< 1 Timotheo 2 >

1 Kwa hiyo awali ya yote, nahitaji maombi, na dua, na maombezi, na shukrani vifanyike kwa ajili ya watu wote,
J'exhorte donc, avant tout, à faire des demandes, des prières, des intercessions et des actions de grâces pour tous les hommes,
2 kwa ajili ya wafalme na wote ambao wako kwenye mamlaka, ili kwamba tuweze kuishi maisha ya amani na utulivu katika utauwa wote na heshima.
pour les rois et pour tous ceux qui occupent des postes élevés, afin que nous menions une vie tranquille et paisible en toute piété et avec respect.
3 Hili ni jema na lenye kukubalika mbele za Mungu Mwokozi wetu.
Car cela est bon et agréable aux yeux de Dieu notre Sauveur,
4 Yeye hutamani kuwa watu wote waokolewe na wapate kuijua kweli.
qui veut que tous les hommes soient sauvés et parviennent à la pleine connaissance de la vérité.
5 Kwa kuwa kuna Mungu mmoja, na kuna mpatanishi mmoja kati ya Mungu na mwanadamu ambaye ni Kristo Yesu.
Car il n'y a qu'un seul Dieu et un seul médiateur entre Dieu et les hommes, Jésus-Christ, homme,
6 Alijitoa mwenyewe kama fidia kwa wote, kama ushuhuda kwa wakati muafaka.
qui s'est donné lui-même en rançon pour tous, le témoignage au temps convenable,
7 Kwa sababu hii, mimi mwenyewe nilifanywa kuwa mjumbe wa injili na mtume. Nasema kweli. Sisemi uongo. Mimi ni mwalimu watu Mataifa katika imani na kweli.
pour lequel j'ai été établi prédicateur et apôtre - je dis la vérité en Christ, je ne mens pas -, éducateur des païens dans la foi et la vérité.
8 Kwa hiyo, nataka wanaume kila mahali waombe na kuinua mikono mitakatifu bila ghadhabu na mashaka.
Je désire donc que les hommes prient en tout lieu, en élevant des mains saintes, sans colère et sans doute.
9 Vivyo hivyo, nataka wanawake wajivike mavazi yanayokubalika, kwa heshima na kujizuia. Wasiwe na nywele zilizosukwa, au dhahabu, au Lulu, au mavazi ya gharama kubwa.
De même, que les femmes se parent d'un vêtement décent, avec modestie et convenance, non pas avec des cheveux tressés, de l'or, des perles ou des vêtements coûteux,
10 Pia nataka wavae mavazi yanayowastahili wanawake wanaokiri uchaji kwa kupitia matendo mema.
mais avec de bonnes œuvres, ce qui convient à des femmes qui professent la piété.
11 Mwanamke na ajifunze katika hali ya utulivu na kwa utii wote.
Que la femme apprenne dans le calme, avec une entière soumission.
12 Simruhusu mwanamke kufundisha, au kuwa na mamlaka juu ya mwanaume bali aishi katika hali ya ukimya.
Mais je ne permets pas à une femme d'enseigner, ni d'exercer l'autorité sur un homme, mais qu'elle se taise.
13 Kwa kuwa Adamu aliumbwa kwanza, kisha Eva.
Car Adam a été formé le premier, puis Eve.
14 Adamu hakudanganywa, lakini mwanamke alidanganywa kabisa katika uasi.
Adam n'a pas été trompé, mais la femme, étant trompée, est tombée dans la désobéissance;
15 Hata hivyo, ataokolewa kwa kupitia kuzaa watoto, kama wataendelea katika imani na upendo na katika utakaso na akili njema.
mais elle sera sauvée par l'enfantement, si elle persévère dans la foi, la charité et la sainteté avec sobriété.

< 1 Timotheo 2 >