< 2 Nyakati 23 >

1 Katika mwaka wa sa saba, Yehoyada alionesha nguvu zake na akaingia katika agano na maakida wa mamia, Azaria mwana wa Yerohamu, Ishmaeli mwana wa Yehohanani, Azaria mwana wa Obedi, Maaseya mwana wa Adaya, na Elishafati mwana wa Zikri.
kum sagi channa a chun Jehoiada in adinmun akisuhdet nin sepai jakhat toh lamkai hochutoh akinoptouvin amahochu Jehoram chapa Azariah, Jehohanan chapa Ishmael, Obed chapa Azariah, Adaizah chapa Maaseiah chuleh Zikri chapa Elishaphat ahiove
2 Wakaenda katika Yuda na kuwakusanya Walawi kutoka miji yote ya Yuda, vile vile na wakuu wa nyumba za mababu wa Israeli, na wakaja hadi Yerusalemu.
Amahohi Judah khopi ho jousea acheovin Levite phung nga phung upacheh Jerusalemma ahin puilutnun ahi
3 Kusanyiko lote wakafanya aganao na mfalme katika nyumba ya Mungu. Yehoyada akawaambia, “Ona, mwana wa mfalme atatawala, kama Yahwe alivyosema kuhusu uzao wa Daudi.
Amaho houin nachun akikhom mun lengpa chapa Joash chutoh kitepna ana semmun ahi. Jehoiada chun amaho kommah anaseijin: “Ilahuva hin lengpan athingel chapa chu aummin ahi! amahi Pakai thutep dung jui'a David chilhah ahi dung jui'a leng ichan sah diu ahi.
4 Hivi ndivyo mtakavyo fanya: theluthi yenu makuhani na Walawi ambao huja kuhudumu siku ya Sabato, mtakuwa walinzi katika milango.
Hitia hi iboldiu ahi, thempu holeh Levi techu choldonia akinnu tonga ahung tenguleh hopthumma hopkhatnin houin kelkot ho angadiu ahi,
5 Theluthi nyingine mtakuwa katika nyumba ya mfalme, na theluthi nyingine mtakuwa katika Msingi wa Lango. Watu wote watakuwa katika uwanja wa nyumba ya Yahwe.
Adang hopthumma hopkhat chun leng inpi angading, chuleh hopthumma hopkhatman kulpi bul kelkot phung nangadiu, chutengleh mipi abonchaova Pakai houin mai hong cha –a chu kikhom ding ahiove
6 Msimruhusu yeyote kuingia kwenye nyumba ya Yahwe, isipokuwa makuhani na Walawi wanaoatumika. Wao wanaweza kuingia kwa sababu inawahusu.
Ahinlah Pathen insunga chu Pakai kinbol Levite toh thempu akiseiho tailou adang hunglut thei louding ahi, amahochu houinsung nga luttheidiu ahi ajeh chu ama hochu atheng ahiove, ahinla adanghose chun Pathen thupeh ngah a apamma dingdiu ahiove
7 Lakini watu wengine wote lazima mtii amri ya Yahwe. Walawi lazima wamzunguke mfalme pande zote, kila mtu na silaha zake mkononi mwake. Yeyote atakayeingia katika nyumba, atauawa. Kaeni na mfalme aingiapo ndani na atokapo nje.”
Chuleh Levitechun lengpa chu aum kimveldiu akhutnuvah manchah akichoi chehdiu ahin insung hunglut jouse chu athadiu ahi. nanghon lengpa ahung lut hihen apotdoh hijongleh nakilhon pidingu ahi
8 Kwa hiyo Walawi na Yuda wote walitumika kwa kila njia kama katika namna ambayo Yehoyada kuhani aliwaamuru. Kila mmoja alichukua watu wake, wale waliotakiwa kuja ndani kuhudumu katika Sabato, na wale watakaoondoka siku ya Sabato, kwa maana
Hitichun Levite leh Juda ten thempupa Jehoiada thupeh bang bang chun achontaovin ahi. Lamkai khatcheh chun anoija hochu akipuijun cholngah nileh akinnuva akimanchah petnu hihenlang aonpetnu hijongleh aumpi jingun ahi, ajeh chu thempupa Jehoiada in sepai hochu alha ongpon ahi.
9 Yehoyada, kuhani, hakuwa amezuilia mojawapo ya zamu zao. Kisha Yeliyadaya, kuhani, akaleta kwa maakida mikuki na ngao ndogo na kubwa zilizokuwa za mfalme Daudi ambazo zilikuwa katika nyumba ya Mungu.
Chuleh Jehoiada thempupa chun sepai aja ajalah a lamkai hochu Pathen houinna um ompho holeh tengcha hochu ahop pehin ahi
10 Yehoyada akawaleta wanajeshi wote, kila mtu na mkuki wake katika mkono wake, upande wa kulia wa hekalu hadi upande wa kushoto wa hekalu, pembeni mwa madhabahu na hekalu, wakimzunguka mfalme.
Hitichun aman sepai hochu Houin kotmai vella chun chemjam dodohsan akichoisah in lengpa hoibitna dinga chun phasademmin pan alahsahin ahi
11 Kisha wakamleta nje mwana wa mfalme, wakaiweka taji juu yake, na kumpa agano la sheria. Kisha wakamfanya mfalme, na Yehoyda na wanaye wakampaka mafuta. Kisha wakasema, “Aishi maisha marefu mfalme.”
Hijou chun Jehoiada in Joash chu ahin puidoh in aluchung nga lallukhuh akhuhpeh in lengte kivaihom na danbuchu apen hiti chun leng achansahtan ahi. Thempupa Jehoiada leh achaten Joash chu thao anu vin chuleh mijouse chun “Lengpa hingsothen” tin asammun ahi
12 Athalia aliposikia kele za watu wakikimbia na kumsifu mfalme, akatoka ili awaone watu katika nyumba ya Yahwe.
Athaliah chun lengpa thangvahna a kisam mipi Ogin husan chu ajah phatnin mipi dimsetna akikhopnao houinna chun ahung lhailutnin ahi.
13 na akaangalia, na, tazama, mfamle alikuwa amesimama karibu na nguzo yake katika lango la, kuingilia na maakida na wapuliza tarumbeta walikuwa karibu na mfame. Watu wote wa nchi walikuwa wakifurahia na kupuliza tarumbeta na waimbaji walikuwa wakipiga vyombo vya muziki na kuongoza nyimbo za kusifu. Kisha Athalia akayararua mavazi yake na kupiga kelele. “Fitina! Fitina!”
Amanun agahven ahileh lengthah pachu Houin lutna khombul panga sepai lamkai holeh sumkon muthon ana umkimvel chu amun ahi. Ama lengchanna –a alopnaoleh akipapinao ogin chuleh semjang saipumma lasaholeh sumkon mutho ogin chu akithong jeju jengin ahi, hichun amanun asangkhol abot eh jengin, hiche hi “Lengmun chuna ahi, Lengmun chuna ahi” tin asamtaan ahi
14 Kisha Yehoyada, kuhani, akawaleta nje maakida wa mamia waliokuwa juu ya jeshi na kusema, “Mleteni nje kati ya safu, yeyote atakayemfuata, auwawe kwa upanga.” kwa maana kuhani alikwishasema, “Msimuue katika nyumba ya Yahwe.”
Hichun Jehoiada thempupan amanuchu Houin sunga akitha ding chu adeipon hijeh chun sepai lamkai hochu aseipeh in “Amanu chu polanga kaidoh unlang koi hijongleh ama chu huhdoh go a umleh that jengun ati”
15 Kwa hiyo wakafanya njia kw ajili yake, na akaenda kwenye nyumba ya mfalme kupita njia ya Lango la Farasi, na huko wakamuuwa.
Amahon amanuchu aman nun leng inpia apuijun sakol kelkot komma chun athat taovin ahi
16 kisha Yehoyada alifanya agano kati yake mwenyewe, watu wote, na mfalme, kwamba watakuwa watu wa Yahwe.
Jehoiada thempupan Joash lengpa leh mipite chu akoukhomin Pakai mite ahijing nadiuvin kitepnakhat anei pitaan ahi
17 Kwa hiyo watu wote wakaenda kwenye nyumba ya Baali na kuiangusha chini. wakazivunja vipande vipande madhabahu za Baali na sanamu zake, na wakamuua Matani, kuhani wa Baali, mbele ya madhabahu hizo.
Hijouchun Baal houinnah acheovin ajeplhu gamtaovin ahi. Amahon semthu Pathen holeh amaichamho jong avochip gamun Baal thempupa Mattan jong amaicham maijachun athat taovin ahi
18 Yehoyada akateua wakuu kwa ajili ya nyumba ya Yahwe chini ya mkono wa makuhani, ambao walikuwa Walawi, ambao Daudi alikuwa amewapanga kwenye nyumba ya Yahwe, ili wamtolee Yahwe sadaka za kuteketezwa, kama ilivyoandikwa katika sheria ya Musa, pamoja na kushangilia na kuimba, kama alivyotoa maelekezo Daudi.
Jehoiada in thempu holeh Levi techu Pakai houin na natoh na –a mopohna apen ahi. Amahohin Leng David nin angansenao kinhochu atohdiu Mose daan semtoh kitoh a Pakaiyin pumgo thilto gimnamtwi halnamna kin jong atohdiu ahi. amahohin tumging tothon golnop bolnajong mopohna alahdiu ahi
19 Yehoyada akaweka walinzi katika malango ya nyumba ya Yahwe, ili kwamba kwa namna yoyote ile asiingie mtu asiyesafi.
Jehoiada in houin sunga hi miboh ho ahung lut louna ding avesuidingin houin kelkotna angahding akoijin ahi
20 Yehoyada akachukua pamoja naye maakida wa mamia, watu wakubwa, watawala wa watu, na watu wote wa nchi. Akamleta chini mfalme kutoka kwenye nyumba ya Yahwe; watu wakaja kwenye nyumba ya mfalme kupitia Lango la juu na kumkalisha mfalme juu ya kiti cha enzi cha ufalme. (Baadhi ya maandiko ya ya kisasa yanasema, “wakamshusha chini mfalme”)
Hitichun Jehoiada in sepai lamkaiho leh gamsunga mithupiho, gamvaipoholeh mihonpi ahinpuijin, chuin houinna kon in lengpachu ahinpuidohin kelkkot sahlang pa achun alutnun leng in chu ajonlutnin, lengpa chu aleng gam laltouna a atousah taovin ahi
21 Kwa hiyo watu wote wa nchi wakafurahia, na mji wote ulikuwa kimya. Kuhusu Asa walikuwa wamemuua kwa upanga.
Hichun gamsung mipite chu kipana leh thanop na – a adimsetnun chuleh khopi jong alung mong mongtaan ahi

< 2 Nyakati 23 >