< 2 Nyakati 16 >

1 Katika mwaka wa thelathini na sita wa utawala wa Asa, Baasha, mfalme wa Israeli, akatenda kwa ukatili dhidi ya Yuda na akaujenga Rama, ili kwamba asimruhusu mtu yeyote kutoka wala kuingia katika nchi ya Asa, mfalme wa Yuda.
В тридесет и шестата година от царуването на Аса, Израилевият цар Вааса, като възлезе против Юда, съгради Рама, за да не остави никого да излиза от Юдовия цар Аса, нито да влиза при него.
2 Kisha Asa akaitoa fedha na dhahabu nje ya vyumba vya kuhifadhia katika nyumba ya Yahwe na nje ya nyumba ya mfalme, na akaituma kwa Ben Hadadi mfalme wa Aramu, ambaye aliishi Dameski. Akasema, pawe na agano kati yako na mimi, kama palivyokuwa na agano kati ya baba yangu na baba yako. Angalia, nimekutumia fedha na dhahabu.
Тогава Аса извади сребро и злато из съкровищницата на Господния дом и на царската къща та прати при сирийския цар Венадад, който жевееше в Дамаск, да рекат:
3 Livunje agano lako na Baasha, mfalme wa Israeli, ili kwamba aniache.”
Нека има договар между мене и тебе, както е имало между баща ми и твоя баща; ето пратих ти сребро и злато; иди, развали договора си с Израилевия цар Вааса, за да се оттегли от мене.
4 Ben Hadadi akamsikiliza mfalme Asa na kutuma maakida wa majeshsi dhidi ya miji ya Israeli. Wakavamia Iyoni, Dani, Abelimaimu, na miji yoye ya kuhifadhia ya Naftali.
И Венадад послуша цар Аса та прати началниците на силите си против Израилевите градове; и те поразиха Иион, Дан, Авел-маим и всичките Нефталимови житници-градове.
5 Ikawa kwamba Baasha aliposikia hili, akaacha kuujenga Rama, na akaistisha kazi yake.
И Вааса, като чу това, престана да гради Рама, и преустанови работата си.
6 Kisha Asa mfalme akawachukua Yuda wote pamoja naye. Wakayabeba mawe na mbao za Rama ambazo Baasha alikuwa anajengea ule mji. Kisha Mfalme Asa alitumia vifaa hivyo vya ujenzi kwa ajili ya kuijenga Gaba na Mispa.
Тогава цар Аса взе целия Юда, та дигнаха камъните на Рама и дърветата й, с които Вааса градеше; и с тях съгради Гава и Масфа.
7 Wakati huo Hanani mwonaji akaenda kwa Asa, mfalme wa Yuda, na akamwambia, “Kwa sababu umemtegemea mfalme wa Aramu, na hukumtegemea Yahwe Mungu wako, jeshi la mfalme wa Aramu limetoroka nje ya mikono yako.
А в това време гледачът Ананий отиде при Юдовия цар Аса та му рече: Понеже си уповал на сирийския цар, а не си уповавал на Господа своя Бог, затова войската на сирийския цар избегна и ръката ти.
8 Waethiopia na Walubi hawakuwa jesi kubwa, wenye magari mengi na wapanda farasi wengi? Na bado, kwa sababau ulimtegemea Yahwe, alikupa ushindi juu yao.
Етоипяните и ливийците не бяха ли огромно множество, с твърде много колесници и конници? Но пак, понеже ти упова на Господа, Той ги предаде в ръката ти.
9 Kwa maana macho ya Yahwe hukimbia kila mahali katika dunia yote, ili kwamba ajioneshe mwenyewe shujaa kwa niaba ya wale amabao mioyo yao ni mikamilifu kumwelekea yeye. Lakini umetenda kipumbavu katika jambo hili. Kwa maana tangu sasa na kuendelea, utakuwa na vita.” Kisha Asa akamkasirikia mwonaji, akamuweka gerezani, kwa maana alikuwa na hasira naye juu ya jambao
Защото очите на Господа се обръщат насам-натам през целия свят, за да се показва Той мощен в помощ на ония, чиито сърца са съвършенно разположени към Него. В това ти си постъпил безумно, защото от сега нататък ще имаш войни.
10 hili. Wakati huo huo, aliwagandamiza baadhi ya watu
По това, Аса се разгневи на гледача та го тури в затвор, защото се разсърди против него за туй нещо. И в същото време Аса притесни някои от людете.
11 Tazma, matendo ya Asa, kutoka mwanzo hadi mwisho, tazama, yameandikwa katika kitabu cha wafalme wa Yuda na Israeli.
И, ето, делата на Аса, първите и последните, ето, написани са в Книгата на Юдовите и Израилевите царе.
12 Katika mwaka wa thelathini na tisa wa utawala wake, Asa alipata ugnjwa kwenye miguu yake; ugonjwa wake ulikuwa mkali sana. Hata hivyo, hakutafuta msaada kutoka kwa Yahwe, lakini kutoka kwa waganga tu.
А в тридесет и деветата година от царуването си, Аса се разболя от болест в нозете; обаче, макар болестта му да ставаше твърде тежка, пак в болестта си той не потърси Господа, но лекарите.
13 Asa akalala pamoja na babu zake; alikufa katika mwaka wa arobaiani na moja wa utawala wake. Wakamzika katika kaburi lake, ambalo alilichimba mwenyewe katika mji wa Daudi.
И Аса заспа с бащите си; и умря в четиридесет и първата година от царуването си.
14 Walimlaza juu ya kitanda kilichokuwa kimewekewa manukato na aina mbali mbali ya dawa zilizotayarishwa na wale mafundi wa manukato. KIsha wakatengeneza moto kwa heshima yake.
И погребаха го в гроба, който се бе изкопал в Давидовия град, и положиха го на легло пълно с благоухания и с различни аптекарски аромати; и изгориха за него твърде много аромати.

< 2 Nyakati 16 >