< 1 Wafalme 11 >

1 Basi mfalme Sulemani aliwapenda wanawake wengi wa kigeni: binti wa Farao na wanawake wa Wamoabu, Waamori, Waedomu, Wasidoni, na Wahiti - Haya na
Solomon manghai loh Pharaoh canu phoeiah khaw Moab, Ammoni, Edom, Sidoni, Khitti neh kholong tom kah huta te a lungnah.
2 mataifa ambayo BWANA alikuwa amewaambia Waisraeli kwamba, “Msiwaoe, wala binti zenu kuolewa nao, kwani kwa hakika wataigeuza mioyo yenu ili mfuate miungu yao.” Lakini Sulemani aliwapenda wanawake hao.
Namtom rhoek lamkah te tah BOEIPA loh Israel ca rhoek taengah, “Amih te paan uh boel lamtah amih khaw nangmih taengah ha kun boel saeh. Na thinko te amih kah pathen hnukah buung uh ve,” a ti lalah Solomon loh amih taengah lungnah neh kibaeng.
3 Sulemani alikuwa na wanawake halali mia saba na masuria mia tatu. Wake zake waliugeuza moyo wake.
Anih taengah a yuu la boeinu ya rhih neh yula ya thum om tih a yuu rhoek loh anih kah lungbuei te a buung sak.
4 Kwa kuwa Sulemani alipozeeka, wake zake waliugeuza moyo wake kwa miungu mingine; hakuutoa moyo wake wote kwa BWANA, Mungu wake, kama ulivyokuwa moyo wa Daudi baba yake.
Solomon te a patong tue a pha vaengah tah a thinko te a yuu rhoek loh pathen tloe rhoek taengla a buung sak coeng dongah a thinko loh a napa David kah thinko bangla a Pathen YAHWEH taengah rhuemtuet la om pawh.
5 Kwani Sulemani alimfuata Ashtoreth, mungu mke wa Wasidoni, na alimfuata Milkom, ambayo ni sanamu chukizo ya Waamori.
Solomon te Sidoni kah pathen Ashtoreth hnuk neh Ammoni kah sarhingkoi Milkom hnukah cet.
6 Sulemani akafanya maovu mbele ya BWANA; hakumfuata BWANA kwa moyo wake wote, kama alivyofanya Daudi baba yake.
Solomon loh BOEIPA mikhmuh ah boethae a saii dongah a napa David bangla BOEIPA hnuk kae pawh.
7 Kisha Sulemani akajenga mahali pa juu pa Kemoshi, ambayo ni sanamu chukizo ya Wamoabu, mashariki mwa Yerusalemu juu ya kilima, na vivyo hivyo na Moleki, Sanamu chukizo ya Waamoni.
Solomon loh Jerusalem imdan kah tlang ah Moab kah sarhingkoi Khemosh ham neh Ammon koca rhoek kah sarhingkoi Molek ham te hmuensang a thoh pah.
8 Na kadhalika ndivyo alivyowafanyia wake zake wa kigeni, ambao walifukiza uvumba na kutoa sadaka kwa miungu yao.
Te tlam te kholong nu a yuu rhoek boeih ham khaw a saii pah dongah amamih kah pathen rhoek taengah phum uh tih nawn uh.
9 BWANA alichukizwa na Sulemani, kwa sababu moyo wake ulikuwa umemwacha Mungu wa Israeli, ingawa alikuwa amejionyesha kwake mara mbili
A taengah voei nit a phoe lalah Israel Pathen YAHWEH taeng lamloh a thinko a maelh dongah BOEIPA he Solomon taengah a thintoek.
10 na kumwamuru juu ya mambo haya, kwamba asiwaendee miungu wengine. Bali Sulemani hakutii kile ambacho BWANA alikuwa amemwamuru.
Pathen tloe rhoek taengah pongpa pawt ham he ol he a taengah a uen lalah BOEIPA kah a uen te ngaithuen pawh.
11 Kwa hiyo BWANA akamwambia Sulemani, “Kwa kuwa umeyafanya haya haukulishika agano langu na maagizo ambayo nilikuamuru, basi nitaugawa ufalme kutoka kwako na kuwapatia watumishi wako.
Te dongah BOEIPA Solomon te, “Na taengah he he a om vanbangla, nang taengah kang uen ka paipi neh ka khosing khaw na ngaithuen moenih. Ram he nang dong lamloh ka phen rhoe ka phen vetih na sal taengah ka paek ni.
12 Hata hivyo, kwa ajili ya Daudi, sitalifanya hilo wakati wa uhai wako, bali nitaugawa wakati ukiwa chini ya mwanao.
Tedae na pa David kongah namah tue ah ka saii pawt vetih na capa kut lamlong tah ka phen ni.
13 Bado sitaugawanya ufalme wote; Nitampa mwanao kabila moja kwa ajili ya Daudi mtumishi wangu, na kwa ajili ya Yerusalemu, ambayo nimeichagua.”
Tedae ram pum he ka phen mahpawh. Ka sal David ham neh ka coelh Jerusalem ham na capa taengah koca pakhat ka paek ni,” a ti nah.
14 Kisha BWANA akamwinulia uadui Sulemani, Hadadi Mwedomu. Alikuwa anatoka kwenye familiia ya mfalme wa Edomu.
Te phoeiah BOEIPA loh Solomon taengah Satan la Edom kah manghai tiingan lamloh Edom Hadad te a tlung sak.
15 Daudi alipokuwa Edomu, Yoabu mkuu wa jeshi alikuwa ameenda kuzika mfu, kila mtu aliyekuwa ameuawa kule Edomu.
David he Edom taengah om tih rhok up hamla caempuei mangpa Joab a caeh vaengah Edom ah tongpa te boeih a ngawn.
16 Yoabu na Israeli yote walibaki huko kwa miezi sita mpaka alipokuwa amewaua wanaume wote wa Edomu.
Edom ah tongpa boeih a ngawn hil Joab neh Israel pum boeih hla rhuk pahoi om uh.
17 Lakini Hadadi alichulukuliwa na Waedomu wengine na watumishi wa baba yake hadi Misri, kuanzia Hadadi alipokuwa mtoto mdogo.
Tedae Hadad amah neh a taengkah a napa sal rhoek lamkah Edom hlang rhoek tah yong uh tih Egypt la pawk uh. Te vaengah Hadad tah camoe ca pueng.
18 Waliondoka Midiani wakaja Parani, ambapo walichukuliwa na wanaume mpaka Misri, kwa Farao wa Misri, ambaye alimpa nyumba na ardhi yenye chakula.
Midian lamloh thoo uh tih Paran la pawk uh. Te vaengah a taengkah hlang rhoek te Paran lamloh a khuen uh tih Egypt kah Egypt manghai Pharaoh taengah cet uh. Te dongah anih te im a paek, amah lamloh buh a paek tih khohmuen khaw anih a paek.
19 Hadadi alipata neema kubwa machoni pa Farao, kwa hiyoFarao akampatia mke, umbu wa mke wake mwenyewe, umbu la Tapenesi aliyekuwa Malkia.
Hadad te Pharaoh mik ah mikdaithen la muep a hmuh. Te dongah anih te yuu la amah yuu mana, manghainu Tahpenes mana te a paek.
20 Naye huyo umbu la Tapenesi alimzalia Hadadi mwana. Wakamwita jina lake Genubathi. Tapenesi akamlea katika ikulu ya Farao. Kwa hiyo Genubathi alikulia kwenye ikulu ya Farao pamoja na watoto wa Farao.
Tahpenes mana loh anih ham te a capa Genubath a sak pah. Tedae Tahpenes loh Pharaoh im khui ah a khut pah dongah Genubath khaw Pharaoh im kah Pharaoh ca rhoek lakli ah om.
21 Naye alipokuwa huko Misri, Hadadi alisikia kuwa Daudi alishalala na mababu zake na kwamba Yoabu mkuu wa majeshi alishakufa, Hadadi akamwambia Farao, “Acha niondoke nirudi nchini kwangu.”
David te a napa rhoek neh khoem uh coeng tih caempuei mangpa Joab a duek te Hadad loh Egypt ah a yaak. Te dongah Hadad loh Pharaoh taengah, “Kai n'tueih mai lamtah kamah khohmuen la ka mael pawn eh,” a ti nah.
22 Lakini Farao alimwambia, “Umepungukiwa nini kwangu, kwamba sasa unatafuta kurudi nchini kwako?” Naye Hadadi akamjibu, “Hapana kitu lakini tafadhali niache niende.”
Te vaengah Pharaoh loh anih te, “Kai taengah balae na nai bal pueng tih namah khohmuen la caeh ham na ngaih he?” a ti nah. Tedae, “Vawt pawt dae kai he nan tueih rhoe nan tueih mai mako,” a ti nah.
23 Pia Mungu akamwinulia Sulemani adui mwingine, Rezoni mwana wa Eliada, aliyekuwa amemkimbia bwana wake Hadadezeri mfalme wa Soba.
Pathen loh Solomon taengah a boei Zobah manghai Hadadezer taeng lamloh aka yong Eliada capa Rezon te khingkhoekkung la a tlung sak.
24 Rezoni alijikusanyia wanaume naye akawa mkuu wa jeshi dogo, Daudi ali owapiga wanaume wa Soba. Wale wanume Rezoni walienda Dameski kuishi huko, na Rezoni aliitawala Dameski.
Te vaengah a taengah hlang a coi tih caem mangpa la om. David loh amih te a ngawn ham vaengah tah Damasku la cet tih a khuiah kho a sak uh dongah Damasku ah manghai uh.
25 Yeye akawa adui wa Israeli katika siku zote za mfalme Sulemani, zaidi ya madhara ambayo Hadadi alisababisha. Rezoni akawachukia Israeli na akawa juu ya Shamu
Hadad he a boethae hman ah Solomon tue khuiah tah Israel taengah khingkhoekkung la tlung. Israel taengah a mueipuel doela Aram ah manghai.
26 Kisha Yeroboamu mwana wa Nebati, mwefraimu wa Sereda, akida wa Sulemani, ambaye jina la mama yake lilikuwa Serua, mjane, pia akainua mkono wake dhidi ya mfalme.
Solomon kah sal, Zeredah lamkah Ephraim Nebat capa Jeroboam, a manu ming nuhmai nu Zeruah, long khaw manghai te kut a thueng thil.
27 Kisa cha kuinua mkono wake kinyume cha mfalme ilikuwa ni mfalme Sulemani kujenga Milo na kufunga mahali palipobomoka katika mji wa Daudi baba yake.
A napa David khopuei kah a puut te a bing neh vaikhap a sak dongkah ol ah ni manghai Solomon te kut a thueng thil.
28 Yeroboamu alikuwa mtu hodari na shujaa. Sulemani akaona kuwa huyo kijana alikuwa na bidii, kwa hiyo akampa kuwa na mamlaka juu ya wafanyakazi katika nyumba ya Yusufu.
Jeroboam tah a hlang khaw tatthai hlangrhalh la om. Te dongah Solomon te camoe kah bitat a saii te a hmuh vaengah Joseph im kah hnorhih boeih te anih a soep sak.
29 Wakati huo, Yeroboamu alipokuwa akitoka katika Yerusalemu, nabii Ahiya Mshilo akamkuta barabarani. Sasa Ahiya alikuwa amevaa vazi jipya na kwamba hawa wawili walikuwa pekee yao kondeni.
A tue a pha vaengah Jeroboam te Jerusalem lamloh a caeh hatah tonghma Shiloh Ahijah loh longpueng ah a mah. Te vaengah himbai thai neh yol uh tih amih rhoi bueng te lohma ah om rhoi.
30 Kisha Ahiya akalishika lile vazi jipya ambalo alikuwa nalo na akalichana katika vipande kumi na viwili.
Ahijah loh a pum dongkah himbai thai te a tuuk tih a hnipen hlai nit la a phen.
31 Akamwambia Yeroboamu. “Chukua vipande kumi, kwani BWANA, Mungu wa Israeli, anasema, 'Tazama, Nitaugawa ufalme toka katika mkono wa Sulemani nami nitakupa makabila kumi.
Te phoeiah Jeroboam te, “Hnipen parha he namah ham khuen laeh. Israel Pathen BOEIPA loh he ni a thui. Ram he Solomon kut lamloh ka phen tih nang taengah koca parha kam paek.
32 (lakini Sulemani atabaki na kabila moja, kwa ajili ya mtumishi wangu Daudi na kwa ajili ya mji wangu Yerusalemu - mji ambao nimeuchagua toka kwenye kabila zote za Israeli),
Tedae ka sal David kong neh Israel koca boeih lamloh ka coelh Jerusalem khopuei kongah anih ham koca pakhat om ni.
33 kwa kuwa ameniacha na kumwabudu Ashtorethi mungu mke wa Wasidoni, Kemoshi Mungu wa Wamoabu, na Milikomu mungu wa watu wa Amoni. Wameziacha njia zangu, hawakufanya kilicho chema katika macho yangu, wala hawa kuzishika amri na maagizo yangu, kama alivyofanya Daudi baba yake.
Kai n'toeng uh tih Sidoni pathen Ashtoreth taengah, Moab pathen Khemosh taengah, Ammon ca rhoek kah pathen Milkom taengah bakop uh. A napa David bangla ka khosing, ka laitloeknah neh ka mik ah thuem saii ham khaw ka longpuei ah pongpa uh pawh.
34 Hata hivyo. Stauchukua ufalme wote toka kwenye mkono wa Sulemani. Badala yake, nimemfanya kuwa mtawala katika siku zake zote za uhai wake, kwa ajili ya Daudi mtumishi wangu ambaye nilimchagua, mtu ambaye alizishika amri na maagizo yangu.
Tedae ram pum he anih kut lamloh ka bong mahpawh. Ka olpaek neh ka khosing a ngaithuen dongah amah ka coelh ka sal David kongah a hingnah tue khuiah khoboei la anih ka khueh pueng.
35 Bali nitauchukua ufalme ukiwa chini ya mkono wa mwanae na nitakupa wewe, makabila kumi.
A capa kut lamlong tah ram he ka loh vetih nang taengah koca parha kam paek ni.
36 Nitampa kabila moja mwana wa Sulemani ili kwamba Daudi mtumishi wagu atabaki kuwa nuru mbele yangu huko Yerusalemu, mji ambao nimeuchagua ili niweke jina langu.
Te dongah a capa te koca pakhat ka paek ni. Te daengah ni Jerusalem khopuei kah ka mikhmuh ah hnin takuem ka sal David kah hmaithoi a om eh. Te tah kamah ham ka ming pahoi khueh ham ka coelh.
37 Nami nitakuchukua, nawe utatawala ili kutimiza haja yako, nawe utakuwa mfalme juu ya Israeli.
Nang te kan loh vaengah na hinglu kah a sahnaih boeih soah na manghai vetih Israel soah manghai la na om ni.
38 Kama utasikiliza yote ninayokuagaza, na kama utatembea katika njia zangu na kufanya kinachopendeza mbele ya macho yangu, ukayashika maagizo na amri zangu, kama Daudi mtumishi wangu alivyofanya, ndipo nitakapokuwa na wewe na nitakujengea nyumba ya uhakika, kama niliyomjengea Daudi, nami nitakupa Israeli.
Nang kang uen boeih te na hnatun tih ka longpuei ah na pongpa atah, ka sal David loh a saii bangla ka khosing neh ka olpaek ngaithuen ham ka mikhmuh ah a thuem mah saii. Te daengah ni nang taengah ka om vetih David ham ka thoh pah bangla uepom imkhui te nang ham kan thoh eh. Te vaengah Israel te nang taengah kam paek ni.
39 Nitawaadhibu uzao wa Daudi, lakini si milele.”
He dongah he David tiingan te ka phaep ni. Tedae hnin takuem moenih,” a ti nah.
40 Kwa hiyo Sulemani akajaribu kumwua Yeroboamu. Lakini Yeroboamu akaamka na kukimbilia Misri, Kwa Shishaki mfalme wa Misri, naye akabaki Misri mpaka Sulemani alipokufa.
Solomon loh Jeroboam te duek sak ham a mae dae Jeroboam te thoo tih Egypt kah Egypt manghai Shishak taengla yong. Te dongah Solomon a dueknah rhi hil Egypt ah om.
41 Na kwa mambo mengine yanayomhusu Sulemani, Yote ambayo alifanya na hekima zake, je, hayakuandikwa katika kitabu cha matukio ya
Solomon kah a ol coih khaw, a saii boeih neh a cueihnah khaw, amih loh Solomon kah olka cabu ah daek uh pawt nim?
42 Sulemani? Sulemani alitawala Yerusalemu juu ya Israeli yote kwa miaka arobaini.
Jerusalem kah Israel boeih soah Solomon kah a manghai tue te kum sawmli lo.
43 Naye akalala na mababu zake na alizikwa katika mji wa Daudi baba yake. Rehoboamu mwanae akawa mfalme mahali pake.
Solomon te a napa rhoek taengla khoem uh tih a napa David khopuei ah a up phoeiah tah anih yueng la a capa Rehoboam tloep manghai.

< 1 Wafalme 11 >