< 2 Nyakati 15 >

1 Roho ya Mungu ikaja juu ya Azaria mwana wa Odedi.
Тогава Божият дух дойде на Азария, Одидовия син,
2 Akaenda nje kukutana na Asa na akamwambia, “Nisikilize, Asa, na Yuda wote na Benyamini: Yahwe yuko pamoja nanyi, pale mnapokuwa naye. Kama mtamtafuta, mtampata; lakini kama mtamsahau, atawasahau ninyi.
и излезе да посрещне Аса и му рече: Слушай ме, Асо и целий Юдо и Вениамине: Господ е с вас докато сте вие с Него; и ако Го търсите, ще бъде намерен от вас, но ако Го оставите, Той ще ви остави.
3 Sasa kwa muda mrefu, Israeli hawakuwa na Mungu wa kweli, bila kuhani wa kufundisha, na bila sheria.
Дълго време Израил остана без истинския Бог, без свещеник, който да поучава, и без закон;
4 Lakini katika dhiki yao wakamrudia Yahwe, Mungu wa Israeli, na wakamtafuta, wakamta.
но когато в бедствието си се обърнаха към Господа Израилевия Бог и Го потърсиха, Той биде намерен от тях.
5 Katika nyakati hizo hapakuwa na amani kwake aliyesafiri kwend mbali, wala kwake aliyesafiri kuja hapa; badala yake shsida kubwa zilikuwa juu ya wenyeji wote wa wanchi.
И в ония времена не е имало мир нито за излизащия, нито за влизащия, но големи смутове върху всичките жители на земите.
6 Waligawanyika vikundi vikundi, taifa dhidi ya taifa, na mji dhidi ya mji, kwa maana Mungu aliwapa shsida za kila aina ya kila mateso.
Народ се сломяваше от народ, и град от град; защото Бог ги смущаваше с всякакво бедствие.
7 Lakini muwe hodari, na msiuache mkono wenu kuwa dhaifu, kwa maana kazi yen itapewa thawabu.”
А вие се усилвайте, и да не ослабват ръцете ви; защото делото ви ще се възнагради.
8 Asa aliposikia maneno haya, unabii wa odedi nabii, akajipa ujasiri na kuviondosha mbali vitu vya kuchukiza kutoka nchi yote ya Yuda na Benyamini, na kutoka miji yote aliyokuwa ameiteka kuanzia kilima cha nchi ya Efraimu, na akaijenga tena madhabahu ya Yahwe, ambayo ilikuwa mbele ya ukumbi wa nyumba ya Yahwe.
И когато чу Аса тия думи и предсказанието на пророк Одида, ободри се, и отмахна мерзостите от цялата Юдова и Вениаминова земя, и от градовете, които бе отнел от Ефремовата хълмиста земя; и поднови Господния олтар, който бе пред Господния трем.
9 Akawakusanya Yuda wote na Benyamini, na wae waliokaa pamoja nao—watu wa kutoka Efraimu na Manase, na kutoka Simeoni. Kwa maana walikuja kwake katika hesabu kubwa kutoka Israeli, walipoona kwamba Yahwe Mungu wake alikuwa pamoja naye.
И събра целия Юда и Вениамина, и живеещите между тях пришелци от Ефрема, Манасия и Симеона; защото мнозина от Израиля прибягваха при него като виждаха, че Господ неговият Бог бе с него.
10 Kwa hiyo wakakusanyika katika Yerusalemu katika mwezzi wa tatu, katika mwaka wa kumi na tano wa utawala wa Asa.
Те се събраха в Ерусалим в третия месец, в петнадесетата година от царуването на Аса.
11 Katika siku hiyo walimtolea Yahwe dhabihu baadhi ya nyara ambazo walikuwa wameleta; ng'mbe wa kulima mia saba na kondoo na mbuzi elfu saba.
В това време принесоха жертви Господу от донесените користи, седемстотин говеда и седем хиляди овци.
12 Wakaingia kataika agano kwa ajili ya kumtafuta Yahwe, Mungu wa babau zao, kwa moyo wao wote na roho yao yote.
И стъпиха в завет да търсят Господа Бога на бащите си от цялото си сърце и от цялата си душа,
13 Wakakubaliana kwamba yeyote atakepuuzia kumtafuta Yahwe, Mungu wa Israeli, atapaswa kuuawa, iwe mdogo ama mkubwa, iwe mwanaume ama mwanamke.
и да се умъртвява всеки, малък или голям, мъж или жена, който не би потърсил Господа Израилевия Бог.
14 Wakaapa kwa Yahwe kwa sauti kubwa, kwa kelele, na kwa sauti za tarumbeta na baragumu.
И заклеха се Господу със силен глас, с възклицание, с тръби, и с рогове.
15 Yuda wote wakakifurahia kile kiaapo. kwa maana walikuwa wameapa kwa moyo wao wote, na walimtafuta Mungu kwa nia yao yote, na walimuona. Yahwe akawapa amani pande zote.
И целият Юда се развесели поради клетвата; защото се заклеха от цялото си сърце, и потърсиха Бога с цялата си воля, и Господ им даде покой от всякъде.
16 Pia akamwondoa Maaka, asiwe malikia, kwa sababu alikuwa amefanya sanamu ya kuchukiza ya Maashera. Asa akaivunja vunja sanamu ya kuchukiza, akaiweka kwenye mavumbi akaichoma moto huko kijitoni Kidroni.
А още и майка си Мааха цар Аса свали да не бъде царица, понеже тя бе направила отвратителен идол на Ашера; и Аса съсече нейния идол, стри го, та го изгори при потока Кедрон.
17 Lakini sehemu za juu hazikuwa zimeondolewa nje ya Israeli. Vile vile, Moyo wa Asa ulijitoa kikamilifu siku zake zote.
Но високите места не се премахнаха от Израиля; сърцето, обаче, на Аса бе съвършено през всичките му дни.
18 Akaleta kwenye nyumba ya Mungu vitu vya baba yake na vitu vyake mwenyewe vilivyokuwa vya Yahwe: vitu vya fedha na dhahabu.
И той донесе в Божия дом посветените от баща му вещи, и посветените от самия него, сребро, злато и съдове.
19 Hapakuwa na vita zaidi hadi miaka thelathini na mitano ya utawala wa Asa.
И нямаше вече война до тридесет и петата година от царуването на Аса.

< 2 Nyakati 15 >