altārus un uzcēlis Ašeras un elku tēlus, pirms tapa pazemots, tas rakstīts Kazaja stāstos.
20 Kwa hiyo Manase akalala na babu zake, na wakamzika katika nyumba yake mwenyewe. Amoni, mwaye, akawa mfalme katika nafasi yake.
Un Manasus aizmiga pie saviem tēviem, un to apraka viņa namā, un viņa dēls Amons palika par ķēniņu viņa vietā.
21 Amoni alikuwa na umri wa miaka ishirini na mbili alipoanza kutawala; alitawala miaka miwili katika Yerusalemu.
Amons bija divdesmit divus gadus vecs, kad palika par ķēniņu, un valdīja divus gadus Jeruzālemē.
22 Akafanya yaliyokuwa uovu katika macho ya Yaahwe, kama Manase, baba yake, alivyofanya. Amoni alitoa sadaka katika sanamau zote za kuchonga ambazo alitengeneza Manase baba yake, na aliziabudu.
Un viņš darīja, kas Tam Kungam nepatika, tā kā viņa tēvs Manasus bija darījis, un Amons upurēja visiem elku tēliem, ko viņa tēvs Manasus bija taisījis, un tiem kalpoja.
23 Hakujinyenyekesha mbele za Yahwe, kama baba yake Manase alivyokuwa amefanya. Badala yake, Amoni huyu huyu alifanya makosa zaidi na zaidi.
Bet viņš nepazemojās Tā Kunga priekšā, tā kā viņa tēvs Manasus bija pazemojies; bet šis Amons vairoja noziegumu.
24 Watumishi wake wakapanga njama wa zidi yake na wakamua katika nyumba yake mwenyewe.
Un viņa kalpi sacēlās pret viņu un to nokāva viņa namā.
25 Lakini watu wa nchi wakawaua wote waliofanya njama zidi ya Mfalme Amoni, na wakamfanya Yosia, mwanaye, mfalme katika nafasi yake.
Un tie zemes ļaudis nokāva visus, kas bija sacēlušies pret ķēniņu Amonu, un tie zemes ļaudis cēla Josiju, viņa dēlu, par ķēniņu viņa vietā.

< 2 Nyakati 33 >