< 1 Wafalme 4 >

1 Mfalme Sulemani alikuwa mfalme wa Israeli.
Solomon manghai a om vaengah Israel pum soah manghai.
2 Hawa ndio waliokuwa wakuu wake: Azaria mwana wa Sadoki alikuwa kuhani.
Te vaengah anih kah mangpa rhoek he, khosoih Zadok capa Azariah,
3 Elihorefu na Ahiya mwana wa Shisha, walikuwa makatibu. Yehoshafati mwana wa Ahilui alikuwa mwandishi.
Cadaek Shisha ca rhoi Elihoreph neh Ahijah, khokhan aka khoem Ahilud capa Jehoshaphat,
4 Benaya mwana wa Yehoyada alikuwa mkuu wa jeshi. Sadoki na Abiatahari walikuwa makuhani.
Caempuei sokah Jehoiada capa Benaiah neh khosoih Zadok neh Abiathar,
5 Azaria mwana wa Natahani ndiye aliyekuwa juu ya hawa maakida. Zabudi mwana wa Nathani alikuwa kuhani na rafiki wa mfalme.
A sola aka pai Nathan capa Azariah, manghai kah olrhoep khosoih Nathan capa Zebud,
6 Ahishari alikuwa mkuu wa nyumba. Adoniramu mwana wa Abda alikuwa mkuu wa watenda kazi.
Im hman kah Ahishar neh saldong sokah Abda capa Adoniram,
7 Sulemani alikuwa na maakida kumi na wawili juu ya Israeli yote, ambao walitoa chakula kwa mfalme na watu wake wote. Kila mtu alikuwa na zamu ya kuhudumia kwa mwezi mmoja katka mwaka.
Solomon taengah Israel pum yueng la aka pai rhoek he hlai nit lo tih manghai neh a imkhui te a cangbam uh. Cangbam ham te kum khat khui hla khat ah pakhat a om pah.
8 Majina yao yalikuwa ndiyo haya: Beni Huri, Kutoka milima ya Efraimu;
Amih ming he Ephraim tlang ah Benhur,
9 Beni Dekeri wa Makazi, Shaalibimu, Bethi Shemeshi, na Elonbethi Hanaan;
Makaz, Shaalbim, Bethshemesh neh Elonbeth ah Deker capa,
10 Beni Hesed, wa Arubothi (kutoka kwake alipatikana Sokohi na nchi yote ya Hefa);
A taengkah Arubboth, Sokoh neh Hepher khohmuen pum ah Hesed capa,
11 Ben Abinadabu, wa wilaya yote ya Dori (alikuwa na Tafathi binti wa mfalme ambaye alikuwa mke wake);
Dore khamyai pum ah Abinadab capa. Solomon canu Taphath te anih kah yuu la om.
12 Baana mwana wa Ahiludi, wa Taanaki na Megido, na Beth Shani iliyo upande mwingine wa Zarethani chini ya Yezreel, Kutoak Bethi Shani mpaka Abeli Mehola iliyo upande mwingine wa Jokimeamu;
Taanakh, Megiddo neh Bethshan boeih, tekah hmatoeng Zarethan kungdak kah Jezreel hil, Bethshan lamloh Abelmeholah hil, rhalvangan kah Jokmeam hil he Ahilud capa Baana,
13 Ben Geberi, ya Ramothi Gileadi (kutoka kwake tunapata miji ya Yairi mwana wa Manase, ambayo iko Gileadi, na mkoa wa Arigobu ulikuwa wake, ambao uko Bashani, miji sitini yenye maboma na yenye nguzo za malango ya shaba);
Ramothgilead ah Geber capa tih, Gilead ah Manasseh capa Jair kah vangca rhoek he khaw anih kah, Bashan ah Argob paeng, vongtung puei neh rhohum thohkalh khopuei sawmrhuk khaw anih kah,
14 Ahinadabu mwana wa Ido, wa Mahanaimu;
Mahanaim ah Iddo capa Ahinadab,
15 Ahimaazi, wa Naftali (ambaye pia alimwoa Basimathi binti wa Sulemani kuwa mke wake);
Naphtali ah Ahimaaz tih, anih long khaw Solomon canu Basemath te a yuu la a loh.
16 Baana mwana wa Hushai, ya Asherina Bealothi;
Asher neh Bealoth ah Hushai capa Baana,
17 Yehoshafati mwana wa Paruha, kwa Isakari;
Issakhar ah Paruah capa Jehoshaphat,
18 Shimei mwana wa Ela, wa Benjamini;
Benjamin ah Ela capa Shimei,
19 na Geberi mwana wa Uri, katika nchi ya Gileadi, ambayo ni nchi ya Sihoni mfalme wa Waamori na Ogi mfalme wa Bashani, na yeye ndiye akida pekee aliyekuwa katika nchi hiyo.
Gilead khohmuen, Amori manghai Sihon neh Bashan manghai Oga khohmuen ah Uri capa Geber tih khohmuen pakhat ah khohung pakhat om.
20 Yuda na Israeli walikuwa wengi kama mchanga wa baharini. Nao walikuwa wakila na kunywa na kufurahi.
Judah neh Israel he a hlangmi lamtah tuipuei kah laivin bangla ping uh tih a caak, a ok neh a kohoe.
21 Suleimani alitawala utawala wote kutoka mtoni hadi kwenye nchi ya Wafilisti na hadi kwenye mpaka wa Misri. Wote walileta kodi na walimtumikia Sulemani katika siku za maisha yake yote.
Solomon long he Philisti khohmuen kah tuiva lamloh Egypt khorhi duela ram tom te a taemrhai. Khocang te a khuen uh tih a hing tue khuiah Solomon taengah thotat uh.
22 Mahitaji ya Sulemani kwa siku moja yalikuwa ni Kori thelathini za unga mzuri na kori unga wa ngano,
Te vaengah hnin at dongkah Solomon kah a caak he, vaidam kore sawmthum neh buh kore sawmrhuk lo.
23 makisai kumi walionona, na fahari ishirini wa malisho, na kondoo mia moja, nje ya ayala, paa, na kulungu na kuku walionona.
Saelhung pumlen pumrha, saelhung luemdawn pumkul, boiva yakhat, rhangrhaeh neh kirhang khaw, sayuk neh vathawt a thapaduek khaw om pueng.
24 Kwa kuwa utawala wake ulikuwa zaidi ya nchi yote upande huu wa mto, kutoka Tifsa mpaka Gaza, juu ya wafalme wote wa upande huu wa mto, naye alikuwa na amani pande zote.
Tiphsah lamloh tuiva rhalvangan boeih neh Gaza hil, tuiva rhalvangan kah manghai boeih te khaw a taemrhai. Te vaengah rhoepnah te anih ham kaepvai kah a rhalvangan boeih ah om.
25 Yuda na Israeli waliishi kwa usalama, kila mtu chini y a mzabibu wake na chini ya mtini wake, kutoka Dani mpaka Beerisheba, siku zote za Sulemani.
Judah neh Israel kah hlang he Solomon tue khuiah tah Dan lamloh Beersheba hil amah misur hmui neh a thaibu hmuiah ngaikhuek la kho a sak.
26 Sulemani alikuwa na mabanda ya farasi arobaini elfu kwa ajili ya magari yake, na wapanda farasi elfu kumi na mbili.
Solomon taengah a ngoldoelh ham marhang im thawng sawmli neh marhang caem thawng hlai nit om.
27 Na maakida walileta chakula kwa Sulemani na kwa wale walioketi kwenye meza ya mfalme Sulemani, kila mtu katika mwezi wake. Walihakikisha hakuna kinachopungua.
Te rhoek loh manghai Solomon te a cangbam uh tih a pai puei uh. Amah hla khat ah hlang pakhat neh manghai Solomon kah caboei taengla aka mop boeih khaw hnopai neh mueh uh pawh.
28 Na pia walileta kwenye eneo husika shayiri na majani kwa ajili ya wale farasi wa magari na kwa wale farasi wa mbio kila mmoja alileta kadri alivyoweza.
Marhang ham neh leng marhang ham cangtun neh cangkong khaw, hlang loh amah kah hamsum bangla a om nah hmuen la pahoi a thak uh coeng.
29 Mungu alimpa Sulemani hekima kubwa, ufahamu, na upana wa uelewa kama mchanga wa baharini.
Pathen loh Solomon te cueihnah a paek dongah a lungcuei khaw muep ping. Te vaengah lungbuei te tuipuei tuikaeng kah laivin bangla a daang a ka pah.
30 Hekima ya Sulemani ilizidi hekima ya watu wote wa mashariki na hekima yote ya Misri.
Solomon kah cueihnah tah khothoeng ca boeih kah cueihnah lakah khaw, Egypt kah cueihnah cungkuem lakah khaw yet.
31 Alikuwa na hekima kuliko wanaume wote - kuliko Ethani Muezrahi, Hemani, Kaliko, na Darda, wana wa Maholi - na habari zake zikaenea hadi kwenye mataifa yote yaliyomzunguka.
Hlang boeih lakah khaw, Mahol koca rhoek Ethan, Ezrakhi, Heman neh Khalkol, Darda lakah khaw cueih. Te dongah khotaeng namtom boeih taengah khaw a ming om.
32 Aliongea mithali elfu tatu na idadi ya nyimbo zake zilikuwa elfu moja na tano.
Thuidoeknah thawng thum a thui tih a laa khaw thawng khat panga om.
33 Aliifafanua mimea, kuanzia mierezi iliyoko Lebanoni hadi Hisopo imeao ukutani. Aliwafafanua wanyama, ndege, vitu vitambaavyo na samaki. Watu walikuja kutoka mataifa yote kuisikia hekima ya Sulemani.
Thingkung te Lebanon kah lamphai lamloh pangbueng lamkah aka poe pumpiding hil khaw a thui. Rhamsa kawng neh vaa kawng khaw, rhulcai kawng neh nga kawng khaw a thui.
34 Watu walikuja kutoka falme zote za duniani waliosikia juu ya hekima yake.
A cueihnah te a yaak uh vaengah pilnam cungkuem lamlong khaw, diklai manghai boeih lamlong khaw Solomon kah cueihnah te hnatun ham a paan uh.

< 1 Wafalme 4 >