< 2 Nyakati 24 >

1 Yoashi alikuwa na umri wa miaka saba alipoanza kutawala; akatawala kwa mika arobaini katika Yerusalemu. Jina la mama yake aliitwa Sibia wa Beer-sheba.
Joash leng ahung chanchun kum 7 ahibepmin ahi, chuleh Jerusalemma chun kum somli vai anahomme, anuchu Beersheba khopia konna Zibiah kitinu chu ahi
2 Yoashi alifanya yaliyo mema katika macho ya Yahwe siku zote za Yehoyada, yule kuhani.
Aman Jehoiada thempupa ahin laisen Pakai lungdei lam ngen ana bollin ahi
3 Yehoyada akajichukulia wake wawili kwa ajili yake, na akawa baba wa wana na mabinti.
Jehoiada in Joash lengpa chu ji ni apuipeh in ama nin chapa le chanuho ahinpeh lhonin ahi
4 Ikawa baada ya haya, kwamba Yoashi aliamua kuitengeneza nyumba ya Yahwe.
Ama leng ahung chan phatchomkhat jouin Pathen Houin chu semphat ding ahin gotaan ahi
5 Akawakusanya pamoja makuhani na Walawi, na kusema kwao, “Nendeni nje kila mwaka kwenye miji ya Yuda na kukusanya fedha kutoka Israeli yote kwa ajili ya kuikarabati nyumba ya Mungu wenu. Hakikisheni kwamba mnaanza haraka.” Walawi hawakufanya kitu kwanza.
Aman thempu holeh Levite chu Judah khopihoa hi cheleova kumlhun seh a houin semphatna dinga mipi hojouse laha sum gadong dingin thupeh aneitaan ahi. Aman gang tah a tohpat jengdiuvin thu anapen ahi, ahivangin Levi miten gangtah in anatong panthei tapouvin ahi
6 Kwa hiyo mfalme akamuita Yehoyada, yule kuhani, na kumwambia, “Kwa nini hukuwaagiza Walawi kuleta kutoka Yud na Yerusalemu kodo iliyoagizwa na Musa mtumishi wa Yahwe na kusanyiko la Israeli, kwa ajili ya amri za hema ya agano?”
Hijechun Joash lengpan thempulen Jehoiada chu akouvin adongtan ahi, “Ipi dinga kumseh a houin semphatna dinga Pakai lhachapa Mosen mipiholah a sum dong dinga daan anasem dungjui ja thupeh kanei chu Levi ten Judah leh Jerusalemma agadon louvu ham? atin ahi
7 Kwa maana wana wa Athalia, yule mwanamke muovu, walikuwa wameivunja nyumba ya Mungu na kuwapa Mabaali vitu vyote vitakatifu vya nyumba ya Yahwe.
Ajeh chu miphalou numeinu Athaliah chaten houin chu avohsetnuva Pakai houin sunga thil theng hochu Baal doi houna – ana manna asuhboh ahi
8 Kwa hiyo mfalme aliamuru, na wakatengeneza kasha na kulileta nje kwenye lango kwenye nyumba ya Yahwe.
Hichun lengpa thupeh dungjuijin thingkhong khatchu Pakai Houin kelkot polanga chun akhaijun ahi
9 Kisha wakafanya tangazo katika Yuda na Yerusalemu, kwa ajili ya watu kuleta kwa Yahwe kodi aliyoiagiza Musa mtumishi wa Mungu juu ya Israeli jangwani.
Amahon Juda gamleh Jerusalem gampumpia thu athotnun Pathen lhacha pa Mose Pathenin gamthipma thu anapeh bang banga apehding chule atohdoh chehdiu ahi
10 Viongozi wote na watu wote wakafurahia na wakaleta fedha na kuiweka kwenye kasha hadi walipomaliza kulijaza.
Hijouchun lamkai hojouseleh mipi hojouse chun kipahleh thanom tah chehin atohdohdiu hochhu thingkhonga chun aga hong dimset jiovin ahi
11 Ikatokea kwamba kila lilipoletwa kasha kwa mikono ya Walawi kwa wakuu wa mfalme, na kila walipoona kwamba kulikuwa na fedha nyingi sana ndani yake, waandishi wa mfalme na mkuu wa kuhani mkuu walikuja, kulihamishia fedha kasha, na kulirudisha sehemu yake. Walifanya hivyo siku baada siku, wakikusanya kiasi kikubwa cha fedha.
Nisehleh Levi ten thingkhong chu hiche kinna amanchah lamkai ho khutna chun agapelut jiovin ahi. thingkhong chu adimphat phatleh lengpa secretary leh thempulen thaleng khatnin sum chu alahdoh lhonna thingkhong chu aum na – a alekoikit ji lhon ahi. hitichun amahon sumtamtah akholdoh taovin ahi
12 Mfalme na Yehoyada akawapa zile fedha wale waliofanya kazi ya kuhudumu katika nyumba ya Yahwe, Watu hawa waliwaajiri waashi na maseremala ili waijenge nyumba ya Yahwe, na pia wale waliofanya kazi katika chuma na shaba.
Lengpaleh Jehoiada chun houin semphatnadinga mopohna neiho kommachun apelut jilhonin ahi. amaho chun houin semphatna dinga songkheng them holeh thingthem bolho chuleh thihkheng themho komma apehlutjiuvin ahi
13 Kwa hiyo wafanya kazi wakafanya kazi, na kazi ya kukarabati ikasonga mbele mikononi mwao; waakaisimamisha nyumba ya Mungu katika hali yake halisi na kuiimarisha.
Natongho chun hatahin atongun houin chu dettah in akisah tilla tobang asodoh sahtaovin ahi
14 Walipomaliza, wakaleta fedha zilizobaki kwa mfalme na Yehoyada. Fedha hizo zilitumika kutengenezea samani kwa ajili ya nyumba ya Yahwe, vyombo vya huduma na kutolea dhabihu—vijiko na vyombo vya dhahabu na fedha. Wakatoa sadaka za kuteketezwa bila kukomaa katika nyumba ya Yahwe kwa siku zote za Yehoyada.
Asemphat chaiphatnun Sana leh Dangka avalhochu lengpaleh Jehoiada khutna apelutnun amanin Pakai houin na manchahding sana le dangka chu kong le bel semna in amang lhonnin ahi, Jehoiada hin laisen Pakai houin nah pumgo thilto tanglouvin aboljingun ahi
15 Yehoyada akazeeka na alaaikuwa amejaa siku, na kisha akafa; alikuwa na umri wa mika 130 alipokufa.
Jehoiada chu atehcheh tan kum jakhat le som thum alhingin athitan ahi
16 Wakamzika katika aamji wa Daudi miongoni mwa wafalme, kwa sababu alikuwa amefanya mema katika Israeli, kwa Mungu, na kwa ajili ya nyumba ya Mungu,
Amachu athiphatnin David khopia lengte kivuina – a avui taovin ahi, ajeh chu amahin Pakai Houin le Pathen dingin chuleh Israel mipite dingin thilpha anabollin ahi
17 Sasa baada ya kifo cha Yehoyada, kiongozi wa Yuda akaja na kutoa heshima kwa mfalme. Kisha mfalme akawasikiliza.
Jehoiada thinunghin Juda lamkaite ahungun lengpa komah chibai ahung bohun ahileh lengpan jong amaho thu angaitaan ahi
18 Wakaiacha nyumba ya Yahwe, Mungu wa babu zao, na kuwaabudu miungu na maashera na sanamu. Ghadhabu ya Mungu ikaja juu ya Yuda na Yerusalemu kwa sababau ya hili kosa lao.
Hitichun amahon apu apateo Pakai Pathen chu adalhaovin semthu pathen leh doiho ahouvun hitia hi asuhkhel jeh'un Pathen lunghanna Judah le Jerusalem mite chunga ahung chutaan ahi
19 Bado akatuma manabii kwao ili kuwaleta tena kwake, Yahwe, manabii wakatangaza juu ya watu, lakini walipuuza kusikiliza.
Ahijeng vang'in Pakaiyin athemgao ho asollin amakom langa ahung kile kitnadiuvin gihnathu agasei sah in ahinla amaho ahung kilehei nompon ahi
20 Roho wa Mungu akaja juu ya Zekaria mwana wa Yehoyada, yule kuhani; Zekaria akasimama juu ya watu na kusema kwao, “Mungu anasema hivi: Kwa nini mnazivunja amri za Yahwe, ili kwamba msifanikiwe? Kwa kuwa mmemsahau Yahwe, pia amewasahau ninyi.”
Hijouchun Pathen lhagaochu Jehoiada thempupa chapa Zechariah chungah ahung pansan ahileh amajong munsanga adingin hitihin ahin samtaan ahi: Pakai Pathenin hitihin aseije “Pakaiyin hitin aseije, “Nanghon ipi dinga thupeh hi nangai daova nachunguva hamsetna nakiloilut khummuham! nanghon Pathen nada lhahtao vin ahileh amanjong nadalha taove!” ati
21 Lakini wakapanga njama dhidi yake; kwa amri ya mfalme, wakampiga kwa mawe katika uwanja wa nyumba ya Yahwe.
Lengpa Joash hin Zechariah dounan mipitoh akihoutohun, hitichun lengpa thupeh dungjuijin mipihon Pakai houin hongcha – a songin aseptaovin ahi
22 Katika namna hii hii, Yoashi, yule mfalme, akapuuza ukarimu ambao Yehoyada, baba yake Zekaria, alikuwa amemfanyia.
Joash lengpan apa Jehoiada in itobang thilpha abolpeh tichu asumilhel jengin achapa chu athat tan ahi, Zechariah chun athikonnin “Pakai eibolnaohohi hinvenlang kaphu neihin lahpeh teijin” atin ahi
23 Ikawa karibu mwisho wa mwaka, kwamba jeshi la Aramu wakaja juu yake Yoashi. Wakaja Yuda na Yerusalemu; wakawaua viongozi wote wa watu na kupeleka nyara zote kutoka kwao kwa mfalme wa Dameski.
Hiche kumchun nipi laijin Syria sepaiten Judah leh Jerusalem mite ahindel khummun alamkai hou athat gammun thiltamtah achomdohun Damascus lengpa agah thotnun ahi
24 Jeshsi la Waaramu walikuwa wamekuja na jeshi dogo, lakini Yahwe akawapa ushindi juu ya jeshi kubwa, kwa sababu Yuda alikuwa amemsahau Yahwe, Mungu wa babu zao. Katika namna hii Waaramu wakaleta hukumu juu ya Yoashi.
Syria galmichu lhomcha bou ahi, ahinla Pakaiyin amaho sanga gamchenga tamjo Judahte chu ajosahin ahi ajeh chu amipi ten apu apa tao Pakai apathennu chu donlouvin anakoitaovin ahi. Hitichun Joash lengpa chunga chun Pathen thutanna analhung taan ahi
25 Katika muda ambao Waaramu walikuwa wameondoka, Yoashi alikuwa amejeruhiwa vikali. Watumishi wake wakapanga njama dhidi yake kwa sababu ya mauaji ya wana wa Yehoyada, yule kuhani. Wakamuua katika kitanda chake, na akafa; wakamzika katika mji wa Daudi, lakini siyo katika makaburi ya wafalme.
Ama chu nasatah in akisuhkha tan chuleh agalmiten adalhah phat chun asepai lamkai teni akihoutoh lhonin alupna – a agathat lhon taan ahi. Jehoiada thempupa chapa anatha jeh a aphu ana lah lhon ahitai. amachu David khopia anavuijun ahi, ahinlah lengte kivuina mun ana hitapoi
26 Hawa walikuwa watu waliopanaga njama dhidi yake: Zabadi mwana wa Shimeathi, Mwamoni; na Yehozabadi mwana wa Shimrithi, Mwanamke Mmoabu.
Ama douna –a ana kihoutoh teni chu Ammon mi Shimeath chapa Zabad leh Moab mi Shimrith chapa Jehozabad ahi lhonne
27 Sasa matukio kuhusu wanaye, unabii muhimu uliokuwa umesemwa kumhusu yeye, na kujengwa tena kwa nyumba ya Mungu, ona, yameandikwa katika Kamusi ya kitabu cha wafalme. Amazia mwanaye, akawa mfalme katika nafasi yake.
Lengte lekhabu ah Joash chate thusim leh ama douna chung changa themgao thusei dohho chuleh houin ana sahphat thuho thusim ana kijih lut in ahi, ama khellin achapa Amaziah in vai ahin homtaan ahi

< 2 Nyakati 24 >