< 2 Nyakati 25 >

1 Amaza alikuwa na umri wa amiaka ishirini na na tano alipoanza kutawala; alitawala miaka ishini na tisa katika Yerusalemu. Jina la mama yake lilikuwa Yehoadani, wa Yerusalemu.
Fem och tjugu åra gammal var Amazia, då han Konung vardt, och regerade nio och tjugu år i Jerusalem; hans moder het Joaddan af Jerusalem.
2 Alifanya yaliyokuwa sahihi katika macho ya Yahwe, lakini siyo kwa moyo uliojitoa kikamilifu.
Och han gjorde det Herranom väl behagade, dock icke af allt hjerta.
3 Ikawa kwamba mapema utawala wake ulipokuwa umeimarika, aliwaua watumishi ambao walikuwa wamemuua baba yake, mfalme.
Då nu hans rike stadfäst var, drap han sina tjenare, som hans fader Konungen slagit hade;
4 Lakini hakuwaua watoto wa wale wauaji, bali alitenda kama kama ilivyoaandikwa katika sheria, katika kitabu cha Musa, kama Yahwe alivyokuwa ameamru. “Baba hatajuta kwa ajili ya watoto, wala watoto hawatakufa kwa ajili ya baba zao. Badala yake, kila mtu lazima afe kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe”.
Men deras barn drap han intet; förty det står så skrifvet i lagen i Mose bok, der Herren bjuder och säger: Fäderna skola icke dö för barnen, och icke barnen för fäderna; utan hvar och en skall för sina synd dö.
5 Aidha, Amazia aliwakusanya Yuda pamoja, na akawaandikisha kwa kufuata nyumba za babu zao, chini ya maakida wa maelfu na maakida wa mamia —wote wa Yuda na wa Benyamini. Akawahesabu kuanzia wa mika ishirini na kuendelea, na akawaona wako 300, 000 wanaume waliochaguliwa, wawezaoa kwenda vitani, walioweza kushika mkuki na ngao.
Och Amazia församlade Juda, och satte dem efter fädershusen, efter öfverstarna öfver tusende och öfver hundrade, i hela Juda och BenJamin; och talde dem allt ifrå tjugu år, och derutöfver, och fann dem trehundradtusend utvalda, som i här draga kunde, som spjut och sköld föra kunde.
6 Pia alikodi wanaume wa kupigana 100, 000 kutoka Israeli kwa fedha mia moja.
Dertill besoldade han utaf Israel hundradtusend starka krigsmän, för hundrade centener silfver.
7 Lakini mtu wa Mungu alikuja kwake na kusema, “Mfalme, usiliache jeshi la Istaeli kwenda nawe, kwa maana Yahwe hayupo pamoja na Israeli -wala na mtu Yeyote wa Efraimu.
Men en Guds man kom till honom, och sade: Konung, låt icke Israels här komma med dig; förty Herren är icke med Israel, eller med all Ephraims barn.
8 Lakini hata kama mtaenda na mkiwa wenye ushupavu na imara katika vita, Mungu atawatupa chini mbele ya adui, kwa maana Mungu ana nguvu za kusaidia, na nguvu za kurusha chini”.
Ty om du kommer till att bevisa dina dristighet i stridene, så låter Gud dig falla för dina fiendar; förty när Gudi står magten till att hjelpa, och till att stjelpa.
9 Amazia akasema kwa mtu wa Mungu, “Lakini tutafanyaje kuhusu talanta mia moja nilizowapa jeshi la Israeli? Mtu wa Mungu akajibu, Yahwe anauwezo wa kukupa vingi zaidi kuliko hivyo.”
Amazia sade till Guds mannen: Hvad skall man då göra med de hundrade centener, som jag hafver gifvit de krigsmän af Israel? Guds mannen sade: Herren hafver väl mer än det är, som han dig gifva kan.
10 Kwa hiyo Amazia akalitenganisha jeshi lilokuja kwake kutoka Efraimu; akawarudisha nyumbani tena. Hivyo hasira yao iliwaka sana zidi ya Yuda, na walirudi nyumbani kwa hasara kali.
Då skiljde Amazia de krigsmän ifrå, som till honom af Ephraim komne voro, så att de gingo till deras rum igen. Då förgrymmade deras vrede sig svårliga emot Juda, och drogo hem igen illa tillfrids.
11 Amazia akajipa ujasiri na kuwaongoza watu wake kwenda nje kwenye bonde la chumvi, huko akawashinda wanaueme elfu kumi wa Seiri.
Men Amazia var tröst, och förde sitt folk ut, och drog ut i saltdalen, och slog af Seirs barn tiotusend.
12 Jeshi la Yuda likawachukua elfu kumi wengine wakiwa hai. Wakawapeleka juu ya mwamba na kuwarushwa chini kutoka huko, hivyo wote wakavunjika vunjika katika vipande.
Och Juda barn fångade af dem tiotusend lefvande; dem förde de uppå en bergsklint, och störte dem utför bergsklinten, att de alle sönderkrossades.
13 Lakini watu wa jeshi ambalo Amazia alilirudisha, ili kwamba wasiende naye vitani, wakauvamia mji Yuda kuanzia Somaria hadi Beth- horoni. Wakawapiga watu elfu tatu na kuwateka wengi sana.
Men de krigsmän, som Amazia hade ifrå sig sändt, så att de icke drogo med hans folk till stridena, lade sig neder i Juda städer, allt ifrå Samarien intill BethHoron, och slogo af dem tretusend, och togo mycket rof.
14 Sasa ikawa kwamba baada ya Amazia kurudi kutoka kuwachinja Waedomu, akaileta miungu ya watu wa Seiri, na kuisimamisha iwe miungu yake. Akainama chini mbele ya hiyo miungu na kuitolea sadaka za uvumba.
Och då Amazia igenkom af de Edomeers slagtning, hade han med sig Seirs barnas afgudar, och satte dem sig till gudar, och tillbad dem, och rökte för dem.
15 Hivyo hasira ya Yahwe ikawaka zidi ya Amazia. Akamtuma nabii kwake, ambaye alisema, “Kwa nini umeitafuta miungu ya watu ambayo haikuwaokoa hata watu wake yenyewe zidi ya mkono wako?”
Då förgrymmade sig Herrans vrede öfver Amazia, och sände en Prophet till honom. Han sade till honom: Hvi söker du dess folks gudar, som sitt folk intet undsätta kunde ifrå dine hand?
16 Akiwa kwamaba yule nabii alipokuwa anaongea naye, mfalme akamwambia, “Je, wewe tumekufanya kuwa mshauri wa mfalme? Acha! Kwa nini ujitakie kuuawa?” Kisha nabii akaacha na kusema, ninajua kwamba Mungu ameamua kukuangaamiza kwa sababu umefanya tendo hili na hujasikilisa ushauri wangu.”
Och då han talade med honom, sade han till honom: Hafver man gjort dig till Konungens råd? Vänd igen; hvi vill du varda slagen? Då vände Propheten igen, och sade: Jag förmärker väl, att Gud hafver i sinnet förderfva dig, efter du detta gjort hafver, och hörer intet mitt råd.
17 Kisha Amazia akashauriana na washauri na kutuma wajumbe kwa Yehoashi mwana wa Yehoahazi mwana wa Yehu, mfalme wa Israel. akisema, “Njoni, tukutane uso kwa uso katika vita”.
Och Amazia, Juda Konung, var till råds, och sände bort till Joas, Joahas son, Jehu sons, Israels Konung, och lät säga honom: Kom, låt oss bese hvarannan.
18 Lakini Yehoashi mfalme wa Israeli akatuma wajumbe kwa Amaziahi mfalme wa Yuda, akisema, Mbaruti uliokuwa Lebanoni ulituma ujumbe kwa mwerezi ulioko Lebanoni, ukisema, Mtoe binti yako kwa mwanangu awe mke wake; lakini akapita hayawani katika Lebanoni akatembea na kuukanyaga chini mbaruti.
Men Joas, Israels Konung, sände till Amazia, Juda Konung, och lät säga honom: Törnebusken i Libanon sände till cedreträt i Libanon, och lät säga honom: Gif dina dotter minom son till hustru; men vilddjuren i Libanon lupo öfver törnebuskan, och trampade honom neder.
19 Umesema, 'Ona, nimeipiga Edomu,' na moyo wako umekuinua juu. Jipe fahari katika ushindi wako, lakini ukae nyumbani, kwa maana ni kwa nini ujisababishie matatizo mwenyewe na kuanguka, wote wewe na Yuda pamoja nawe?'
Du menar: Si, jag hafver slagit de Edomeer, der förhäfver sig ditt hjerta utaf, och berömmer sig. Nu sitt hemma; hvi söker du efter olycko, att du må falla, och Juda med dig?
20 Lakini Amazia hakusikiliza, kwa sababu tukio hili lilikuwa limetoka kwa Mungu, ili awatie Waisraeli katika mkono wa adui zao, kwa sababu walikuwa wametafuta ushauri kutoka kwa miungu ya Edomu.
Men Amazia hörde det intet; förty det skedde af Gudi, på det att de skulle varda gifne i fiendahand; derföre, att de de Edomeers gudar sökt hade.
21 Kwa hiyo, Yehoashsi, mfalme wa Israeli, akavamia; yeye na Amazia, mfalme wa Yuda, wakakutana uso kwa uso huko Beth -shemishi, ulioko Yuda.
Då drog Joas, Israels Konung, upp, och de besågo hvarannan, han och Amazia, Juda Konung, i BethSemes, som i Juda ligger.
22 Yuda akashindwa mbele za Israeli, na kila mtu akarudi nyumbani.
Men Juda vardt slagen för Israel, och flydde, hvar och en i sina hyddor.
23 Yehoashi, mfalme wa Israeli, akamkamata Amazia mwana wa Yehoashi mana wa Ahazia, mfalme wa Yuda, huko Beth - shemeshi. Akamleta Yerusalemu na kuuangusha chini ukuta wa Yerusalemu kuanzia Lango la Efraimu hadi kona ya Lango, umbali wa mikono mia nne.
Och Joas, Israels Konung, grep Amazia, Joas son, Joahas sons, Juda Konung, i BethSemes, och förde honom till Jerusalem, och bröt muren neder i Jerusalem, allt ifrån Ephraims port intill hörnporten, fyrahundrade alnar långt.
24 Akachukua dhahabu na fedha zote, vitu vyote vilivyoonekana akatika nyumba aya Mungu kwa Obedi Edomu, na vitu vya thamanai katika nyumba ya mfalme, na mateka pia, na akarudi Samaria.
Och allt det guld och silfver, och all käril, som för handene voro i Guds hus när ObedEdom, och i fataburenom i Konungshusena, och barnen, tog han till pant med sig till Samarien.
25 Amazia mwana wa Yoashi, mfalme wa Yuda, aliishi miaka kumi na tano baada ya kifo cha Yehoashi, mwana wa Yehoahazi, mfalme wa Israeli.
Och Amazia, Joas son, Juda Konung, lefde efter Joas, Joahas sons, Israels Konungs, död i femton år.
26 Kwa mambo mengingine kuhusu Amzia, mwanzo na mwisho, tazama, je, hayajaandikwa katika kitabu cha wafalme wa Israeli?
Hvad nu mer af Amazia sägande är, både det första och det sista, si, det är skrifvet uti Juda och Israels Konungars bok.
27 Sasa kutoka wakati amabaoa Amazia aligeukia mbali asimfuate Yahwe, walianza kupanga njama zidi yake katika Yerusalemu. Akakimbilia Lachishi, lakini wakatuma watu nyuma yake wamfuate Lachishsi na walimuua huko.
Och ifrå den tiden, att Amazia trädde ifrå Herranom, gjorde de ett förbund emot honom i Jerusalem; men han flydde till Lachis. Då sände de efter honom till Lachis, och dråpo honom der;
28 Wakamleta juu ya farasis na wakamzika pamoja na babu zake kataika Mji wa Yuda.
Och förde honom med hästar, och begrofvo honom när sina fäder uti Juda stad.

< 2 Nyakati 25 >